We jidanganye na jiridhishe, Ukweli unaujua japo unajifanya huujui. hata hiyo ni gani unayoongeza yaweza kukuonyesha ulivyo mtupu kwenye ugwiji, weledi na unyakanga wa Kiswahili.
@solomonadams633727 күн бұрын
Sio Caribe bali ni Caribbean okay.thankx
@solomonadams633727 күн бұрын
Tanganyika hasio nchi ya Waswahili ni nchi ya Wazaramu,Wahaya,Wachaga ,wamakonde ,Wahehe ,Watanganyika ni Wanigeria wa East Africa sawa,hawana milla wala tabia wao ni wizi na Umalaya tuu ,Ukiwa muarabu maana yake lugha yako ni kiarabu tuu ukizungumza lugha nyenyike ni foreign language to you,nauliza suali Watanganyika wana lugha ngapi¿if you are Scottish English is foreign language 2 you okay it would be very please to you to know who you are.thanks
@solomonadams633727 күн бұрын
Kiswahili fusgha kweo ni Zinjibar 💯👌 every body knows about it.thanks
@RonnieBertinАй бұрын
Wewe ni mzushi tu hauna lolote
@Bahati-u6pАй бұрын
Nikweli
@ShafiiDauda-mh9juАй бұрын
👍👍👍🇹🇿👍👍
@twahakabajemi9716Ай бұрын
Kwanini hamkitumii?
@AllanKaitaАй бұрын
Kiswahili ni lugha ashirafu tamu na adhimu toka Lamu twavyofahamu
@coolbz133Ай бұрын
Swadakta maneno yako nikweli
@malkiawagiza13272 ай бұрын
Kiitaliano na Kiswahili, lugha mbili ninazozipenda mno ❤ Mm ni mkalimani wa Kiitaliano, natumai nitakua mkalimani wa Kiswahili pia (nikiendelea kusoma kwa bidii). Kiswahili ni kama bahari inayojaa maneno, misemo, methali, nahau na kadhalika. Kama wahenga wanavyosema mvumilivu hula mbivu na siku moja juhudi zangu zitazaa matunda.
@durusukiswahili2 ай бұрын
Jiunge na vyama vya wanataaluma kama vile CHAUKIDU pamoja na EAITA.ORG ujinoe pamoja na wataalamu wengine.
@ShadrackAnalo2 ай бұрын
Sasa iyo inatusaidia na nini
@erastuskajuna8122 ай бұрын
Mawazo yote kuhusu kiswahili Cha Kenya na Tanzania ni potofu. Wote wanaongea kiswahili kizuri tu. Ni sawa na kiingereza Cha england, Canada, marekani, Scotland etc. lafudhi yaweza kuwa tofauti lakini lugha ni ileile
Kiswahili kipo kabla yahii mipaka yakenya na tanzania musidanganye watu ilakiswahili fasaha kinaongelewa unguja mjini
@AliKhamis-j9z2 ай бұрын
Kila kilicho nde
@IsaeVuguziga3 ай бұрын
Hamujambo?mimi naitwa isaie VUGUZIGA kutoka Rwanda,nikawa mpenzi wa rugha ya kiswahili,lakini Kuna changamoto katika jamii,ukijaribu kuongea lugha hii unachukuliwa ama kuonekana mujambazi kwawanawo jihusisha na lugha mbarimbari haswa kimombo,kinginecho kinareta usumbufu mukali ni kwamba wenge wadhani wanajuwa kiswahili,ukitazama vyema ukawakuta hawana ujuzi wowote kuhusu lugha hii,na kingine kuweka kikomo ni ugombaniaji chimbuko ya kiswahili kati ya mu Tanzania na mu Kenya,je mwatushauri nini?
@durusukiswahili2 ай бұрын
Hatujambo, ushauri ni kwamba ushirikiane na wote wanaokipenda Kiswahili utajifunza mengi.
@abdalahgunda13193 ай бұрын
Kiswahili kwetu sisi watanzania kizuri sio deal sana tuongee juu ya tanzania ya kesho
@IslahiMohamed-qi2jf3 ай бұрын
Zanzibar ndokwenye kiswahili na sio bara
@innocentfortunatus7252 ай бұрын
Bara ndo nini? Maana wote ni watanzania na lugha yetu ni kiswahili au yale
@r3gistratoe3103 ай бұрын
mi nasoma kiswahili mwenyewe, natoka italia na ninakipenda kiswahili saaaana kweli
@jumaothman20923 ай бұрын
Tatizo pwani ya kenya mlikizarau sana kiswahili sisi wa zanzibar tutakwenda nacho hivyo hivyo ijapokua watu wa bara ya Tanganyika hukiharibu lakini hatujakiacha
@dr.rajabmlekwachimile86993 ай бұрын
Ni lugha pekee Africa ambayo ni rahisi kuwa Lingua franca
@SamsonNkera3 ай бұрын
Kujifunza kiswahili unapoteza mda wako
@niyorukizaelias81423 ай бұрын
We waache tu wa puuzie watajua hawajui maana maisha ni safari ndefu ata mie nilikuaga hivo hivo maisha yakanibidi niende kutafuta maisha Zanzibar nilijutia sana😂 😂😂😂😅
@husseinmwanjela86443 ай бұрын
Wa Kenya mliacha Kiswahili na mkaona Kingereza ni lugha yenu basi tulieni na English yenuuu
@hassanalhussein39822 ай бұрын
Kenya na Pwani Ni sehemu tafauti. Pwani yetu iliunganishwa na Kenya 1963.Sisi tulikua chini ya mamlaka ya Zanzibar
@husseinmwanjela86442 ай бұрын
Hapo sawa
@mondadronography85843 ай бұрын
Uswahilini tuna mda, tusichokifanya leo tutafanya kesho. Kunastarehe tele Uswahilini. Magonjwa ya kimawazo si mengi, upendo na utu umezambaa mno.
@abdulhajiahmed87353 ай бұрын
Pongezi nyingi Madame
@abdulhajiahmed87353 ай бұрын
félicitations, vous parlez couramment le swahili
@abdulhajiahmed87353 ай бұрын
Tatizo ni kasumba ya ujinga kuthamini sana lugha za kigeni, lugha ya Kifaransa si ya Burundi ni ya taifa la Ufaransa kwa hiyo mkataa kwao ni mtumwa poleni sana. Those who deny their culture and language are stupid, are part of the ignorant, Ceux qui nient leur culture et leur langue sont stupides, font partie des ignorants. vraiment désolé pour le Burundi et les francophones
@dylankanyubi37003 ай бұрын
C'est vrai
@abdulhajiahmed87353 ай бұрын
Ahsante sana Jazaka LAAH khaira hapo nimekuelewa kwa ufasaha mzuri
@FaustaKavishe-l1e3 ай бұрын
Kongole sana kwa Baraza la Kiswahili Tanzania na washititi wote wa Kiswahili, hakika tutazidi kubidhaisha lugha yetu adhimu ya Kiswahili👏👏💪
@praisethatprays63053 ай бұрын
HUMPHREY SLOW!! I KNOW WHAT POLEPOLE MEANS IN SWAHILI!!
@dylankanyubi37003 ай бұрын
Kiswahili ni fahari yetu sisi Waafrika.
@MarieClaireHakizimana3 ай бұрын
Ndiyo kiswahili ni lugha nzuri sana❤
@MarieClaireHakizimana3 ай бұрын
Ndiyo kiswahili ni lugha nzuri sana ❤❤
@SantosKapita-gt9rc3 ай бұрын
Watching from Angola 🇦🇴 Portuguese speaking nation 🇦🇴.... Mimi Ninapenda sana kizungizia lugha ya Kiswahili
@AseriKasa-h6y3 ай бұрын
Being a grandson of a fijian chief, our legend state we traveled down the river Rufiji in Africa south of Tanzania, Apparently we were warrior who also worked as gold mines Egypt
@AseriKasa-h6y3 ай бұрын
In Africa, in this Taqanaika region, dwelt for a long time warrior group of people called the'Viti 'people Africa king them very well
@AseriKasa-h6y3 ай бұрын
I'm from fiji Island pacific My grandfather came from Tanganyika Rufiji river 1st century cushites from Ethiopia settle in Tanganyika 10th century AD about this time the fable of fijian from Tanganyika
@othumanlorenzo2602 ай бұрын
ooh u are most welcome i am tanzanian my mother came from Rifiji
@FatmaKombo-y8e3 ай бұрын
Mbona umefanana sana na Dr zeyana au muko ndugu?
@smukangaitv3 ай бұрын
Ufafanuzi mzuri sanaaaaaaaaa
@dylankanyubi37003 ай бұрын
Hapana si akili bandia bali ni akili mnemba.
@dylankanyubi37003 ай бұрын
Kiswahili ni lugha yenye mswano mkubwa.
@dylankanyubi37003 ай бұрын
Mmefanya vyema sana ukuza lugha hii yetu adhimu.
@dylankanyubi37003 ай бұрын
Asante Consolata kwa kunielimisha kuhusu chimbuko la neno mnemba. Kiswahili fahari yetu kitukuzwe.
@halimanafoo24683 ай бұрын
Ahsnte madam ulfat mwalim wangu kipenzi upo sawa nakuaminia
@MuhammadGharib-x5h4 ай бұрын
However Kiswahili cha Zanzibar ndio asili. Lakini waandishi na watangazaji wa redio za SMZ ndio chanzo cha kufuja kiswahili cha ZNZ pamoja na vituo binafsi vya redio watangazaji almost ni Watanganyika huwa wanazungumza Kibongo tu.
@graciousakida38114 ай бұрын
Muwamba Ngoma ngozi huvutia kwake!!! " Wakaitukua"? Au wakaichukua?
@graciousakida38114 ай бұрын
Eti " nthe ndani" au nje ndani? Mbona bado sana
@hassanalhussein39822 ай бұрын
@@graciousakida3811Elewa Kuna lahaja tafauti katika mwambao wa Pwani. Hakusema makosa hapo
@indiraconnolly28894 ай бұрын
Asante sana kwa video hii. Najifunza Kiswahili sasa na najaribu kutazama video kwa Kiswahili ili kuboresha uwezo wangu wa kusikiliza.
@francoismalenge13734 ай бұрын
Ok merci mère Boss 🤝
@robertkyattu53994 ай бұрын
Future kwa Kiswahili
@rayisadesigns26464 ай бұрын
MNENAJI WASEMA URONGO. ASILI YA KISWAHILI SIO KENYA PEKE YAKE BALI NI ENEO LOTE LA PWANI YA AFRIKA MASHARIKI. NA NDIYO MAANA KILA JAMII YA WATU WA PWANI INA LAHAJA YAKE YA KISWAHILI. KWA SASA LAHAJA KUU ILIYORASMISHWA KUTUMIWA KAMA LUGHA RASMI YA KISWAHILI NI LAHAJA YA KIUNGUJA KUTOKA ZANZIBAR TANZANIA NA NDIYO HII INAYOTUMIKA KUFUNDISHIA SHULENI NA VYUONI NA PIA NDIYO INAYOTUMIKA HATA KWENYE SHUGHULI MBALIMBALI KIMATAIFA IWE KENYA TANZANIA AU POPOTE PALE DUNIANI. KILWA ILIYOPO TANZANIA WAKATI ILIPOTAWALA AFRIKA MASHARIKI KAMA NCHI KABLA YA KUVAMIWA NA WAZUNGU NA UTAWALA WAKE KUDONDOSHWA NDIYO ILIYOKIENEZA KISWAHILI KTK ENEO KUBWA LA NDANI NA NJE YA AFRIKA MASHARIKI HUKU MIJI YAKE IKIWA PAMOJA NA MOMBASA, UNGUJA AU ZANZIBAR, MALINDI, LAMU, MOGADISHU, NGAZIJA NA KWENGINEKO. LUGHA YA KISWAHILI NDIYO ILIYOTUMIKA KAMA LUGHA KUU YA TAIFA HILO LA KILWA, KADHALIKA KÌLWA JINA LAKE JENGINE ILIJULIKANA KAMA AZANIA NA ILIKUWA NA PESA YAKE YENYE THAMANI DUNIANI NA BIASHARA YAKE KUU ILIKUWA BIASHARA YA DHAHABU WALIOICHIMBA TOKA KTK ENEO LAKE LA MONOMUTAPA AMBAYO NDIYO ZIMBABWE YA LEO. KILWA ILIKUWA NCHI TAJIRI KWANI NDIYO ILIYOMILIKI BIASHARA YA DHAHABU DUNIANI.