Naomba kuunganishwa na mwalimu tafadhali,,..... nina kazi naye
@elizabetnyanzala80594 жыл бұрын
Wimbo huu unaujumbe mzuri sana endeleeni kupiga injili watumishi wa bwana
@shujaazfilmsproduction71154 жыл бұрын
naupenda sana uimbaji wenu wana BUJORA. Ni Jay nikiwa ng'ambo kenya Nairobi.
@josephkafumu69214 жыл бұрын
Naukubali sana kazi hizi no za kisasa mitambo mizuri Ila ushauli wangu tumieni vyombo vya mziki asilia magitaaa yote vinanda vipigwe laivu inapendeza sana vipaji vinapotea mtawatafuta kwa tochi
@evalinalushinge56284 жыл бұрын
Ujumbe mzuri, mbarikiwe sana
@WorldNatureChannelTanzania4 жыл бұрын
Duuuuuu,,,balaaa zito hongereni sana watumishi
@petermussa8713 жыл бұрын
Ameen 🙏
@barikifrester44054 жыл бұрын
A good song I like to listen
@patrickadam7143 жыл бұрын
BWANA awatunze
@barikifrester44054 жыл бұрын
A good song
@shujaazfilmsproduction71154 жыл бұрын
nawezaje patana na mmoja wa mcheza vyombo wenu.. Tafadhali
@arijidottolifabundala41392 жыл бұрын
Habari kunamwalimu wakaya alisha wahi kufundisha hapo anaitwa rukasi ruhahula naomba alie manamba yake anisaidie