Mmekosa wakuomba ? Dua munampa huyo mtu wa maulidi?
@user-fc8we1ic2qАй бұрын
Ma Shaa llah.allah amuhifadhi mufti wetu
@Martin-hi7wxАй бұрын
Kuna matooke uko kama Masaka Uganda?
@gunbizzo1970Ай бұрын
Nae ameumiza sana watu kupitia ujambazi wake na uporaji aliofanya
@TABARAKARAHMAANАй бұрын
Asalaam Aleykum' Asante sana ❤
@quranvideoclips.kswahilii1332Ай бұрын
Asalaam Aleykum' Asante sana. ❤
@MohamedSalah-on5zpАй бұрын
ما شاء الله
@faridubakana67332 ай бұрын
Allah amlipe Jannatalfirdaus marhuum Shaikh Mustwafa...na Allah atujalie istiqama na himma katika kuifanya kazi ya Allah
@faridubakana67332 ай бұрын
Allah ampe Jannatalfirdaus na atujalie sie mashekh vijana istiqama na himma ya kufanya kazi za Allah
@mohamedmasanga91342 ай бұрын
Sheikh ondoa hiyo kelele ya kinanda
@selemankishema57802 ай бұрын
😂😂😂😂makadhi?
@mohamedmsama48332 ай бұрын
Bakwata kazi yao luandika barua za ndoa za waisram wapeleke mambo yao mahakama za za mwazo kwa wasokua waislam wachochezi mumosababisha waislam weengi wako magerezani Xhizenga mganga kn hand
@mohamedmsama48332 ай бұрын
Mna muona anae waunga mkono bakwata ama mwaga au? Mchawi
@mohamedmsama48332 ай бұрын
Anae iunga mkono bakwata ni wale ma mbumbumbu au' ndugu zao au? Watoto wao au? Wake zao,
@mohamedmsama48332 ай бұрын
Bakwata tafutini wanasheria awasomeeni katba ya nchi inasemaje? Kuhusu uhuru wa kuabudu inabara ya 19 wengi viongozi wa bakwara darasa 3 katiba yachi? Au? Ya balwata? Kama ya bakwata hiyo ni tasisi kama zingine
@mwanakitimbaraka25742 ай бұрын
Mashaallah mufti ALLAH akuongoze uzidi kututetea
@shahidukaelelezi2 ай бұрын
Mashaallah tunamshukuru kwa hii histria ni muhimu kujua tulipo toka ❤
@AffectionateFood-rz5sv2 ай бұрын
Mashaallah kazi iendelee inshaallah
@Hussenhamza-fq9hh2 ай бұрын
Mashaallah nimefurahi sana allah azidi kukuweka mlezi wetu
@AishaMkwata2 ай бұрын
mashaallah
@salmanmagwe26122 ай бұрын
Ni dhahir kabisa wazee wetu huko nyuma wameipambania mno dini hii kwa shida nyingi sana,tuna mambo muhimu kujifunza kwa hawa Mashekh wakubwa waliojitoa kwa hali na mali. 1.hawa waislamu inaonekana walikuwa na mshikamano mkubwa kati yao na wa nchi jirani na bila kubaguana. 2.waliheshimu mno viongozi wao. 3.uhusiano wa mashekh kati yao ulikuwa ni mzuri sana hadi walipokuja Mawahabi kutuharibia kila kitu
@ZawadFadhir2 ай бұрын
Bora naiweivo manake wamekuwa wakituvuruga2 hawo mawahabi wakijifanya vichwangumu wapigwe2 mbwa koko
@abuunaraimansalumal-shaib92602 ай бұрын
Wewe inaonekano ufuatiliaji wako ni mdogo au hufuatilii kabisa
@HijaSaid-xd7fg2 ай бұрын
Hatuwezi kuifuta taasisi iliyoanzishws Naswara, pia ni taasisi ya kidunia iliyojificha katika dini
Mnatafuta kuleta fujo ninyi Bakwata nchi ilitulia hii, si kila mtu anaongozwa na Bakwata fanyeni mambo ya msingi acheni kutafuta migogoro huyo ni Mufti wa bakwata sio wa waislam wengine hawamfuati msilazimishe mambo ninyi ndo mnauchu wa madaraka mmeona mnapata aibu ktk mambo ya muandamo
@DaudiSaid2 ай бұрын
Mafuta na maji hayakai pamoja la mhimu watu wajitafakari ni wapi wanakwama hata hivi vikao ni kuonesha kuna mapungufu ni kuonesha umma umekuwa na uelewa zaid wa dini yao
@ngalamenoherbal69552 ай бұрын
Mnatafuta kuleta fujo ninyi Bakwata nchi ilitulia hii, si kila mtu anaongozwa na Bakwata fanyeni mambo ya msingi acheni kutafuta migogoro huyo ni Mufti wa bakwata sio wa waislam wengine hawamfuati msilazimishe mambo
@SaidKatuga-qx1xr2 ай бұрын
Unayozungumza mzee ni usanii mtupu bakwata hamtusaidii chochote yaani Kila Jambo lenye kheri kwa waislamu nyie bakwata huwa nikupinga tu Mimi Kwanza nawaulizeni mtume s.a.w alijsomea wapi maulidi? Lakini pia makhalifa wote wanne waliyafanya wapi hayo? Alafu mnasema mko kisuna wakati mnazua ya kwenu alafu mnamsingizia mtume,alafu Mimi nashangaa Sana waislamu wanamatatizo lukuki lakini nyie kazi yenu eti ktungaza mwezi na sikukuu kweli jamani hamuoni aibu kabisa?alafu hakuna uvunjifu wa amani mnatisha watu ili kutaka wenzenu waangamizwe Allah atawalinda na shali zenu Msipotafakari mnayo yafanya nyie bakwata Kila siku mnapenda wenzenu wafe wafungwe , mtaona Allaah atakavyo waadhibu inshaa Allaah.nyie kaeni na bakwata yenu sisi wananchi wadogowadogo hatuwataki jamani msitulazimishe .Ami nashauri jitengenezeeni mwezi wenu ndio muumiliki naso mwezi wa Allaah kwa kuwa mmetangaza waislamu wakamatwe sisi tunanamwashitaki kwa muumba wa vyote .tufikirie na yaliyomo kaburini siku tukifa patakuwaje humo hapa tunapita tu nyie wazee wangu.!
@hassanpashua2 ай бұрын
Dunia Allah ndio anaiyongoza sio watu
@ramygichero10162 ай бұрын
Nenda kanye utoe hayo mavi tumbo lipungue wezi wakubwa nyie
@ramygichero10162 ай бұрын
Peleka tumbo limejaa mavi huko mmeuza mali zetu waislamu tumekuwa maskini kwaajili maubwa nyinyi
@user-ky3hc1jn3e2 ай бұрын
Mambo ya uchaguzi yanahusikaje hapo,wanafiki wakubwa nyunyi
@AbuuMuhsin2 ай бұрын
Mnapambania dunia wala sio aakhera,, kazi mnayo😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@KibwanaOmar-dh2sh2 ай бұрын
Na nyinyi kuweni wakweli msiwafungize watu kwa amri za viongpzi wa sirikali Kama alivyothibitisha muft kwa muft hemed Bin jumaa
@zaydamos8742 ай бұрын
Soma comment ndio utajua hamkubakik kwa waisilam ila mnatumia mgongo wa serikal
@user-gt9eu2hg8f2 ай бұрын
Hawakubaliki na wanaoandika Comments na wanaotoa comments si Waislam au sio Wawakilishi wa Waislam Kama ambavyo Wewe unavyowapinga hivyo kazi ya dini iachwe katika waliopewa dhima ya kusimamia dini na si Kila Mtu atakuwa msemaji Katika hayo tumuombeni Allah Subra na si jazba katika chuki zetu za kitaasisi Dinni Ina Kanuni na si siasa tuchungeni Mipaka yetu kuwatukana viongozi hata kama Wewe humkubali ila lugha za Matusi na kebehi hatutabaki salama
@zaydamos8742 ай бұрын
Nikwel hana vigezo vya umufut hata aya za mwenyezmungu hawez kuzisoma hata ana nuru ya uisilamu na hatua mtachukuliwa nyie sio huyo sheikh baraiyan Allah atamlinda mbaka atakapo taka nyenye Allah yampate hayo mnayo yaomba
@zaydamos8742 ай бұрын
Huyo n mufut wa bakwata sio mufut wa waisilam badir kauli yako we mzee njoo darasan
@abdullahmasakata1702 ай бұрын
Hayo ni mawazo yako na hisia zako tu. Kama wewe sio Mufti wako sie ni wetu. Acheni umadhehebu na itikadi za kijinga ninyi mnafikili kuna taasisi ya kiislam yenye nguvu na mamlaka kuzidi Bakwata, Kusajiliwa kwa taasisi sio kuwa na mamlaka sawa na hadhi sawa, Hakuna kiongozi wa dini wawili nchi moja. Acheni uhuni kwenye dini yetu ya kiislam.
@zaydamos8742 ай бұрын
Nyie wazee hamna elimu achen kujipendekeza serikalin serikal imeikuta din na mtakufa mtaiacha din hivyo jiangalien na mjitathimin nyinyi hamna utofaut na makafir
@hajirashid-em5vj2 ай бұрын
Tasisi zote zipo sawa Bakwata mkubali uislaamu ni jambo la dunia nzima mtume hajawapeni haki hii mnayo itaka jifunzeni qurani na suna za mtume uissilaamu hauiihitaji bakwata bali bakwata in wahitaji waislaamu waendeeni kwa upole sio kuwatisha muungu hata waacha salaama shukrani
@abdallaabdalla44162 ай бұрын
Nashukuru sheikh kutaja maulidi kuwa ni sherehe tabaan ni furaha si ktk ibada ya kumuomba Mtume uokovu na kumpa sifa za. Mungu ingawa sio mada Yote ni sababu hatuna umoja hatukubali kukosolewa MOLA analeta mitihani
@abdallaabdalla44162 ай бұрын
Ewe she he unatuchanganya mara serikali haihusiki lakini hapohapo unataka iingilie na ifanye maamuzi halafu unataja uvunjifu wa amani nani athubutue umetaja habari ya mwezi unapotosha ukisema wa kimataifa maanae UKO mwengine mwezi ni mmoja dunia hii na athari yake ni mmoja popote utapoindama Sk nakuuliza na nyote waislam ambao munakubali elimu yake nijibuni suali la kwanza Bila ya ushabiki KWA NINI MWEZI UNAPOZALIWA TUNAUTAJA KWA SAA KIDUNIA HICHO MNACHOITA KIMATAFA NA KISAYANSI HUWA ROBO TATU UPO SASA INAKUWAJE UNAPOANDAMA TUSITUMIE SAA YA DUNIA MUITAYO KIMATAIFA YAANI KUZALIWA MUNAKUBALI MWEZI MMOJA SAA MOJA DUNIA NZIMA HAMUONI KUWA MUNAKOSEA NA KILOJIKI AKILI HAIKUBALI MWENYA AKILI YA HILI ANIELIMISHE TAFADHALI USINITUKANE tumia akaunt ya Utube au am 0773206828 au whatsapp
@RajabShedangio2 ай бұрын
Allah azid kuwatia nguvu viongozi wetu wa sunna na da'awa ya ahlusunna ndo sahihi tunaoikubali na ni yenye kufuta utaratibu alioacha mtume s .a.w hizo nyingine uzushi ty Allah atuongoze katika njia ya haq
@user-wv8ec6ls2e2 ай бұрын
Wanasiasa tumeinasa hiyo tutaifanyia kazi kwenye majukwaa,Kama serikali yetu INA Dini!,Ituambie,Kama kila tasisi itaitumia serikali yetu kwaajiri ya maslahi ya watu binafsi Basi Wanyonge wataiona Dunia kama jehanamu,2025 Hiyooooooo!Karibuni Act wazalendo Tuijenge Tanzania yetu upya,Chama chenye kujari utu,Uzalendo,Mshikamano,Amani,Na Utulivu,Kuheshimu Ibada ya MTU,kuheshimu mawazo ya MTU,Chama chenye Demicrasia Nk.
@salumsalum98422 ай бұрын
Mbna ktk ule mkataba muft alipewa nafas za w'ke na w'me, ila walooenda na w'me. Je w'ke hawana hak ya kusoma dn yao?
@salumsalum98422 ай бұрын
Napenda kujua utaratb wa kuchukua 4m kwa wakaazi wa Z'bar
@salumsalum98422 ай бұрын
Assalaam alaikm warahamatullah. Mm napenda uzo fursa zigaiwe kwa haki baina ya Tz Bara na Z'bar
@sembulimchawala3072 ай бұрын
Hawa ni wanaFiiki kupitiliza yaaani ndio wamejipachika cheo cha baraza la Ulama
@RashidMpembe2 ай бұрын
Unapo ongea hayo ufikilie na kesho kwa mungu utajibu nini kwa kupotosha waislam, na uangalie upande wa pili mbona wao hawagombani kuhusu mitume wanaojitokeza hivi sasa Acha unafki