Ameeeeen baba mlingoti chuma kamba chuma bendera chuma
@JoyceKabula-in1shСағат бұрын
Huna lolote una wivu ndiyo we umefanya nini we unaheshimiwa na nani na kanisa lako liko wapi huna lolote we ndo mpinga kiristo
@JoyceKabula-in1shСағат бұрын
Menemene tekeli na pelasi yeti mach
@chrithicksambo22872 сағат бұрын
Kamanda langu likihubili Kwa sauti ya Mamlaka dadeki 💪💪
@thelonewolf44292 сағат бұрын
Mchungaji Mm ni mtumishi wa Mungu kweli kweli . Acha Mungu aendelee kumuinuwa zaidi na zaidi
@musajulias33922 сағат бұрын
Pamewaka sana sana❤❤❤
@sarahmwasyoge18302 сағат бұрын
Halleluyahhh...💃💃💃💃
@SelakaNgao-fg1ei2 сағат бұрын
Mimi ninamkataa Mbarikiwa kwa sababu haeleweki hata anachokizungumzia zaidi ya kunivuruga tu ufahamu..ila nikimsikia KAKOBE Akiongea ...namuelewa vizuri kabisa uku nikipata Rahaaa nafsini mwangu..BABA KAKOBE OYEEEE EEE BW. YESU MLINDE KAKOBE WETU KTK JINA LA YESU .
@AskofuAmosi2 сағат бұрын
Ameni Baba
@musajulias33923 сағат бұрын
Ameni baba
@PASTOR_SHITINDI3 сағат бұрын
Aaaaaaa!! Hili jamaa ni mbengu ya mbinguni haswaaa
@MarySteven-y5g3 сағат бұрын
Watu wng wanaangamia kwa kukosa maarifa.
@EsterSwilah-jv6ns3 сағат бұрын
Hii ni chuma mlingoti kamba bendera🔥🔥🙏
@ugalidona-cs2yn3 сағат бұрын
Neno ni Moja tu, Upendo na Haki na vyote vinaangukia kwenye kutenda Wema tu basi.
@ugalidona-cs2yn3 сағат бұрын
hii nimeipenda sana, kuna neno kwenye Biblia linasema ukitunzwa madhabahuni na wewe iache hapohapo madhabahuni.
@ChristineDama-wf3sd3 сағат бұрын
N kweli kabisa mchungaji waambie ukweli waache kuchafua jina la yesu
@zawadimwaibako40653 сағат бұрын
Amen baba ninakupata kutoka Green city
@YORAMYETERO3 сағат бұрын
Mpina kaza buti wamezalilika mungo yu pamoja nawe
@DalariWambao3 сағат бұрын
Mungu nakushukulu
@BartolomeuHenrique-mx1fn4 сағат бұрын
❤ ubarikiwe sana Niko Mozambique Pemba nakufuatilia
@sandejacob6234 сағат бұрын
Chuma chuma
@JuliusMakwengwe-x3e4 сағат бұрын
Unaeleweka sana sana baba
@user-sp2pp7ih5y4 сағат бұрын
Ujazwe roho mtakatifu
@user-sp2pp7ih5y4 сағат бұрын
Huja wahikuhubili injili hata siku moja kuonya na kuhubili vitu viwili tofauti huna roho mtakatifu ndiyo mama unajiongoza pekeyako
@AskofuAmosi4 сағат бұрын
Ameni
@jeanbaraka10084 сағат бұрын
Tanzania kama Tanzania wahubiri halisi tumebaki nao wapambania kweli na haki ni hawa wawili tu: Pasta MBARIKIWA na Pasta MWANAMAPINDUZI MAXIMILIAN MACHUM.
@LameckLameckmjwanga-yc6yv4 сағат бұрын
❤❤ameni baba
@samsonhamery38094 сағат бұрын
Siri ya kuwarudisha Tena machifu katika Nchi hii Ni kuendesha Nchi kishirikina maana inajulikana Sana kuwa machifu wengi walifanya kazi zao chini ya mazindiko ya ulinzi wa ufakme wake;
@atugonzalugemalila51424 сағат бұрын
Hasiyekuwa na ufahamu a naweza kuona utani lkn Kuna funzo kubwa sana
@Pendopasilika4 сағат бұрын
Hee!!! barikiwa mtumishi ni kweli kabisa
@marandoruzali19464 сағат бұрын
Hahaha hao ndo watamtengua sa
@alunekyusa49054 сағат бұрын
Hilo andiko linaumizaga sana ila sijui namna ya kujua nitatenda kwa nani?
@alunekyusa49054 сағат бұрын
Hilo andiko linaumizaga sana ila sijui namna ya kujua nitatenda kwa nani?
@kikosikaziupdate4 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 moto moto
@eliudimsyani1274 сағат бұрын
A! MZEE TUNAKUELEWA SANA
@ChristineDama-wf3sd4 сағат бұрын
Amen 🙏🙏
@re.emmanuelmdoe33454 сағат бұрын
Sura zimezizimaa😂😂😂 Kura chuma hiyo katika Imani Ya Kristo Yesu wa Nazareth.
@SAUTIYAHAKI4 сағат бұрын
Kweli
@user-cz9ft8ru7s5 сағат бұрын
Hiyo kama nyota kwenye bendera ya Israel hiyo nembo ni nani wanaoimiliki hiyo nembo?
@yuzzob4 сағат бұрын
Israel 🇮🇱 mwenyewe
@user-mm6nx4jp2m5 сағат бұрын
Safi bint.wape dozi washenzi hao
@asteriashios18525 сағат бұрын
Mpina ndo msema kweli wengine wote ni feki hasa msukuma naona arudi shule
@user-te1vg6dc2h5 сағат бұрын
Uduma yako apa dar salam iko wapi
@levissanga88675 сағат бұрын
Hivi machifu walitokea kila kona ya jamhuri?
@bazilmateru9155 сағат бұрын
Hao mapasta washenzi ukianzia na mwamposa yan hadi home ukiwa jambo lako unaamza kulazimishwa na ndugu kujipaka mafuta ya mwamposa yani usenge .hawa jamaa ninmatapeli wana take advantage ya shida za watu . Wanasaikolojia watakuwa wamenielewa
@KenedyMwakyimo-lf6jg5 сағат бұрын
😂😂kweli kabsa hizi message😂😂 ubarikiwe mchungaji mbarikiwa
@trophywilson72116 сағат бұрын
Manabii Wanamiliki Utajiri Kwa sababu ya Nguvu za Giza
@elishaobadia72126 сағат бұрын
Uko sahihi ila kumbuka kuondoka na vyote iwe sabato,mpinga kristo,haki,torati na vyote usiegemee seem 1 shughulika na biblia yote Mpk siku usiache na ikiwa hutoenenda Kwa shuhuda na sheria basi kwako Hpna asubuhi mtumishi
@mvunge71086 сағат бұрын
kunyanganya maskini pesa tu...wezi hawa hapo anaomna pesa
@Philipoupdates6 сағат бұрын
Acha makasiriko amenyanganya za nani sasa sikiliza injili iliyonyooka
@SamwelJoseph-yk3cw5 сағат бұрын
Hujui unacho ongea wewe
@Mbarikiwa_Mwakipesile5 сағат бұрын
wamekunyang'anya hela wewe au babayako?
@mkdg.4skolo8915 сағат бұрын
Kwnza mtumishi kama huyu hakuna na hata utfyte kwa tochi wew sdka zko peleka kwa mwmposa wko hkoo hpo hta hana tyme na sdaka zako anasstiza vjana wakapge kazi jioni warudi hemani mwa Bwana Wakamtukuze alivyowabariki wew hbri za kuwnyang'anya sadaka maskinj unazitoa wapi nyang'au weww mwnyewe nenda katubu hyo dhambi zako
@ugalidona-cs2yn3 сағат бұрын
Jiongeze uelewe, na acha uelewa wa kinafiki nafiki.