Kuna wanahabari wengine wapuuzi kweli kwa maswali ya kipuuzi kabisa aisee wakajifunze tena
@user-iz3hs8jl5pКүн бұрын
inshallah
@NlembugunKotiraКүн бұрын
Ambangile mchambuzi Bora Tanzania kataa kubali huo ndo ukweli
@marisamshana8464Күн бұрын
Mbona hamna sauti kibububuu
@Tengu25Күн бұрын
Wanangu sana Kishamba Media🔥🔥🔥
@raybirry38162 күн бұрын
Mtangazaji hakuandaa maswali
@Bensonfrank252 күн бұрын
Boresheni Ubunifu!! Still Jersey za msimu uliopita na huu.. zinataka kufanana!!!
@Masengo-su3mf3 күн бұрын
Utama duni umedumiswa kitenge kijani iyooo
@user-hh5tp2wr7s3 күн бұрын
❤❤
@domymerinyo81653 күн бұрын
Ila vipimo sijui mnatumia vya wapi,maana mimi ninavaa XXL ila yenu ni 4XL bado inanibana
@josephinemeela90983 күн бұрын
Hongera sana kwa jezi nzuri na interview nzuri sana. Mbunifu unajua sana na the way unavyojibu ni 👌 👍 dope!
@adrianorayner65513 күн бұрын
Yanga hajawahi kushinda simba kwenye jezi
@stellacosmas19583 күн бұрын
This is what we call professional journalism. Nimependa sana utulivu wa journalist na jinsi anavyouliza maswali. Hongera sana Sandaland kwa kuwaamini vijana. Hongera sana pia kwa Afiki Designs kwa kazi nzuri.
@JosephJavan-n5s3 күн бұрын
Hongereni sana kwa ubunifu msimu huu jersey ni kali sana
@user-mu5fy4nk4i4 күн бұрын
Manara fanya ufanyavyo usikose kwenye yanga day. 😅😅😅😅😅
@NicksonAlphacapitalGroup4 күн бұрын
Boi boi anaujua mpira si mbaya
@emmanuelsabato8855 күн бұрын
mmefanya unyama sana jersy nzuri na tamu sana
@abdallahyasin68295 күн бұрын
Tahira
@mbomawoodafrica17436 күн бұрын
Liko namjua
@user-cu8dm6eh3g6 күн бұрын
Sio umetumwa unajipendegeza kwa GSM na wewe utachukuliwa yanga Sina hamu hata ya kukusikiliza
@frankP-jh5xw6 күн бұрын
Asante San mzee simba nguv moja
@richardpembe6067 күн бұрын
Ally Kamwe ni very professional katika uongeaji naomba abaki hapo hapo
@hockingsshangali17478 күн бұрын
friji bovu acha uchochezi unaoufanya kwani huo sio uchambuzi wa michezo ni wivu tuu.
@JeniferPiter-wo3ve8 күн бұрын
Nahisi naafasi ya usemaji angebaki ally kamwe
@lucymsheshi58718 күн бұрын
Ali kamwe aendeleeeeeeee
@robertmatabalo54548 күн бұрын
Sikubaliani na Manara kuchukua nafasi ya Ally Kamwe, Lugha za matusi zimepitwa na wakati
@chiefnumborecords48198 күн бұрын
Waaaooo the king of football speakers
@AbdalaAbasi-n2k8 күн бұрын
King is back
@zainabusamuel8 күн бұрын
mimi mtanikuta moro goro mapema sana nawasubiri
@user-mc9it9sz4v9 күн бұрын
Home kiham
@pambaboniface11999 күн бұрын
mesemaji liko chalinze..linakula bata..
@charleskuyeko44009 күн бұрын
Suala la Kibu Viongozi tuwekeni wazi tujue. Na dilli la Mpanzu lilivyofeli tulipaswa kuwa na plan B ya kupata mwingine mzuri kuliko hata yeye. Sasa kuacha hiyo nafasi kwa Kibu ambaye naye amezingua haya ni majanga kwa timu yetu. Mashaka makubwa kwa timu yetu ni kwa namba hiyo ya Kibu na ya Kapombe. Cramo kuliko kumuacha bora apelekwe kwa mkopo ili akikiwasha huko dirisha dogo arudi.
@swaleheukwaju22259 күн бұрын
Huko yanga alishatoka haitarudi tena huko Ila nyie ndiyo mtakuja mfukuza kanjibhai kwa utawala wa kimchongo subiria tarehe 8 uitishe tena waandishi 😂
@JuhudiKasanga-yq5ks9 күн бұрын
Acha bwebwe mzee nanini analoga wachezaji wabovu TU hao
@noelmakere13819 күн бұрын
Huyu bwege sana Kumbe anajua bila kadi ya uanachama wewe sio mwanachama??? Na huku anatetea komedian mzee magoma Kweli akili za dunduka fupi sana
@user-ce3tx7mr8v9 күн бұрын
MCHEZESHENI MAGOMA
@geraldmagembe44289 күн бұрын
Jifundishe kuuzungumzia mpira kwa ubora wake. Unapoteza mvuto.
@halidimgonza59459 күн бұрын
Ubaya ubwela, SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
@HemedYusuf10 күн бұрын
Jamani wanasimba amkeni mapema Hawa yanga wanawaroga sana wachezaji
@jaffjeff691210 күн бұрын
Ntakukumbusha nimeitunza hii juu ya kauli zko
@chrisantusnditi867010 күн бұрын
Hakawii kulalamikia viongozi huyu 😂😂.Na huwa hawezi kusema ukweli kuhusu Young Africans
@jaffjeff691210 күн бұрын
@@chrisantusnditi8670 mbona ndo zake hizo atamjia juu tena tajir
@SurprisedFullMoon-gg9vu9 күн бұрын
Maduka tumeyatoa yoteee
@FaridaMwamlima9 күн бұрын
Na nyieeee endelea kukalili kuwa mnatuweza San subili😊
@chrisantusnditi86709 күн бұрын
@@FaridaMwamlima tarehe 8 siyo mbali,baada ya hapo tukutane msimu ukiisha.Maana sisi tunajiandaa kuchukua trophies pia
@andrewmaiga433110 күн бұрын
Hongera Twiga stars
@james-lx6rf10 күн бұрын
safi sana ahamed
@leonardsasita463411 күн бұрын
Mtahoji na vichaa aseee
@FredMgaya-p2i11 күн бұрын
Aaaaaaaaaaaaaaaa
@AminaMadende11 күн бұрын
Kweli kabisa hata mimi ni yanga ila watoto wangu ni simba
@JUMANNESIMFUKWE11 күн бұрын
Huyo mzee magoma naomba mnipe mchakato wake wa elimu
Ongelea mpira sio huyo mwizi broo,usituchefue plzzzz. Am ur fan lkn ukiingiza huyo anaetesa watanzania kwa kulea vibaka watukanaji wakina Chalamila,hapo bro na wewe ntakuona una utindio...stick to footie bruv