WETE PEMBA 1
0:55
3 ай бұрын
MAPOKEZI YA MATISHALI ( BARGE)
2:11
MALINDI FERRY TERMINAL
0:40
6 ай бұрын
MAPINDUZI DAIMA!
3:22
8 ай бұрын
Mnara wa Kigomasha Pemba.
1:04
Жыл бұрын
TARATIBU ZA MALALAMIKO
1:32
Жыл бұрын
TAARIFA KWA UMMA
1:31
Жыл бұрын
Пікірлер
@AbdulSaid-b2p
@AbdulSaid-b2p 7 сағат бұрын
Hawana lolote serikali hawana nia na Wete haswa
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 7 күн бұрын
Wete yapigwa vita na watawala.vita vya kila aina.Mji uliokuwa na watu wengi,wataalam wengi na maendeleo,Leo limekuwa gofu.Ndiio maana vijana wengi wanakimbia kutafuta maisha.Leo vijana wa mji wa Wete hawana fursa hata ya kutumia bahari kujielimisha na kujiendeleza uzoefu wa kuogelea.Ni marufuku kuogelea bandari ya wete,wakati wenzetu kila jioni wanajifurahisha forodhani kwa kuogelea.
@محمدسعيد-س1ن
@محمدسعيد-س1ن 22 күн бұрын
Apo panaitaji kujengw na sio kuboreshw mana hamn bandr apo ni aibu asa kwa tuta ilo na lile la mkoan kuita bandr
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 2 ай бұрын
Africa magharib wanawafukuza wafaransa hao sio watu kushirikiana nao
@khamisjuma955
@khamisjuma955 2 ай бұрын
Msituganganye hampo na ukweli huo mmeona uchaguzi upo karibu ndio mnatutamanisha tu
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 2 ай бұрын
Ikiwa barabara ya chake/wete imechukua miaka 15,hio bandari sijui itachukua mingapi
@user-st4zu5bb1g
@user-st4zu5bb1g 2 ай бұрын
Inshallah
@mohdseif2459
@mohdseif2459 2 ай бұрын
Kila sku story ni izo izo
@mrok284
@mrok284 2 ай бұрын
👁️👁️👂👂🤭
@NoufelSalim
@NoufelSalim 3 ай бұрын
Mutujengee bandari ya kisasa musije kujenga km ya mkoani,tutakuja walaaani mpk kufa kwenu.
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 2 ай бұрын
Tushukuru ikiwa watafanya angalau kama hio ya Mkoani
@kamilikapeta2574
@kamilikapeta2574 3 ай бұрын
Ufaransa nchi zingine zunikataa etisisi
@salasturky4844
@salasturky4844 3 ай бұрын
Lini mwatujengea ss
@XPOSED255
@XPOSED255 Жыл бұрын
safi sana muhimu serkali yetu inapata pato, nampongeza Mh Raisi wa Zanzibar