Umeongwa Nini na ccm mshamba tunasemea utekaji kama ana okowa kwanini asiokowe waliotekwa tulia mshamba wewe
@ulimbagakipole39712 күн бұрын
Mnalazimisha?. Mbona sisiem ikikanusha hamlazimishi?. Iko siku mtalipa kwani Mungu hasafiri yupo na atakuwepo. Akipotea huyo mzee nawe ni mhusika.
@EstherJerald-tc6ct2 күн бұрын
Hao wanaopinga yanayofanywa na mama ni wakorofi ,wanataka watawale wao ,Sisi wana CCM hatuwezi kutawaliwa na mtoto tuliye mzaa kwa hiyo njama zao tunazijua CCM mitano tenaaaa
🎉towakwanza onto ccmwalichomamoto kombati za chadema viwanja vya mahakama shinyanga pbav
@JoyceKabula-in1sh2 күн бұрын
Acheni ujinga na upumbavu ccm ilichoma moto kombati za chadema mchana live viwanja vya mahakama mjini shinyanga halafu nikuulize uulifanya nikama rho inakuumambina hujalalamika yamagufuri au hujamsifia acha uchawa utazeeka vibaya subiri uchaguzi utapona majibutapeli mkubwa wewe pumbavu
@margarethpolepole74382 күн бұрын
Wanafiki hao hataKibao wamemuua wenyewe pumbsvu za Chadema Saccoss
@danielmwanjali24492 күн бұрын
Nenda kalale tu
@danielmwanjali24492 күн бұрын
Hotuba za viongozi wa CCM huwa zinapitia kwa katibu Mkuu. Huna hoja
@matiredms9172 күн бұрын
Pigeni kelele tu mtachoka na mtalala tu. CHADEMA JUU JUU JUU ZAIDI.
@margarethpolepole74382 күн бұрын
Huna lolote mmekatwa Mikia na mtaonfoka mmoja baada ya mwingine kurudi kwa mabwana zenu Ulaya hatutaki Vita nchi ya Amani hii
@matiredms9172 күн бұрын
@@margarethpolepole7438 Malaya wewe umetekwa nyara na Machawa. Chawa wachafu.
@HAFIDHIFAKIHI2 күн бұрын
Chadema ni wajnga kwer
@marwamagere2 күн бұрын
Musenge wewe samia suluhu ndiye rais wa hovyo haijawahi tokea
Sasa picha ikiwa kwenye gazeti ukichoma sio hatia au hatia iwekwe sheria ukiona picha ya raisi itunzwe kama misahafu acha hizo chawa
@KulwaSwedy2 күн бұрын
We'we masikin hunjipya
@CleyKobelu-j8n2 күн бұрын
mbaya zaidi wewe waelewa awakuangalii .
@CleyKobelu-j8n2 күн бұрын
wajinga watakuunga mkono lakini waelewa wanajua kama umetumwa .
@CleyKobelu-j8n2 күн бұрын
sina chama ila kiukweli wanao kuunga mkono wanatakiwa wajiulize waanze na wewe kutwa mtandaoni je unatumwa na ccm
@salvatorykimbori70912 күн бұрын
Wewe huna unachojua ila unatafuta cheo
@Grace-s3z2 күн бұрын
We una uchungu na vitenge? Mbona ukulaani mauaji na utekaji? We una akili ndogo sana acha uchawa!!!
@PiusMaswili-wq8wc2 күн бұрын
Ni hotuba au utuba rekebisha hapo
@alphoncewilliam43252 күн бұрын
Bawacha wa puuzi wameonyesha kua chadema hawana uwezo wa kuongoza nchi
@hawaelymaricca76023 күн бұрын
Siasa ya hasra haifai ,kuchoma picha ya Mh Rais wa nchi Amirijeshi wa nchi ,kweli mnathubutu kuchoma vitenge vyenye picha yake ili nini na mmepata faida gani zaidi ya kujifedhehesha, maana mnatuonyesha siasa mnayofanya nyie ni hasra na koforce.
@HabrielKimaro3 күн бұрын
Nyie tafuteni kazi ya kufanya mpate pesa wacheni kupiga umbea kwenye mitandao umri unadogea watanzania wameshawajuwa mtanatafuta umaarufu kwa umbea ndio maana viongozi wote wa chadema wanawazarau wamekaa kimya hajibu wameona awwezi kujibishana na wajinga
@sifunimelkizedeck8823 күн бұрын
Unafiki acha ushamba wewe hiyo msingi yakujaliana wakati watu wanatekwa na kuuliwa kwanini hujatoka na kuwaambia watu walaani utekaji na uuwaji wa raia wasiyokuwa na hatia ww endelea kupiga debe huenda ukapewa uteuzi 😢
Kitu muhimu Umeongea hapa ni kujulisha dunia nzima na Tanzania nzima kuwa WATEKAJI ni CHADEMA. Hata Tundu Lissu alichapwa malisasi na CHADEMA lakini kila siku Tundu Lissu anakuwa na Maghufuli. Mjinga sana huyo Tundu Lissu
@MonicaKaskaz3 күн бұрын
Hawana shukran kabisa hawa wamefanya kitendo kibaya sana
@josephwilliammnyune54643 күн бұрын
Jitahidi u DC unakuja.
@MonicaKaskaz3 күн бұрын
Waambie baba
@KabujeFulaha3 күн бұрын
Ninyi wahuni tu mmekosa kaz kufanya au uchawa ndo unawatesa
@OnesmoSamaki3 күн бұрын
Kaka nisawa unachosema lakini hayayote nihasila watu kutekwa kuuliwa majibu hayalizishi chukulia ange uliwa nduguyako ungesema hayo alafu huo uchawa ndoo unakufanya uwechawa mlaf
@salomeurio5603 күн бұрын
Jamani, kama kweli mnaswali, mrudieni Mungu ili mpate mwisho mwema... Hayo yote ni mapito ya Dunia...😢😢
@KhamisSeif-t3d3 күн бұрын
Watanzania muwe makini sana na watu kama Hawa wanaoropokwa ovyo watawasababishia watu kugawika naomba tuwe makini sana Tanzania ni yetu sote
@zainabunuhu86693 күн бұрын
Huyu ni mtanzania ana haki ya kutoa mchango wake
@zainabunuhu86693 күн бұрын
Huyu ni mtanzania ana haki ya kutoa mchango wake
@Mosmwampa3 күн бұрын
Kuchoma vitenge kumewaumiza kuliko watu wanaopotea na kuuwawa, hizi sasa ndio drama
@zainabunuhu86693 күн бұрын
Mnajiteka wenyewe nani asiewajua shwayni nyie
@zainabunuhu86693 күн бұрын
Bawacha ni wendawazimu kbs haya tuwaulize wamechoma vile vitenge faida gani wamepata?
@erastomwambeje99203 күн бұрын
Kama ni utoto,sasa unajibu vitu vya kitoto ?
@KulwaSwedy2 күн бұрын
We'we chawa guns haupo sawa
@erastomwambeje99203 күн бұрын
Kulaani maana yake nini bhana,tunataka kuwajua watu wanaotuteka
@RugakiMsingo3 күн бұрын
Ww unatafuta mchawa kweli kama nchii ndoivi tunapotea mnashindwa kuongelea jamii mnashinda kutwa mnaongea ujinga.
@RugakiMsingo3 күн бұрын
Hivi mbona amuna kazi kutwa mitandaoni mnaongea utumbo mnajiita wana alakati mnaongea utumbo.