Sisi watanganyika hatutaki muungano tumechoka kero za wazanzibari hatutaki
@harithmohd63185 ай бұрын
Mjmb uko sahihi serekali tatu ndio muhimu au kila mtu kwako watanganyika mubaki kweli na sisi wanzanzibar tubaki kweli hatuon samah ya muungano nauchukia huu munganooo wa kiharamu Inshaallah ipo siku zanzibar yetu itakuwa huru
@King_Of_Everything8 ай бұрын
👍✌️👊.
@alihijiiddi89773 жыл бұрын
SAWA SAWA RAISI HERO TUNDULISU UPUMBAVU WA CCM AU MCC HAWAJUWI WAKIFANYACHO WIZI TUVWA PESA ZA ZNZ NA KUTUUWA KWA KULERA WABURUNDO WATUUWE 🇹🇿🇮🇱😇🌎👹🇹🇿🇮🇱🌎😇👹🇹🇿🇮🇱🌎😇👹🇹🇿👿🌎😇👹
@williamkirway50743 жыл бұрын
Hisia za LISSU,tutafakari.5-12-2020
@petersilas42344 жыл бұрын
Jaribu kufikiri zaidi kidogo, muungano haulazimishwi, ila kutokuwa na muungano ndio unalazimishwa. Population ni factor kubwa sana ambayo watu wa mawazo mafupi hawayaoni. Watu wenye mawazo mapana wasiofungwa na madhaifu ya kibinadamu hupenda umoja.
@anwaritesal46954 жыл бұрын
Tuvuruge kisha urudi kwako ubeligiji na unatuvuruga kweri wewe.
@lindambilinyi62534 жыл бұрын
Atakuvuluga baba ako na mama ako
@kassim12625 ай бұрын
Utavurugwa tu manaake hujatumwa ue mjinga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mgallason...56864 жыл бұрын
Hakika we ni kipele kabisa
@barackramadhan14194 жыл бұрын
verry interejenc
@andrewkwayu27974 жыл бұрын
Mawazo mazuri. Tumepungukiwa mno na ufahamu wa ujasiriamali na ulinzi wa rasilimali zetu kupitia kwa ushiriki wa watanzania katika uchumi wetu. Kumbe kuwa na wanasiasa wasio wajasiriamali ni hasara kubwa kwa nchi yetu. Kuna haja ya kubadili mtazamo wa watanzania na kuchagua viongozi wajasiriamali. Mwenye kujua pesa atalinda pesa, atatafuta pesa siyo kwa ajili yake tu bali kwa nchi pia. Vinginevyo tutapiga kwata kwa muda mrefu sana.
@bahatishasuleiman47734 жыл бұрын
Good and well
@hundamaniamania8725 жыл бұрын
Kweli huyu amesima dah😑🤙🤙Jah bless
@eidmruma43335 жыл бұрын
Fina
@mohamedally1966 жыл бұрын
Huyo anaumwa
@ezekielmwadomba46757 жыл бұрын
CHADEMA KUNA WATU WAUKWELI SANA!! BIG UP MSIGWA!! WATANZANIA TUNAO WAELEWA TUNA WAOMBEA SANAA!!!
@mathayomkumbuchile28088 жыл бұрын
Msigwa is a giant, he stands on truth and he works for the people
@mishaelmgendi82749 жыл бұрын
God bless this man
@homebasestudiokp9 жыл бұрын
Oya vp
@isamchilo29709 жыл бұрын
@isamchilo29709 жыл бұрын
@yusuphndila69099 жыл бұрын
harakati za kweli
@nyirishemajbaptiste25559 жыл бұрын
hongera mh zitto
@utaani110 жыл бұрын
Wazanzibar hatutaki muungano na tanganyika
@vincentkatabalo28610 жыл бұрын
It sounds sensiblw
@vincentkatabalo28610 жыл бұрын
It sounds sensiblw
@rukiamuwango540910 жыл бұрын
Mhhhi mombasa sio kisiwa. Nenda kwenye ramani sio kila kitu ni politic tu.
@oopsm35744 жыл бұрын
NI asili yake ni kisiwa
@nickmakoli466010 жыл бұрын
Kwa namna fulani umezungumza la msingi sana na hii iwe kumbukumbu kwao na sio wakiwa wanarukia mambo ambayo hawakuwa na misimmamo nayo wakidhania ndo namna ya kupata pesa za haraka bila kufikiria jamii, wajuwe kwamba hata nchi zilizoendelea wanaazaga kusomea siasa na si kurukia ghafula; ur right kabisa the time has come 4 the rising.
@active121710 жыл бұрын
Maria all the best and we have faith in you. Ila kama ulivyosema we ni mgeni Dodoma, bado una naivety. Vikao vya faragha ni muhimu, katiba ni ya wananchi lakini haina maana kuwa kila kitu wazi tu, kumbuka nchi ina wasioitakia mema, pia saikolojia ya maamuzi muhimu wakati mwingine inahitaji closed dialogue
@e.mwaipasitv808810 жыл бұрын
Mshenzi tu umepoteza dira
@090909azazaz110 жыл бұрын
How do you tell someone is lying? ....they are always restless & avoid straight eye contact !! Zitto BIG LIER!! Go to hell!
@evancealfoncemhagama28010 жыл бұрын
Ukirejea ishu ya marehemu Chacha Wangwe kutangaza nia ya kugombea nafasi ya uraisi kupitia chadema yaliyomkuta kila mtanzania anafahamu.kwa Zitto hatimae kavuliwa madaraka kwa ishu hiyo hiyo ya kutangaza nia kinachoonekana ndani ya chadema ni ukabila (uchaga).
@godwinmariki281210 жыл бұрын
Nasikitika sana Naibu katibu mkuu kuandika barua ofisini kwake kutaka maelekezo ya wenzake kupitia waandishi wa habari na polisi. haiingii akilini. ajifunze jambo katika uongozi. kwamba naibu katibu mkuu ni mtunza siri za chama kitaifa akiwa ni mtandaji mkuu wa pili ndani ya chama sasa akimlalamikia mwenyekiti anajua lipi ni kwamba hahudhurii vikao hafiki ofisini kupangia kazi na kuelekeza watendaji walio chini yake lakini huwa nashangaa kwambaalikuwa ni katibu wa namna gani. sio mwajibikaji sana ndani ya chama ila mwepesi kusema kwenye magazeti jambo sio sawa. pia ukaguzi wa hesabu kwamba zitto ni katibu anayewajibika kuwasilisha hizo hesabu kunakohusika je alichukua hatua gani kuelekeza watendaji walioko chini yake? je hakuweza kuelekeza wenzake?
This video can cause epilepsy!!! Acheni kutumia AUTO FOCUS Manual is the way!
@bekkeredward11 жыл бұрын
Wakati unapowadia...siku hutimia
@dabymouser857911 жыл бұрын
well done Mo
@andrewmhatyo256111 жыл бұрын
Big up a.k.a Kinana
@MikaChavala11 жыл бұрын
Umenena pastor msigwa
@andrewsadiki991411 жыл бұрын
Hata ukiangaliya historia ya muungano wenyewe wa kulazimishwa.pale nyerere laana ya mungu iwe juu yake alipo mwambia mzee karume kama hutaki muungano wa serikali mbili basi nitaondoa askari wangu wote unguja na pemba.kwa sababu baada ya mapinduzi serikali ilikua mpya(changa) haina ulinzi wa kutosha hapo akakubali karume shingo upande(shinikizo) na nyerere aliwahi kumwambia waziri wa makoloni muengereza (duncan sands)kama mumeweza kuwapa wakenya kisiwa cha mombasa kwa nini nasie msitupe cha zenji
@musalilama66044 жыл бұрын
Kwan Mombasa kisiwa sikuiz
@andrewsadiki991411 жыл бұрын
kabisa mjomba peter waamshe watanganyika walio lala ati wanawaona wazanzibari uamsho,magaidi,wabaguzi,kisa nini wanadai muungano wenye usawa (50-50) hakuna mtu,chama,jumuiya yoyote ile yenye hati miliki ya tanganyika na zanzibar hatukuungana na tanganyika kwa ukubwa wa ardhi,elimu,population.
@andrewsadiki991411 жыл бұрын
Baraka hujui kitu ndiyo maana unaongea tu kama mtoto.katiba ya zenji wenye mamlaka ya nchi ni raia wa zenji sio ccm au watanganyika na hatushangai ndio maana mnajazana mji mmoja dar cos huko kwengine balaa tupu.kita eleweka tu kama maneno baba yenu nyerere laana ya mungu iwe juu yake kaongea sana lakini yeye kaondoka na zenji iko pale pale na hao wengine wasiotaka mabadiliko wakati utawabadilisha.
@MrMcama11 жыл бұрын
With such positivity, Tanzania's future is even brighter!
@kimeo0911 жыл бұрын
"Soft mind and sound mind" LMAO what English. Just speak Swahili man
@saganamgaya783111 жыл бұрын
Aisee mi cccm,ila maneno mazuri,ni fikra pevu
@buffemmz11 жыл бұрын
WE MPUMBAVU WEWE NDO UNAMILIKI HAKI YA KUVUNJA KATIBA WE KAMA NANI...WEWE NDO UNAUNAPANGA JINSI YA JWTZ HI OPERATE VIPI...HUNAAKILI WEW UNATAKA VITA TUTAANZA NA WEWE..HUJUI NA WALA HUKUEPO KAMA ULILAZIMISHWA NDOA NA MKE WAKO KIMPANGO WAKO..NA WEWE UNAONGEA KAMA NANI AU UNATAKA CHAMA TAWALA KIONEKANE KIBAYA USIUSISHE NCHI NZIMA.
@jaksonjulius90104 жыл бұрын
Tumia akili Tundu Lissu the great and beautiful brain
@obeidmpombwe99514 жыл бұрын
Unakili sanaa
@othumanbakari140411 жыл бұрын
Tunasema kwamba hivi muungano niwanchi mbili kwanini inufaike moja moja iwe inabanwa hivi tuangalie z.bar haiwezi kutoa akawa wa muungano wapi na lini rais ametoka z,bar twataka nchiyetu z,bar kwanza
@hamid939011 жыл бұрын
ZANZIBAR smaller nini we mtangazajii ?? kwani CHINA, AUSTRALIA, CANADA,BRAZIL, UKIFANANISHA na Singapore,SWISS Haiti na nchi nyengine ndogo kuna tofauti pale ??..kwenye migawanyo ya BENKI ZA DUNIA AU KWENYE UNITED NATION SEATS ??..wanatazama NCHI KWA UKUBWA WA ENEO AU WATU ?? AU KILA MTU ANAPEWA HADHI YA NCHI TU PALE.....NGEKUWA MIMI RAIS WA ZANZIBAR BASI KWANZA KERO YANGU YA MWANZO MAPATO YAWE 50 / 50 kwanzaaaa....TUPENI NCHI YETUU
@kamesk7311 жыл бұрын
jamaa anaongea points sio hao wazembe wengine.
@adorakisamo80714 жыл бұрын
Yaani lisu Yuko vizuri sana
@rosetajones446012 жыл бұрын
Hey Fina.Be a leader to stand up for Tanzanian Women.Especialy for Lulu WHO is in prison at the momement.you guys who works in the media should support lulu to get her freedom.all women we shall unite for her. please don't let her to fight alone.i hope justice will be be done for Elizabeth Michael.