Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Пікірлер: 73
@user-yl6xb9nz2qАй бұрын
Tunaomba uongoz wa simba mfanye maamuz sahihi yanayoleta fundisho hata kwa wachezaje wengine we wenye behave kama za huyu kubwa jinga..
@otmarykiowi4132Ай бұрын
Huyu hakikisheni anarudi Simba, akifika peleka kwa mkopo Zanzibar, hadi mwisho wa Mkataba
@josepahatmargwe6504Ай бұрын
Binafsi nimefurahi sana Kibu KUANZA ujinga wake. Sikuwa na mkubali kabisa . Safari njema sana kwake
@GodfreyKunambiАй бұрын
I'm Young African fans lakn mchezaj w namn hiy kashajion mkbwa-kulk Timu huy ni wa kumtem usiendkz shd nymbn kwko
@JumaJux-fn3ffАй бұрын
Me kibu simpendag asante mungu
@RamadhaniJohnnyАй бұрын
Fukuza kibu aondoke tu yy nani kwenye tm
@emanuelKareiАй бұрын
Uongozi wa Simba ichukuwe maamuzi magumu kwani kibu sio mkubwa kuliko timu
@user-gn4lc5sk6pАй бұрын
Apigwe pini.Tumempa hadi uraia alafu analeta ujinga.Mtu mwenyewe uwezo kidogo tu.
@DullhFeyyАй бұрын
Chezaji coyote kama huyo piga chini arudishe alicho chukua na fain juuu pumbav zake
@vitalcool9266Ай бұрын
Mwache akafie mbele huko utopoloni FC....
@mbwambojulius1602Ай бұрын
Bora imedhihirika mapema kabla ya kuanza mashindano, huenda angefanya usaliti.
@vitalcool9266Ай бұрын
Utopwenga wana mkono wao
@davicekombe4932Ай бұрын
Kibu msenge sanaa
@vi3ayo1622Ай бұрын
Staki kujua kuhusu kibu ila nilichoskia ni nje za nchi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pelekeni uko wabebeni wote bc kama mnauwezo ilisimba ife
@stevenmanase8162Ай бұрын
Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihidiwe AMINAA
@prosperkatito1661Ай бұрын
mkuki kwanguruwe kwabanaadamu uchungu
@chikualiy8705Ай бұрын
Kibu rudisha pesa zetu hatukutaki tn
@josephlorri431Ай бұрын
Siasa kwenye mpira/soka... nani atamsemea kibu D.. hakuna ukweli hapo
@babycandycharles7816Ай бұрын
Hawooooo wameachwa wamepigwa kibuti kazi mnalalamika tu mitandaoni tumechoka mkiambiwa wachezaji hawataki kwenda shilikisho ndiomaana wachezaji wazuriwote wameonfoka hatakibu hawexi kucheza shilikisho ndimaana katafuta timu ya haziyske shilikisho siohaziyake kombe la luzailo baba kibu haludi tena
@MAGEMEYOHANAАй бұрын
Magoma yupo mwambie akamkamate
@jumaali9243Ай бұрын
Huyu KIBU hajui mpira wa miguu una sheria na taratibu zake
@mjimwemaАй бұрын
kwel anatakiwa apeweazabu
@user-cg1hc7yt3vАй бұрын
Anampango uyo duka tu uyo kibu achaneni nae nuksi tu
@MbogoAbedinego-rh4ekАй бұрын
Bora ameondoka mamruki huyo,ameona hakuna mlango Tena wa kutuuza,arudishe fedha,hatumtaki
@user-os9ps3ry6xАй бұрын
Tunaamini baadhi ya wachezaji walikuw wanaihujumu timu Wenda walikuwa na vikao. vyao nyie hamkujuwa angalieni asije akawa amebaki mukiuliza moja atawaambia
@AbuukarmaxmeАй бұрын
Ngoja ufungwe Tarehe 8 wakufukuze kabisa pumbavuu
@JOSEPHALFONCE-z2iАй бұрын
Anazingua mno mbona watu kutoka kigoma hawapo hivyo huyu niwakumpa azabu Kali ili ajifunze
@johnurio9151Ай бұрын
Usajili wenu mangungu hautambui na ndiko kibu anapitia
@hassansaid-yf2cfАй бұрын
Hamna akili nyinyi hamjui mpk ndio tatizo kibu ni mchezaj w kuisumbua simba
@kisubikilozo6128Ай бұрын
Nyie ni inbwa watanzania munashidwa kulinda uafrika tatitizo asilimia 90 wote warudi wa congo wa malawi wa zabia tunaumizana sisi wenyewe
@fatmasuleyman1466Ай бұрын
Kibu kweli kibua
@JumaJux-fn3ffАй бұрын
Kibu hatumtaki
@johnurio9151Ай бұрын
Lazima tuseme kama mnavyosemaga ya wengine
@user-lr6kf6bf9lАй бұрын
Mkuki kwa nguruwe ni mtamu,kwa mwanadamu ni mchungu😅😅😅
@subiraaddo864Ай бұрын
Na nguruwe mwenyewe ndo wewe sasa😅
@HairuIssa-f9yАй бұрын
Aadhibiwe
@smtaffordmaregesi2749Ай бұрын
Aliongoza kuchangia fei sasa yako kwake
@davidedward2202Ай бұрын
Hiyo ndio inaitwa ubaya ubwela
@StanslausZakariaАй бұрын
Bado hamjasema mpaka mseme
@oneegraphy8285Ай бұрын
NJE ZA NCHI NDO WAPI 😂😂😂😂😂😂
@issaselemani491Ай бұрын
Amekwenda nje za nchi.😂
@DogMnyamaАй бұрын
Sheria ichukue atua apewe athabu zake
@SamwelHolotaАй бұрын
Wanayanga achen ukuda TR 8 sombali
@AnnoyedChemistryExperime-yk9ttАй бұрын
Mlipokua mnasapot ujinga wa Feitoto mlifikili litaishia kwa Yanga kumbe mlikua mnawafundisha nawakwenu Vumilien tu
@user-lr6kf6bf9lАй бұрын
Lieni kabisaaa....😂😂
@user-ge3yd1tx5eАй бұрын
Nyie simlisema kibu D Mzee wa mikimbio sasa ndo Amekimbia Ivo
@johnurio9151Ай бұрын
UBAYA UBWELAAAAAAAAAA, mlikuwa buisy na kuinanga Yanga kumbe ndani kunafukuta,mmekomaa na magoma mkasahau sisi tuko kazini,mtalia mpaka tuzubiri msimu uanze
@user-xq8pq2ey6tАй бұрын
Hatuna misiba kama ya kwenu nyani nyie nyuma mwiko🐸🐸🐸
@RAMADHANAllykibangaАй бұрын
😂❤😂
@johnurio9151Ай бұрын
Sema hawezi kwenda popote kama kawaida yako,we una gundu na msimu ujao ndo balaa kabisa
@FatmaKhamis-p4oАй бұрын
Acha usenge endeleeni na yarais wenu mambo ya simba hayawahusu fyuuuuuuu
Kwanini haya mmeyasema leo nawakati mmekuwa mnasema kwamba haendi popote ? Wewe semaji, ujiangalie vizuri kwasababu unadanganya sana na haya ndo yatakufuwata baada ya msimu kuanza. Unadanganya wana simba ata kuogopa hauogopi ???
@adventureernest5599Ай бұрын
Sasa kashalipwa Kila kitu maana huo ni wizi ungesikia hajalipwa pesa ndo ungesema Ahmed ni muongo
@manaseliberatus1347Ай бұрын
Baadhi ya rasta wanavutaga bangi, itakua ni bangi tuu
@emanuelwilliam-r5cАй бұрын
Mfanye maamuz yaliyo sahihi kwa skil ya wachezaji wengine