Рет қаралды 36
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan ambae pia ni Kiongozi wa Machifu (Chifu Hangaya) amesema viongozi wa kimila wanataakiwa kuwa mstari wa mbele kuhakikishaa kuwa wanazuia maovu yanayoweza kujitokeza katika maeneo yao, huku akitolea mfano kuhusu ukatili dhidi ya watu wenye ualbino.
#sports #entertainment #BONGONEWSTV Usisahau ku-subscribe channel hii kwa taarifa nyingi zaidi na pia tembelea mitandao yetu ya kijamii Instagram @bongonewstz twitter @bongonewstz na Facebook @bongonewstz