Tunaomba hiyo barua msajili aifanyie marekebisho kilamtu anaonywa na ckufungia ibada mtaleta mtafaruku
@GeneAustine13 сағат бұрын
Wajinga wakubwa
@rajabumuyumbu458613 сағат бұрын
wakiristo ni watu walio potea na mayahudi ni watu walio kasirikiwa na allah qor an haiongopi tegemeeni mengi sana
@EmmanuelHaruni-rl1rb12 сағат бұрын
Hao si wakristu ndugu,,hamna wakristu mazuzu
@domymerinyo8165Күн бұрын
Well done karibuni sana
@ramadhanmahongole9293Күн бұрын
mnaimani na mtu na siyo tena Mungu
@samweli7985Күн бұрын
Mnawezaje kusema mnampenda mungu msiye mwona Wakati, mnachukia huyu mtu mnae mwona
@thefinalstand202214 сағат бұрын
Wewe uliyewahi kumuona Mungu, ulimwona na mikono mingapi na miguu mingapi? Je, kwa kile ulichokishuhudia mpaka ukamwamini, je huyo Mungu alikkuwa uchi au alivaa nguo? KUWA NA AKILI, TUMEMFAHAMU MUNGU KUPITIA WANADAMU, MITUME NA MANABII AMBAO WOTE NI BINADAMU.
@patomngoeh7481Күн бұрын
Sisemi kitu
@jacksonbarnaba90883 күн бұрын
Ila hongereni sana kwa kuungana
@jacksonbarnaba90883 күн бұрын
TUSAIDIENI JAMANI MBEYA HUKU
@jacksonbarnaba90883 күн бұрын
mimi nahitaji pawatilla
@rukiyamohammed29454 күн бұрын
Eti wanaitwa influencer 😂
@ngilotv32167 күн бұрын
Safi sana
@TellaaxisTz10 күн бұрын
❤
@abelpaul523514 күн бұрын
😂😂😂
@freemasontanzania711516 күн бұрын
Nimeckia papa nape
@fransiscamunishi62716 күн бұрын
🎉
@josephkafumu300616 күн бұрын
Hiii ndo sauti ya kutunzwa sasa
@RainesMbekenga-gd1cq20 күн бұрын
Ni wapi?
@jonathanakhabuhaya169321 күн бұрын
siasa za kusifiana.Hatuzitegemei kutoka maprofesa hai. Labda kama wameokotwa jalalani😂
@placidchaka21423 күн бұрын
Q
@Shimbamedia27 күн бұрын
Amen
@rashidkihunga2938Ай бұрын
tatizo kodi zimetuzidi tanzania yetu
@abedibyaese1771Ай бұрын
Hatari
@Kanga-pu6ylАй бұрын
Bona anafuta comments za maswali muhimu wasiyo rafiki. Kama hauna habari na ya waliopona hii ni karata tu. Itakuwaje hakuna aliyejitokeza kusema kapona. Dawa inayofanya kazi haitaki maelezo na hadithi mingi mingi. Bona wenye kutengeza vipoma hawana lugha ya strong na weak
@sharifali7078Ай бұрын
Kwa maelezo ya huyu mwenyekiti wa wafanyabiasha, ni dhahiri kuwa Serikali imepania kuua soko la kuuza bidhaa jumlajumla KARIAKOO. hii ina maana kuwa wenye nyumba KARIAKOO wajiandaae fremu zao kubaki tupu na gowdown zao wanazokodisha kuweka bidhaa za wafanyabiashara wa jumla nazo zitabaki tupu. Kazi kwenu wenye majumba KARIAKOO.
@hurumalunda2490Ай бұрын
Nisikilizenii watanzania TRA sio tatizo tatizo ni wawekezaji wa kihindi na kichina ndio wameharibu biashara tunashindwa kusimamia bei kwa sababu Yao wawekezaji Hadi wateja wamekuwa na kiburi kutokana na uhorela wa bei zao
@geofreatumbo4543Ай бұрын
Wanakusanya pesa. Za kampeni
@user-sb1fs7wf8qАй бұрын
Machinga watoke kabisa barabarani wachache tu ndiyo wanafaidika
@FadhiliMwaitete-ls2liАй бұрын
Ccm aiwezi kukubali kutowa katiba mpyaa mpaka tutumie nguvu ya uma bunge atuna wala. Usijidanganye kuwa mtasikilizwa ni kugoma tuu ili wajuwe tuunganee kugoma tanzania nzima huu ndiyo mshikamano tugome wakulima wafanyakazi tuwaungee mkono wafanya biashara
@levismwaringa9221Ай бұрын
Great
@emmanuelcharles5613Ай бұрын
Mmachinga anampoteza mfanyabishara mkubwa maana mmachinga halipi kodi
@user-pk9yr4go8pАй бұрын
Kamakawaidi kamateniwasemaji ha kammenyosha mpina mnashindwaje Hao wakaliako
@user-pk9yr4go8pАй бұрын
Nabado mbakamseme
@sondajohn1371Ай бұрын
Kam wazr mkuu kashndwa kutatua dc ndo ataweza au nikuchezea mda
@trevorhamilton2014Ай бұрын
🎉
@obbybenitho5803Ай бұрын
TRA ni ovyo kbs
@obbybenitho5803Ай бұрын
Samia badirika TRA inakuchonganisha na wananchi
@user-gd8pt8tc6zАй бұрын
Gesi yakupikia imepanda Kodi lukuki gomenituuu
@malkavoice2570Ай бұрын
Nyie wapigaji tu hamna jipya
@user-mr3fn1hc2yАй бұрын
Baraka uko sawa
@saidnoumani7244Ай бұрын
Bashe ni waziri wetu atakaa kwenye serikali mpaka mwisho...wewe ni chuki tu huna kitu rudi kijijini kuchunga ngombe!
@mchungajisecilia8029Ай бұрын
Baba Mungu akubariki sana
@alexmahenge3817Ай бұрын
Tanzania tunataka Kiongozi mkweli na muwazi TAIFA LINATIA HURUMA UTADHANI TUNAONGOZWA NA MAJINI
@fredyjeremia7074Ай бұрын
Vizuri sana Mzee.🙏🙏🙏🙏 Kumbe ni ndugu yetu👍
@moseskusamba431Ай бұрын
Watu si wa stalabu hawezi kukaa kimya mtu anafanyiwa interview
@MtegekiKaijageАй бұрын
Hili suala aliwezi kutatuliwa na mkuu wa wilaya aisee serikali inapaswa kuliangalia kwa umakini sana la sivyo uchumi wa nchi hii utakuwa shida sana
@user-zi3kt4yy9lАй бұрын
Tupo kwenye wakati mgumu sana
@godfreymwikola8232Ай бұрын
Hapo mnapigia mbuzi gitaaa mkuu akitoka hapo anayaacha