ANGALIA SEHEM YA PILI KWA KUBONYEZA HAPA • #2# SIKU ZA NUHU A SIK...
Пікірлер: 48
@sifagubandja15892 жыл бұрын
Yaaani pasta david MUNGU amekutuma tu kwangu kwa mafunzo ,mahubiri yako yananijenga jameni,uonbee watoto wangu piya wamutumiye MUNGU ,na mimi na jamaa yangu yote
@judahmollay9016 Жыл бұрын
MUNGU akulinde sana 🙏
@amosmwaz47422 жыл бұрын
Aki mungu ukweli mtupu
@graceesiabia5379 Жыл бұрын
Powerful
@floraflora571710 ай бұрын
Past ata mimi tiari imenipata iyo ugonjwa maana kiumri bàdo lakini najikuta kusau inakuwa seem yamaisha yangu E Mungu niponye
@amozmwaz1494 Жыл бұрын
Napenda sana mahubiri yako kwa maana yananitia nguvu katika moyo wangu barikiwa kwa kuleta ukweli huu
@jolemerci215510 ай бұрын
Mimi uyu muhubili nikimufata muchana wote hâta usiku mashaka inanitoka yani nakuwa ga salama kwaeneo lolote linalo niusu nanikilala nalala salama bila ndoto yoyote ao ndoto yakutosha sipatagi anakuwaka salama eneo langu lote
@elizaphankamando56052 жыл бұрын
Yan wew mchungaji bas tu, Mungu akutangulie uzid kuhubir neno lake, nakupend san
@fedsonkuyenga85812 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki pr nabarikiwa sana na masomo yako hakika kupitia ww sasa nampenda Mungu na nimeshuhudia ukuu wa Mungu ktk maisha yangu
@haronoboko76712 жыл бұрын
somo tamu pastor barikiwa sana mungu akubariki sana Amen.
@dottonsangalufu95302 жыл бұрын
Mmmmh !! Amen! Mungu atusaidie sana nyakati za hatar sana hizi barikiwa sana mtu wa mungu
@vicentndiholeye10672 жыл бұрын
amina
@fredrickgitonga19722 жыл бұрын
Mwalimu naomba ufafanusi, yakuwa YESU KRISTO ndiye MUNGU pekeake ama kuna MUNGU Baba pia, kado na YESU KRISTO
@rosepeter89962 жыл бұрын
AMINA.barikiwa sana mchungaji mmbaga.
@linetokuku53902 жыл бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU Barikiwa sana kwa somo la baraka sana
@ibrahimukikuli27812 жыл бұрын
Amen
@ombenimeshake47722 жыл бұрын
Barikiwa sana Mchungaji
@khaldn74092 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana mchungaji barikiwa sana
@merykisilu99462 жыл бұрын
Nakushukuru sana kwa maelezo yko,yananifanyanga kutabasamu kweli ,maana nimekua mpweke muda mrefu sana lkn ww umenifanya nitamani kuishi na kujitabua kweli,naomba number yko poster tafadhari
@sophiakinyonto55762 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@michaelymkumbwa49272 жыл бұрын
Ubalikiwe mtumishi
@elizabethgodfreytondo30522 жыл бұрын
Mungu wetu tusamehee na utusaidie kwani maasi yanazidi kuongezeka na tunachukulia kawaida
@navokisembo2 жыл бұрын
Ameeen and Ameeen watching from 🇺🇸
@victoriajames61902 жыл бұрын
Mungu atusaidie mana ata ao kuku wakienyeji tunao sema tunakula ukweli pia wanawachoma madawa ili wakuo fasta yani kitu ambacho si feki lamda kule vijijini kabisa kule,dah 😢 MUNGU tusaidie wanawako
@maureenkemei92542 жыл бұрын
Asante mchungaji Mungu atusaidie.
@zelamartinez8822 жыл бұрын
Praise and worship songs
@HealthyLifeBasics2 жыл бұрын
Asante pastor
@alineriziki67562 жыл бұрын
mumebarikia ya kutosha
@alicesidi96012 жыл бұрын
Amen 🙏
@claudinebatamuriza49362 жыл бұрын
Amen 🙏🏿
@roselineombati6702 жыл бұрын
Pastor mungu azidi kukuongezea kibali
@elizabethsarange50642 жыл бұрын
Be blessed
@abelimalifedha17622 жыл бұрын
Ameein
@edwinpius23462 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Angalia sehem ya pili kwa KUBONYEZA link hii kzbin.info/www/bejne/pZumq2SfqN93ipY
@vianzacharia21122 жыл бұрын
Pastor nabarikiwa san
@neemadaudi57162 жыл бұрын
🙏 barikiwa pr GMO je kunywa damu ya mnyama mbuzi au ngombe mtu akiwa kapungukiwa damu nayo hii ipoje kibble?
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@patrickkamau77542 жыл бұрын
Sasa tufanyeje mhubiri kwa sababu hatuna chakula kingine ila hicho Cha GMo
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Vya asili vipo vingi tuu
@nashonvicent67942 жыл бұрын
Mchungaj mm nikijana mdogosana napendasana kuenenda ktk haki yamungu nannapendasana nikisikia neno labwana kama hivi huwa nakubali kupata hasala ilituu nisikie neno ila sija mpokea Yesu nikifanya jitihada huwanafelixana naishia kukata tamaa nifanyeje pasta maana akilizangu zinafeli zimefikamwisho
@fredrickgitonga19722 жыл бұрын
Amini YESU KRISTO aweza yote, na ukiomba lolote kwake atakupa,
@kingranda1055 Жыл бұрын
Pastor nabarikiwa sana kwa namna ambavyo Mungu anakutumia kutupatia neno la matumaini, Ningeomba kama inawezekana,tupatie somo juu ya manefili kiundani zaidi.
@MahubiriPrMmbaga10 ай бұрын
Forbidden knowledge
@gerryndyamukama90582 жыл бұрын
mahesabu ya siku na miaka ni simple sana.Siku moja ni masaa24 kwa sababu dunia hujizungusha mara moja katika muhimili wake kwa muda wa masaa 24. nahutumia siku 365 kulizunguka jua katika orbit yake,ndiyo tunaita mwaka. hakuna mtu aliyeamua kupanga hayo mahesabu bali MUNGU pekee aliyeiumba dunia na sayari zote ndiye aliyeweka hizi kanuni. pia sehemu ambazo masaa ya mwanga yanakuwa mengi kuzidi masaa ya giza ni kwasababu sehemu hizo ziko karibu na North Pole ya dunia na tunajua kwamba wakati dunia inajizungusha kwenye muhimili wake ndipo usiku na mchana unapatikana.Kipenyo cha dunia kinaenda kinapungua unaposafiri kutoka katikati ya dunia yaani (equator) kuelekea juu au chini,hivyo upokeaji wa mwanga kutoka kwenye jua hakuwezi kulingana kwa sehemu zinazotofautiana kipenyo
@barackboniphace63112 жыл бұрын
Amen
@jjparis9362 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana pastor Mungu azidi kukupa maarifa, umefundisha kitu ambacho tunakiona lakin hatujui maana yake, zamani pale Nyumbani kijijini kulikuwa na mihogo ukipanda unavuna baada ya Miaka miwili sasahiv Zipo mbegu za miezi sita tu unavuna na utofauti wa mbegu zile na sasa nimkukwa Sana, zamani mihogo ilikuwa mkubwa Sana lakin ya sasa ni vidogo dogo umefundisha kitu sahihi Sana.