Kwa kweli huyu Mzee ni muhimu sana ktk suala la kujifunza kingereza
@derickdmaliganya44413 жыл бұрын
Huyu ni magufuli wa pili
@derickdmaliganya44413 жыл бұрын
Ww nakubali saana
@vicentchilangwa36973 жыл бұрын
Nakuelewa xn
@aludomakori42303 жыл бұрын
Ama kweli ulijuaje!
@mwikamwika48514 жыл бұрын
King msukuma,wewe ni zaidi ya wanaojiita ni wasomi na wataalamu. Umewazidi wenye kujisifia wasomi kumbe vilaza. Hongera sana msukuma
@teddykanondo57534 жыл бұрын
MSUKUMA SAFARI HII KWENYE JIMBO LAKO LABDA UIBE KURA. HAWAKUTAKI MAANA UMESHAKUWA TAJIRI. WANAMTAKA KIJANA WA CHADEMA NAE AKATAJIRIKE.
@ahmedadan19154 жыл бұрын
huyo hana faida mpaka leo twamdai kodi yetu huyo alipanga duka kwetu alitoroka na kodi yetu
@ellymwitakichonge84164 жыл бұрын
Tulio Soma Hawa the bus driver tujuaneee hapa!!!
@ajuayedenis21254 жыл бұрын
Yaan uyu binadamu ata ulais anastaili
@jameswillson86854 жыл бұрын
KG msukuma uko sawa mbunge wetu wa ibisa bageni geita
@barakamunisi35624 жыл бұрын
Mh. Msukuma unajitambua sana
@chapangainspirationaltalk35854 жыл бұрын
Great brother
@rafiahamadi97874 жыл бұрын
Msukuma oyeeeeee na kukubali sana
@gracemima52344 жыл бұрын
Nampenda sana Msukima. Ni kijana amewazidi wenye madigrii. Ana Akiri hata ya kuongoza nchi Kusoma pekee haitoshi mpaka uwe na common sense. Akiri za kuzaliwa.?
@chapchaptv37305 жыл бұрын
Mtu makini sanaa
@masanjaemanuel63145 жыл бұрын
Big up 2 u brother msukuma,,,nagotogwa sana imiza bhabha.....
@samateryussuf59385 жыл бұрын
msukuma ni mkundu tu
@mecksonjoseph78924 жыл бұрын
We ndo mavi unae pandwa asubuhi na jioni ...mpaka uwelewa wako ume ishia matakoni
@mandegoro93225 жыл бұрын
Waandishi mpo vizuri sana. Chapeni kazi wadogo zangy.
@msichokemchafu73705 жыл бұрын
msukuma upo vizuri
@mzalendomzalendo25675 жыл бұрын
Published 31 july!!!!!
@reachthegoal76245 жыл бұрын
Msukuma ni mzalendo, mkweli, muwazi ana hekima na Maarifa. Hapendi kufunika uchafu hata km uko kwa chama chake. Anapenda maendeleo ya kweli ya wananchi. Ana uwezo pande zote kwani ukija na jeuri atakuonyesha jeuri zaidi. Ukija sawasawa unakwenda nae sawasawa. Anafaa kutetea wananchi akipewa uwaziri atafungika kwa namna moja au nyingine. Ila kwenye chama tunaweza kumpa UENEZI.
@burudanitv8745 жыл бұрын
big brain
@filbertnashon71605 жыл бұрын
Kasura kadogo i'la kaumri kameenda, Darasa la 7:miaka ya 70😀😀😀😀Safi Saana KAKA
@Evo_Tv15 жыл бұрын
Nice
@lexisavage17705 жыл бұрын
rais wetu mpendwa Magufuli hoyeeeeeee Msukuma hoyeeeeee
@lexisavage17705 жыл бұрын
mheshimiwa Joseph Msukuma tunakupenda sana kwa kuongea wazi mambo yalivyo na hekima na akili ulizonazo na tunakuamgalia unapoongea vitu muhimu na vya busara mbele ya rais , bungeni etc unamsaidia rais wetu mpendwa Magufuli tunakupenda sana na wewe pia tunakupenda msaidie rais wetu asanteni sana
@jacobmwalituke89815 жыл бұрын
Huyu jamaa std 7 ila anajibu maswali kama PhD holder
@zephaniahkinuno74735 жыл бұрын
Mh, msukuma ni mzee sana kumbe!!!,,
@omarimsangi58205 жыл бұрын
Glorifying idiots will take this country no where!!!! Mnataka vijana wetu wadogo waone kwamba upumbavu ni dili waache shule ili wakauze miwa ili wawe matajiri ?
@wasafiplustv7243 жыл бұрын
Usichanganye mafaili, alichomaanisha Ni kuwa wasomi lazima watu wenye uwezo mkubwa wa kimawazo na kuchambua mambo
@barakandola30665 жыл бұрын
Mh,wewe unajielewa sana mm naamini hata hao wanaojiita wasomi hawana uelewa km we,Mungu akubariki
@kiatu5 жыл бұрын
...ni kweli mfumo umechangia sana watu wengi kuishia la saba, kuishia kitado cha nne hata kutopata nafasi ya kuingia chuo kikuu. Ni mlolongo wa vikwazo.
@immamwandolela68515 жыл бұрын
Nakukubali mchimbaji mwenzangu madini tupewe kipaumbele wazawa tunaofaham maeneo
@andrewmwita1195 жыл бұрын
Duh msukuma nakuunga mkono kabisa hata Mimi watu weupe siwapendi hata kidogo kabisa
@serianjamal82545 жыл бұрын
Yaani jinsi huku uingereza unanunua pete tu moja yenye madini ya tanzanite tunanunua £ 2200 angalia jinsi tunavyoibiwa wakati muheshimiwa Msukuma anasema tunalipwa dollars laki mbili kwa uchimbaji jamani. Tunaibiwa 😂
@jamesjacob75485 жыл бұрын
Man we kichwa waelimishe man bigup
@josephnchunga65545 жыл бұрын
uko sawa musukuma wenye akili wanakuelewa
@salmadalaquimane53035 жыл бұрын
Una ongeaga point sana kka
@fraviusgozbert64455 жыл бұрын
msukuma niatali sana
@yusuphaman34496 жыл бұрын
Ivi kwa nini Raisi asikupe uwaziri
@nyandahilali57136 жыл бұрын
Mh naomba tuwasiliane kwa 0766596120 nipate elim ya ujasilia mali