Wapinzani kuchukua NCHI HII nindoto,,unatumia muda mwingi kukosoa hamsemi ninyi mtafanya Nini endapo mtapewa NCHI hii,, CCM itawaburuza sana mpaka muache unafiki wenu ndani ya vyama vyenu 👍
@user-zr1he6jb3mСағат бұрын
😂😂😂hongera Mungu akulindeee kila mamlaka inatoka kwake ni kutiii tuu
@ShafiiDauda-pv2kx2 сағат бұрын
Jwt Kongo
@kepherbwonya17292 сағат бұрын
Viongozi wa Kenya waige mfano wa Makonda.
@kepherbwonya17292 сағат бұрын
Makonda hoyee nakukubali kwa kazi yako nzuri. Mungu akulinde wewe ndio kiboko ya mafisadi mtetezi wa wanyonge.
@Maichampiongirl3 сағат бұрын
#Mhmakonda tetea haki ya huyo Mzee anavyoteseka kama anavyotesekaga baba angu mpka viatu vinaisha Kwa siku moja Kwa kutembea kufuatilia haki zake na 😢😢
@Maichampiongirl3 сағат бұрын
#RCPmakonda msaidie huyu mzee anahangaika kama baba yangu wallahi alitembea na anatembea mpka viatu vinaisha soli kwa siku moja inauma sanaaa😢
@MathewKabangila3 сағат бұрын
Msukuma ww unafaa kuwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania
@jeremiahblazio47813 сағат бұрын
Kumbe wananchi hatutakiwi kujua kinachoendelea nchini
@RamadhaniAyubu-dj5cb3 сағат бұрын
Akika uyu kiongozi yuko vizuri
@user-gx3np4gc2l4 сағат бұрын
Good advise
@Dominant974 сағат бұрын
Mungu mbariki Makonda
@user-us5xl4zu3r4 сағат бұрын
Aisee ,huyu Spika mmh.Mpina kusema ukweli ,kosa.Sasa nani mtetezi wa Wananchi? Kumbe Bunge nalo halitaki Mbunge anayetetea Wananchi.Bali wanakubali wananchi kuumizwa kila kona.Hapa wananchi tujitafakari sana mwaka 2025.
@user-ou4tm2xi6p4 сағат бұрын
Daa paka uluma
@SarahShao-jw1up5 сағат бұрын
Chadema adui yenu ni mmoja tu! NA ANAJULIKANA. PAMBANENI NA HUYO.
@MusaOgwoko5 сағат бұрын
Hakili nyingi udanganyiki
@MusaOgwoko5 сағат бұрын
Makonda cheo Chako uwe rais inatakiwa
@laborapetro51175 сағат бұрын
Kiongoz
@mariamalongo88035 сағат бұрын
Duu aridhi ana mchezo wana mchezo mchafu wa kudhurumu watu. Hata mimi nimefhulumiwa Dodoma
@Maichampiongirl5 сағат бұрын
#mhmakonda we ni mtenda haki bila ubabaishaji mungu akuwekee miaka mingi na akuepushe na kila hila za watu wabaya❤❤❤❤❤
@praygodmawalla78845 сағат бұрын
Do police needed to arrest Mpina au uthalilishaji tu. Hawezi kukimbia.
@SamsonMhaya5 сағат бұрын
Wabunge kuweni na machungu na mali za taifa kama Msukuma
@johnjamaly93696 сағат бұрын
Kwakweli nchi ina matatizo mengi ya kiutendaji hapa ni arusha tu je mikoa mingine iliyopo ikoje.tunahitaji kuwa na kina makonda wengi zaidi ili nchi iende. Mungu akulinde makonda na kuongoze katika vita hii ya kupigania haki za wanyonge.
@AishaRamadan-ik7ip7 сағат бұрын
baba makonda unafaa kuwa raisi jmn unafaa kutuongoza maana unapita mule mule mwa magufuli
@AishaRamadan-ik7ip7 сағат бұрын
makonda baba ww unaweza ukawa mtetezi wawanyonge km unafata nyayo na baba yetu magufuli allah akutie nguvu baba yetu
@elpinamatechi29377 сағат бұрын
Bro makonda hongera hongera mno kwa kufanya kazi jema, mungu baba akulinde umilele wote.
@LomayaniLukumayi8 сағат бұрын
makonda...kazi..musuri
@MaickoMsingwa10 сағат бұрын
Uko god
@alimbuyi133711 сағат бұрын
Toka makoda
@abdalahgunda131913 сағат бұрын
Big brain big thinker simple explanation all Tanzania population who leasening tundundulisu understand him vary clear only who agui with tundundulisu is ccm coruption people only within ccm leadership odinary ccm understand lisu vary clear on chadema who want leadership use money force has to be enemies to chadema political party
@Becka_mrliverpoolMwanyik-hj6no14 сағат бұрын
Duuh! Noma sn askar wametoka dar mpaka kumkamata mwamba mdude mwisho wasiku wameishia kua wateja wake wa vitabu!😂😂😂😂😂😂
@DavidMMKing14 сағат бұрын
Hili Bunge halina maana yaani kama hamjui hata maana ya mipango sasa mnafanya nini kelele tu! Hili Bunge lifutwe tu mnapoteza hela ya umma!
@barnabasmsamwel429214 сағат бұрын
Mpina tutampigia kura %100 ,2025
@LucasSanane14 сағат бұрын
Kunawanawanake wengne hawajui kkabsa tendo
@LucasSanane14 сағат бұрын
🎉 I've got the same message
@user-xn3gs9qc8u14 сағат бұрын
Mpina yuko sawa WAZIRI WA KILIMO AMETUTESA SANA MCHELE HADI 3800 KUTOKA 1400 SUPER MAHARAGE YA NJANO 4000 KUTOKA 1800 SUKARI ILIFIKA 8000 KUTOKA 3500 😢😢 JAMANIII.
@user-lk1wu8cs5c14 сағат бұрын
Asante sana gwajima.
@user-sl1ko9me7u15 сағат бұрын
SPIKA ALITAKA RIPOTI YENYE UKWELI WA RUSHWA NA UFISADI KUHUSU BIASHARA YA UINGIZAJI SUKARI NCHINI IWE SIRI ILI WATANZANIA WASIJUE UKWELI....SPIKA AMESHINDWA KATIKA HILO....NA WATANZANIA TUNAKWAMBIA SPIKA 'WATANZANIA SIO WAJINGA'
Mungu akulinde Kwa Kila baya kazi Yako inaonekana ,huo ndyo utendaji mkuu
@user-gn8ny8yw3u15 сағат бұрын
Makonda mungu akulinde
@johnsonkapira22215 сағат бұрын
Haya yote yanahitaji kuwa na Katiba bora ya nchi otherwise huwezi kuwa na hiyo political will.
@MsigwaMayengo15 сағат бұрын
Mungu akulinde
@mussaharun725715 сағат бұрын
Makonda kwa sababu za kiusalama wako na wananchi wako ni vema mikutano ikazingatia muda. Ari yako ya kusaidia watu iende kisasa zaidi. Pokea kero kwa maandishi kisha zipangie muda. Si wote wanakupenda na giza limelaaniwa mkuu wangu wa mkoa.
@RamadhanKitama15 сағат бұрын
Mmeona maiki ya bungeni anatembea nayo mpina front of kaunda suti😂, editing failed 😂😂😂😂😂
@msafiriomary89316 сағат бұрын
Wanainchi tunawajuwa sana Huwa hampendi ukwer Mpina chama la mwamba wetu ndio maaana