Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Пікірлер: 15
@simonIbrahim-hc8vm9 күн бұрын
Daaaah hakika mzee ule wetu 😂😂😂🎉🎉🎉
@AshelyDidas9 күн бұрын
Miwani sio poa
@elimbotoraphael39409 күн бұрын
😂 tumewakwepa chamanzi kwa ajili ya juju😂 huku tena mmeifuata. Japo ni utani ila sidhani kama simba imeshawahii kusema ni uwanja wake.zaidi ya kusema kuwa itautumia kama uwanja wa nyumbani.
@EmaxiellEfazz7 күн бұрын
Bado haujasema
@franccoz949 күн бұрын
HII TEAM KWA KUPENDAA KIKI NIKAMA HAMORAPA TUU,TUWAITE HARMORAPA FC
@errydeo88659 күн бұрын
Ndo maana imewaburuza mara 3 mfululizo!
@EstherMagan-v1i9 күн бұрын
Ukiwekwa msemaji usijisahau kuwa kuna siku utaiacha hiyo kazi jalibu kuwa na kiasi na maneno yako hii ni dunia hii ni tazania ya amani si chuki basi uwanja ni yanga tumejua kauweke kabatini wengine wasitumie yanga wakitaka kutumia mnautoa tumechoka na chuki zako
@errydeo88659 күн бұрын
Nafikiri una uelewa mdogo wakuchambua kitu! Huyu analipwa kuongea kama woote wasemaji walivyo! Akisema 'uwanja wetu' ana maana ya kwamba ni uwanja wa Halmashauri,club yoyote inaweza kuutumia! Hawa wanachofanya ni KUWAKERA SIMBA! Na ana jeuri ya kuongea kwasababu Yanga inafanya vizuri! Hebu fikiria simba INGEKUA inafanya vizuri sasa, Ahmed angekua anaongeaje ? Make yule ndo mpuuzi kabsaa ,anapenda kukera pia! So sioni ni kwanini unasema mambo ya chuki! Hawa kazi yao ni kukera na, ukiwachukulia PERSONAL,my dear utateseka saaana! Na kwa taarifa yako huyu na Ahamed ni marafiki hata Ibwe! Kazi yoyote ile inaweza kuja na kuondoka! Enjoy hiyo kazi ukiwa nayo! Ally anaenjoy kazi yake! Na ana kila sababu ya kuenjoy...
@user-pv3ip3uk2s9 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@Mo_kiddMsangi9 күн бұрын
Mgonjwa si bure kweli ni komedian mjomba nenda futuhi
@EstherMagan-v1i9 күн бұрын
Huko tukoelekea si pazuri watu wakumbuke kuwa simba ni ya tanzania pia huyo roho anayewapa kiburi siyo hizi timu mnazijea chuki na chuki huzaa mauti
@errydeo88659 күн бұрын
Sio kweli! Ni fikra zako,kama nilivyosema
@EstherMagan-v1i9 күн бұрын
Ukiwekwa msemaji usijisahau kuwa kuna siku utaiacha hiyo kazi jalibu kuwa na kiasi na maneno yako hii ni dunia hii ni tazania ya amani si chuki basi uwanja ni yanga tumejua kauweke kabatini wengine wasitumie yanga wakitaka kutumia mnautoa tumechoka na chuki zako