Content nzuri sana, kiredio unafanya kazi nzuri sana, but kuna shida hutupei conclusion, embu jaribu kutuunganisha matukio since unaongea na jamaa hadi una kutana na binti and conclusion ilikuwaje
No hii nimegundua ni njia ya kweli hata we unaweza mtumia mpenzi wako zawadi ili kuprove atapokeq mtu sahihi?
@dainesszuber740411 ай бұрын
Yaani hii kila muda naangalia na nacheka sanaa ndugu zangu uaminifu ni muhimu sana Mumewangu popote ulipo Nakupenda sana na kamwe sito kucheat nimelidhia na wewe❤❤❤
@theresiamtewele616511 ай бұрын
Vip kuhusu yeye hakucheat pia😁😁😁
@medyelira11 ай бұрын
😅
@queensalema526211 ай бұрын
Watu wanapewa had iphone mm hata w kunihonga kiswaswadu hakunaa 😢cjui nafel wap
@agnesmasoud95011 ай бұрын
Hio lazima
@clintonvlogs425711 ай бұрын
Long distance relationships huwa hazifanyi kazi, great content.
@Wdtv89811 ай бұрын
Hao ndo wanawke wa tanzania sasa❤
@shazyahya412111 ай бұрын
Hii inaonyesha wazi 80% ya wanawake wa chuo sio waaminifu cha msingi vijana wanatakiwa kua makini mpende demu kwa maslai tu ya kung'ata na kupotea hata ukisikia rafiki yako amekula demu wako usigombane nae hii generation marafiki muhimu sana kuliko mademu wa chuo ni kausha damu
@paulmrema10833 ай бұрын
napenda kuona watu wanateswa na mapenzi...😅😅😅
@JoyceMwita-e3wАй бұрын
One day na ww utakuja kulia 😂😂😂😂
@ibrahimally505511 ай бұрын
Kiredio et "mnakunywa soda au?" 😂😂😂😂
@albamwanja430411 ай бұрын
Mmmh inatisha sana. Focus on yourselves gentlemen it's a really cold life in this eraa
@tabithayohana857311 ай бұрын
Mungu wangu weee demu kashamjua mshikaji wake ooh my GOD
@FaudhiaSwalehe-tp9ox11 ай бұрын
Kiredio wew mungu atakupa kiti chako
@NellyFrenk-vr6mz11 ай бұрын
Khaaaaaaaaaaa hii ni hatar jmn wanawake tumezidi jmn duuuuuu sijawah kukoment chochot lkn Leo imebid niongee neno duuuuuuu kama wap wadada wa hivi siku yatakuja kuwakuta mamb haiwezekani mtu ana kuhudumia au anakufanyia Surprise Kam hiy ww unaleta mambo ya ajabu na ya haibu pia khaaaaaaaaaaa 🙆🏽
@NellyFrenk-vr6mz11 ай бұрын
Na pia pongezi ziende kwakwako kiredio watu watajifunza na kujirekebisha kupitia ww
@daimavlog11 ай бұрын
Kiredio leo umepigwa na kitu kizito siyo kwa kukujia na shemeji yenu😂😂
@dotnatajoseph26202 ай бұрын
Ila wa tz kwenye sekta ya mahusiano sio wa kweli kabisa hii ya Leo kiboko kiredio hata kama aliokutuma kajionea live
@zainabjordan565911 ай бұрын
Part 2 please
@nuratirama11 ай бұрын
Daaah jamani inauma sana
@oscarjohn47711 ай бұрын
sasa ndo useme kiredio ameishiwa nguvu oviasiii😂😂
@ByamunguGentil-su8ox15 күн бұрын
Oya kiredio mm natak ugombanishe watu hadi wadowame meno mwanagu 😂😂mm wana wake ame kula hela yang nying sana aise 😂😂😂😂
@JuliusKimonga-x8e11 ай бұрын
Kiredio part2 plz
@hellendaniel380911 ай бұрын
Tuko confussion😂😂😂😂😂
@MinaNillan11 ай бұрын
Mbona bahati hiizi sipati mm mungu wangu jamani
@JamesOwen-rp3if11 ай бұрын
Njoo nikupe bahati😂
@asmahasanirashid505911 ай бұрын
Ila mnasaidia mna hueenda watabadirika
@JanethMaumbi11 ай бұрын
Alafu ni wajina eeh Yesu😢
@dianerditto11 ай бұрын
😂😂😂😂😂daaah...wazee wa kuachanisha mahusiano yaliyofika hatua ya mwisho😅
@blackeagle444111 ай бұрын
😆😆😆 sijapentaaa
@amosdeo953411 ай бұрын
Inachekeshaaa😂😂😂😂😂😂 Hali ya bwan mahusiano ni teteeee
@-_GOGO-L-BAHRY_-11 ай бұрын
Ila nimefurahi SANA man,pale alipo mtambulisha BF wake kabla.
@nnieraudhwa861111 ай бұрын
Sasa kiredio ikawaje 😅😅mbona mtu aliinuka tuu then fyuu au alivunja camera😂😂😂😂
@bluelionboyhistory659111 ай бұрын
Mbona haijaisha😢😢
@irenembeyani-hb2zm11 ай бұрын
Mnipee hyo simu mm nina kazi nayo😊😊😊
@BrightonemediaTz11 ай бұрын
😂😂
@Masterclass_Pi4 ай бұрын
@Kiredio Kiukweli nimechelewa kuiona hii ila huyo dada hapana aisee.... Kanikumbusha nilikutana nae Ze Bistro😅😅
@nnieraudhwa861111 ай бұрын
Mr UK simu ulikuwa unaficha wapi😂😂
@bashiriissahmgannah573811 ай бұрын
Weee kiredio wewe Mungu anakuona 😂😂😂😂 nakukubali kinoumaa
@matildamushi174111 ай бұрын
Mnakunywa soda au?😅ila wanawake tuache tamaa.
@hussainmawanjila6852 ай бұрын
Mbagara lini kak
@princessnaji237011 ай бұрын
jaman kiredio na mr uk 😅😅😅 haraf mr uk nilikuona kwenye mr right
@michaelbigvai119911 ай бұрын
Somo la kuondoka nalo hapo jifunzeni kuweka mbali camera
@michaelbalele92911 ай бұрын
😂😂😂😂😂 oya mlipona maana at atujaelewa kilicho endelea😅😅😅😅
@dottocharles96459 ай бұрын
ndo nn sasa hata aieleweki imeishaje
@JasmineKitiku5 ай бұрын
Ila kiredio jamn😂😂 muone namaliza bando lang kila siku mpaka nakopa 😅😅😅😅 kisa hiz mamb zako I love you
karibu singida mzee mwenyewe uje ukiwashe kwa wanyaturu😂😂😂
@nikrahayubu-sz3pw11 ай бұрын
😂z😂😂😂😂😂huko hatar
@lucykiria634011 ай бұрын
Tuweke part 2 yake sasa
@popoescobatz11 ай бұрын
Tunataka part 2😂😂😂😂
@fatmaally994311 ай бұрын
Jamani mapenzi haya 😢
@goodluckmzuzuri4 ай бұрын
Dah!! Kadadaa kamechanganyikiwa!! Baada ya kujua kayakanyaga hataki kuharibu pande zote! Ni nouma wadada wa chuo
@dinaalfani11 ай бұрын
❤❤❤❤ kiredio kaz nzur komesh michèpuko
@FaudhiaMiduma-hh6sv5 ай бұрын
😂😂😂
@NancyTaison11 ай бұрын
Nzuriiii sanaaaaa watuuu waaachee kuchety
@raphaelnyigo874011 ай бұрын
Au mlipigwa?
@LucyMalingumu-xb2vp11 ай бұрын
Ds dodoma ❤❤
@medyelira11 ай бұрын
Post party 2 please bhn, alaf muwe mnapost full video hivi inakua inaboa sana😢
@damasmarungu252010 ай бұрын
Sasa huoni camera imevutwa
@mvumafamiliy11 ай бұрын
Ulikua unaulazima wa kuuliza kama anaweza kupigana, picha linaanza jamaa kavuta kamera sijui nyie mpo kwenye hali gani 😂😂😂😂😂
@ElizabethNhumbi-dp7ym11 ай бұрын
kiredio pole kwa kweli Du
@suleimanmarumbo.59654 ай бұрын
Hii nimecheka sana
@HappyHappy-i4p11 ай бұрын
Part2
@YFM-rq9td9 ай бұрын
Ndiyo maana mimi huwa nasema hawa wanachuo wanaungana chuoni kwamba wote wametoka makwao wapo single,,,,kwahiyo ni mushikeri tu kwa kwenda mbele -------
@mubarakhassan261811 ай бұрын
Kwan imeisha j
@lilymuro888211 ай бұрын
Mwendelezo
@AngelChino-v8f2 ай бұрын
Kiledio mm nataka nimchalenji mpenziwangu
@ashurajengela39264 ай бұрын
Wanawake haki kuna tuvitu tumemzidi adi shetani 😂😂😂🙌🏻 et msimpigie
@Kim-xr1yw2 ай бұрын
Eti unaweza kupigana
@AthumaniNyagali-uh9so11 ай бұрын
Sema kiredio we mnafiki sana maswali gani hayooo😅😅😅😅😅
@ConsolataJohn-u1k11 ай бұрын
Wew kiredio unaharibu mahusiano ya watu wew
@AirinSumeno11 ай бұрын
Tunaomba part 2 jaman uwiiii
@moseafrica1-ms5ko7 ай бұрын
Daaaah ninomaaaaaa
@MudathiriMahr-df2wg11 ай бұрын
Nilikuwepo kiredio alitandikwa vibya sn now tupo naye hospital hpa🤣🤣🤣
Content nzuri sana don't give up kiredio sisi wengine tunajifunzia hapa ❤🙌🙌ila unakata why utoi mpaka mwisho? Tunaoma part 2
@JescaMuyabi-ix8ly11 ай бұрын
Safi mnajuakutunyoosha wanawake wenye tamaa
@zainawangu583811 ай бұрын
@@JescaMuyabi-ix8lybado hujasema 😂😂
@jeofreymsomba720011 ай бұрын
Dem mbaya
@janenyemba508011 ай бұрын
Mbona rfk yngu @kiredio amepoa hivyo jmniiii hiyo iPhone naona turudinayo dar kijana akamnunulie mam shamba😅😅maana kuna mabinti wanacheza na akili za watoto wa wanawake wengne 😊
@abubakarikisuju8011 ай бұрын
Kipindi kizuri sana japo mnavunja ndoa za watu"lakini mbona hamfiki mwisho?
@innocentmshana606811 ай бұрын
this was btn chelsea vs brentford mkeka ukachanika mchana kweupeeee😁😁 maaapeeenjiii yatakuuuaaaa
@FatumaMrisho-iz2gh4 ай бұрын
Jamani wa jins mbona unaniabisha ivo
@-_GOGO-L-BAHRY_-11 ай бұрын
Sema Sasa,umefeli jambo moja mbona haijaisha.
@ShaziaKikoleka4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣bongo hii, tutafika tumechoka sana
@laurentgwasma45813 ай бұрын
Asa mbn imeisha ivi 😢
@humphreymhule73311 ай бұрын
Inabidi nikutume na mimi maana😅😅
@mwanaSalim-re4pn11 ай бұрын
Kuna watu wanaguvu zao waume wawili wawili kama viatu waah
@daimavlog11 ай бұрын
Siyo lazima ulale nao
@popoescobatz11 ай бұрын
Kuna pozi amekaaaa kiredio nkajua teyaliii💔😂😂😂😂
@hanifahkhamiss848511 ай бұрын
😅😅😅😅😅yaaani utasikia m.mke mweny sura mbovu hawachit....hiv km kila mtu anataka pisi mbovu ila awe peke yke unadhn mtakua wangap 😅😅😅😅😅
@LuckyRollingHills-gl2rl5 ай бұрын
apa si shopers mbez beach😢
@LydiaStephano11 ай бұрын
Nimecheka mpaka nimekojoa 🤣🤣🤣🤣 umalaya huu jamani
@VijanaKkktmakoka1411 ай бұрын
Hahahhhahahaa
@alfamgayatv87211 ай бұрын
😂😂😂😂
@happynkya97704 ай бұрын
hiii ndo ile mpenzi wako naye ana mpenzi wake
@maryrich11 ай бұрын
Jmniii part two 😂😂😂
@AngelAfric4 ай бұрын
😂😂😂 jaman mbona mmekatisha aah 😢
@silviaKokubelwa11 ай бұрын
Jamani wadada tunafer wapi
@bluelionboyhistory659111 ай бұрын
Mpenzi wangu ajiandae namletea zawadi ila mshenga ni kiredio 😂😂😂😂
@AkxaEdwinАй бұрын
Kiredio umezingua tunapenda kuona hitimisho 😂😂😂
@mwapendosultan88711 ай бұрын
apo Kwanza nicheke😂😂😂
@menalikechildren883611 ай бұрын
Naomba hili zoezi liendelee litasaidia wanawake wengi kuheshimu kuwa na bwana mmoja tu, naomba namba zenu nataka niwape Iphone 15 mukampe demu wangu asiponitaja nirejesheeni mwenyewe