Nimeaza mda sana kufatilia kazi zako uko vzr nakuombea sana mungu ndo anajua
@SomoeHamisi-s3z14 күн бұрын
Mwenyenzi mungu azidi kukufungulia nakubali kazi zako zidisha usikubali kukatisha malengo yako nakuelewa sana🙏🙏🙏🙏
@eladichristian760321 күн бұрын
Good
@ibrahimomari245824 күн бұрын
Inna lilah waina ilaihi rajiun Poleni sana ndugu....
@mawazochanya208126 күн бұрын
Ibrah anavutia sana uchezaji wake.Defence minded boy, swimming in the basic principle of "PROTECT YOURSELF AT ALL TIMES" while making swift movements to the sides, throwing jabs and shorts bursts of attacks.
@mohamedomari612926 күн бұрын
Mtihani sana.
@Ndu-wa.uroony226 күн бұрын
Ujinga mtupu
@mohamedomari612927 күн бұрын
Spidi ya kuongea ni ngumu lakini jitahidi ipungue
@user-fq6xx4ww4c29 күн бұрын
Ingkuwa mechi ushind ningmpa chino
@bujikukomanya6633Ай бұрын
Boxing to the next level keep pushing guys
@khalfanisaidi8745Ай бұрын
😂😂
@BenilogatzАй бұрын
Kaka saidi utamuuwa uyo
@PatrickVenance-kj2wjАй бұрын
Good sparing for all two champions Good movement,fast punches,relax, speed and confidence. Salute sana machampion📌📌📌🚀
@amitinmbamba4358Ай бұрын
its the dimples for me ....King Class...Kwenye kuchepuka hapo vipi? Tukujengee sanamu lako TABATA haahaha
@ZuhuraWaminani-m2lАй бұрын
Pole maisha ndio yalivyo
@BakaribarutiАй бұрын
Nina mashtaka na mpigaji hii kazi angepewa kiduku
@SalehManyanyaАй бұрын
Chino Ana speed nzuri sana Yan Ringball
@YusuphLussewaАй бұрын
Nan kafarik
@Tzn255Ай бұрын
Chino … power + speed ✅✅✅. Hata usimamaji tu unaona kabisa mtu wa kazi
@fabianferick2259Ай бұрын
Angekuwa Hana hiyo element sura ilikuwa imeshaharibika kabisa tatizo anapenda kujisifia sana kuliko kufanya kazi
@MengiMeng-fd7sqАй бұрын
Safi sana mdogo wangu ndio maana ulingoni wanakaha madondia vilaza
@landmadvdmbeyacity956128 күн бұрын
Wekilaza nn
@landmadvdmbeyacity956128 күн бұрын
Acha dhobi ww
@OmasitaMangiАй бұрын
kama jiwe
@Basagamp4Ай бұрын
Duuuuh
@muddyzanga7476Ай бұрын
Ibra ana skills sana i like that napiga target safi sana
@user-ms1xg1fp4vАй бұрын
Kazi zengine mtihani.ndio maana warembo wanaishia kwa wasanii wa miziki.Maana hela ya Bondia hailiki inapatikana kwa mtiti mkubwa.
@jaymwinyi695725 күн бұрын
😂😂
@FrankBororo-dk1fvАй бұрын
Pole sana,Ibra. Pamoja na hayo yote,huyo anabaki kua mzazi wako tu mpaka kesho kwa Mungu. Heshima baba na mama yako upate baraka tena na siku nyingi za kuishi duniani. Neno la Mungu linasema hivyo. Mungu hajasema akiwa mlevi,jambazi,muhuni,mwenye roho mbaya au aliefanya kama hayo,basi usimheshimu. Kinyume na baraka ni LAANA,Ibra. Tafuta baraka zake utafika mbali zaidi ya hapo. Hayo alioyafanya muachie yeye na Mungu wake.
@luqumanayubu5773Ай бұрын
Wapi hapa
@MohamedAbdiyer-yh6beАй бұрын
Hakuna champion mwenye akili nyingi ulingoni kumshinda ibrahim classic...
@kibwanambelwa8352Ай бұрын
Safi sana chinno anachakujifunza kutoka kwa Ibra class hasa matumizi ya akili na relaxation techniques and targets....best sparring for all
@SeifHassan-y5yАй бұрын
Nakubal champion
@hamisikirimbaki1195Ай бұрын
Kazi kazi
@AishaMtangiАй бұрын
Duu inaumiza sana😢
@PaulCharles-ox9pgАй бұрын
Noma sana champion wote ndo hvyo maisha yetu
@Betty-x9zАй бұрын
Lakini hata yeye zilikua ni akili za kitoto coz alikua mdg Sana kipindi hicho
@ibrahimuclass_Ай бұрын
Ni kweli😅
@Betty-x9zАй бұрын
Nakumbuka alikupaga suruali yake Uvae ili uje Dar😂😂😂
@CynthiaWillium-cy5ehАй бұрын
Pole champion
@Bondia_mremboАй бұрын
😂😂😂 pole ila hao dada zako sio poa
@user-eb3hf1lm9eАй бұрын
Mungu akulinde kaka
@AyubuMuhangaАй бұрын
Daaah kweli,, asa kwani wew msoja au,, mbona ukomandoo tupu nauona hapo 😂😂😂
@JosephSwaswa-iy8wtАй бұрын
Awa ndio boxer tunao wahitaji ibra ni next level atafutiwe mapambano ya nje challenge mpya mpya
@manpluscompany8922Ай бұрын
NIMEKUELEWA MDOGO WANGU HATARI
@LuseAndersonАй бұрын
Nakubali jeb inaongea classsss mawe
@warrapgtimamuskillz6872Ай бұрын
Haipingwi kama ShoSho
@shahashaban31962 ай бұрын
Kiukweli Mabondia wengi wa bongo hawajui ngumi kama hawa mmmmmhh bado sana
@barakajpilly69002 ай бұрын
sparing tamu, huwa nazipata kwa ibra classic akiwa na ramadhan migwede,saidi chino,apa huwa napata radha ya boxing
@alimasoudali98602 ай бұрын
Pole sana mwamba ndio Dunia ila ni bora kusameh mm ni shabiki Yako ni Pemba nakufatilia kinyama ndugu
@user-ew3eo7tk3l2 ай бұрын
ibrah love
@josephgatunzi16702 ай бұрын
Good job brother
@ibrahimuclass_2 ай бұрын
Shukran Bro!
@AzizalucasMbiduka2 ай бұрын
Pole Ila samehe
@ibrahimuclass_2 ай бұрын
Shukran kaka!
@Benilogatz2 ай бұрын
Kiwasilia ibra umwezi chino ila media zinakupepa sana ww bondia wa moo