Tazama muendelezo mahojiano kati ya Watangazaji wa Clouds360 on Saturday na Mbunge wa Geita Mhe. Joseph Musukuma.
Пікірлер: 106
@wilsonluhaga18604 күн бұрын
Msukuma nomaa
@yasinjumahamis6267 Жыл бұрын
Nakubar sana msukuma
@derickdmaliganya44413 жыл бұрын
Ww nakubali saana
@vicentchilangwa36973 жыл бұрын
Nakuelewa xn
@neltone Жыл бұрын
Ana miak 64,hazeeki
@yahayamussa37882 жыл бұрын
Big up musukuma
@shijamadede43942 жыл бұрын
Musukuma chapa kaz
@derickdmaliganya44413 жыл бұрын
Huyu ni magufuli wa pili
@aludomakori42303 жыл бұрын
Ama kweli ulijuaje!
@teddykanondo57534 жыл бұрын
MSUKUMA SAFARI HII KWENYE JIMBO LAKO LABDA UIBE KURA. HAWAKUTAKI MAANA UMESHAKUWA TAJIRI. WANAMTAKA KIJANA WA CHADEMA NAE AKATAJIRIKE.
@sabatoongara87636 жыл бұрын
Binafsi maneno ya Msukuma yananifurahisha sana endelea ivyo ivyo kamanda
@eliaserasto5066 жыл бұрын
Msukuma nomaa kama kweli huna elimu bac unakipaji maan una content san
@reachthegoal76245 жыл бұрын
Msukuma ni mzalendo, mkweli, muwazi ana hekima na Maarifa. Hapendi kufunika uchafu hata km uko kwa chama chake. Anapenda maendeleo ya kweli ya wananchi. Ana uwezo pande zote kwani ukija na jeuri atakuonyesha jeuri zaidi. Ukija sawasawa unakwenda nae sawasawa. Anafaa kutetea wananchi akipewa uwaziri atafungika kwa namna moja au nyingine. Ila kwenye chama tunaweza kumpa UENEZI.
@fraviusgozbert64455 жыл бұрын
msukuma niatali sana
@josephmarosha30026 жыл бұрын
King msukuma oyeeeeeeee
@lameckzacharia44896 жыл бұрын
Musukuma nisha sema ni meja anakipaji kuliko hata wanao jiita wanamadegree,wengi wanajikomba hawawezi kujibu hoja moto moto papo kwa papo big up sana musukuma,wanao kusemea vibaya kwa nje rohon wanaumia kwa nn wao hawakua km ww wanafki wakubwa et wasomi,mabwege tuu
@josephnchunga65546 жыл бұрын
nakukubali bana kwa kushusha nondo we noma ubarikiwe
@zeblufingo83617 жыл бұрын
MSUKUMA SEMA UKWELI, SIAMINI KWAMBA NI DARASA LA SABA!HUYU NI MSOMI ANAYEJISHUSHA KAMA IDENTINT YAKE.
@josephsamba81546 жыл бұрын
Big up msukuma
@mosesmangasin84166 жыл бұрын
nimefurahi sana msukuna yuko vzur
@wilsonkaseha20346 жыл бұрын
Msukuma pongezi , unakipaji hali ta kutosha
@kitalalarobert9566 жыл бұрын
Natamani nifanyenae kazi huyu msukuma anajua..
@edwardkasubi14956 жыл бұрын
ni mchangamfu sana na Mwenye kujibu maswali kwa weledi Mno Kiasi ya kwamba naona kama anatudanganya Kuwa Yeye ni STD seven ingawa sipendi chama chake
@jamesgerald71927 жыл бұрын
elimu haionyeshi uwezo wa kutafakari mambo huyu msukuma anatmia maarifa na anajua mambo.
@andrewmsungu25356 жыл бұрын
Huyu jamaa ni kichwa sana aisee! Hana unafiki yaani
@katelengumasolwa5717 жыл бұрын
Musukuma la saba lakini anakontenti.
@wahisiatv28717 жыл бұрын
Katelengu Masolwa
@ngusarobert70136 жыл бұрын
Safi sana ujumbe umewafikia
@frankp.alkado29386 жыл бұрын
Uko vizuri Musukuma
@kamgishakaganda55066 жыл бұрын
Tatzo la huyu msukuma,anakitetea chama,huku akilalamikia huduma mbovu zinazotolewa na serikali yachama chake.mfano wizi unafanyika migodini,huduma mbovu za kirahia jimboni kwake,Afya,Elimu nk.kama chama chake kikomakini iweje haya yatokee?.
@salehewaziri31726 жыл бұрын
kwangumumu Musukuma namba1
@zumbeshauri81147 жыл бұрын
kiukweli msukuma nimtu asie penda sifa kabisa huyu jamaa kwanza anauwelewa mpana sana
@mamawinn15596 жыл бұрын
yaani huyu jamaa huwa ananifuraishaga sana.
@selemanikassim70186 жыл бұрын
Huyu jamaa anafaa kuwa waziri..
@armanmsemo77396 жыл бұрын
Anachoniuzi anaugonjwa wa kichama akisema kiongozi ni alieko ccm tu inamaana ccm ni mbinguni mpaka iwe ukiingia tu huko hatakama ni mbovu unakua mzuri jirekebishe broo
@mosesmashishanga2856 жыл бұрын
Selemani Kassim weeeeee
@mudangakija53597 жыл бұрын
Msukuma Yuko vizur Sana kiuelewa
@scholajonathan12766 жыл бұрын
msukuma upo vizuri brother unajitambua
@helenjohnopundo60105 жыл бұрын
nakupenda sana Kwa ujasiri wako
@eliaserasto5066 жыл бұрын
Kabxaa msukuma anahoja nzul xn
@nyandahilali57136 жыл бұрын
Mh naomba tuwasiliane kwa 0766596120 nipate elim ya ujasilia mali
@ommarysaid73917 жыл бұрын
Jamaa ana Akili nyingi Sana
@silvesterdamas84695 жыл бұрын
Yuko vzr
@naomisanga1486 жыл бұрын
Msukuma I'm in love with you!
@bahishaalexander36416 жыл бұрын
Ninadhani huyu uwezo wake umevuka mipaka.ana hadhi ya kuitwa proffesor bila hata ya makaratasi ya mavyeti.
MSUKUMA afanyiwe UHAKIKI mimi siamini kama ana CHETI cha kumaliza d la SABA pekee yake, ukimsikiliza kwa umakini jinsi avyojibu maswali na jinsi anavyojieleza utagungua moja kwa moja kama huyu jamaa ni kichwa sana tena kuliko wale wanaojiita eti ni WASOMI
@mkamabrown90117 жыл бұрын
da msukuma anatisha sana elimu ya jamii.mhimu san.umeona anaongea kama wa chuo kikuu
@renaldakamugishazeramulake9407 жыл бұрын
Ibrahim Butera hahahahaha yaaaaani tangu asubuhi nilikuwa sijacheka, umenivunja mbavu.kwa hiyo ikibainika ana degree afunguliwe mashtaka kwa kùudanganya umma.
@selemanikassim70186 жыл бұрын
Msukuma anafaa sana kuwa mbunge tena wa idara kama madini au mifugo tunatamani sana kupata waziri std 7 kama huyu
@yusuphaman34496 жыл бұрын
Ivi kwa nini Raisi asikupe uwaziri
@barakakafurike59076 жыл бұрын
safi sana msukuma uko vzr
@dennischarles85246 жыл бұрын
Angefika university angekuwaje
@alexkilonge75536 жыл бұрын
akili ingeriharibiki hapo pow
@meshakmnyagwer78536 жыл бұрын
Msukuma ni shida kabisa agombee urais maguful cha mtoto kwa utendaji kaziii jamanii
@katungenyanda61776 жыл бұрын
Musukuma uko vizuri kichwani bigup sana. Musukuma mmoja sawa na wabunge 30 Wa chadema wenye digrii za kutisha
@The22519786 жыл бұрын
Katunge Nyanda wajinga mnajuana ,,shithole
@danielhumble42926 жыл бұрын
We naye ni nyumbu tuu
@augustineminja26656 жыл бұрын
@@The2251978 ....
@charlesotwalo48825 жыл бұрын
Katunge Nyanda Msukuma nimekupenda sana uko vzri
@charlesotwalo48825 жыл бұрын
Hakika unajitahidi na Mungu akuzidishie maisha Msukuma unajitambua vzri sana
@katelengumasolwa5717 жыл бұрын
Tupeni part 3
@psterinishayo42706 жыл бұрын
Kama elimu yako ni ndogo lazima utumie maarifa ya ziada ili ujikwamue
@jacobmwalituke89815 жыл бұрын
Huyu jamaa std 7 ila anajibu maswali kama PhD holder
@danielhumble42926 жыл бұрын
Uyu jamaa ni mshirikina.....
@rulangayakobo76697 жыл бұрын
La saba Hatariii
@emanuelmatwa45026 жыл бұрын
Msukuma mm nakukubali Sana.
@emanuelbugidu57676 жыл бұрын
msukuma kichwa chake kina memory zaidi ya wasomi
@halimakhalfan11966 жыл бұрын
ulinunua lini hyo elkopta
@melkizedeckkimaro20946 жыл бұрын
Halima Khalfan pesa yake yako?
@yusuphaman34496 жыл бұрын
Ulitaka akuambie we kama nani,siri ya Mafanikio aikuhusu
@mudangakija53597 жыл бұрын
Lowassa hakuwahi kuwa rafik ako
@josephnchunga65545 жыл бұрын
uko sawa musukuma wenye akili wanakuelewa
@shafiimkeremi78196 жыл бұрын
Rafiki Yangu Huyoo Namjua, Kwa Elimu ya Bongo Mtapata Shida Kumtengenezea Maswali Nbure
@jumanguru6706 жыл бұрын
elikopita iko wp sasa?
@koradjulius68816 жыл бұрын
msukuma ni kiboko
@elibarikimasawe96596 жыл бұрын
mheshmiwa msukuma ana sema demokrasia inatakiwa ikue jimboni kwako swali langu kwake mbona wakina lema waki itisha mikutano yao ndani ya arusha wana kamatwa? bila sababu? naomba anijibu plz
@rakiburashid77206 жыл бұрын
elibariki masawe hawahuwaga hawafanyi siasa ila huwa sana Fanya kashifa kwa selikali ndiyo maana sana kamatwa
@mahonakatani48306 жыл бұрын
kuhusu demokrasia mzee haina uhai,,labda uwe wa ccm
@mamahustru6 жыл бұрын
Msukuma hataree tupu.
@zerubabelkawiche7106 жыл бұрын
Moyosafi siasa ni uongo uliokomaa zerubabelkawiche I
@nolascomwinuka80806 жыл бұрын
Saf
@mussajuma17366 жыл бұрын
wambie msukuma najuwa wengi wanakuchukia ila upo pouw bgp.
@dilludillu27477 жыл бұрын
With high IQ
@harunaabdallah3096 жыл бұрын
Mwenye njaa hachagui chakula
@emmaenkwabi92686 жыл бұрын
Jamaaa anaakili nyingi sana
@elibarikimasawe96596 жыл бұрын
msukuma anasema demokrasia inatakiwa ikue jimboni mwako mbona godbless lema na wenzake wa chadema waki itisha mkutano kwenye majimbo yao wana kamatwa bila sababu
@selemanikassim70186 жыл бұрын
Wamekuwa wakiwajenga wananchi ki siasa na chuki kuliko kazi wafanye siasa za faida kwanza.. Yaan siasa kazi sio upinzani usio na faida zaid ya malumbano...
@michaelmpanduji79526 жыл бұрын
Uko sawa msukuma wetu tuwakilishe unajua tunaonekana wana nzengo wakati wasomi wote ni wasukuma
@fadhilisecha42686 жыл бұрын
Amejitahidi ila tafsir ya demokrasia kajibu hovyo. Hofu imemtawala
@alexmeshili47846 жыл бұрын
Huyo anayesema lowassa asiende huko at hamtaki utabaki hivyo hivyo tu hayo ni maongezi yako lowassa mbele baki na usukuma wako
@aaronmabondo62636 жыл бұрын
aaache uwongo huyo alikuwa anamsapoti lowasa na clip zake akitoa speech tumeziona aache kudanganya watu
@benedictmtengwa58226 жыл бұрын
Aaron Mabondo
@cosmasbagamba36626 жыл бұрын
Li nafiki hilo, ulikua swaiba mkubwa wa lowasa wewe, njaa zinawasumbuaga wanasiasa wa bongo wengi wana shida..eti huamini ka ni kiongozi, wakati alikua waziri wako mkuu na kwa yeye haijawi kutokea waziri aliesmamia mambo kama lowassa, labda kwa sasa majaliwa ndo anaelekea, mpuuzi huyo
@naomisanga1486 жыл бұрын
COSMAS BAGAMBA msukuma anaongea anachokiamini halafu huyo hana njaa mjue vizuri sio kuponda tu
Msukuma akili yake inalingana na darasa la saba, sababu anaongea kiubaguzi. Msomi haongelei miguuni pake, anaongeza hatua mbilibele Kisha anarudi nyuma hatua moja. Hatumii akili naaarifa anaropoka tu!
@marygaspar64296 жыл бұрын
Halafu ni kweli hawezi kuwa rafiki wa Lowasa sababu marafiki wa Lowasa ni class ya juu, na siyo dizaini yake. Lowasa hana Leseni za maguta!
@marygaspar64296 жыл бұрын
Siamini kama Msukuma anaweza ongea chochote kuhusu chama tawala, maana yupo upande huo atatetea tu hata iweje . Huyu siyo mbunge wa Taifa Ni mbunge wa CC M .
@estaanthony87976 жыл бұрын
Hao wanaompinga msukuma ni wachaga wenzie na rowasa hawana lolote
@cosmasbagamba36626 жыл бұрын
Li nafiki hilo, ulikua swaiba mkubwa wa lowasa wewe, njaa zinawasumbuaga wanasiasa wa bongo wengi wana shida..eti huamini ka ni kiongozi, wakati alikua waziri wako mkuu na kwa yeye haijawi kutokea waziri aliesmamia mambo kama lowassa, labda kwa sasa majaliwa ndo anaelekea, mpuuzi huyo
@juliuschipungu12375 жыл бұрын
big up kwa msukuma upeo wako haufanani na wabunge wengi kwani huna ubaya na mtu
@greenjoseph35515 жыл бұрын
Msukuma nakwaminia Sana katika mazungumzo yako oku vizuri Sana mhe