Jamn 2023 nani anazikubarii hz ngoma,,nipe like zangu
@johnjoycemalusu4886 Жыл бұрын
Tupo pamoja 🔥
@JacksonLazaro-mm3qs9 ай бұрын
Hizi ndio zilikua kwaya za kweli sio za kisasa 🎉❤❤❤❤
@user-cc1bb3gq5x6 ай бұрын
❤
@lucasienosibaluhya45813 ай бұрын
😊😊@@johnjoycemalusu4886
@Triplek_online3 ай бұрын
May 2024 Bado nyimbo inanibariki sana kama Huwa unarudi kuangalia mara Kwa mara like tujuane❤
@LazaroKajole-bt4nm7 ай бұрын
Tunaosikiliza hii nyimbo 2024 tujuane 🔥🔥🔥
@muuofestus30675 ай бұрын
Locked
@user-og2su5ie2k4 ай бұрын
Am here
@HappyBurger-bc5ee4 ай бұрын
Amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@jonathanhaya655911 күн бұрын
Niko hapa sanaaa ❤
@user-vc3uu9rd3s2 ай бұрын
Who is with here 2024❤❤
@kelvinamani39575 ай бұрын
2024 nakutukuza Mungu
@user-lq1pn7wi6d3 ай бұрын
It sounds as if it was sang yesterday. & We are in 2024 D k from Kenya baraka Tele kwenu ❤
@user-pu8rn9jn4f5 ай бұрын
Tanzanias you are wonderful people in all respects, I love your choirs and the presentation by your handsome and beautiful brethren
@JacksonLazaro-mm3qs9 ай бұрын
Ni 2023 kwaya hii ni nzur sana ina dumu Zaid na zaidi rudini tena ❤❤❤
@titustito118914 күн бұрын
Ndungu zetu kutoka Tanzania wamebarikiwa na kipawa cha utuzi wa nyimbo za injili.utukufu kwa bwana 🎉 Nabarikiwa sana kusikiza huu wimbo
@jacklinemnaa4194 Жыл бұрын
2023 nitayakumbuka matendo ya Bwana siku zote🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@saifakyando77469 ай бұрын
Nampenda huyu dada kwa kweli anasauti nzuri org nakupenda sana ,sijui jina anaitwa nani
@pascalkalembo649415 күн бұрын
Wenye kuwa Africa shikamaneni na Bwana wetu Yesu Kristo ,wazungu wamemuchezea Bwana wetu Yesu Kristo ,songeni mbele ,watawatafuta kama vile watatafuta Njibwe ambavyo wa njenganji waliotupiliya mbali (( Yesu Kristo))(( Njiye Atakaye Kuwa Njiwe ya Musingi)) nendeni mbele .
@CalorineMkondya4 ай бұрын
Mungu amewapa kitu cha tofauti Sana hawa wandugu Yesu awabariki Sana wazidi kukua na kuongezeka kiroho na kimwili❤❤❤
@muyisengeonaan7923 күн бұрын
The Best song from the best choir !!! Congratulations!!!!!
@nzoyisabafaustin7610 Жыл бұрын
Dorcas ubalikiwe saaaaaana❤
@veeinn7965Ай бұрын
Bado nikohapa 2024 amen and amen 🙏🏿
@mauriceonyango57034 жыл бұрын
Wapendwa Tuko katika mwaka 2020,na kusema ukweli, sijapata kwaya yeyote katika Baraka Africa waliyo imba nyimbo nzuri kama nyingi. Nikikumbuka ile CD ya kwanza GUZA. PLIZ LET SOMEONE DOWN LOAD THEM AGAIN.Mbarikiwe Sana.
@asumanijuma3322 Жыл бұрын
Innp. P
@dancunakoko3043 Жыл бұрын
Please let me download
@ShadyMtush5 ай бұрын
Since I was young about 5yrs l❤your songs ❤❤❤❤❤❤
@KambaleKiroviАй бұрын
Waimbaji wenzangu mubarikiwe ni kambale kirovi pa butembo
@shidamasau8686 Жыл бұрын
Ila sijui mmeenda wapi tena sasa siwasiikii tena
@annamushi7357 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu zote. Mungu awabariki sana kwa kweli. Naomba muweke download
@dominicphiri6112 Жыл бұрын
I love this choir, the best even I don't understand their language❤❤❤
@ahadimahenge3845 Жыл бұрын
🎉
@RoseRose-mw4nv Жыл бұрын
Nitayakumbuka matendo ya Bwana naam nitayakumbuka maajabu yake ya kale
@helenasamwel91603 жыл бұрын
Hasa kinamama mnaosolo mnanipa rahaaaaa mimi jamnii
@eurslahliavi795 Жыл бұрын
Hindi zilivyo Tu , hakuna mshauri wa mungu
@estermartine20325 жыл бұрын
ambao tunaitazama 2019 na tunaimani itatufikisha 2025 gonga liki👍👍👍
@jacobmakono3895 жыл бұрын
.."nani alikuwa mshauri wake..nitaitafakari kazi yake..mtukuzeni Mungu.".nabubujikwa na machozi jamani!kazi ya Mungu na hukumu zske hazichunguziki!!
@estermartine20325 жыл бұрын
mm sichoki kuutazama huu wimbo
@cecilialucas76554 жыл бұрын
Amina Amina najiona fahari juu ya Bwana Mungu
@idashumba92144 жыл бұрын
@@cecilialucas7655 😘
@bennedictskawa95924 жыл бұрын
Mi kwa mara ya kwanza nliuskiliza 2012
@IsmailMgimwa5 ай бұрын
Mm ndo nyimbo zangu nazipenda sana
@musatiba20563 жыл бұрын
Kwaya hii naipenda sana yani toka mwaka2013 ipo moyoni mwangu,,ah
@dostovan51423 жыл бұрын
2021 tumrudishie Mungu sifa zake
@NyamiziJohn3 ай бұрын
Jaman huyu mama ananibariki sanakwa saut yake nzur ubarikiwe sana fanya kaz ya bwana mwisho utalipwa
@gloryjaphet5826 Жыл бұрын
Tunaozidi kuitazama nakupenda hii nyimbo October 2022❤️❤️🔥🙌
@eliaskamulimhoja931311 ай бұрын
Nyimbo ziko vizuri
@shabannewdman4650 Жыл бұрын
Nawapenda natamani niimbe pamoja na nyinyi nampenda huyu dada hana makuu
@duncanmponda46455 ай бұрын
Nawapenda kwa uimbaji wao na miondoko yao ,Mungu awape Neema na Rehema.
@NizigiyimanaSuzanne4 ай бұрын
Zaidi yakuwapenda mimi i love you in English
@zuhuramwambalo17673 жыл бұрын
2021 mpigieni BWANA kelele za shangwe
@josphinekathanthi60702 жыл бұрын
Mungu awabariki sana nawapenda
@dianamasatu81414 жыл бұрын
huu wimbo unaendelea kunibariki 2020
@mussauwezo86743 жыл бұрын
Good sana namuelewa solo
@StellaMwano-mp6gi7 ай бұрын
ELOHIM, the best song, move on team❤❤❤
@baraoshi11 ай бұрын
The best ever
@cecilialucas76554 жыл бұрын
Nimebarikiwa 2019November 21
@samuelwekesa76344 жыл бұрын
Kweli
@fransavinhonacmela8273 жыл бұрын
Nabarikiwa 2021 #March kama unakubari kazi za chang'ombe. Like hapa #tujuane
@isaacsopia79343 ай бұрын
Uimbaji mzuri!
@annapatson77604 жыл бұрын
Mpigien mungu kelele za shangwe nawapenda mno
@suzanalucasemanuel7006 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@MussaErnest-z9v11 ай бұрын
Nafarijika Sana kwa nyimbozenu
@bukelebefergusonjr61964 жыл бұрын
Wimbo bora kabisa kuwahi kuusikia masikioni pangu, japo sio muumini wa J/ pili but Congratulations guys
@MiriamJoel-z2w5 ай бұрын
Amizing song jamani
@margaretengendi13854 жыл бұрын
January 2020. Bado ninabarikiwa
@revocatusvedastus88933 жыл бұрын
wimbo huu unatafakarisha xana,ee Mungu tumche Mungu kuliko kuabudu wanasiasa wanaopenda kutukuzwa utafikiri wanaweza hata kuumba hata sisimizi
@privatuskitungutu87109 жыл бұрын
mbarikiwe mnaimba na kupiga vyombo kwa ustadi sana
@edwardkasubi13323 жыл бұрын
Mmmmmmhhhh kuna mafundi wa vyombo humu sijawahi ona Mimi ni fundi pia lakini hawa kina-Kaka ni hatari sana pia asanteni kwa masololist kiukweli kinaDada nyinyi viwango vyenu ni vya juu mno pia Asante Mwalimu wa Kwaya bila kumsahau mtumzi wa nyimbo na wanaMaombi wa kwaya , Nawapenda sana sana sana sana sana sana sana sana sana mnaniBariki mno
@agripinamgema36564 жыл бұрын
Asante chang'ombe. Nipo Dubai napenda nyimbo zenu. Lakini mwananchi mwenzenu
@nehemiashekiondo72873 жыл бұрын
Amina Nazi nzuri sana mungu awalinde na wapandishe utukufu had I utukufu mbarikiwe sana
@titustito118914 күн бұрын
Isaiah 40:12-13 [12]Who has measured the waters in the hollow of His hand, Measured heaven with a span And calculated the dust of the earth in a measure? Weighed the mountains in scales And the hills in a balance? [13]Who has directed the Spirit of the Lord, Or as His counselor has taught Him?
@titustito118914 күн бұрын
Very powerful word
@invocavitmbise52962 жыл бұрын
Huu wimbo nakupenda sana..mbarikiwe sanaa wanakwaya
@denisrotich88325 жыл бұрын
well organised song...this is wonderful.
@rosemarysulle9288 Жыл бұрын
Africa nzima hakuna kwaya iliyoimba kwa kufata maandiko ya Biblia kama hii.hii ni kwaya jamani🙏🙏🙏
@teklamahenge52125 жыл бұрын
Nawapenda waimbaji wote walio imba wimbo huu matendo yake mungu kweli ni ya ajabu Sana
@Aksamaduma4 жыл бұрын
Yesu akutunze Mamy Diana!! nakupenda Mungu awabariki jamani
@fatnarashid32043 жыл бұрын
"Mpigieni Mungu kelele za shangwe"🥰👏
@yunisk8620 Жыл бұрын
Amin sanaaa
@fedambogela73256 жыл бұрын
A I C chang'ombe nyimbo zenu zinanibalik sana mungu awepamoja nanyi
Ni mwotoooooooo could you please rewind THIZ song🔥🔥😍
@jefredyfrednandy58803 жыл бұрын
Safiii sana
@muyisengeonaan792 Жыл бұрын
Best song,!! You're the best choir !! I love you so much
@erickmevaashi61674 жыл бұрын
tunawatakia uimbaji mwema aic chang"ombe nyimbo zenu huwa zinanibariki xn
@hakymderrick58712 жыл бұрын
am blessed for such a beautiful voice and instumentors..God increase you.
@joycemshai2452 Жыл бұрын
Amen
@albertjames68455 жыл бұрын
Mungu wetu atukuzwe, sifa na utukufu zimwendee yeye. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@baheyesingu46933 жыл бұрын
Aic cha ng'ombe jinsi zilivyo
@abigailjoctan48303 жыл бұрын
Nitayakumbuka matendo ya bwana na nitayakumbuka maajab yake ya kale
@Maureen_Mutheu Жыл бұрын
The soloist has a beautiful voice
@yunisk8620 Жыл бұрын
Amina
@wilsonoduoromondi84595 жыл бұрын
Thumbs up for your soloists her smooth and sweet voice is fantastic and good to hear!
@hawaarira80895 жыл бұрын
Wilson Oduor Omondi nawapenda waimbaji ,Mungu awabariki sana
@maggiendunda4440 Жыл бұрын
🎉 Rb
@boazkitela69606 ай бұрын
Mmesahau kuimba hii jumapili kanisani nawaomba siku moja muipige live
@eugenekirck49962 жыл бұрын
Wimbo nzuri
@pendolazaro74369 ай бұрын
This song jmn since niko primary
@vincentonsomu83722 жыл бұрын
I need to download this song
@edwintallam62022 ай бұрын
Nyimbo safi sana
@nancywaithera87943 жыл бұрын
Wow there power in giving thanks the presence of God is all here in Nairobi kenya through this song may bless whoever wrote this great song . I too will tell my great great great grandchildren the great doings of the lord in my life .
@stanleymathias44324 жыл бұрын
Hauchuji kabisa 2020
@pendosailo19893 жыл бұрын
Safi sana.
@utukufujohn6446 ай бұрын
🙏🙏🙏🥰🥰
@thomasotieno61593 ай бұрын
Hizi ndizo yakati za mwisho
@meliyomeliyo58274 жыл бұрын
Mko vzr sana Mungu awabariki
@juliethjustus5424 Жыл бұрын
Nawapenda sana
@mwajumaemmanuel93592 жыл бұрын
Sjawahi kuchoka kusikiliza hizi nyimbo niwe na furaha au majozi nasikilizaga san. Mbarikiwe mnooo
@emmanuelmasoko10135 жыл бұрын
Hivi hawa walio dislike huu wimbo , kwani wenyewe waliumbwa na mungu yupi?
@albertjames68453 жыл бұрын
Tuwe positive kidogo, labda walidhani ile ni sehemu ya ku-download huu wimbo, wasamehe tu ndugu zetu hawa 😁
@user-te6vg7oo8j6 ай бұрын
I like nyimbo zenu sana barikiweni sana wapedwa
@HappyBurger-bc5ee3 ай бұрын
Au ni nan ilikuwa mshauri wa MUNGU
@jacquelinlutalo571510 жыл бұрын
nawapenda waimbaji wote mungu awabariki
@zackh9722 Жыл бұрын
Ni mwotoooooo🔥🔥🔥😂
@frankcharles79584 жыл бұрын
2020 Sept
@paulmazanza29492 жыл бұрын
Nyimbo nzuri kama hizi kila ukisikiliza unaona ukuu wa Mungu.
@kitoileena47103 жыл бұрын
Wimbo umenibariki sana roho mtakatifu awaangaze zaidi mzidi kumtumikia yeye peke yake.amina
@paullucas29614 жыл бұрын
Mi nawakubali saaana hawaimbaji niseme mungu awabalika sana
@mabitajunior2 жыл бұрын
CVC my best choir ever to date 2022,you are blessed.
@joyceamsi63967 жыл бұрын
Mungu awainue kwa viwango vya juu sana,nabarikiwa na kazi zetu-