Wete yapigwa vita na watawala.vita vya kila aina.Mji uliokuwa na watu wengi,wataalam wengi na maendeleo,Leo limekuwa gofu.Ndiio maana vijana wengi wanakimbia kutafuta maisha.Leo vijana wa mji wa Wete hawana fursa hata ya kutumia bahari kujielimisha na kujiendeleza uzoefu wa kuogelea.Ni marufuku kuogelea bandari ya wete,wakati wenzetu kila jioni wanajifurahisha forodhani kwa kuogelea.
@محمدسعيد-س1ن22 күн бұрын
Apo panaitaji kujengw na sio kuboreshw mana hamn bandr apo ni aibu asa kwa tuta ilo na lile la mkoan kuita bandr
@saidalhinai11312 ай бұрын
Africa magharib wanawafukuza wafaransa hao sio watu kushirikiana nao
@khamisjuma9552 ай бұрын
Msituganganye hampo na ukweli huo mmeona uchaguzi upo karibu ndio mnatutamanisha tu
@ahmedalbalooshi85182 ай бұрын
Ikiwa barabara ya chake/wete imechukua miaka 15,hio bandari sijui itachukua mingapi
@user-st4zu5bb1g2 ай бұрын
Inshallah
@mohdseif24592 ай бұрын
Kila sku story ni izo izo
@mrok2842 ай бұрын
👁️👁️👂👂🤭
@NoufelSalim3 ай бұрын
Mutujengee bandari ya kisasa musije kujenga km ya mkoani,tutakuja walaaani mpk kufa kwenu.
@ahmedalbalooshi85182 ай бұрын
Tushukuru ikiwa watafanya angalau kama hio ya Mkoani
@kamilikapeta25743 ай бұрын
Ufaransa nchi zingine zunikataa etisisi
@salasturky48443 ай бұрын
Lini mwatujengea ss
@XPOSED255 Жыл бұрын
safi sana muhimu serkali yetu inapata pato, nampongeza Mh Raisi wa Zanzibar