Ni vigumu sana kumuelewa huyu jamaa kama huna fikra binafsi
@SilasNdaisabha-gx8jo9 сағат бұрын
Nmeelewa sana big up
@issackmbembati606611 сағат бұрын
Selassie i
@zebedayokatamaduni967616 сағат бұрын
imani ya rasta ni imani gani hiyo?
@GaradiGaradi-zq1wf17 сағат бұрын
Kachanganikiwa huyo ni kama mbwa aanayebweka kwa kukosa chakula povu jingiiii hoja hana
@khamisrubea5083Күн бұрын
Mm ningekuwepo ningetoka anaongea kufru tupu
@khamisrubea5083Күн бұрын
Ayo mambo ya kiafrica na rasta havikuletwa saaa vimejileta wenyewe vitu vyote vimeletwa ata iyo maic unayozungumzia imeletwa au umeona dini tu,?
@user-lt1bi5nr1xКүн бұрын
Mkushi upo sawa tumejikolonisha hasa viongozi wetu wa kisissa na wasomi ni shida
@azizihfarijala5307Күн бұрын
mbona amsemi askari wangapi waliifariki pamoja na raia mnasema upande mmoja tu
@hilarylaurian7896Күн бұрын
Ila Ukristo ulianza Ethiopia. Miaka mingi baada ya Yesu na ukaenea hadi huko Ulaya. Kwa hiyo wakoloni walivyokuja kutawala maeneo mengine ya Africa walisaidia kusambaza Ukristo na siyo kuwa walileta dini Africa. Africa walikuwa wanamjua Mungu kabla ya wazungu kuja. Wazungu wamekuja tu kubadili tu utaratibu wa dini.
@zaidiissa371420 сағат бұрын
Sasa kama ukristo ulianza Ethiopia swali nije huyu mungu yesu ametokea wapi ikiwa mungu alikuepo au huyu mungu roho alitokea wapi kama hidini ya ukristo siyakuungaunga ???
@bakarikayugwa3295Күн бұрын
Safi sana kaka
@bakarikayugwa3295Күн бұрын
Ni kweri kabisa Yani wazungu wajanja sana kama taifa teure lijipiganie renyewe na ndio wauaji ndio wafiraji wao
@Mohamed-sc6bk2 күн бұрын
Ni kweli kabisa
@MussaKitaluta2 күн бұрын
Bangi zinamzumbua
@0diraWilson2 күн бұрын
Umesema KWELI. Amani Kwako
@simonlukiko28502 күн бұрын
Acha ujinga
@athumanikajembe45852 күн бұрын
Wewe ndio bangi zinakusumbua rasta anaongeaukweli wewe dhambi inakutafuna
@user-lt1bi5nr1xКүн бұрын
Huelewi anaongea nini?
@salehkhamis-ob8ln2 күн бұрын
Acha ujinga rasta kasome usipotoshe watu. Halaf kuna mijitu imekaa inamsikiliza huyu mpungufu wa akili
@BONGOINMOTION2 күн бұрын
Ujinga ni kutokujua vitu flan,,hajui Nini unachokijua zaidi!!
@0diraWilson2 күн бұрын
Hivi kweli Mtanzania aliye mpanda na AKILI anaweza kukaa na kusikiliza MJINGA kama huyu mbweha?
@user-gp1hi7sw5kКүн бұрын
Usikosowe ukweli
@ndizindeleti761Күн бұрын
Rast anasema ukweli
@saiddgsmg2 күн бұрын
pumba tupu.
@sama-_83682 күн бұрын
Pumba zilizochanganywa na chenga kidogo na vumbi vumbi la kusababisha mafua kwa anaye jitambua
@user-se7oh4xu5r3 күн бұрын
Puwa 😂😂😂😂😂
@Adonkamotci3 күн бұрын
Rasta wewe Nimtu mwenye lmani ya mungu nme kuEelewa sana👏👏
@fatmasalim82933 күн бұрын
Halafu msenme mwarabu kafanya mungu kwa kweli 😢😢😢😢
@shamzone3883 күн бұрын
Jaman mbona mutatushitua Maana daima wanasema wakija gulf wanateswa je huyo mbina ni kwetu tz❓❓❓
@user-ft2vq5on6l2 күн бұрын
Tabia ngumu na roho ngumu ni tabia ya wanadamu yoyote na si kabila maana tunawaona watu mitaani
@nakalikyumile32344 күн бұрын
Ukweli mtupu
@HappyAlbatross-us3bg4 күн бұрын
Hakika imani ya rastafarian ni ukweli mtupu anaongea facts and logic
@pastorzakariatv17864 күн бұрын
Binadamu ni wa ajabu sana hata ukimwambia mavi ni chakula soft kwakuwa kimesagwa mara mbili ukapangilia vizuri hoja yako kwa kuitengeneza wako watakao kula mavi huwezi kuwakosa wote.
@user-pj3eb2bo4o6 күн бұрын
Wamama wa majumbani zambi jamani huyu mama anyongwe
@chikujuma186 күн бұрын
Masikin pole mdogo wangu mola yupo nawe utapona inshallah
@ChristinaLyimo-ni5cd7 күн бұрын
Mungu amponye Binti huyu jamn ...kwani binadamu wengine kwan tumebeba mioyo gana jamn ....mungu atusameh
@SmilingFuchsiaFlower-jl7dg7 күн бұрын
Rasta never day
@agapenanyaro28327 күн бұрын
❤🎉🎉
@EzekiaMyila7 күн бұрын
Hapa ndiyo unaweza kujua kua Rasta far wanatoa elimu ya kweli juu ya wa africa
@UniqueFurnitures337 күн бұрын
One love
@user-lv4cx1sc5d9 күн бұрын
Et na pua yako unasema niiombe israeli wakristo mnafeli kweli munatakiwa muangaliwe akili
@ramadhanjuma6109 күн бұрын
israel huwa wana jifanya waungu watu sana hii kwasababu roho zao mbaya sana ni ma Gaidi waku tisha
@franciskilasa41049 күн бұрын
Utaletee pia maandeleo ya mwanza airport jengo jipya
@HusenNdwata-yb6nw11 күн бұрын
Meli ya maonyesho
@salumkarim6912 күн бұрын
mbona hamleti muendelezo halafu haijajitosheleza vdeo
@JajiZakayo-fw9mk12 күн бұрын
ina beba watu wangapi magari mangapi itakuwa ikiwnda wapi yote hayo hamjatueleza sawa sawa
@EmmanuliM.lugembe12 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉safi sana
@Godfreyolekidongo13 күн бұрын
Kichwa cha habari na video tofauti😂
@ShehenaMedia-cn2hp13 күн бұрын
Keep moving
@KijanaDigital96513 күн бұрын
APPRECIATE MWANANGU
@lameckbalekere196216 күн бұрын
Uliacha hela zote zimelipwa Magufuli oyee
@josephsweetbert553217 күн бұрын
Material.yalicholewa kutoka.china ni yapi hayo maana vitu.vyote vinatoka.tanzania