Balozi wa Tanzania nchini Kuba, Humphrey Polepole aeleza jinsi Tanzania inavyokuza Kiswahili katika eneo la Karibe na fursa zilizopo kuelekea Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Havana.
Пікірлер: 2
@user-ze1gv8xf9oАй бұрын
Kongole sana kwa Baraza la Kiswahili Tanzania na washititi wote wa Kiswahili, hakika tutazidi kubidhaisha lugha yetu adhimu ya Kiswahili👏👏💪
@praisethatprays6305Ай бұрын
HUMPHREY SLOW!! I KNOW WHAT POLEPOLE MEANS IN SWAHILI!!