Nimazur nimetumia Kwa mda mrefu sina MBA lakin muwasho
@HawaHamisi-u7r13 сағат бұрын
Nilipaka limao na tangawiz ndani ya wiki zinawasha tena
@HawaHamisi-u7r13 сағат бұрын
Nisaidia ni bizaa zip ambazo hazina salfa
@VictoriaHatariКүн бұрын
Mimi nipo mwanza nayapataje mafuta ya,shea batha, na sansi kilim ni bei gani?
@magretwanjiko8501Күн бұрын
Inaweza tumika kw muda gani Bila kuharibika
@zainabupanja74063 күн бұрын
Nyweleyangu imekuwa kav baada ya kuwwka dawa ya box mega mwanzo nilikuwa natumiag movit nifanye Nini kuondoka tatizo hili?
@RahmaMfaume-cc7lc4 күн бұрын
Asante
@UpendoMjema-h4w5 күн бұрын
Nimetumia mnyoyo lakini nimepata mbasana nisaidiekipenzi
@UpendoMjema-h4w5 күн бұрын
Mimi mama mchungaji Niko Dodoma nakuomba nisaidie nywele ikue bila kukatika asante ubarikiwe sana
@gracebimz79355 күн бұрын
@@UpendoMjema-h4w Karibu sanaa. Wasiliana nasi 0764986838
@UpendoMjema-h4w5 күн бұрын
Nisaidie nimejitahidi lakini badonywele inakatika hasa naombamsaada
@SwedyJaffary5 күн бұрын
Naipataje hiyo
@neemamollel51575 күн бұрын
Hatuzimi kabla ya kusafisha?
@ndelemakatele14836 күн бұрын
Da grace naomba kuuliza, kabla ya kupaka mchanganyiko tunaosha nywele na shampoo ,Je na baada ya streaming tunaosha nywele na maji matupu au tunaosha na sabuni ya kawaida? Hapo nakuwa sijaelewa
@ZumratHaji6 күн бұрын
Haiumizi
@TinahSimon-u9z11 күн бұрын
Ni kwa miezi mingpi
@RahmaRidhiwan11 күн бұрын
Jaman mi mi ninay mwili mzm itaisha kwel had naogop nimetumiya kila dawa Lani wap
@AngelWilliam-t8r13 күн бұрын
Na ukifanya ikàisha haitarud tena??
@EroniaEronia-h9d13 күн бұрын
Dada samahani naomba unisaidie mi nilipima nywele yangu nikaona hinaelea ndani ya Gras nikitumia hii MAGA growth DAILY LEAVE IN STRENGTHENER itanifaa kwenye aina ya nywele yangu naomba unisaidie nijue
@AminaMwambashi14 күн бұрын
Vipi kasabuni ketu keusi napataje
@LucyMoshi-j5q14 күн бұрын
Nice
@SalmaAbdallah-yo9tn15 күн бұрын
Wenye nywele za dawa vp inafaa kutumia
@AsmaNyange16 күн бұрын
Izo ta ta mpaka mate
@lightnessPearson16 күн бұрын
Naomba no yako ya whatsap
@Happynesibarongo17 күн бұрын
Mimi. natumia. Papaya
@MarianaMwakatoga18 күн бұрын
Ni stiming gan nzur dear
@milembemasanja-ik5ly20 күн бұрын
Asante dada
@RayyanMasoud-c7g24 күн бұрын
Unawez kuspray ukiw umesuka
@SarahChao-g4f26 күн бұрын
Sarah
@HaidaaliRutaha28 күн бұрын
Utajue kwamba ni original
@MagrethIkoti29 күн бұрын
Jamani nimekulewa sana nitazingatia hayo nikiona matokeo nitakuambia
@JacquelineSospeterLyimoJoJoClaАй бұрын
Nyanya ni hatariiiii nimependeza mwenyew
@SifaPiankaАй бұрын
Asante kwa Usha uri Dr
@monicajoachim9901Ай бұрын
Habari dada nimeona video yako leo 22.9.2024 nimejua nywele yangu ni low porosity natumia bizaa za mega mafuta steaming shampoo na leave in conditioner naomba kujua hii product ya mega inanifaa? au nitumie product gan unaona inanifaa
@MamaYoy-c5wАй бұрын
Uko vizur kwakwel
@nikizakabilaАй бұрын
Safi nimeipenda
@Yasinta-t8iАй бұрын
dada mimi namadoa usoni je, inaweza kunisaidia kuondoa madoa?!
@ZainabuKassim-l1cАй бұрын
Asante sana unaelezea vizur sana, je inawezekana kuweka mafuta tofauti na hayo?
@ZainabuKassim-l1cАй бұрын
Ubarikiwe Dada nitaanza
@GreysonGreyson-z6yАй бұрын
Kama unanywere ndogo ndogo vp
@MwaminiMbaleАй бұрын
Funguwa kichwa chako nione nyele zako dada
@HappynessHongelaАй бұрын
Nimetoka mavibarango
@HappynessHongelaАй бұрын
Hivi pau pau inamadhara
@rogathembise4331Ай бұрын
Asante my
@nikizakabilaАй бұрын
Dada nywwle yangu ni fupi sana je nikitumia hyo stiming zitakua na kujaa
@MagrethIkotiАй бұрын
Je huo mchanganyiko wa asali na tui la nazi unaosha au unaacha?
@khadujifuad9360Ай бұрын
Sina hamu maana maumivu yake balaa na nusu
@DeborhjohnАй бұрын
Na mtu mwey sura ya mafut baad ya hili zoez unashaur atumie mafut gan