SAWA SAWA RAISI HERO TUNDULISU UPUMBAVU WA CCM AU MCC HAWAJUWI WAKIFANYACHO WIZI TUVWA PESA ZA ZNZ NA KUTUUWA KWA KULERA WABURUNDO WATUUWE 🇹🇿🇮🇱😇🌎👹🇹🇿🇮🇱🌎😇👹🇹🇿🇮🇱🌎😇👹🇹🇿👿🌎😇👹
@utaani110 жыл бұрын
Wazanzibar hatutaki muungano na tanganyika
@williamkirway50743 жыл бұрын
Hisia za LISSU,tutafakari.5-12-2020
@YohanaNkhambi4 ай бұрын
Factly memorial
@hundamaniamania8725 жыл бұрын
Kweli huyu amesima dah😑🤙🤙Jah bless
@kamesk7311 жыл бұрын
jamaa anaongea points sio hao wazembe wengine.
@adorakisamo80714 жыл бұрын
Yaani lisu Yuko vizuri sana
@petersilas42344 жыл бұрын
Jaribu kufikiri zaidi kidogo, muungano haulazimishwi, ila kutokuwa na muungano ndio unalazimishwa. Population ni factor kubwa sana ambayo watu wa mawazo mafupi hawayaoni. Watu wenye mawazo mapana wasiofungwa na madhaifu ya kibinadamu hupenda umoja.
@King_Of_Everything8 ай бұрын
👍✌️👊.
@andrewsadiki991411 жыл бұрын
Baraka hujui kitu ndiyo maana unaongea tu kama mtoto.katiba ya zenji wenye mamlaka ya nchi ni raia wa zenji sio ccm au watanganyika na hatushangai ndio maana mnajazana mji mmoja dar cos huko kwengine balaa tupu.kita eleweka tu kama maneno baba yenu nyerere laana ya mungu iwe juu yake kaongea sana lakini yeye kaondoka na zenji iko pale pale na hao wengine wasiotaka mabadiliko wakati utawabadilisha.
@anwaritesal46954 жыл бұрын
Tuvuruge kisha urudi kwako ubeligiji na unatuvuruga kweri wewe.
@lindambilinyi62534 жыл бұрын
Atakuvuluga baba ako na mama ako
@kassim12625 ай бұрын
Utavurugwa tu manaake hujatumwa ue mjinga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ClemoohPeter4 ай бұрын
Sisi watanganyika hatutaki muungano tumechoka kero za wazanzibari hatutaki
@harithmohd63185 ай бұрын
Mjmb uko sahihi serekali tatu ndio muhimu au kila mtu kwako watanganyika mubaki kweli na sisi wanzanzibar tubaki kweli hatuon samah ya muungano nauchukia huu munganooo wa kiharamu Inshaallah ipo siku zanzibar yetu itakuwa huru
@rukiamuwango540910 жыл бұрын
Mhhhi mombasa sio kisiwa. Nenda kwenye ramani sio kila kitu ni politic tu.
@oopsm35744 жыл бұрын
NI asili yake ni kisiwa
@othumanbakari140411 жыл бұрын
Tunasema kwamba hivi muungano niwanchi mbili kwanini inufaike moja moja iwe inabanwa hivi tuangalie z.bar haiwezi kutoa akawa wa muungano wapi na lini rais ametoka z,bar twataka nchiyetu z,bar kwanza