Asalam alaikum Msomaji mzee sulaiman analete raha sana hii combination yake na salim ni fireee MashaAllah kijana wetu Daktari pia MashaAllah anaweza Allah awape jazaa mingi
@nubianqueen67009 күн бұрын
Wanapeleka daawah vizuri sana, kama vile ilikua wakati wa Qasim. MashaAllah mwenyezi Mungu awahifadhi.
@hafsakirao3989 күн бұрын
Wasomaji wote wanajaribu sana, Allah awalipe kila la kheri
MashaAllah Allah bless you all thinks Salim daawah Kenya na awape umri murefu
@salimdaawah1238 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@SaleheKijazy9 күн бұрын
Maashallah shekhe tuko pamoja siku zote.
@salimdaawah1238 күн бұрын
Masha Allah tunawapenda sana kwa ajili ya Allah
@IssackAlfaКүн бұрын
Waaleykum salaam warahmatullahi wanarakatuhu amedhalishwa am amejidhalisha yeye mwenyewe.Mungu ampe mwongozo mzuri na awe mwenye kuislimu kabla ya kufa
@SalunumaulidmsumiMsumi-cc2im9 күн бұрын
Huyo jamaa bora mmemjua kama msumbufu hua ana msumbufu sana shekh ramadhan kuria
@salimdaawah1238 күн бұрын
Yeah mbishi na hana hoja
@fatumahamisi16049 күн бұрын
Mashallah shekh Salim wewe unawajulia sana hao wedzetu wa upande wa pili
@salimdaawah1238 күн бұрын
Mpaka kieleweke inn shaa Allah
@hassanalfan69419 күн бұрын
Wa alaikum musalam warahmathulai wabarakatuh
@mwanaidiissa108 күн бұрын
Allah atujaalie umri mrefu shekhe Salim
@salimdaawah1238 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@abdallasuleiman87859 күн бұрын
Umefanya vizuri sana kumuondoa huyo jamaa wa jacket ya blue maana hupoteza muda bure na ni mbishi tu. Humuona sana kwa sheikh Ramadhan Kuria akiwa Jacarander.
@Lucian-v5p9 күн бұрын
@@abdallasuleiman8785 unaweza panga nmtuoatane na wewe ujue ni kwa nini Hawa waalimu wa kiislamu huogopa hoja zangu
- Sema: Enyi watu! Ikiwa nyinyi mnayo shaka katika Dini yangu, basi mimi siwaabudu mnao waabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu. Lakini mimi namuabudu Mwenyezi Mungu anaye kufisheni. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waumini.
@ZakiyaAnwar-w1r9 күн бұрын
MashaAllah Allah azidi kuwabariki
@salimdaawah1238 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@ibruzah0019 күн бұрын
ALLAHU AKBAR ♥️
@josemu8709 күн бұрын
Allah amuongeze nguvu amuongeze nguvu amulide ampe afya subra dawa iendelee kwa neema ya uislamu
@salimdaawah1238 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@iddyjuma80369 күн бұрын
Kweli Mwanakulitafuta mwanakulipata
@salimdaawah1238 күн бұрын
Mpaka kieleweke inn shaa Allah
@nubianqueen67009 күн бұрын
JazakumAllah khairan!
@samxx4118 күн бұрын
Ni vizuri kutompa nafasi yule mjinga yupo kiubishi kama Mushi na Mobutu
@salimdaawah1238 күн бұрын
Siku hizi yeyote mbishi hapati nafasi hapa inn shaa Allah
@samxx4118 күн бұрын
@@salimdaawah123 Naam ili wasipoteze muda na mzee Ali anaendeleaje na hali.
@iddyjuma80369 күн бұрын
.mashallah naona pamechangamka😂😂😂
@salimdaawah1238 күн бұрын
Tena sana
@rahmaali66627 күн бұрын
Huyu wa kwanza sijui shadrak kajua kuchukuwa mda kweli na hana maswali ya kuuliza kaja tu na ubishi...ustadh Salim nextime huyu kijana mpe muda wa suala moja tu akakae
@salimdaawah1237 күн бұрын
Inn shaa Allah
@abdallasuleiman87859 күн бұрын
Ameomba aulizwe swali alipokosa majibu anahisi anakejeliwa. Hivyo ndovyo haki ilivyo huwezi ficha ukweli.