Mimi sitoi pongezi kutokana kituo mnacho jengo bado nikidongo sana wakati mbeya nikubwa sana ulitakiwa kujenga hadi hoteli za kisasa Na super market
@deogratiusa.massawe89222 ай бұрын
Engineering at its best
@osi_ministry3 ай бұрын
Jengo Hilo haliendani na hadhi ya Jiji
@maishasafari97242 ай бұрын
Kweli kabisa, uongozi wa Mbeya unamatizo.
@kalingaasukile87303 ай бұрын
Harafu unakutana na mtu anasema anamtaka Sugu unashindwa kumshangaa 😂
@HakeemBakary3 ай бұрын
Kabisa Yani, hata mm nilikua na huo ushabiki lakn nikaona tunajichelewesha wenyewe.
@levensonsinkamba47722 ай бұрын
@@HakeemBakarykweli kabisa
@kalingaasukile87303 ай бұрын
Mbona picha mnazipitisha fasta fasta?
@lawamaandrea14452 ай бұрын
Apa Kuna namna
@lilianmaktauleshabari3 ай бұрын
Engineer msomi Oscar👏
@odoieriasmonga65913 ай бұрын
asante sana engneer Osca
@janethimma15823 ай бұрын
Proud of you Engineer! Keep going and shinning! We are super happy for you
@Aminmwansile-we8vn3 ай бұрын
Tuonyeshe ramani ya stendi msije mkajenga kama ile ya nane nane badala ya kujenga kama ya mbezi ya magufuli wakati mbeya ni jiji kubwa la tatu Tanzania. Kwa kuwa na uchumi mkubwa pia linashika nafasi ya tatu
@deogratiusa.massawe89223 ай бұрын
Mradi mzuri wa kimkakati katika jiji la mbeya, hongera na pongezi kubwa kwa serikali ya awamu ya 6 👍