Afghanistan: Zana za kivita za Marekani zauzwa sokoni

  Рет қаралды 7,543

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Rais Donald Trump amesema Marekani haitatoa misaada zaidi kwa Afghanistan hadi pale itakaporegesha zana za kivita zilizoachwa nchini humo na jeshi la nchi yake. Marekani inakadiriwa kuacha vifaa vya kivita vya thamani ya dola bilioni 7 huku baadhi ya vifaa hivyo vilivyosalia vikiuzwakwenye soko la rejareja mjini Kabul na kuwavutia wapiganaji wa Taliban katika eneo hilo.
#afghanistan #donaldtrump #bbcswahili #bbcswahilileo
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 35
@KilimbikeHaji-iy2fm
@KilimbikeHaji-iy2fm 7 күн бұрын
Safi sana ndio wakome marekani
@saidharbinie-dl4dd
@saidharbinie-dl4dd 7 күн бұрын
Mzee trump nae akili hazimtoshi et warudishe ndio uwape msaada na wakati hawakuomba hio msaada😅
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 6 күн бұрын
😁😁😁 kama manati tu
@SalehSlim-v2e
@SalehSlim-v2e 7 күн бұрын
Hao wenzetu wameathirika na vita ndio maana kila raia anamamiliki bunduki
@HvhVvb-k3i
@HvhVvb-k3i 7 күн бұрын
Mambo ya kujilinda
@AllyHamran
@AllyHamran 7 күн бұрын
Wazee wa uongo na propagandaaa
@DeeJuma-dj1tb
@DeeJuma-dj1tb 7 күн бұрын
😂😂🎉 God can pay you nicely
@wadantz123
@wadantz123 8 күн бұрын
Ila hawa ndo nn sasa kutembea na mibunduki mtaani
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 8 күн бұрын
Kawanyang'anye. watu wapo katka nchi yao na wamepanga sheria zao lakin unaumia ww duh sisi binaadam bhana. angalia ya nchini kwako. Wale ndio itikadi zao na wewe una itikadi zako huwezi kumuingilia mtu katka maamuzi yake. Mbona hujawasema bukinafaso si wanatembea na bunduki huko kwa ibrahim traore
@MaikoRashku
@MaikoRashku 7 күн бұрын
@@wadantz123 ni kukosa akili tu,
@MhinaKulewa
@MhinaKulewa 6 күн бұрын
Nchi za magharibi ndio zimeifikisha Afghanistan hapo ilipo, so wao wananilinda muda wowote
@wadantz123
@wadantz123 6 күн бұрын
@MhinaKulewa oooh sawa
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 8 күн бұрын
Wachokonozi😂
@user-ym8lz3yj8l
@user-ym8lz3yj8l 7 күн бұрын
Afghanistan was created as a buffer state between the British Empire and the Russian Empire Colonialism and they didn't pay attention to people ethnicities and history when they did that... The Turk(Uzbek, Turkmen and other Turk tribes) are the real indigenous people of Afghanistan... even historians know this and they called Western region of Afghanistan Turkestan region and they called Eastern region of Afghanistan indo region... The Pashtun people historically lived in the eastern region of Afghanistan that was controlled by India when India controlled Kabul city before it was conquered by the Ghaznavid Turk and took it from India but the British Empire makes demographic change also in western and northern regions of Afghanistan by bringing the Pashtun people to north and western regions of Afghanistan... Pashtun people eastern regions of Afghanistan should given to Pakistan and Pashtun people in western and northern regions of Afghanistan should go back to eastern region of Afghanistan... and western and northern regions of Afghanistan that called Afghanistan South Turkestan should given back to Turkmenistan and Uzbekistan first because the Turk is the real Native people of Central Asia.. Don't forget that there was a historical hostility and war going on between the Turk and the Indian.. btw the Hephthalite is Turk.. at that time Afghanistan was divided between the Turk Hephthalite and India before the Arab came to Central Asia... the Turk Hephthalite control Balkh city and north Afghanistan to all regions in Afghanistan near Turkmenistan to Afghanistan herat province and all these western regions in Afghanistan Turk tribes living there until now and India control Kabul city and eastern side regions of Afghanistan... The Turk Hephthalite were weakened by the Arabs when they came to Central Asia and the Turk Hephthalite lost a lot of territory in Afghanistan and Pakistan... btw the ones who conquer Kabul from India were the Turk Ghaznavid and they are the Turk Hephthalite
@MaikoRashku
@MaikoRashku 8 күн бұрын
Hawo watu sizani kama Wana akili timamu , bunduki ya kimarekani uiuze sokoni
@abdullatifhassan9399
@abdullatifhassan9399 8 күн бұрын
Kwani Ina nini bunduki ya marekani kikubwa na cha ajabu mpk isiuzwe sokoni?
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 8 күн бұрын
Ni siraha kama siraha zingine walipeleka wenyewe basi ziuzwe
@MaikoRashku
@MaikoRashku 8 күн бұрын
@abdullatifhassan93 hivi kweli inamaana ujui mazara ya kuiuza bunduki ya kivita kiholela kwa raia wa Kawaida ?. Usalama uko wapi kwenye maisha ya watu mitaani ?. Kwanini hizo bunduki zisiaribiwe au zuwekwe store?. Kama ujui mazara ya kuiuza bunduki ya kimarekani kwenye mitaa kiholela pole
@MaikoRashku
@MaikoRashku 8 күн бұрын
@@abdullatifhassan9399 samahi nilikuwa sijaliona jina lako, nilipoiona comment yako nilishangaa Sana mpaka nikajibu, nilipo ona jina lako nikajilaumu kukujibu
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 8 күн бұрын
Kuachana zana za kivita afghanistan au ulizikimbia moto mkali uzeni tu ndo udume izo ngawila.
Trump: Marekani itaidhibiti Gaza
7:30
BBC News Swahili
Рет қаралды 2,7 М.
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
DeepSeek: Kwanini programu hii ya AI imezua wasiwasi Marekani?
4:48
BBC News Swahili
Рет қаралды 16 М.
Trump: Marekani itaidhibiti Gaza  DiraTV Jumatano 05/02/2025
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 20 М.
Undani wa mamluki wa Congo
4:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 31 М.
Mzozo DRC: Fahamu madini ndani ya simu yanayochochea mgogoro
3:11
BBC News Swahili
Рет қаралды 8 М.
Ushahidi unaoonesha Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23
4:31
BBC News Swahili
Рет қаралды 88 М.
Кем был убитый в Москве Армен Саркисян
16:59
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 104 М.
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.