Subhannallah !!! Allah tuongoze njia iliyonyooka njia ya wale iliyowaneemesha sio ya wale iliyowakasirikia 🤲
@OmarAlly-iz8ot2 ай бұрын
Watawala eleweni kua viongozi wa bakwata hawana busara hata kidogo, na niwafinyu wa khibra kwenye mambo mengi sana, na niwatu wanao tanguliza matashi yao, na kutengeneza mslahi ya matumbo yao tu, hatakama kuyapata haya kutagharimu amani ya nchi nzima, wao hawajali hilo!!! Kwaio kuweni makini na chokochoko zao na fitna zao, na ulafi wao wa.........
@Mauya232 ай бұрын
Duh...!
@AbuubilalyHizzah.2 ай бұрын
Edd haipangwi na taasisi bali eddi inakuja kwa mpango alioupanga allah kwa miezi na siku malum mpango huo wakupanga sikukuu ndio unao sababisha vurugu kwakua nikupora mamlaka ya allah ktk kuwapangia waumini ibada
@user-lm7uh8uc8y2 ай бұрын
Tatizo sijui sisi watanzania walio wengi hawana akili ? Au akili ziko kama mav hadi inakera aisee akili ziko kama taka taka . Huyu mzee kasoma vifungu vya katiba ya bakwata katiba hiyo maana yake iliundwa na taasisi zote za kiislam wakati wa kuanzishwa kwake maana yake taasisi zote ziliridhia ndio maana ya katiba na wakaisajiri serikalini wewe taka taka ya maneno yako unaotoa wapi mi mkristo lakini kuna baadhi ya coment zinawadhaulisha waislam ni kama hamuelewi mambo yanavyoenda
@abdulkareemchacha26252 ай бұрын
Sikukuu ya Eid inatangazwa kwa Mujibu wa sheria na siyo kupangwa
@abdallahmgaya75212 ай бұрын
Mwezi mwandamo unajitangaza wenyewe automatically, lakini Bakwata mnatakiwa kujuwa NYINYI ni taasisi man katiba YENU. Na zipo pia taasisi za kiisilam ambazo Zina katiba zao. Hawalazimishwi kufuata katiba YENU Wala hamlazimishwi kufuata katiba zao. Na kubwa zaidi ni kwamba sio waislaam wote wanaikubali Bakwata, na sio waislaam wote wanaikubali taasisi zingine za kiisilam. NYINYI Bakwata mnaungwa mkono na waislaam wanaikubali Bakwata, na waislaam wengine wanaziunga mkono taasisi nyingine. WAISLAAM HAWALAZIMISHWI KUFUATA TARATIBU ZA BAKWATA. La ikraha fiyd diyn. Hapo tamko lenu halina mashiko mnajiumbua tu
@abdallahmgaya75212 ай бұрын
WAZEE MSIIFUNDISHE SERIKALI. NYINYI MTATANGAZA KWA WAUMINI WENU NA TAASISI ZINGINE ZITAWATANGAZIA WAKE. NA KILA TAASISI INA KIONGOZI WAKE. ACHENI KUTUPOTEZA WAISLAAM
@saidsaid-oj6qx2 ай бұрын
Mnako elekea mtakuja kujuta maana itakuja ifutwe hiyo bakwata labda muombe hiyo ccm ishike madaktari mpaka kiama lilivyo itakuja kuondoshwa kwani hapa zamani kulikuwa na jumuiya ya Waislamu alipo akaiondosha Nyerere ndipo akaweka bakwata kwa fikra zake kuwa Waislamu watashika nchi
@mohamedmsama48332 ай бұрын
Anae iunga mkono bakwata ni wale ma mbumbumbu au' ndugu zao au? Watoto wao au? Wake zao,
@mrafm72852 ай бұрын
Kwani kila taasisi SI Iko kisheria na Ina katiba yake mbona bakwata mna force waislam woote wawe wafuasi wa bakwata wakati katiba ya nchi imetoa uhuru wa kuabudi
@abdullahmanalex23062 ай бұрын
Nashangaa
@DaudiSaid2 ай бұрын
Mafuta na maji hayakai pamoja la mhimu watu wajitafakari ni wapi wanakwama hata hivi vikao ni kuonesha kuna mapungufu ni kuonesha umma umekuwa na uelewa zaid wa dini yao
@user-ky3hc1jn3e2 ай бұрын
Mambo ya uchaguzi yanahusikaje hapo,wanafiki wakubwa nyunyi
@KibwanaOmar-dh2sh2 ай бұрын
Na nyinyi kuweni wakweli msiwafungize watu kwa amri za viongpzi wa sirikali Kama alivyothibitisha muft kwa muft hemed Bin jumaa
@abdallaabdalla44162 ай бұрын
Nashukuru sheikh kutaja maulidi kuwa ni sherehe tabaan ni furaha si ktk ibada ya kumuomba Mtume uokovu na kumpa sifa za. Mungu ingawa sio mada Yote ni sababu hatuna umoja hatukubali kukosolewa MOLA analeta mitihani
@abdallaabdalla44162 ай бұрын
Ewe she he unatuchanganya mara serikali haihusiki lakini hapohapo unataka iingilie na ifanye maamuzi halafu unataja uvunjifu wa amani nani athubutue umetaja habari ya mwezi unapotosha ukisema wa kimataifa maanae UKO mwengine mwezi ni mmoja dunia hii na athari yake ni mmoja popote utapoindama Sk nakuuliza na nyote waislam ambao munakubali elimu yake nijibuni suali la kwanza Bila ya ushabiki KWA NINI MWEZI UNAPOZALIWA TUNAUTAJA KWA SAA KIDUNIA HICHO MNACHOITA KIMATAFA NA KISAYANSI HUWA ROBO TATU UPO SASA INAKUWAJE UNAPOANDAMA TUSITUMIE SAA YA DUNIA MUITAYO KIMATAIFA YAANI KUZALIWA MUNAKUBALI MWEZI MMOJA SAA MOJA DUNIA NZIMA HAMUONI KUWA MUNAKOSEA NA KILOJIKI AKILI HAIKUBALI MWENYA AKILI YA HILI ANIELIMISHE TAFADHALI USINITUKANE tumia akaunt ya Utube au am 0773206828 au whatsapp
@ngalamenoherbal69552 ай бұрын
Mnatafuta kuleta fujo ninyi Bakwata nchi ilitulia hii, si kila mtu anaongozwa na Bakwata fanyeni mambo ya msingi acheni kutafuta migogoro huyo ni Mufti wa bakwata sio wa waislam wengine hawamfuati msilazimishe mambo
@hamoudyahya76352 ай бұрын
Sheikh mmeanza vizuri na mwisho mnawachongea wenzenu kua wana itikadi za kigaidi wakati hoja zinazoipa nguvu bakwata ushazitaja na zina nguvu. Muogopeni Allah
@RajabShedangio2 ай бұрын
Allah azid kuwatia nguvu viongozi wetu wa sunna na da'awa ya ahlusunna ndo sahihi tunaoikubali na ni yenye kufuta utaratibu alioacha mtume s .a.w hizo nyingine uzushi ty Allah atuongoze katika njia ya haq
@jabiromary32762 ай бұрын
Yaani hayo ni kwa mujibu wa katiba ya bakwata halazimiki mtu au taasisi yeyote aliye mje ya bakwata halazimiki kufuata hiyo katiba ya bakwata mbona mambo mepesi tu jamani. Hakuna sheria yeyote au kwa mujibu wakatiba ya nchi hii inayotambuliwa katiba ya bakwata kuwa ni aheria za nchi au katiba ya nchi hii. Dini ni masuala ya mtu binafsi kuamua kuwa katika division yeyote kama ilivyo kwa wakristo. Na hapo unaonaje shekh na wengine nao wakaja na tamko la kutaka bakwata ndio ifutwe na taaasisi nyingine ndio ibaki na hadhi hiyo unayosema.
@RashidMpembe2 ай бұрын
Unaona mbali Sana nilichokuwa nafikilia ndicho ulichoandika ahsante kwa kuwafahamisha hili
@ramygichero10162 ай бұрын
Nenda kanye utoe hayo mavi tumbo lipungue wezi wakubwa nyie
@zaydamos8742 ай бұрын
Huyo n mufut wa bakwata sio mufut wa waisilam badir kauli yako we mzee njoo darasan
@abdullahmasakata1702 ай бұрын
Hayo ni mawazo yako na hisia zako tu. Kama wewe sio Mufti wako sie ni wetu. Acheni umadhehebu na itikadi za kijinga ninyi mnafikili kuna taasisi ya kiislam yenye nguvu na mamlaka kuzidi Bakwata, Kusajiliwa kwa taasisi sio kuwa na mamlaka sawa na hadhi sawa, Hakuna kiongozi wa dini wawili nchi moja. Acheni uhuni kwenye dini yetu ya kiislam.
@ZawadFadhir2 ай бұрын
Bora naiweivo manake wamekuwa wakituvuruga2 hawo mawahabi wakijifanya vichwangumu wapigwe2 mbwa koko
@abuunaraimansalumal-shaib92602 ай бұрын
Wewe inaonekano ufuatiliaji wako ni mdogo au hufuatilii kabisa
@OmarAlly-iz8ot2 ай бұрын
Na anaetaka kulithibitisha hili, amuangalie mufti, mwanzo alikuwaje na kwasasa yukoje? Atabaini kua mufti hivisasa amekua mtu wa ovyo sana, yote hio ni kwa kushika na kufwata fikra na uchochezi wa bakwata...................
@hakambashe84212 ай бұрын
Kwanini Bakwata wanganganie utangazaji wa mwezi?! Kuna waislamu wengi hatutaki kuwasikilza inchi ya Democrasia bana hii, wasitumie ukarbu wao na serikali kutaka monopoly ya mambo ya Uislam
@HijaSaid-xd7fg2 ай бұрын
Hatuwezi kuifuta taasisi iliyoanzishws Naswara, pia ni taasisi ya kidunia iliyojificha katika dini
@saidsaid-oj6qx2 ай бұрын
Watu wanafahamu mufti si wanaisimu watanzania bali niwa bakwata hilo mbona liko wazi bakwata nitasisi kama zinginezo
@ngalamenoherbal69552 ай бұрын
Mnatafuta kuleta fujo ninyi Bakwata nchi ilitulia hii, si kila mtu anaongozwa na Bakwata fanyeni mambo ya msingi acheni kutafuta migogoro huyo ni Mufti wa bakwata sio wa waislam wengine hawamfuati msilazimishe mambo ninyi ndo mnauchu wa madaraka mmeona mnapata aibu ktk mambo ya muandamo
@ramygichero10162 ай бұрын
Peleka tumbo limejaa mavi huko mmeuza mali zetu waislamu tumekuwa maskini kwaajili maubwa nyinyi
@zaydamos8742 ай бұрын
Nikwel hana vigezo vya umufut hata aya za mwenyezmungu hawez kuzisoma hata ana nuru ya uisilamu na hatua mtachukuliwa nyie sio huyo sheikh baraiyan Allah atamlinda mbaka atakapo taka nyenye Allah yampate hayo mnayo yaomba
@zaydamos8742 ай бұрын
Soma comment ndio utajua hamkubakik kwa waisilam ila mnatumia mgongo wa serikal
@user-gt9eu2hg8f2 ай бұрын
Hawakubaliki na wanaoandika Comments na wanaotoa comments si Waislam au sio Wawakilishi wa Waislam Kama ambavyo Wewe unavyowapinga hivyo kazi ya dini iachwe katika waliopewa dhima ya kusimamia dini na si Kila Mtu atakuwa msemaji Katika hayo tumuombeni Allah Subra na si jazba katika chuki zetu za kitaasisi Dinni Ina Kanuni na si siasa tuchungeni Mipaka yetu kuwatukana viongozi hata kama Wewe humkubali ila lugha za Matusi na kebehi hatutabaki salama
@mohamedmsama48332 ай бұрын
Bakwata tafutini wanasheria awasomeeni katba ya nchi inasemaje? Kuhusu uhuru wa kuabudu inabara ya 19 wengi viongozi wa bakwara darasa 3 katiba yachi? Au? Ya balwata? Kama ya bakwata hiyo ni tasisi kama zingine
@ahmadmzoa742 ай бұрын
Kama upo ALLAH A'ZZA WAJALLA Akunyanyue daraja lakini vinginevyo ALLAH A'ZZA WAJALLA Akulipe na kukupa Anachoona Yeye kinakustahiki INSHAALLAH..
@SwalafyAct-ks5gz2 ай бұрын
Sjawahi waelewa hawa msilazimishe watu kukufuateni nyenye kila mtu atafuata shekhe anaemtaka
@BradothAdm2 ай бұрын
Mna chekesha sana kwa nini msimuite huyo shekhe mkaongea nae mnataka achukuliwe hatua na serikali ili iweje mufti kama muft kwa nafasi yake alitakiwa amuite
@karimdaud39932 ай бұрын
Pole sana Alla akuongoze uwe muislam wa kweli na sie atupe rehema zake kwa kujenga umoja wetu
@halimahussein67922 ай бұрын
Hawamuwezi kwa hoja za msingi Na za kisomi, Hawa viongozi wetu hata elimu ya mazingira hawana
@jumaa0522 ай бұрын
Samahan habibu mufti amuite kama Kaka yake au Nani na akati mufti hatambuliw kama ni mufti na huyo atakae muita je ? afanye vip nana nae huyo ana katiba yake
@IbraFareed2 ай бұрын
@@halimahussein6792 Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu Tunaomba utupe ushahidi wa aya uloyaongea Na kama ulesema kwa mhemko nakukumbusha ALLAH سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى ametuambia إِنَّا نَحْنُ نُحْيِي الْمَوْتَى وَنَكْتُبُ مَا قَدَّمُوا وَآثَارَهُمْ وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ فِي إِمَامٍ مُّبِينٍ Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari asli lenye kubainisha. KILA KITU SHEIKH HADI COMMENT (comment nayo ni kitu) QURAAN YA MWISHO NAKUACHIA قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli
@mohamedmsama48332 ай бұрын
Mna muona anae waunga mkono bakwata ama mwaga au? Mchawi
@user-tw4nf6bv8b2 ай бұрын
Aiseeeee yaani haelewi hiyo ni katiba yenu bakwata kuna utitiri wa taasisi za kiislam zina katiba zao tafsiri hiyo haipo
@saidsaid-oj6qx2 ай бұрын
Nyie bana matumbo yenu yamejaa mapilau ya baulidini ya ushushi hapo huyo mzee hapo pembeni anautaka umft usiku namchana nawewe jizenga ni jisufi lisilo jitambua chuki zimewajaa hatutaki kuendeshwa na watu wabida kama nyie
@masudbasra5662 ай бұрын
Acheni siasa kwenye dini
@IbraFareed2 ай бұрын
Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu Tunaomba utupe ushahidi wa aya uloyaongea Na kama ulesema kwa mhemko nakukumbusha ALLAH سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى ametuambia إِنَّا نَحْنُ نُحْيِي الْمَوْتَى وَنَكْتُبُ مَا قَدَّمُوا وَآثَارَهُمْ وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ فِي إِمَامٍ مُّبِينٍ Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari asli lenye kubainisha. KILA KITU SHEIKH HADI COMMENT (comment nayo ni kitu) QURAAN YA MWISHO NAKUACHIA قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli
@abdullahmasakata1702 ай бұрын
Hujui maana ya siasa? Siasa kwenye dini haikwepeki ndugu acha kukariri mambo.
@user-iw5hu3mc7l2 ай бұрын
Hata kama mtatuburuza tukae kimya?
@AbuuMuhsin2 ай бұрын
Mnapambania dunia wala sio aakhera,, kazi mnayo😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@abubakarmuhammadsaid32442 ай бұрын
Waislamu Tz hawajamchagua Mufti, bali taasisi ya Bakwata ndiyo iliyomchagua Mufti kama vile ambavyo taasisi zote hujichagulia viongozi wao. Hiyo katiba ni ya Bakwata, sio ya Waisilamu wote Tz. Hapana aliekuporeni madaraka mumejipa nyie wenyewe kama ambavyo taasisi nyengine wamejipa.
@jumaa0522 ай бұрын
Kwaiyo unataka wapite mitani kuomba kura sheikh wangu
@MwantumNdauga-ip3de2 ай бұрын
Mcheni Allah .Iombeni serikali kuheshimu siku ya ijumaa bado kuna vikao vingi vinafanyika siku ya ijumaa. Idd zote mbili ziwekee mapumziko siku mbilli.
@abdullahmanalex23062 ай бұрын
Hapo umenena na hayo ndo yakuongerea
@mohamedmsama48332 ай бұрын
Bakwata kazi yao luandika barua za ndoa za waisram wapeleke mambo yao mahakama za za mwazo kwa wasokua waislam wachochezi mumosababisha waislam weengi wako magerezani Xhizenga mganga kn hand
@zaydamos8742 ай бұрын
Nyie wazee hamna elimu achen kujipendekeza serikalin serikal imeikuta din na mtakufa mtaiacha din hivyo jiangalien na mjitathimin nyinyi hamna utofaut na makafir
@uledihassan60652 ай бұрын
Allah ampe afya na umri mrefu sheikh Barahiyyani
@user-zw4tf5os8b2 ай бұрын
Bakwata ni taasisi kama taasisi zingine
@halimahussein67922 ай бұрын
Haya Mambo yaliongelewa miaka ya 80, kwa dalili za vitanu, Na hii Yote kufanya viongozi wa bakwata warned Sawa Na maandiko yaliosahihi katika swala muandamo wa mwezi, lakini hawakuwa na hoja Ila waliyakuta hivyo hawezi kubadilika. Sasa waislam alhamndullilah tumeelimika, hivyo kuburuzwa NO, Kwanza ss ndiyo waislam tunapaswa kuchagua viongozi wetu. Hawa viongozi wanajichagua wenyewe.
@AhmedAlharithiy-sg5cq2 ай бұрын
Assalaam alaykum Nawashauri viongozi wa bakwatwa wakaongee na raisi wasiongee hadharani hivi sh.salim pia kwamujibu wa madahii ya leo anahaki kuwatangazia dhehebu lake na wala Tanganyika Bado hajachaguliwa mufti wa tanzania mzima labda waombe mufti apitishwe bungeni ndio mufti atapata nguvu bila ya hivyo tanzania kila mmoja na dhehebu lake
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Allah Walipe kwa ka,i nzito mnayo ifanya
@saidalhinai11312 ай бұрын
Katika nchi mifti ninsvyojua ni mmoja sasa huyo wapongwe kaizinishwa na nani wacheni kuleta mtafaruki nyinyi mna abudia saudia
@omarkapula5882 ай бұрын
Na kwa ALLAH pia tutaenda kutetewa na BAKWATA
@maftahmusa95132 ай бұрын
Tupe aya na hadithi iliokuruhusuni na kukuelezeni muwatengenezee waislamu BAKWATA Porojo zako zote hazina aya wala hadithi
@IbraFareed2 ай бұрын
Nakusikitikia sheikh Nipe aya au hadith ilokuhusu kutumia pesa za Tanzania 😂😂 Embu nenda kasome bhana kuna maswali ukiuliza unaweza ukawa una elimu ila unaonekana mbumbavu kutokana na kuuliza maswali ya kijinga
@maftahmusa95132 ай бұрын
@@IbraFareed we sumun bukmun umyun fahum la yaaqiluu ndio unahitajika kusoma kwa kua hujui masala ya dini weka akilini mwako katika UISLAAM hakuna UTAIFA
@masoudalriyamy62982 ай бұрын
Bakwata mpo sawa ispokua kiwanja mlichouza changombe kwanini muuze mali za waislamu
@AbuubilalyHizzah.2 ай бұрын
Mcheni allah kueni wakweli ukweli kwa mujibu wanayo yataka allah
@SalimuAbdala-sg9cw2 ай бұрын
Barua mbovu hiyo haifai inamakosa. Aliyeanzisha bakwata ni nani.
@user-tw4nf6bv8b2 ай бұрын
Nendeni mahakamani ili jambo lieleweke
@khamisshauri40282 ай бұрын
Allah amuhifadhi mufti wetu wa tz, Allah awahifadhi viongozi wa baraza la maulamaa Na Allah awahifadhi viongozi wote wa BAKWATA,
@IbraFareed2 ай бұрын
Amin
@sembulimchawala3072 ай бұрын
Hawa ni wanaFiiki kupitiliza yaaani ndio wamejipachika cheo cha baraza la Ulama
@RashidMpembe2 ай бұрын
Unapo ongea hayo ufikilie na kesho kwa mungu utajibu nini kwa kupotosha waislam, na uangalie upande wa pili mbona wao hawagombani kuhusu mitume wanaojitokeza hivi sasa Acha unafki
@user-qq3yo2ms2k2 ай бұрын
Hahaha saiv kuna masalaf nao ni watiifu kwa viongozi kuliko nyinyi vip wapewe wao uongozi wa bakwata au tunasikia durus zao na tunaona walivyo ila nyinyi hatuoni mkifundish watu kuwa warudi katika asili ya dini yao alioiwacha mtume صلى الله عليه وسلم wetu na maswahaba wake
@Mbarak12 ай бұрын
Wamsamehe tu barahiyaan kibri sio kitu kizuri
@YaziduIddy2 ай бұрын
Achani fitna mtakuja ulizwa kwafitna zenu
@HassanSalim-hl8qs2 ай бұрын
Nyiyi ni Masufi mwataka kila mtu awe sufi acha unafiki mzee
@aminarashid6542 ай бұрын
Kama mnshisi mmepokonywa haki yenu nendeni mahakamani afu tuone atakayeshinda
@mwechengo61562 ай бұрын
N sisi hatuta mchagua huyo raisi wenu kama tu atawapendelea nyinyi matakwa yenu
@aishathabit37322 ай бұрын
Vipi serikali isiyo na dini muiombe kudhibiti taasisi za kiislam?
@abdullahmanalex23062 ай бұрын
Serikali haina Dini
@user-tw4nf6bv8b2 ай бұрын
Sasa ngoja tafsiri itolewe na Mahakama ndo mtaelewa
@mrishomohamed54972 ай бұрын
Bakwata wamekaa kutapelitapeli sana
@IbraFareed2 ай бұрын
Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu Tunaomba utupe ushahidi wa aya uloyaongea Na kama ulesema kwa mhemko nakukumbusha ALLAH سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى ametuambia إِنَّا نَحْنُ نُحْيِي الْمَوْتَى وَنَكْتُبُ مَا قَدَّمُوا وَآثَارَهُمْ وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ فِي إِمَامٍ مُّبِينٍ Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari asli lenye kubainisha. KILA KITU SHEIKH HADI COMMENT (comment nayo ni kitu) QURAAN YA MWISHO NAKUACHIA قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli
@user-qq3yo2ms2k2 ай бұрын
Ikiwa huyu sheikh anatak aliemsema sheikh zuberi kachaguliw na serikali akamatwe je hamonaiz aliemwita Allah kuw ni mwanamke afanywe nini na serikali au hamuwezi kuiomba serikali kwa mtu6huyu ashughulikiwe
@IbraFareed2 ай бұрын
Kasome sheria kuhusu defamation UKIWA HUNA ELIMU YA JAMBO USIONGEE BHANA unatuaibisha waislam tunaonekana hatuna ELIMU au UELEWA WETU MDOGO kumbe huelewi kinachoongelewa NYAMAZA IKIWA JAMBO HUJUI
@HijaSaid-xd7fg2 ай бұрын
Vipi inswii kusikiliza mawaidha ya watu wa bidaa
@user-iw5hu3mc7l2 ай бұрын
Mbona hamjiamini kama vile munaogopa kivuli chenu mana hayo yote sababu nyinyibwenywe ndo mmetufikisha hapa usanii mtupu
@amritwaha-kp3hu2 ай бұрын
Tuacheni ushabiki hatuwezi kuongozwa na kila mtu lazima kiongozi awe mmoja tu lazima tukumbuke kuwa mufti ni mwanawazuoni tena msomi mzuri tu tuwe na adabu kwa kiongozi wetu
@jabiromary32762 ай бұрын
hiyo ni hiari ya mtu tu kwa kuwa bakwata ni taasisi iliyosajiliwa sawa na sheria ile ile iliyoisajiri bakwata
@OmarAlly-iz8ot2 ай бұрын
Laiti kama mufti ni mwanachuoni kweli nae akawa anatambua nafasi yake, basi bakwata ingependwa na kuridhiwa na Waislamu wote au weeengi wa Tanzania, na zisinge tokea fitna na mambo ya kuwachongea wengine kama haya.........
@jumaa0522 ай бұрын
@@OmarAlly-iz8ot habibu kuna salaf,sufi na Shia je ? Ww kiongozi ulitaka atokee upande upi?
@user-zr2pn5uv8b2 ай бұрын
Eti kibiti nyie babu zangu mmevurugwa na chuki mpaka hamuoni
Naombeni elimu wenye elimu yenu, hivi mtume au maswahaba wake waliacha kufanya kazi (kupumzika) siku ya mwaka mpya wa kiislam? Nisaidieni tafadhali mimi kilaza kwenye hilo!
@user-zr2pn5uv8b2 ай бұрын
Hilo utalikuta bakwata tu
@jumaa0522 ай бұрын
IJumaa ni kama idi je nayo watu hupumzika hayo ni matakwa yako habibu
@Mauya232 ай бұрын
@@jumaa052 Sikiza vema clip hii ndio utajua mantiki ya swali langu
@AtwiyyaBaba2 ай бұрын
Eti kichwa Ndondi😂😂
@aishathabit37322 ай бұрын
Kwahiyo katiba yenu hata kafiri anagombea uongozi Bakwata?
@jumaa0522 ай бұрын
Mche Allah dada taasisi ni ya kiislam haitaj mtu mwengine uelewa na ni ridhk
@IbraFareed2 ай бұрын
Ndo mana dada angu aisha nilikuuliza una elimu gani? Sio kwa dharau Embu kasome katiba ya BAKWATA usiongee vitu ukiwa huvielew au huvijui Unakua kama una dandia dandia maelezo kwa uelewa finyu Katiba iko mtandao itafte isome Anae faa kugombea Utaona Qualified candidate for mufti in TANZANIA
@SheikhYussuf-iv6lo2 ай бұрын
Nchi hii ipo huru kuabudu iweje muishirikishe serekali kwenye uhuru wa kuabudu nchi hii ina madheheb nyingi na za din musitake mufatwe nyie t
@FasihiRaisi2 ай бұрын
Zanzibar hakuna mtu yoyote anaweza kutangaza mwezi mbele ya vyombo vya habar,mwenye mamlaka hayo nimuft tu wanzanzibar,mtu hazuliwi kufunga popote anapotaka duniani,lakini mtu hasubutu kuita wandishi habar kutangaza mwezi,tatizo huko bara hao wanaotaka mwezi mmewalea ndomaana sasa hivi wanakupeni shida,hem wambieni waje zanzibar watangaze mwezi waone chamzee makungu,hao hawana nizam
@khalidalsinany8932 ай бұрын
Zanzibar ni serikali, ofisi ya mufti Iko chini ya serikali, ofisi ya Qadhi Iko chini ya serikali hivyo haitotokea mwanachuoni yoyote anaejielewa akatangaza mwezi Zanzibar kinyume na serikali, ila huku bara Bakwara si chombo Cha serikali hivyo hakina meno.
@IbraFareed2 ай бұрын
@@khalidalsinany893do you listen to yourself?
@khalidalsinany8932 ай бұрын
@@IbraFareed what do you mean?
@aishathabit37322 ай бұрын
Bila aibu leo ndio mwaitaja Palastina?.tena kwa ufahamu wa kimagharib
@IbraFareed2 ай бұрын
Ukhty kwani una elimu gani?
@user-tw4nf6bv8b2 ай бұрын
Ama kweli
@SuleimanKahangwa-oj9eh2 ай бұрын
Pelekeni ujinga
@is-haqmuharram73692 ай бұрын
Pale walipoanza kumwita mufti wa Tanzania ndio shida ilipoanza, huyo ni mufti wa bakwata, Sheikh na mufti mkuu wa Tanzania au sahihi zaidi wa Tanganyika anatakiwa atoke kwenye mwamvuli wa umoja wa jumuia za kiislam...
@IbraFareed2 ай бұрын
Kasome katiba Acha blah blah
@is-haqmuharram73692 ай бұрын
@@IbraFareed unakusudia katiba ya BAKWATA? Itasaidia nini kwenye issue za ki-inchi? Kwani si kila jumuia ina katiba yake? ...
@hajirashid-em5vj2 ай бұрын
Tasisi zote zipo sawa Bakwata mkubali uislaamu ni jambo la dunia nzima mtume hajawapeni haki hii mnayo itaka jifunzeni qurani na suna za mtume uissilaamu hauiihitaji bakwata bali bakwata in wahitaji waislaamu waendeeni kwa upole sio kuwatisha muungu hata waacha salaama shukrani
#Bwakata watoto wa kiislam wana nyanyaswa kuswali mashuleni nyie mna hangaika na kumtakasa mufty? Kweli nyie mna shida ya dini?
@HassanMfaume-oh2zf2 ай бұрын
Mtoto gan kanyanyaswa Nyie mmezoea vurugu Ili kusiwe n aman
@abubakarmuhammadsaid32442 ай бұрын
@@HassanMfaume-oh2zf Kwani amani inaletwa na bakwata!?
@IbraFareed2 ай бұрын
WEWE AISHA KASOME Nachokaga kujibu comment zako
@twahamkasi-gn1lo2 ай бұрын
njaa tu inawasumbua
@IbraFareed2 ай бұрын
Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu Tunaomba utupe ushahidi wa aya uloyaongea Na kama ulesema kwa mhemko nakukumbusha ALLAH سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى ametuambia إِنَّا نَحْنُ نُحْيِي الْمَوْتَى وَنَكْتُبُ مَا قَدَّمُوا وَآثَارَهُمْ وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ فِي إِمَامٍ مُّبِينٍ Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari asli lenye kubainisha. KILA KITU SHEIKH HADI COMMENT (comment nayo ni kitu) QURAAN YA MWISHO NAKUACHIA قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli
@aishathabit37322 ай бұрын
Kumbe katiba yenu tu? Sio kitabu wala suna Bali hata sio katiba ya kitwaghuut
@IbraFareed2 ай бұрын
Uko sawa kiakili lakin ukhty wangu? Sasa UNAJUA IYO KATIBA ILIVYOTENGENEZWA Na ntakuuliza mimi NCHI YA TANZANIA KATIBA YAKE inasema MTU YOYOTE AABURU CHOCOCHOTE ANACHOSTAHIRI je wewe unaishi kwenye nchi ya namna hiyo na unaongozwa na katiba hiyo mbona huendi kuishi kwenye nchi ya TAWHID KWAHIYO HUFUAT KITABU AU SUNNA
@aishathabit37322 ай бұрын
Mpo wapi na tauhiid? Mnachochea waislamu wapotezwe? Kweli nyie ni waislamu? Mnalazimisha kulinda sheria za nchi 1 sheria zenyewe ni za kikafiri 2 sheria zinatoa uhuru wa kuabudu je mnapingana nazo? أين أنتم والإسلام؟
@IbraFareed2 ай бұрын
Kasome
@AbuubilalyHizzah.2 ай бұрын
Edd haipangwi na taasisi bali eddi inakuja kwa mpango alioupanga allah kwa miezi na siku malum mpango huo wakupanga sikukuu ndio unao sababisha vurugu kwakua nikupora mamlaka ya allah ktk kuwapangia waumini ibada
@HassanMfaume-oh2zf2 ай бұрын
Sasa wale wanaojiita Basuta wanaotangaz mwezi w kimataifa Nao n Mungu au
@abubakarmuhammadsaid32442 ай бұрын
@@HassanMfaume-oh2zf Kila Muislamu anayo haki ya kufuata taasisi aitakayo, musilazimishe ifuatwe bakwata ua mufti wa bakwata.
@AbuubilalyHizzah.2 ай бұрын
Kiongozi mwenye haki ya kutwiiwa na ukiondosha twaa kwake ni haramu na utaadhibiwa ni khalifatu hatakama awe muovu madam bado ana mamlaka lazima umtwii sasa viongozi wataasisi zinazo mpinga allah ila kwavipande vipande ndio humtambua uwepo wake nao wapewe twaa kweli!!!!? Tumcheni Allah kuna hisabu natuseme maneno ya saya na yenye uwadilifu
@mfaumekawaye20182 ай бұрын
Jamani sasahivi watu wameamka haiwezekani kubebwabebwa tu ukweli tumeujuwa nawala hakuna miezi miwili dunian sisi tutafuuta mwezi wa Allah nawala siwabakwata nawala atuvuji aman yanchi
@saidsaid-oj6qx2 ай бұрын
Mzee kuwa mkweli unasema kibiti kulikuwa na mauaji walukuwa wanauwa watu kule walikuwa answari sunna hebu acha kucochea sema ukweli ipo siku utakuatana na Mola wako serikali ilidhibitisha mauaji nani alikuwa anauwa watu iweje uje wewe na ujinga wako hao nakulopokwa na ndo maana unashindwa kuongea hapo unaji ngongagonga tu hapo
@user-zr2pn5uv8b2 ай бұрын
Nadhani hizi ni chuki zake tu na hilo Baraza lao la ulamaa mambo ya kibiti yamehusikaje hapa tamko la hovyo sana hili
@YaziduIddy2 ай бұрын
Ndo mjue mawahabi mnafitna na ushabiki bado tu mnajitakasa kwani saudia ina taasisi mmoja mbona kuna taasisi nyingi sana lakini kwenye suala la waislam taasisi mmoja ndo inatangaza mambo yanayohusiana na uisilam kama vile mwezi hajji taasisi mmoja ndo inatangaza
@karimdaud39932 ай бұрын
Hakuna haja ya kua na iddi mbili nchi yoyote ispokua hapa
@abubakarmuhammadsaid32442 ай бұрын
Sifa za Masufi Ahlul-Bidaa wal-hawaa ni uzushi na uongo tu
@user-zr2pn5uv8b2 ай бұрын
unajua Muft wa saudia anavyochaguliwa!? Halafu ndio ufananishe na huyu wa kwenu
@abubakarmuhammadsaid32442 ай бұрын
@@user-zr2pn5uv8b Huyu wa kwetu amechaguliwa na Taasisi yake, na taasisi nyengine pia huchagua kiongozi wao mkuu.
@YaziduIddy2 ай бұрын
@@user-zr2pn5uv8b tuambie wew tujue anavyochaguliwa ala mungu kashasema jiepusheni na dhana hakika baadhi ya dhana nimadhambi
@AbuubilalyHizzah.2 ай бұрын
Kiongozi mwenye haki ya kutwiiwa na ukiondosha twaa kwake ni haramu na utaadhibiwa ni khalifatu hatakama awe muovu madam bado ana mamlaka lazima umtwii sasa viongozi wataasisi zinazo mpinga allah ila kwavipande vipande ndio humtambua uwepo wake nao wapewe twaa kweli!!!!? Tumcheni Allah kuna hisabu natuseme maneno ya sawa na yenye uwadilifu huku tukijua allah anatusikia na kutuona
@HassanMfaume-oh2zf2 ай бұрын
Kwan Saudia Kun taasisi Moja?Mbon mamlak y mwezi inatangaza Taasisi moja
@mohammedgumbo46332 ай бұрын
kwakweli waislam tunatia aibu yani hapo watu wanachumia tumbo2
@abubakarmuhammadsaid32442 ай бұрын
@@HassanMfaume-oh2zf Nitajie taasisi moja tu ya kusimamisha uislamu Saudia ambayo siyo ya Mufti! Haipo.
@IbraFareed2 ай бұрын
@@mohammedgumbo4633 Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu Tunaomba utupe ushahidi wa haya uloyaongea Na kama ulesema kwa mhemko nakukumbusha ALLAH سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى ametuambia إِنَّا نَحْنُ نُحْيِي الْمَوْتَى وَنَكْتُبُ مَا قَدَّمُوا وَآثَارَهُمْ وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ فِي إِمَامٍ مُّبِينٍ Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari asli lenye kubainisha. KILA KITU SHEIKH HADI COMMENT (comment nayo ni kitu) QURAAN YA MWISHO NAKUACHIA قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli