😂😂😂...nimejikuta nacheka pia mm asante sana kaka Joel
@MosesFikiriIbrahimu17 күн бұрын
Habari Tunaomba Groupp la Maombi la Wahtsappy TUNAOMBA HATA LINK YA WAHTSAPPY JAMANA
@hamadimtizi880118 күн бұрын
🙏🙏
@InviolataNduyeАй бұрын
Aminaaaa
@BlandinaMgangaАй бұрын
Amen amen amen. Mungu Roho Mtakatifu atusaidie
@jenniesongo9590Ай бұрын
Mungu atusaidie
@modestpesha53992 ай бұрын
Misingi ikiharibika, mwenye haki atafanya nini? Misingi ni malezi ambayo yamekosekana ktk kizazi hiki. Jando na Unyago vilipuuziwa badala ya kuvinakili kuviingiza katika mafundisho ya kidini sawasawa na ilivyokuwa awali!
@dadyjo_4 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/oHOrYqOCqK-DhpY
@MbarakaMasharubu4 ай бұрын
Assented mkuu
@jenniesongo95905 ай бұрын
Amen amen amen
@carolynesimiyu34606 ай бұрын
Emen,,Emen and Emen ❤❤
@Ev_mwl_daniel_mollel6 ай бұрын
Ameeen Mchungaji Ubarikiwe sana baba kwa kazi njema hii nzuri
Amen amen mtumishi wa Mungu. Somo limenibariki sana hili
@happynescostat74209 ай бұрын
Ubarikiwe Sana nilikataliwa na Mme wangu waNdoa akidai simfai na akidai Mimi Ni mgonjwa! Baada ya week moja alipatwa na Ugonjwa wa sukari ya kupanda,ninajiuliza Nani alinilipizia kisasi? Ni MUNGU au shetani,?mwanamke alievunja Ndoa yangu yupo anauguza badala ya kubebishwa! Naomba jibu Mchungaji Nani kanilipia kisasi? Ubarikiwe na Bwana!
@MgeniRamadhani5 ай бұрын
Sio kisasi mpenzi, Mungu alikuepusha na balaa
@familyofprayingwomen5879 ай бұрын
Mungu awabariki sana kwa comments hizi Bora saana Tutaendelea kuwachilia kitu kingine muda si mrefu. Neema ya Bwana itufanikishe wote
@tumpekadaga9 ай бұрын
Kipindi kimenibariki sana, naomba kiongozewe muda ikibidi.. barikiwa sana Baba
@alistidiakamugisha9 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni aendelee kuwabariki sana kwa huduma hii watumishi wa Mungu
@gvasongvasoncoltd65389 ай бұрын
Kipindi kimekuwa kizuri saana ila kimekua kifupi kuna mwendelezo?
@upendorichard38839 ай бұрын
Wakati wa kusubiri ni wakati wakukua kiroho, kuongeza fellowship na Mungu. Wakati wakusubiri ni wakati wakumtukuza Mungu, maana tunajua yakua maana ya imani ni; "Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana". (Waebrania 11:1). Wakati wa kusubiri hujenga na kukuza imani yetu juu ya Mungu wetu. "Na kazi ya saburi ni uthabiti wa moyo; na kazi ya uthabiti wa moyo ni tumaini".(Warumi 5:4)
@harunkabalika9 ай бұрын
Be blessed Baba.
@mariamollel80499 ай бұрын
Ameen
@ruthkilango54999 ай бұрын
🙏 ❤
@jenniesongo959011 ай бұрын
Amen amen
@valentinerwelengera160811 ай бұрын
Ubarikiwe Baba Mchungaji katika Ubunifu wa utume huu.
@salomechiwangu86411 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@janeflorencesajjabi154511 ай бұрын
BARIKIWA MR.JOEL UMETUFUNDISHA VEMA, Nilichonacho ndio nasitahili kuanza nacho,Nisikidharau!
@DoreenCheptei-tb1iq11 ай бұрын
Amen🙏
@jenniesongo959011 ай бұрын
Amen amen 👏
@L2L-TZ11 ай бұрын
BROTHER JOE YOU HAVE A GOLDEN MIND
@L2L-TZ11 ай бұрын
I'm your senior interms of years but you teach me a lot of stuff, I love you guys
@genesismassam6924 Жыл бұрын
Amen Mchungaji kwa mafundisho mema sana.
@user-kf1tf6kl1l Жыл бұрын
Asante Mch kwa neno lenye mafunzo kwangu. Barikiwa Sana.