Part-2 MHE. JOSEPH MUSUKUMA AKISHUSHA NONDO NDANI YA Clouds360 ON SATURDAY

  Рет қаралды 190,608

GIBSON GEORGE

GIBSON GEORGE

Күн бұрын

Tazama muendelezo mahojiano kati ya Watangazaji wa Clouds360 on Saturday na Mbunge wa Geita Mhe. Joseph Musukuma.

Пікірлер: 106
@wilsonluhaga1860
@wilsonluhaga1860 4 күн бұрын
Msukuma nomaa
@yasinjumahamis6267
@yasinjumahamis6267 Жыл бұрын
Nakubar sana msukuma
@derickdmaliganya4441
@derickdmaliganya4441 3 жыл бұрын
Ww nakubali saana
@vicentchilangwa3697
@vicentchilangwa3697 3 жыл бұрын
Nakuelewa xn
@neltone
@neltone Жыл бұрын
Ana miak 64,hazeeki
@yahayamussa3788
@yahayamussa3788 2 жыл бұрын
Big up musukuma
@shijamadede4394
@shijamadede4394 2 жыл бұрын
Musukuma chapa kaz
@derickdmaliganya4441
@derickdmaliganya4441 3 жыл бұрын
Huyu ni magufuli wa pili
@aludomakori4230
@aludomakori4230 3 жыл бұрын
Ama kweli ulijuaje!
@teddykanondo5753
@teddykanondo5753 4 жыл бұрын
MSUKUMA SAFARI HII KWENYE JIMBO LAKO LABDA UIBE KURA. HAWAKUTAKI MAANA UMESHAKUWA TAJIRI. WANAMTAKA KIJANA WA CHADEMA NAE AKATAJIRIKE.
@sabatoongara8763
@sabatoongara8763 6 жыл бұрын
Binafsi maneno ya Msukuma yananifurahisha sana endelea ivyo ivyo kamanda
@eliaserasto506
@eliaserasto506 6 жыл бұрын
Msukuma nomaa kama kweli huna elimu bac unakipaji maan una content san
@reachthegoal7624
@reachthegoal7624 5 жыл бұрын
Msukuma ni mzalendo, mkweli, muwazi ana hekima na Maarifa. Hapendi kufunika uchafu hata km uko kwa chama chake. Anapenda maendeleo ya kweli ya wananchi. Ana uwezo pande zote kwani ukija na jeuri atakuonyesha jeuri zaidi. Ukija sawasawa unakwenda nae sawasawa. Anafaa kutetea wananchi akipewa uwaziri atafungika kwa namna moja au nyingine. Ila kwenye chama tunaweza kumpa UENEZI.
@fraviusgozbert6445
@fraviusgozbert6445 5 жыл бұрын
msukuma niatali sana
@josephmarosha3002
@josephmarosha3002 6 жыл бұрын
King msukuma oyeeeeeeee
@lameckzacharia4489
@lameckzacharia4489 6 жыл бұрын
Musukuma nisha sema ni meja anakipaji kuliko hata wanao jiita wanamadegree,wengi wanajikomba hawawezi kujibu hoja moto moto papo kwa papo big up sana musukuma,wanao kusemea vibaya kwa nje rohon wanaumia kwa nn wao hawakua km ww wanafki wakubwa et wasomi,mabwege tuu
@josephnchunga6554
@josephnchunga6554 6 жыл бұрын
nakukubali bana kwa kushusha nondo we noma ubarikiwe
@zeblufingo8361
@zeblufingo8361 7 жыл бұрын
MSUKUMA SEMA UKWELI, SIAMINI KWAMBA NI DARASA LA SABA!HUYU NI MSOMI ANAYEJISHUSHA KAMA IDENTINT YAKE.
@josephsamba8154
@josephsamba8154 6 жыл бұрын
Big up msukuma
@mosesmangasin8416
@mosesmangasin8416 6 жыл бұрын
nimefurahi sana msukuna yuko vzur
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 6 жыл бұрын
Msukuma pongezi , unakipaji hali ta kutosha
@kitalalarobert956
@kitalalarobert956 6 жыл бұрын
Natamani nifanyenae kazi huyu msukuma anajua..
@edwardkasubi1495
@edwardkasubi1495 6 жыл бұрын
ni mchangamfu sana na Mwenye kujibu maswali kwa weledi Mno Kiasi ya kwamba naona kama anatudanganya Kuwa Yeye ni STD seven ingawa sipendi chama chake
@jamesgerald7192
@jamesgerald7192 7 жыл бұрын
elimu haionyeshi uwezo wa kutafakari mambo huyu msukuma anatmia maarifa na anajua mambo.
@andrewmsungu2535
@andrewmsungu2535 6 жыл бұрын
Huyu jamaa ni kichwa sana aisee! Hana unafiki yaani
@katelengumasolwa571
@katelengumasolwa571 7 жыл бұрын
Musukuma la saba lakini anakontenti.
@wahisiatv2871
@wahisiatv2871 7 жыл бұрын
Katelengu Masolwa
@ngusarobert7013
@ngusarobert7013 6 жыл бұрын
Safi sana ujumbe umewafikia
@frankp.alkado2938
@frankp.alkado2938 6 жыл бұрын
Uko vizuri Musukuma
@kamgishakaganda5506
@kamgishakaganda5506 6 жыл бұрын
Tatzo la huyu msukuma,anakitetea chama,huku akilalamikia huduma mbovu zinazotolewa na serikali yachama chake.mfano wizi unafanyika migodini,huduma mbovu za kirahia jimboni kwake,Afya,Elimu nk.kama chama chake kikomakini iweje haya yatokee?.
@salehewaziri3172
@salehewaziri3172 6 жыл бұрын
kwangumumu Musukuma namba1
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 7 жыл бұрын
kiukweli msukuma nimtu asie penda sifa kabisa huyu jamaa kwanza anauwelewa mpana sana
@mamawinn1559
@mamawinn1559 6 жыл бұрын
yaani huyu jamaa huwa ananifuraishaga sana.
@selemanikassim7018
@selemanikassim7018 6 жыл бұрын
Huyu jamaa anafaa kuwa waziri..
@armanmsemo7739
@armanmsemo7739 6 жыл бұрын
Anachoniuzi anaugonjwa wa kichama akisema kiongozi ni alieko ccm tu inamaana ccm ni mbinguni mpaka iwe ukiingia tu huko hatakama ni mbovu unakua mzuri jirekebishe broo
@mosesmashishanga285
@mosesmashishanga285 6 жыл бұрын
Selemani Kassim weeeeee
@mudangakija5359
@mudangakija5359 7 жыл бұрын
Msukuma Yuko vizur Sana kiuelewa
@scholajonathan1276
@scholajonathan1276 6 жыл бұрын
msukuma upo vizuri brother unajitambua
@helenjohnopundo6010
@helenjohnopundo6010 5 жыл бұрын
nakupenda sana Kwa ujasiri wako
@eliaserasto506
@eliaserasto506 6 жыл бұрын
Kabxaa msukuma anahoja nzul xn
@nyandahilali5713
@nyandahilali5713 6 жыл бұрын
Mh naomba tuwasiliane kwa 0766596120 nipate elim ya ujasilia mali
@ommarysaid7391
@ommarysaid7391 7 жыл бұрын
Jamaa ana Akili nyingi Sana
@silvesterdamas8469
@silvesterdamas8469 5 жыл бұрын
Yuko vzr
@naomisanga148
@naomisanga148 6 жыл бұрын
Msukuma I'm in love with you!
@bahishaalexander3641
@bahishaalexander3641 6 жыл бұрын
Ninadhani huyu uwezo wake umevuka mipaka.ana hadhi ya kuitwa proffesor bila hata ya makaratasi ya mavyeti.
@silastiven642
@silastiven642 6 жыл бұрын
musukuma noma
@zainurirashidi3029
@zainurirashidi3029 6 жыл бұрын
Msukuma mkumbuke mwanao bumbuli kipimbindikile unauza mitumba
@ibrahimbutera8157
@ibrahimbutera8157 7 жыл бұрын
MSUKUMA afanyiwe UHAKIKI mimi siamini kama ana CHETI cha kumaliza d la SABA pekee yake, ukimsikiliza kwa umakini jinsi avyojibu maswali na jinsi anavyojieleza utagungua moja kwa moja kama huyu jamaa ni kichwa sana tena kuliko wale wanaojiita eti ni WASOMI
@mkamabrown9011
@mkamabrown9011 7 жыл бұрын
da msukuma anatisha sana elimu ya jamii.mhimu san.umeona anaongea kama wa chuo kikuu
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
Ibrahim Butera hahahahaha yaaaaani tangu asubuhi nilikuwa sijacheka, umenivunja mbavu.kwa hiyo ikibainika ana degree afunguliwe mashtaka kwa kùudanganya umma.
@selemanikassim7018
@selemanikassim7018 6 жыл бұрын
Msukuma anafaa sana kuwa mbunge tena wa idara kama madini au mifugo tunatamani sana kupata waziri std 7 kama huyu
@yusuphaman3449
@yusuphaman3449 6 жыл бұрын
Ivi kwa nini Raisi asikupe uwaziri
@barakakafurike5907
@barakakafurike5907 6 жыл бұрын
safi sana msukuma uko vzr
@dennischarles8524
@dennischarles8524 6 жыл бұрын
Angefika university angekuwaje
@alexkilonge7553
@alexkilonge7553 6 жыл бұрын
akili ingeriharibiki hapo pow
@meshakmnyagwer7853
@meshakmnyagwer7853 6 жыл бұрын
Msukuma ni shida kabisa agombee urais maguful cha mtoto kwa utendaji kaziii jamanii
@katungenyanda6177
@katungenyanda6177 6 жыл бұрын
Musukuma uko vizuri kichwani bigup sana. Musukuma mmoja sawa na wabunge 30 Wa chadema wenye digrii za kutisha
@The2251978
@The2251978 6 жыл бұрын
Katunge Nyanda wajinga mnajuana ,,shithole
@danielhumble4292
@danielhumble4292 6 жыл бұрын
We naye ni nyumbu tuu
@augustineminja2665
@augustineminja2665 6 жыл бұрын
@@The2251978 ....
@charlesotwalo4882
@charlesotwalo4882 5 жыл бұрын
Katunge Nyanda Msukuma nimekupenda sana uko vzri
@charlesotwalo4882
@charlesotwalo4882 5 жыл бұрын
Hakika unajitahidi na Mungu akuzidishie maisha Msukuma unajitambua vzri sana
@katelengumasolwa571
@katelengumasolwa571 7 жыл бұрын
Tupeni part 3
@psterinishayo4270
@psterinishayo4270 6 жыл бұрын
Kama elimu yako ni ndogo lazima utumie maarifa ya ziada ili ujikwamue
@jacobmwalituke8981
@jacobmwalituke8981 5 жыл бұрын
Huyu jamaa std 7 ila anajibu maswali kama PhD holder
@danielhumble4292
@danielhumble4292 6 жыл бұрын
Uyu jamaa ni mshirikina.....
@rulangayakobo7669
@rulangayakobo7669 7 жыл бұрын
La saba Hatariii
@emanuelmatwa4502
@emanuelmatwa4502 6 жыл бұрын
Msukuma mm nakukubali Sana.
@emanuelbugidu5767
@emanuelbugidu5767 6 жыл бұрын
msukuma kichwa chake kina memory zaidi ya wasomi
@halimakhalfan1196
@halimakhalfan1196 6 жыл бұрын
ulinunua lini hyo elkopta
@melkizedeckkimaro2094
@melkizedeckkimaro2094 6 жыл бұрын
Halima Khalfan pesa yake yako?
@yusuphaman3449
@yusuphaman3449 6 жыл бұрын
Ulitaka akuambie we kama nani,siri ya Mafanikio aikuhusu
@mudangakija5359
@mudangakija5359 7 жыл бұрын
Lowassa hakuwahi kuwa rafik ako
@josephnchunga6554
@josephnchunga6554 5 жыл бұрын
uko sawa musukuma wenye akili wanakuelewa
@shafiimkeremi7819
@shafiimkeremi7819 6 жыл бұрын
Rafiki Yangu Huyoo Namjua, Kwa Elimu ya Bongo Mtapata Shida Kumtengenezea Maswali Nbure
@jumanguru670
@jumanguru670 6 жыл бұрын
elikopita iko wp sasa?
@koradjulius6881
@koradjulius6881 6 жыл бұрын
msukuma ni kiboko
@elibarikimasawe9659
@elibarikimasawe9659 6 жыл бұрын
mheshmiwa msukuma ana sema demokrasia inatakiwa ikue jimboni kwako swali langu kwake mbona wakina lema waki itisha mikutano yao ndani ya arusha wana kamatwa? bila sababu? naomba anijibu plz
@rakiburashid7720
@rakiburashid7720 6 жыл бұрын
elibariki masawe hawahuwaga hawafanyi siasa ila huwa sana Fanya kashifa kwa selikali ndiyo maana sana kamatwa
@mahonakatani4830
@mahonakatani4830 6 жыл бұрын
kuhusu demokrasia mzee haina uhai,,labda uwe wa ccm
@mamahustru
@mamahustru 6 жыл бұрын
Msukuma hataree tupu.
@zerubabelkawiche710
@zerubabelkawiche710 6 жыл бұрын
Moyosafi siasa ni uongo uliokomaa zerubabelkawiche I
@nolascomwinuka8080
@nolascomwinuka8080 6 жыл бұрын
Saf
@mussajuma1736
@mussajuma1736 6 жыл бұрын
wambie msukuma najuwa wengi wanakuchukia ila upo pouw bgp.
@dilludillu2747
@dilludillu2747 7 жыл бұрын
With high IQ
@harunaabdallah309
@harunaabdallah309 6 жыл бұрын
Mwenye njaa hachagui chakula
@emmaenkwabi9268
@emmaenkwabi9268 6 жыл бұрын
Jamaaa anaakili nyingi sana
@elibarikimasawe9659
@elibarikimasawe9659 6 жыл бұрын
msukuma anasema demokrasia inatakiwa ikue jimboni mwako mbona godbless lema na wenzake wa chadema waki itisha mkutano kwenye majimbo yao wana kamatwa bila sababu
@selemanikassim7018
@selemanikassim7018 6 жыл бұрын
Wamekuwa wakiwajenga wananchi ki siasa na chuki kuliko kazi wafanye siasa za faida kwanza.. Yaan siasa kazi sio upinzani usio na faida zaid ya malumbano...
@michaelmpanduji7952
@michaelmpanduji7952 6 жыл бұрын
Uko sawa msukuma wetu tuwakilishe unajua tunaonekana wana nzengo wakati wasomi wote ni wasukuma
@fadhilisecha4268
@fadhilisecha4268 6 жыл бұрын
Amejitahidi ila tafsir ya demokrasia kajibu hovyo. Hofu imemtawala
@alexmeshili4784
@alexmeshili4784 6 жыл бұрын
Huyo anayesema lowassa asiende huko at hamtaki utabaki hivyo hivyo tu hayo ni maongezi yako lowassa mbele baki na usukuma wako
@aaronmabondo6263
@aaronmabondo6263 6 жыл бұрын
aaache uwongo huyo alikuwa anamsapoti lowasa na clip zake akitoa speech tumeziona aache kudanganya watu
@benedictmtengwa5822
@benedictmtengwa5822 6 жыл бұрын
Aaron Mabondo
@cosmasbagamba3662
@cosmasbagamba3662 6 жыл бұрын
Li nafiki hilo, ulikua swaiba mkubwa wa lowasa wewe, njaa zinawasumbuaga wanasiasa wa bongo wengi wana shida..eti huamini ka ni kiongozi, wakati alikua waziri wako mkuu na kwa yeye haijawi kutokea waziri aliesmamia mambo kama lowassa, labda kwa sasa majaliwa ndo anaelekea, mpuuzi huyo
@naomisanga148
@naomisanga148 6 жыл бұрын
COSMAS BAGAMBA msukuma anaongea anachokiamini halafu huyo hana njaa mjue vizuri sio kuponda tu
@kindolek9257
@kindolek9257 6 жыл бұрын
COSMAS BAGAMBA unaota ww msukuma ananjaa fuatilia huyu jamaa utagundua unachoongea sio sahh
@davidmahelela5629
@davidmahelela5629 7 жыл бұрын
Hugo no bonge la mnafki looo
@kevinjeremiah6972
@kevinjeremiah6972 6 жыл бұрын
pumba tu
@marygaspar6429
@marygaspar6429 6 жыл бұрын
Msukuma akili yake inalingana na darasa la saba, sababu anaongea kiubaguzi. Msomi haongelei miguuni pake, anaongeza hatua mbilibele Kisha anarudi nyuma hatua moja. Hatumii akili naaarifa anaropoka tu!
@marygaspar6429
@marygaspar6429 6 жыл бұрын
Halafu ni kweli hawezi kuwa rafiki wa Lowasa sababu marafiki wa Lowasa ni class ya juu, na siyo dizaini yake. Lowasa hana Leseni za maguta!
@marygaspar6429
@marygaspar6429 6 жыл бұрын
Siamini kama Msukuma anaweza ongea chochote kuhusu chama tawala, maana yupo upande huo atatetea tu hata iweje . Huyu siyo mbunge wa Taifa Ni mbunge wa CC M .
@estaanthony8797
@estaanthony8797 6 жыл бұрын
Hao wanaompinga msukuma ni wachaga wenzie na rowasa hawana lolote
@cosmasbagamba3662
@cosmasbagamba3662 6 жыл бұрын
Li nafiki hilo, ulikua swaiba mkubwa wa lowasa wewe, njaa zinawasumbuaga wanasiasa wa bongo wengi wana shida..eti huamini ka ni kiongozi, wakati alikua waziri wako mkuu na kwa yeye haijawi kutokea waziri aliesmamia mambo kama lowassa, labda kwa sasa majaliwa ndo anaelekea, mpuuzi huyo
@juliuschipungu1237
@juliuschipungu1237 5 жыл бұрын
big up kwa msukuma upeo wako haufanani na wabunge wengi kwani huna ubaya na mtu
@greenjoseph3551
@greenjoseph3551 5 жыл бұрын
Msukuma nakwaminia Sana katika mazungumzo yako oku vizuri Sana mhe
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 60 МЛН
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 80 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
MBUNGE MSUKUMA: Kuhusu kuishia Darasa la Saba, kaeleza kila kitu
5:25
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
Mbunge Musukuma Azitaja Ngoma Tatu Anazozipenda Rais Magufuli
7:21
Mechanics of Health - Dr. Devi Prasad Shetty with Sadhguru
56:12
Sadhguru
Рет қаралды 4,5 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57