BAGAMOYO TANZANIA (Drone Shots)
10:02
Пікірлер
@shanisshow1864
@shanisshow1864 9 күн бұрын
Yani ingekuwa mimi …. Ningepata kwa kuweka mapati ya msauzi yanye rangi kijani sehem yake na mekundu sehemu yake ….. Pia mahoteli ningeweka sehem ya baharini kwa mapumziko ya wageni na kuboresha ufukwe zake
@Babylon_Must_Fall
@Babylon_Must_Fall 2 ай бұрын
Mitaa Mizuri sana na ni rahis kuiendeleza! Sio km dsm lol!
@hajrahmomac
@hajrahmomac 3 ай бұрын
Yaaah welcome lindi
@shabanimataka8418
@shabanimataka8418 3 ай бұрын
Ipo siku
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 4 ай бұрын
hivi nchi imekosa maelekezo ya kitu cha kuezekea...zaidi ya bati zinazopata kutu?
@minikittylilyroblox-t5s
@minikittylilyroblox-t5s 4 ай бұрын
mashaalla
@KelvinWalioba
@KelvinWalioba 4 ай бұрын
Aah hizo gorofa 😄😄kuna mikoa haina kabsa
@KelvinWalioba
@KelvinWalioba 4 ай бұрын
Mwaka 2025 ina hadhi ya kuitwa jiji kabsa
@shedracklusasi7296
@shedracklusasi7296 4 ай бұрын
Very good Geographic location
@innocentkaduma5821
@innocentkaduma5821 5 ай бұрын
Beautiful 🎉
@Steve-z6b1q
@Steve-z6b1q 6 ай бұрын
Eti mbeya city wakati wanaizidi kwa iringa mjini iringa wanaizidi kwa morogoro town
@Steve-z6b1q
@Steve-z6b1q 6 ай бұрын
Eti mbeya city wakati wanaizidi kwa iringa mjini iringa wanaizidi kwa morogoro town
@Steve-z6b1q
@Steve-z6b1q 6 ай бұрын
Iringa ni ni kuliko mbeya city
@HarounKajuni
@HarounKajuni 8 ай бұрын
Uko vizuli sana hongera kwa kazi zuri
@jimmymakwega3872
@jimmymakwega3872 8 ай бұрын
hii keep left ni ya wapi?
@jimmymakwega3872
@jimmymakwega3872 8 ай бұрын
i mean niya morogoro maeneo gani?
@filamupictures9349
@filamupictures9349 5 ай бұрын
inaitwa roundabout ya kuelekea SUA​@@jimmymakwega3872
@jumamukhaimar7307
@jumamukhaimar7307 21 күн бұрын
@@jimmymakwega3872 round abaout ya SUA. inaitwa hivyo kwakuwa kuna barabara inaenda SUA
@salimh3301
@salimh3301 8 ай бұрын
My home town, was born there. Never to be forgotten. I m 70 now but have recently visited lindi
@agnesskasansa9959
@agnesskasansa9959 10 ай бұрын
Mercy wangu
@debbeymajatta2342
@debbeymajatta2342 10 ай бұрын
Jamani inategemeana na tukiyo kama nitamasha kwanini watu wasijichukulie pichatu😅😅😅
@pamelamolapisi6509
@pamelamolapisi6509 10 ай бұрын
🇿🇦🇿🇦❤️
@stellaoseni3454
@stellaoseni3454 10 ай бұрын
They are too much with there phones, so sad
@commscompany1502
@commscompany1502 10 ай бұрын
Gosh ! Mercy is gifted
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 10 ай бұрын
Sasa siku akija BENJAMIN DUBE , ndo Tanzania itahamia uwanjani
@bathshebanjingo4932
@bathshebanjingo4932 10 ай бұрын
Aisee? Hivi hatujifunzi kabisa kwemye videos za wenzetu kunapokuwa na kitu kama hiki? Utaona wanabubujika, wanaabudu kweli, wanaomba hadi wananena. Hatujafanya sawa ndugu zangu, kha?
@Andykeem
@Andykeem 10 ай бұрын
Ministers of God should be giving warning to people not to be snapping them while worship is going on. Mercy chinwo should have used the opportunity to convey the message to the people so they could concentrate
@favourSanangura
@favourSanangura 10 ай бұрын
Powerful singing please come to South Africa in Durban
@Excellence4life
@Excellence4life 10 ай бұрын
🔥🔥
@morethanconqueror2708
@morethanconqueror2708 10 ай бұрын
God bless you precious beautiful minister God
@VictoryEkor
@VictoryEkor 10 ай бұрын
I tap form your grace mama❤❤❤
@dennisamisi5697
@dennisamisi5697 10 ай бұрын
Instead of lifting hands to the Lord you lifting phones 😢😢😢
@SalomeNwachukwu-ol8bx
@SalomeNwachukwu-ol8bx 10 ай бұрын
Exactly what I noticed. More interest on pictures and videos the essence of the worship
@dennisamisi5697
@dennisamisi5697 10 ай бұрын
Jamani watanzania mmetuangusha😢simu 😢😢
@ElimwemaSarwat-nb2fg
@ElimwemaSarwat-nb2fg 10 ай бұрын
Sasa watanzania mnaabudu au mmekuwa wanahabar stupid
@giftudo5273
@giftudo5273 10 ай бұрын
It will be so much privileged to meet you one and One,you are God chosen to world 💕💕💕
@maryaika9645
@maryaika9645 10 ай бұрын
Mbona Israel Mbonyi hamja mwalika
@gracenbarnes5254
@gracenbarnes5254 10 ай бұрын
Akipata kibali kwa waalikaji atakuja tu
@mtilimsita6675
@mtilimsita6675 10 ай бұрын
Wanachekesha
@wycliffejuma894
@wycliffejuma894 10 ай бұрын
Tunajua mko na simu,mziweke kando wakati mungu anhudumia mioyo ya wenye njaa na kiu ya mungu Tania mbaya Sana.
@catherinemakule1965
@catherinemakule1965 10 ай бұрын
Nashindwa ata kucconect in spirit. Ata simalizii hii video, not with those phones.
@catherinemakule1965
@catherinemakule1965 10 ай бұрын
Kwakwel naona adi aibu.😅😅😅😅 Jamani hizo simu
@catherinemakule1965
@catherinemakule1965 10 ай бұрын
Ivi mlikuwa anaabudu au mnamchukua mercy 😅😅😅
@UpendoJoseph-b3z
@UpendoJoseph-b3z 10 ай бұрын
Watanzania tumemuangusha Mungu busy na simu kuliko kuabudu
@sibitasoinda7908
@sibitasoinda7908 10 ай бұрын
Icheki Hadi mwisho utaona 😊 hapo ni mwanzon TU walikuwa wanachukua kumbukumbu then after walikuwa busy na kuabudu Tusiwe wepes wakuona mabaya kuliko mema Mungu awabariki kutoa muda wao na fedha zao kwenda kumwabudu Mungu Imagine asingeenda hata mmoja😊
@UpendoJoseph-b3z
@UpendoJoseph-b3z 10 ай бұрын
Jamani Mungu aturehemu ,
@sarahprotus6817
@sarahprotus6817 10 ай бұрын
So people can not be serious in the presence of God because of their phone.. God have mercy 😭
@MercyKapihya-qf1lu
@MercyKapihya-qf1lu 10 ай бұрын
It's my prayer that I meet you in personal and talk. I love you so much mom mercy my name sake and inspiration
@compteelohimmulti-services5429
@compteelohimmulti-services5429 10 ай бұрын
mama Charis of the Most Hight GOD
@ferrymalikioli9857
@ferrymalikioli9857 10 ай бұрын
Hizi simu zianze kukatazwa sasa, zina distract watu. Mimi siwezi kumleta mgeni a minister of the gospel kutoka mbali ili ahudumu kiroho na watu hawaingii rohoni kwa sababu ya simu. Hii si sawa kabisa, nashauri kwaanzia sasa hizi simu sisiruhusiwe wakati wa ibada ili watu wafanye kile kimewaleta kumwabudu Mungu.
@falijiubamba4155
@falijiubamba4155 10 ай бұрын
Hadi hasira yaan 😭 Mungu aturehemu
@stellawanjiru4278
@stellawanjiru4278 10 ай бұрын
They are just taking memorable photos
@sibitasoinda7908
@sibitasoinda7908 10 ай бұрын
Uko sahihi kwa nafasi Yako ila kumbuka Hii video umeweza kuiona kwa sababu Kuna watu walikuwa busy na 📷 kuhakikisha inarecordiwa mwanzo mwisho Wanachukua TU ukumbusho na kama umeangalia Hadi mwisho Kuna mahali simu hazionekani na simu wako busy kusifu na kuabudu
@upendogreutert199
@upendogreutert199 10 ай бұрын
Nope wanaoruhusiwa Wangetakiwa ni watu wa Media na camera 🎥 tuuu hao wa simu too much
@silviasanchez2957
@silviasanchez2957 10 ай бұрын
Kweli kabisa!
@ElizabethJonathan-d2e
@ElizabethJonathan-d2e 10 ай бұрын
🔥🔥🔥🇹🇿
@janetdundul3858
@janetdundul3858 10 ай бұрын
Yani wabongo kwa simu apana jamani 🙌🙌🙌🙌🙌🙌😔😔unatakiwa huwe ndani ya roho sio uwe ndani ya simu 😢😢😢😢
@enjoymovies8646
@enjoymovies8646 10 ай бұрын
Imefika mahali sasa simu ndio ingoi na kufurahi kuliko sisi wenyewe... Yaaani ni kila mtu yuko na simu juu badala ya kuenjoy the nice music 😢😢😢 daaah okay
@janetdundul3858
@janetdundul3858 10 ай бұрын
😅😅😅😅wewe ujui bongo matatizo
@BUSHUTV1
@BUSHUTV1 10 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/qKKcY6hnmcpkfKMfeature=shared Lazima ucheke tu hapa😂😂😂😂 Ukishare nkunisapot kazi yangu
@IbrahimMohamed-c3c
@IbrahimMohamed-c3c Жыл бұрын
Incredible very amazing 😍 video 🎥
@IbrahimMohamed-c3c
@IbrahimMohamed-c3c Жыл бұрын
Kilichonivutia ni kwa naamna ambavyo umepangwa vzr😊