Ni sahihi mwanangu. Mziki waachieeee.........❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@SadaJeremiaАй бұрын
Dada angu minahitaji ya kwenda na kuludi
@OdastinaMabitiАй бұрын
mtumishi sam nasikia we ni kamanda wa kupatanisha herufi. sasa naomba unisaidie O inamechi na ipi?
@IdhamarieAhmedАй бұрын
Stara ya mke ni mume. Usijidanganye wala kupoteza wenzako. Pesa wala kazi si muhimu kuliko mume ,na ana daraja kubwa .mke radhi yke kwa mumewe. Maisha huenda na vi wili wili etc mke na mume,usipote .la muhimu maisha ni subra.
@BimkubwaJuma-ew5dgАй бұрын
Uyo rais satembee nawewe unanini
@ndutweshomari13662 ай бұрын
Nimejifunza waislamu wengi hawana Elimu ya Talaka.Yaani huyu Dada anajigamba eti talaka ya Mahakamani haina Rejea.kwani Waislamu Talak inatoa mahakama!?.
@tigerroar35452 ай бұрын
Mganga Diwani amekaa na mwanamke wanapiga porojo
@husseinadan93292 ай бұрын
Karibu, leila, nikuoe uhuru utapewa
@monarm93632 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤😘😘😘😘😘😘😘🌹🌹🌹🌹🌹🌹💐💐💐💐💐💐
@AlimiahAlimiah-k8i2 ай бұрын
Sheikh ukaaji huo na mtangazaji mliyo ukaa binafsi naona hauko sawa
@MariamMbarak-i6e2 ай бұрын
Mane no yako ni dhahabu
@karamaabood43672 ай бұрын
Mh mh mh🏃🏃
@HijaSaid-xd7fg2 ай бұрын
Kuwa kafiri tuu
@abuuiqrimah11252 ай бұрын
Hata hiyo ni ushilikina amna kitu hapo pia diwani nae mushilikina
@AllyKija2 ай бұрын
Macho yake tu anaonekana mtihani tupu
@AllyKija2 ай бұрын
Shida anapotosha Hana maadili kbs laanatulaah
@HajiKelly2 ай бұрын
Dada yang kachoka tu uzee😂
@fatmafatu11282 ай бұрын
Hawa matipwa tipwa ni mke na mme au mtiani
@AmAl-x9j3 ай бұрын
Liongo hili jamaa,,na linajufanya lenyewe limetimia,, tapeli tu hili msiliamini. Lilitaka kunipiga nilipokua dubai,,nikalushtukia, Mie huwa nawachana tuu watu wa hovyo kama hawa,, Uchawi tuu umeeatawala wehu nyie.mnajiita mashekhe wakat ni. Wezi tu kama wezi wenginene
@baharamsalim35723 ай бұрын
UTAPATA UTAKALO NA MUNGU ATAKUPA HLOO UTAKALO MTANGAZAJI NA WW JITANGAZE PIAH UACHANE UWE NA UHURU
@eddielkindy3 ай бұрын
Kosa lako ni kuikejeli dini tuu
@abdihirsi3623 ай бұрын
Sister yangu hapo umkosea kusema hutaki ndoa ni dhambi kubwa kuwa mtu scw asema mwenye hataki kuoa ajua si uma wangu
@odaamirsaab91853 ай бұрын
Pole sana amka saa nane zausiku wakati mola kataramka kwa sama umuombe kwa ikhlas inshallah shida zitaisha kwa uwezo wake
@alibachirofficial39393 ай бұрын
Umalaya2
@AhmedHassan-cj9uv3 ай бұрын
❤
@BakariOmari-tr8cy3 ай бұрын
Unakaaje ivo namwanamke na unajiita shekhe snafundisha nini
@tigerroar35452 ай бұрын
sio shehe huyo labda shehena
@BakariOmari-tr8cy3 ай бұрын
Hapa hamnashekhe makhuraf waendako niwajingatuuuu sasa unakaaje ivo na mwanamke kunaulaximagani wakufanya ivo
@IssaNasir-v2e3 ай бұрын
Waislamu tuwe makini wimbi la waganga njaa na matapeli kwa jina la usheikh utabibu limekua kubwa sana sasa tupa kama walokole tumeiga mambo ya makanisani
@twahaally72513 ай бұрын
Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao, na wala wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa yale yanayodhihirika. Na waangushe khimaar (shungi) zao mpaka vifuani mwao, na wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume wao, au wana wao wa kiume, au wana wa kiume wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kiume wa kaka zao, au wana wa kiume wa dada zao, au wanawake wao (wa Kiislamu), au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio ya jimai miongoni mwa wanaume au watoto ambao hawatambui kitu kuhusu sehemu za siri za wanawake. Na wala wasipige miguu yao yakajulikana yale wanayoyaficha katika mapambo yao. Na tubuni kwa Allaah nyote, enyi Waumini mpate kufaulu. [An-Nuwr: 31].
@twahaally72513 ай бұрын
Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao, na wala wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa yale yanayodhihirika. Na waangushe khimaar (shungi) zao mpaka vifuani mwao, na wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume wao, au wana wao wa kiume, au wana wa kiume wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kiume wa kaka zao, au wana wa kiume wa dada zao, au wanawake wao (wa Kiislamu), au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio ya jimai miongoni mwa wanaume au watoto ambao hawatambui kitu kuhusu sehemu za siri za wanawake. Na wala wasipige miguu yao yakajulikana yale wanayoyaficha katika mapambo yao. Na tubuni kwa Allaah nyote, enyi Waumini mpate kufaulu. [An-Nuwr: 31].
@twahaally72513 ай бұрын
يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ قُل لِّأَزْوَاجِكَ وَبَنَاتِكَ وَنِسَاءِ الْمُؤْمِنِينَ يُدْنِينَ عَلَيْهِنَّ مِن جَلَابِيبِهِنَّ ۚ ذَٰلِكَ أَدْنَىٰ أَن يُعْرَفْنَ فَلَا يُؤْذَيْنَ ۗ وَكَانَ اللَّـهُ غَفُورًا رَّحِيمًا ﴿٥٩﴾ Ee Nabiy! Waambie wake zako, na mabinti zako, na wanawake wa Waumini wajiteremshie jilbaab zao. Hivyo kunapeleka karibu zaidi watambulikane (kwa heshima) wasiudhiwe. Na Allaah daima ni Mwingi wa kughufuria, Mwenye kurehemu. [Al-Ahzaab: 59
@twahaally72513 ай бұрын
Kwanza inakuwaje mpaka wanahojiwa na wanawake na wala hana stara
@twahaally72513 ай бұрын
Wamekaa zero distance
@lordenoughforme44173 ай бұрын
Mm nimekupenda .njoo kwangu .nitakupeleka kwa uhuru na hata ukisema ruto pia
@babazungu31803 ай бұрын
Km ni mwanaume unahis ndoa ni kifungo au mwanamke polen sana
@AmourHamza-m3j3 ай бұрын
Kwani kuwa shekhe kunakataza kua mganga ww unae lopoka hayajakufika hospitali huwa unatibiwa na baba yako?
@tobosha32363 ай бұрын
Msungo tu uyo mwanamke
@ismailsoud36343 ай бұрын
Kafara no UCHAWI uliojificha kwa kisingizio cha Dini. Dini haijasema hivyo, ni SHIRKI hiyo, je Mtume Muhammad s.a w. alifundisha hivyo? Masheikh mnawapoteza watu, na nyinyi wenyewe mnapotea, KIA ma kuna UJI WA CHUMA CHA MOTO UNAVALISHWA KAMA SKIN TAITI. special kwa wapotezao.
@shilingi-Ahmadi3 ай бұрын
Unajua maana ya kafara
@FahadAbdulrahman-s8q3 ай бұрын
Nakuamini Mungu akubariki
@FahadAbdulrahman-s8q3 ай бұрын
Mungu Akubariki
@IssaSimbilla-hw9ev3 ай бұрын
Chawi
@ramadhanyusuf24013 ай бұрын
Hawa ni wale wanawake ambao wanataka huru zao dunia ismame nishuke 😂😂
Wako wanawake tele kwenye ndoa na wameweza kutengeneza maisha ndani ya ndoa na maisha yanakwenda vizuri tu. Muandishi unataka kuwapa vichwa vikubwa hao kinadada wasiotaka ndoa tangu mapema na ujuaji mwingi. Ungewafuata na hao waliomuoa ukawahoji. Msema pweke hakosei.
@ngaringari3 ай бұрын
@@jumaseifjuma4185 noted!
@twaibumikidadi73773 ай бұрын
Ndoa ni lazima kwa mwanamke kwa mwanaume Wanawake wengi hawadumu ktk ndoa kwa sabanu hizi 1- Huingia katka ndoa bila kujua elimu ya ndoa 2- Kujifanya anajua kuliko mwanaume 3- kujiona anaweza kutafta pesa( wanawake wote wanaojifanya wamastaa hawana wanaume) 4- wanasoma elimu ya mdoa krk mitandao nan kasema nın bıla kujua kuwa kıla ötu ana aıma ta mume wake 5- kufananısha maısha yake ma menzake kwa mumewe 6- kupaza saut anapoongea na mumewe 7- kujisahau akiwa katka ndoa na kuish tu atakavyo 7- kuisg kimazoea 8- kutokumjua aina ya mune alinaye 9-
@ngaringari3 ай бұрын
@@twaibumikidadi7377 Nice comments!
@hamadmohamed30563 ай бұрын
Hiv Kwa Nini wanawake wengi wakishapata mafanikio kidogo tuu huu wanaanza kujiona wanaweza kuishi bila wanaume?
@TheTarabist3 ай бұрын
Mume humuhitaji? Utakuwa ni mgonjwa. Usitoe mfano wako kwa wanawake wengine walio na afya zao kamili za mwili.