Safi sana Lisu uko sahihi kabisa. Nakuomba kwa Mungu ulinzi. Umebeba maono. Wewe ni simba wa Tanganyika
@lucasmaganga886117 күн бұрын
Eti usitaje majina, sasa kama anawafahamu, na kama wamesingiziwa wataenda mahakamani wenyewe, wew sio wakili wao
@VolvoMwamakula-ci2we16 күн бұрын
Lisu yupo sahihi sn na nimkweli siku zote shida ya watanzania amumfatilii lisu na mwabukusi muko Bize sn na mipira kuliko taifa letu ivo tu
@songeza16 күн бұрын
Lissu una kera
@andasonfue17 күн бұрын
Lisu weeni shidaaa
@songeza16 күн бұрын
Ila lissu Kwa kweli hufai hata robo ya uongozi huna sifa hata wasiwasi hasa unaemuona hafai ndiye anaefaa wewe lissu una matusi mdomoni we rushwa umewaona wapi wewe huna sela
@SaidiMganda16 күн бұрын
Mchochezi alie laniwa anasema uchaguzi niwachadema pesa sio zachaema yani mke niwakwake ila watoto wote sio wakwake inabidi ajitafakari
@VolvoMwamakula-ci2we16 күн бұрын
Uyu.dada elimu yake ni ndogo sn mm nimemuelewa sn lisu lisu yuko sw sw sehemu ambayo mbowe kafanya vizuli anamsifia lisu kanyoka sn
@sangajaffar741916 күн бұрын
MHESHIMIWA LISU HUYU DADA HAYUKO KARIBU NA VYOMBO VYA HABARI
@sekelamwaisela293217 күн бұрын
huyu dada hajui kufanya interview,awachie akina sam na mzungu
@hamadhamud-n4j16 күн бұрын
Hiyo yote ni kwamba akishindwa atasema ryshwa imetembe.ni wogs
@willyfoyafoya791017 күн бұрын
Watanzania tumeshiba kelele za hawa watu wamepelekea vijana wengi kupoteza maisha ,vilema na Vifo sasa wenyewe wanatueleza upuuzi wao watanzania tuachane nao ni wapumbavu
@Juliusmassawe-j7q16 күн бұрын
Wewe umejuaje hiyo rushwa na je rushwa ya ccm unweza kuieleza?.
@IbrahimKasambala-ts8re16 күн бұрын
Dada huyo ni wa upande wa kambi mbowe ametumwa nao
@lucasmaganga886117 күн бұрын
Wewe dada usimpangie mtu cha kujibu, usituletee uoga wako hapa, mbona wew hakupangii cha kuuliza...Cloud ni brand kubwa acha mambo yako bhana
@sangajaffar741916 күн бұрын
Muoga huyu dada ,hajui kazi yake
@WilberforceMtedzi16 күн бұрын
Takukuru wapo,kwanini usitoe ushahidi huko ili watoa rushwa wakamatwe badala yakuongea tu kwenye mitandao?kupiga kelele Kila wakati inatuchosha hiyo sauti . Chukua hatua sahihi.
@EmanuelSanga-vw8yg17 күн бұрын
Ukiona watu wanakubari kuhudumiwa ujue wap upended hu
@johnsinyinza745016 күн бұрын
Wewe mtangazaji toka hapo wewe kama unaogopa kutaja majina wataje shetani.
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey17 күн бұрын
CHADEMA MNADAA WA CHAMA UMEKARIBIA WEWE SIO MWANASIASA BALI NI MKUU WA MATUSI NA VURUGU TUNGOJE YAJAYO MTAJUTA
@monicamwita786516 күн бұрын
Matusiyapo?
@ibrahimandrew84816 күн бұрын
Huyo dada katumea na wajinga wenzie mpuuzi sana
@camilomassao897117 күн бұрын
Presure za nini , wataje na sheria hiyo ya rushwa itumike
@HappyLamceklima-gj7pj17 күн бұрын
Kwani bado mnagombea uhuru?
@AyoubKhatib-p4k17 күн бұрын
Unajihami mapema
@EngelbertMakoye16 күн бұрын
Huyo Lissu atasumbua sana yeye akishinda kwake huo utakuwa ni uchaguzi wa haki na haitakuwa imetumika ila akishindwa yeye huo ni uchaguzi usio wa haki na rushwa utakuwa imetumika. Sasa kama ana hiyo hisia na ukakika huo si aachane na hicho chama anachokitumu kila kukicha muda wote kwa nini anakingangania ahame aende kwingine mbona vyama vipo vingi TU Kwa kweli anachosha . Huyo Hana uwezo wa kuongoza haijui siasa aachane nayo. Anetuchisha hata kumsikiliza .
@chelestinomwajombe93817 күн бұрын
Màridhiàno yalianza kipindi cha magufuli,bila maridhiano wewe usingikuwepo hapa .Hayo unayosema ni ya kufikirika ,assumption ,no real
@margarethsolomon982316 күн бұрын
Kurudi nchini kwako hakuhitaji maridhiano, ni HAKI. ya mtu kwa utaifa. wake, hata Magufuli hakumfukuza Tundu Lisu au Lema, waliondoka wenyewe kwa hiyo hata kurudi hakukuwa na haja ya kuomba kurudi nchini kwao. Walipoondoka hawakufanya majaribio ya kupindua nchi hata iwe vigumu kwao kurudi. Kurudi kwao hakuhitaji huruma au hisani ya Samia
@peterkilima304816 күн бұрын
Interviewer wako spandex gani?
@peterkilima304816 күн бұрын
Spandex =:upande
@camilomassao897117 күн бұрын
Naona anajihami tu
@ablahameliud333317 күн бұрын
Lissu wewe nimjinga tu hujiamini
@Amos-f2m16 күн бұрын
Upumba walisu ni upi? Tumia ubongo wakovizuri wewe
@ceciliamagalabajimmy439116 күн бұрын
Ndio maana hata rushwa ya mapikipiki mmeyanyamazia kama hamwoni. Tuikomeshe rushwa kwanza. Maswali chokonozi, taja wahego wanawaogopa. Jibu safi na la ukweli ndio huo. Pesa inatolewa na wasioipenda Chadema.