Пікірлер
@CharlesNgamanya
@CharlesNgamanya Ай бұрын
Niutapeli tu umeja hapo
@CharlesNgamanya
@CharlesNgamanya Ай бұрын
Mimi sitoi pongezi kutokana kituo mnacho jengo bado nikidongo sana wakati mbeya nikubwa sana ulitakiwa kujenga hadi hoteli za kisasa Na super market
@deogratiusa.massawe8922
@deogratiusa.massawe8922 2 ай бұрын
Engineering at its best
@osi_ministry
@osi_ministry 3 ай бұрын
Jengo Hilo haliendani na hadhi ya Jiji
@maishasafari9724
@maishasafari9724 2 ай бұрын
Kweli kabisa, uongozi wa Mbeya unamatizo.
@kalingaasukile8730
@kalingaasukile8730 3 ай бұрын
Harafu unakutana na mtu anasema anamtaka Sugu unashindwa kumshangaa 😂
@HakeemBakary
@HakeemBakary 3 ай бұрын
Kabisa Yani, hata mm nilikua na huo ushabiki lakn nikaona tunajichelewesha wenyewe.
@levensonsinkamba4772
@levensonsinkamba4772 2 ай бұрын
​@@HakeemBakarykweli kabisa
@kalingaasukile8730
@kalingaasukile8730 3 ай бұрын
Mbona picha mnazipitisha fasta fasta?
@lawamaandrea1445
@lawamaandrea1445 2 ай бұрын
Apa Kuna namna
@lilianmaktauleshabari
@lilianmaktauleshabari 3 ай бұрын
Engineer msomi Oscar👏
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 3 ай бұрын
asante sana engneer Osca
@janethimma1582
@janethimma1582 3 ай бұрын
Proud of you Engineer! Keep going and shinning! We are super happy for you
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 3 ай бұрын
Tuonyeshe ramani ya stendi msije mkajenga kama ile ya nane nane badala ya kujenga kama ya mbezi ya magufuli wakati mbeya ni jiji kubwa la tatu Tanzania. Kwa kuwa na uchumi mkubwa pia linashika nafasi ya tatu
@deogratiusa.massawe8922
@deogratiusa.massawe8922 3 ай бұрын
Mradi mzuri wa kimkakati katika jiji la mbeya, hongera na pongezi kubwa kwa serikali ya awamu ya 6 👍