Hakika ALLAH akusimamie Ktk maamuzi Yako ya kila SKU hakika ALLAH akikkupa busara amekupa kilicho bora, tuko pamoja All the way acha wanaokusema vibaya waendelea wamelelewa vibaya.
@edgarmbegu197420 сағат бұрын
Ushindi wa absolute majority huwa ni 50+% siyo 50%
@MomadechaualibraimoChaualibrai20 сағат бұрын
Tufanhie tuone
@MomadechaualibraimoChaualibrai20 сағат бұрын
Nimeipenda iyo stairi
@JuliusBarigiza-tk9bz21 сағат бұрын
Makonda bc ukikosa urais Mungu asaidie walau uwe wazr mkuu
@JuliusBarigiza-tk9bz21 сағат бұрын
Mungu ni mwema sana kasikia kilio chawatz wengi baada ya kifo cha Magufuli sasa ametuletea mbadala wake mwenye udhubutu nakusaidia wananchi wanyonge Nae ni Makonda ,hakika Makonda Mungu akulinde nausilegeze kaza supana tuu urais niwako wakati ukifika
@FarajiHashim21 сағат бұрын
Hongera sana miss love!!!!
@FarajiHashim21 сағат бұрын
Napenda sana unapoelekeza kwa vitendo waoooh.
@NehemiaZakeo21 сағат бұрын
Amina
@FarajiHashim21 сағат бұрын
Vizur sanaana😂😂😂
@FarajiHashim21 сағат бұрын
Ungeonyesha mfano kwa vitendo.
@FurahaOmary-mt2sr21 сағат бұрын
mungu akupe maisha malefu
@NehemiaZakeo21 сағат бұрын
Aisee!! Tanzania linituta kapo pata maendele?
@zaishanga162221 сағат бұрын
Usijali mama mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe na debe tupu hakuachi kutoka nakukubali mama piga kz achana na waropokaji❤
@juliusmoivana984421 сағат бұрын
Mwamba wetu makonda mungu akulinde
@hamisjuma230121 сағат бұрын
Pole mama yetu mpendwa wetu mungu yupo nawe
@festokitule972721 сағат бұрын
Mi naona kulalamika ni ujinga tu mhimu ni kutoa mawazo ya maana.Sasa hapo unamhadaa nani? Hilo ni tatizo la upizani.
@user-cn5ft9ss6x22 сағат бұрын
Mama samia tunashukru kutuletea chuma iki kinafaa sana kwa huu mkoa , makofi kwa kaka paur 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏mama unaona mbali huu mkoa unafaa kwa uyu mwamba .
@LucasdaudiLugalata22 сағат бұрын
Ipo siku
@tresorbientot23 сағат бұрын
Trebien
@eliasthomas693823 сағат бұрын
Unanikubusha kama munzee walubabangwe mamuzi ya makosa chapa kanzi
@user-uf9ru3lj8s23 сағат бұрын
Nimekukubar poo
@MussaNgosi-tk6cu23 сағат бұрын
Huyomutenda kaajiliwanaselekali naanalipwa
@erwinkitali1883Күн бұрын
😔Dah!.. kuna kazi ngumu sana ya kuwafanya wasimamizi/wakurugenzi wa miradi mbalimbali ya kimkakati,inayofanywa na serikali,kuzingatia maadili ya vyeo vyao!
@GraceMbungu-hn7oiКүн бұрын
Hatari sana
@user-bs9tv3dp1lКүн бұрын
Uyo dada taperi
@NelsonagustinoSwaiКүн бұрын
Lema uko sawa kabisa MUNGU akulinde popote uendapo
@TitoNgomuoКүн бұрын
This is new Tz,, new sizon,, New mindset,, new vision,, and everything
@TitoNgomuoКүн бұрын
Sikia sala ya mkuu wa mkoa,,
@ChigaBoy-dw8zcКүн бұрын
Makonda mungu akupiganie
@obednyagani506Күн бұрын
Lisu oyeee🎉
@PhilipinaSamaytuКүн бұрын
Emmanuel Daudi
@niyonzimakatama6516Күн бұрын
Roho wa Mungu afanye kazi ndani yetu wananchi tujuwe Lema anachokisema ili tujipange ukweli yuko sahihi
@msafiriomary893Күн бұрын
Ongea point acha mapenzi
@elizabethmakaranga218Күн бұрын
Spana supanaaa sijui sipana yote sawaa mwanangu makonda mungu akukinge na wenye mawazo machafu wakati ukitekeleza majukumu ukitumia kivaa maalumukiitwacho spana ,S I P A N A
@RESTITUTAMOLLED-mp3ppКүн бұрын
ni ukweli usiopingika,nakuelewa sana,umenena baba,
@RESTITUTAMOLLED-mp3ppКүн бұрын
sema ukweli,mimi ni ccm ila kwa hapo ukweli umesema haupo giki
@raphaelmshaula6368Күн бұрын
Asante makonda Mungu akutie nguvu kupapambana nawanaomkosesha amani ya huyo mama mjane hiyo ni haki yake
@elinazuberi2689Күн бұрын
Amina barikiwa sana mtumishi wa Mungu makonda yesu aendelee kukutunza
@michaelthobias9967Күн бұрын
Futeni hiyo jpm ndio alama yenyewe na mwangaza kwa watu kama makonda
@HemedDundaКүн бұрын
Wambie kwelitu usiongope mtuu apo
@HemedDundaКүн бұрын
Nikweli mama kunawatu wana ooongee achanaooo sio wema aoo
@HemedDundaКүн бұрын
Kaka usilolijua litakusumbua wamoja aoooo da
@stamillusatila9084Күн бұрын
Mama usikatishwe tamaa, kazi iendelee ❤❤❤tunakupenda sana
@HemedDundaКүн бұрын
Watuchonge aooo ukifaata utaumia
@YOSHUAMWAMPETAКүн бұрын
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan , ni kweli kila kiongozi hakosi kuwa na MAPUNGUFU TENA YASIYOHESABIKA.Lakini wewe UMEZIDI UPOLE NAYO NI MAPUNGUFU TENA MADHARA YAKE NI MAKUBWA . JE DEMOCRASIA ni kudhalilisha KIONGOZI ? Bila shaka ni HAPANA. Namsikia Mheshimiwa Tundu Lisu akiongea kwa namna mbalimbali kama vile ni kipindi ch aKAMPENI WAKATI MUDA WA KAMPENI BADO. Huu ni wakati wa kufanya KAZI WALA SIO WAKATI WA KAMPENI,Ukiruhusu hali ya Wanasiasa waongee kila jambo na kutukana HIYO SIO SAHIHI .NAKUSIHI SANA SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI.Mikutano inayobeba udhalilishaji IFUNGIWE BADALA YAKE PAWE NA MIDAHALO yenye HESHIMA KWA NJIA YA REDIO AU TELEVISION kwa HESHIMA NA MANUFAA KWA UMA.
@fadhakirnassir2917Күн бұрын
Kawaida ya wakizimkazi hua waungwana
@DoriniDamianКүн бұрын
Daaa!! Huyo ndo makonda
@RoseNgezeКүн бұрын
Ungekuwa mkuu wa mkoa mwanza tungepona
@user-ck2pl7mp3dКүн бұрын
Si tunalima mahnd tu bei ndogo kumbe waviziaji wapo njo pga spna nanjombe