AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC MUNGU AKISEMA NDIYO ORIGINAL 2020

  Рет қаралды 764,004

AIC Chang'ombe Choir (CVC)

AIC Chang'ombe Choir (CVC)

Күн бұрын

AICT Chang'ombe Choir Official

Пікірлер: 261
@onexgozbert2554
@onexgozbert2554 4 жыл бұрын
Sollo ya kwanza ya Mama yangu Diana imetaka kunitoa machoz imeimbwa kwa hisiaa balaaa ure the best Alwayz and Alwayz CVC 🙌
@favouropande1065
@favouropande1065 4 жыл бұрын
Mama Diana ni mtumishi wa mungu.,. Upako wa tofauti kabisa
@daudimungure9279
@daudimungure9279 3 жыл бұрын
AICT CHANG'OMBE Mungu awabariki sana kwa uimbaji wenu uliotukuka, nipo na nyie toka Albam ya kwanza ya "Vunja" hadi leo. You are of high quality in everything.
@semunassari6637
@semunassari6637 3 жыл бұрын
Amina ndug
@sheddy2417
@sheddy2417 4 жыл бұрын
Nakubali soloist mama Diana..... Kweli hakuna Mungu kama wewe wetu.... 🙏🙏
@johncavishe353
@johncavishe353 4 жыл бұрын
Et wanasaligi kanisa gani hapa dar nawakubal sana
@danierjohn1375
@danierjohn1375 4 жыл бұрын
@@johncavishe353 unapanda magar ya temeke unashuka kwa sokotaa , ukishuka tuu hpo unaliona kanisa lao linamsalaba mrefuu
@johncavishe353
@johncavishe353 4 жыл бұрын
@@danierjohn1375 haya Asante broo
@presseg.6362
@presseg.6362 4 жыл бұрын
Naipenda Sana hii Kwaya, bwana awape hatua zaidi
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 4 жыл бұрын
Mim ni zaidi yako asee
@mimwaninelitha6666
@mimwaninelitha6666 4 жыл бұрын
MUNGU akisema ndio hakuna Wa kupinga hakika mmenibariki sana MUNGU azidi kuwainua kwa viwango vya juuu zaidi
@ombaawycky3542
@ombaawycky3542 4 жыл бұрын
Wakumbuke Hawa waimbaji mungu, Tanzania imebarikiwa kweli, Chang'ombe hongera,
@favouropande1065
@favouropande1065 4 жыл бұрын
Amen. Wamejitoa munoo. WA barikiwa Hadi washangae
@saraleonard2975
@saraleonard2975 4 жыл бұрын
Rege fulani hiv safi sana baba Deffa kwa kazi yako nzuri
@emmajoxe8633
@emmajoxe8633 3 жыл бұрын
Ooh my God. Mama Diana umegusa moyo wang lkn changombe hatujazoea kuona masolo wengi kwa album zenu aiseee mpunguze bana maana mpaka mnakuwa kama mnataka kunichanganya vile. Mungu wa mbingunii awabariki kwa Kaz yake
@daudimungure9279
@daudimungure9279 3 жыл бұрын
Usijali kuhusu masolo wengi, kila mwenye pumzi na amsifu bwana na kila mtu ahudumu kwenye nafasi yake. Barikiwa sana
@mosesaisu4380
@mosesaisu4380 3 жыл бұрын
Samueli, utamlilia paka lini Sauli, ikiwa mimi nimemkataa, ichukue pembe yako ukamtie mafuta Daudi. Ohh my God, this is the best part of this song and blessings from God upon Chang'ombe AICT choir, Amen
@mkinajoseph7632
@mkinajoseph7632 4 жыл бұрын
NI maajabu!!! Kutoka kwenye kuchunga kondoo, Hadi kuwa mfalme!! MUNGU WETU NI MKUU, AKISEMA NDIYO HAKUNA WA KUPINGA. AIC CHANG'OMBE KWAYA,CVC. MUNGU AWABARIKI NA KUWATUNZA, Muendelee zaidi na zaidi.
@yulymseven5194
@yulymseven5194 4 жыл бұрын
Naipenda Naitaman Naitaka Mungu awabariki sana
@jacklineayoub2996
@jacklineayoub2996 4 жыл бұрын
Ameeen....hakuna wa kupinga!!!!
@lilianmutinda7569
@lilianmutinda7569 4 жыл бұрын
Napenda uimbaji wenu sana...I wish ningekuwa tz ningekuwa mmoja wenu...song zenu unibariki sana
@reubenismail3672
@reubenismail3672 4 жыл бұрын
Ila hao masololist wa chang'ombe nawaelewa Sana!kwa ujumla kwa yote mungu awabariki kwa huduma nzuri.
@dorcasmanda1793
@dorcasmanda1793 4 жыл бұрын
Hongera kwa wimbo huu umewaweka katika level ingine.
@janemusyoka6125
@janemusyoka6125 4 жыл бұрын
Mungu akisema ndio hakuna wa kupinga,great song barikiweni sana watumishi wa Mungu
@marycianabwana7265
@marycianabwana7265 4 жыл бұрын
Niliwasubiri kwa hamu sana mbarikiwe sana nyimbo ni nzuri
@victormajenge1396
@victormajenge1396 4 жыл бұрын
Jamaniii huyu Mungu wa mbinguni aendelee kuwatunza maana mliitwa kumuimbia milele na milele.. Tangu miaka ile hadi leo hii ni wapya asubuhi na jioni hata sura ngeni nazo zinakua kitu kimoja.. Alleluya Bwana atawalindeni hadi kusudi lake litimie..
@felixkendrick3718
@felixkendrick3718 4 жыл бұрын
Our lives is based on God. Ur preaching is real and ur are pride of east Africa and entire world. This is master piece of good work with full of passion and dedication. God bless CVC from Canada❤️❤️❤️
@favouropande1065
@favouropande1065 4 жыл бұрын
Amen. I love them like my own choir. One thing is sure...they are dedicated and committed
@joshuakinyili8787
@joshuakinyili8787 3 жыл бұрын
@@favouropande10651P, mo a it to ru he d me an and an an. You
@254joel6
@254joel6 4 жыл бұрын
I believe if there is a choir that sings with passion and delivers the true gospel to the whole world is AIC CHANGOMBE CVC..Am always blessed by your singing may God keep blessing you with more strength
@favouropande1065
@favouropande1065 4 жыл бұрын
umesema kweli kabisa
@edithkioko3991
@edithkioko3991 4 жыл бұрын
Mi too
@kalamuyangu1
@kalamuyangu1 4 жыл бұрын
6:00 Mmweeh! Hkika huyu Dada alibarikiwa sana katika mpangilio wa sauti
@marrypius4868
@marrypius4868 3 жыл бұрын
We mkate wewe! Ubarikiwe sana. Na dianastephano mungu ambark kwa Sauti nzuri
@boazkitela6960
@boazkitela6960 3 жыл бұрын
Mungu azidi kumuinua kwa jina la yesu
@pendojeremia9687
@pendojeremia9687 4 жыл бұрын
Nawapenda Sana wanakwaya nazipenda nyimbo zenu zote Kwan nizisikiliza nafarijika Sana mugnu azidi kuwabariki
@felixmasae
@felixmasae Жыл бұрын
Nimefuatilia nyimbo zenu zote jameni mnaimba vizuri sana asanteni sana kwa kutubariki Mungu awajalizie zaidi
@marymyonga3808
@marymyonga3808 4 жыл бұрын
Weuweeeeeeeeee lege flan hivi amaizing Daaah aiseee sijui nisemaje najifunza mengi kwa hii kwaya sio Siri Salamu zimfikie mwalimu wa hii kwaya
@favouropande1065
@favouropande1065 4 жыл бұрын
Kweli kabisa hawa wanao fundisha hii kwaya Mungu awabariki sana. They are doing a good job
@marymyonga3808
@marymyonga3808 4 жыл бұрын
Kwa kweli Mana nyimbo zake konki kwa utukufu wa Bwana Ila hao masorolist ndo wananikosha hatari
@isaacmutunga9078
@isaacmutunga9078 4 жыл бұрын
Really you guys blesses tangu utotoni nimekuwa nikisika nyimbo zenu na still messenging
@paulsamsonkishindo1030
@paulsamsonkishindo1030 3 жыл бұрын
Duh! Raha sana. Hongera wapiga saxaphone, keyboard na mpiga bass. Mmevitendea haki hivyo vyombo. Super kabisa.
@patrickdaniel8026
@patrickdaniel8026 4 жыл бұрын
Kwakweli huwa nabarikiwa nanyimbo zenu Sana mungu azidi kuwapamja nanyie mungu awabariki Sana ikosiku ntakuja kanisani kwenu
@kmlproduction2694
@kmlproduction2694 4 жыл бұрын
Good job Mungu awainue watunzi na waimbaji wote kwa ujumla kazi nzuri sana nyimbo nzuriii
@slyvesternzogera5340
@slyvesternzogera5340 4 жыл бұрын
mbarikiwe sana,nyimbo za chang'ombe hakika ni muumini haswa nafarijika mno
@shedrackedius1267
@shedrackedius1267 4 жыл бұрын
Mko vizuri Sana kwa huduma ya Uimbaji,kazaneni hivo hivo mpaka Yes atakaporudi mtapata TAJI huko mbinguni.Amen Amen
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 жыл бұрын
CVC MNANIBARIKI MNOOO,MBARIKIWE SANA
@joelkalimbiya6418
@joelkalimbiya6418 4 жыл бұрын
Hakika ni album nzuri 2020, Mungu awabariki
@jothamson9118
@jothamson9118 3 жыл бұрын
Mimi hufurahi zaidi ninapowaona wazazi wangu kwenye kwaya hii mamangu Lydia Kashimba, Victoria Nsolo na Bahati Kayaga nawependa zaidi.
@josephngei4072
@josephngei4072 4 жыл бұрын
Mungu akawatumie CVC favorite..naskiza nkiwa Nairobi Kenya
@edwardmbillu3244
@edwardmbillu3244 4 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kazi hii nzuri, nimeipenda kwa kweli
@jeremiahlazaro6612
@jeremiahlazaro6612 4 жыл бұрын
Jamani kwa kweli sio siri kazi mnaifanya. Daah! Mungu aendelee kuwainua kwa kiwango cha juu saan
@favouropande1065
@favouropande1065 4 жыл бұрын
The instrumentalists , Mr. Stephen Deffa, Mr. Yusuf , Jeremiah the saxaphonists ( Kanisa La Epheso hapo kwa saxaphone upako umeongezeka and then Mama Diana James soloist esh...nabirikiwa 100 percent. Endeleni kwa neema hii.
@ymusic803
@ymusic803 4 жыл бұрын
Amina
@princesskioko1549
@princesskioko1549 4 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu ya kuendelea kuhubiri kwa nyimbo zenu. Aksante kwa kunibariki hivyo. Nawapenda
@jacksonkisenge5270
@jacksonkisenge5270 Жыл бұрын
My favorite choir CVC Bwana awabariki. Twabarikiwa na huduma yenu hapa Kenya...
@simonmagaigwa6634
@simonmagaigwa6634 4 жыл бұрын
Kwa sasa hii kwaya haina mpinzani nchini. Mawazo yangu tu.
@eliakibandike345
@eliakibandike345 4 жыл бұрын
Wimbo mzuri mno mbarikiwe na bwana pia naomba kufahamu huyo dada aliyeimba mwishoni sio yule wa AIC NYAKATO aliyeimba VITA IKIREJEA ? kama ni huyo basi USAJILI MZURI MMEFANYA MWAKA HUU Ameeeeen
@kalamuyangu1
@kalamuyangu1 4 жыл бұрын
Yeye ndiye Kaka
@wilsonbaha102
@wilsonbaha102 2 жыл бұрын
Aminaaa xanah na asemeh ndiyoo kwely but nabarikiwaaa xanaa na huyu sololist mungu akutunze
@zabronpastory3086
@zabronpastory3086 3 жыл бұрын
naupenda huu wimbo huwa naupiga hata mara 5 kwasiku
@dismasalex5064
@dismasalex5064 4 жыл бұрын
Hallelujah, wow nimebalikiwa sana na huu wimbo. Mungu awabariki sana naamini siku moja nitakuwa miongoni mwa chama hiki kikubwa CVC.
@charlesfaida1515
@charlesfaida1515 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema siku zote, mbarikiwe Sana nyimbo zenu zina upako wa roho mtakatifu 🙏, Album wap nipo Mwanza
@MaheHema-cr9px
@MaheHema-cr9px 4 ай бұрын
Mama mungu awe nawe hata ukamilifu wa dahari
@dayanalushina4993
@dayanalushina4993 4 жыл бұрын
Hongereni kwa Utume...!
@julietmoonka7155
@julietmoonka7155 4 жыл бұрын
Amina. Mungu humwinua mnyonge
@davidkisalimwala9458
@davidkisalimwala9458 4 жыл бұрын
Mungu akisema ndio hakuna wa kupinga. Hallelujah powerful song
@happyallan508
@happyallan508 4 жыл бұрын
Amen
@brianwambua6437
@brianwambua6437 4 жыл бұрын
Amen
@dorcaslor2166
@dorcaslor2166 3 жыл бұрын
Alafu mu n’a Pendeza na Tena mu n’a Pendezewa Mu barikiwe Kamwe Shalommmmmmmm Amen Amen
@kennethbett3110
@kennethbett3110 10 ай бұрын
You always bring the real taste and meaning of Gospel in the changing times . mbarikiwe sana.
@rispathequeen
@rispathequeen 4 жыл бұрын
Great song with alot of teaching Be blessed choir watching through KZbin in Qatar Doha.
@stephaniabenjamini2848
@stephaniabenjamini2848 2 жыл бұрын
Asanteni Mungu awabariki sana Cvc
@marionmwanza1391
@marionmwanza1391 Жыл бұрын
Wow, I can't stop listening to this song. Much love from Kenya🇰🇪
@esthermutua1287
@esthermutua1287 4 жыл бұрын
Amen love this choir since I was young.be.blessed Aic changombe ...am from Kenya.
@puritymusyoki289
@puritymusyoki289 4 жыл бұрын
Indeed no one like you God.What a powerful message God bless you guys.Lot's of love from kenya
@esthermutua1287
@esthermutua1287 4 жыл бұрын
Be blessed too
@esthermutua1287
@esthermutua1287 4 жыл бұрын
@@puritymusyoki289 thanks my dear
@asfiwemkumbwa5520
@asfiwemkumbwa5520 Жыл бұрын
Amesema Ndyo tumevuka mwaka salama sisi so wakamilifuu tunaitaji ndyo yako katika mwaka huu
@barakabonny9415
@barakabonny9415 4 жыл бұрын
Safiiiii mpo vzr mnanibariki
@mosseskilongola6922
@mosseskilongola6922 3 жыл бұрын
Hongereni sana watumishi wa Mungu mko vizuri. Mbarikiwe
@kigamwandote4758
@kigamwandote4758 4 жыл бұрын
Powerful song. Good cordination as one team. Ningekuwa Tz ningejiunga nanyi. Aim higher 🙏
@wilsonne6
@wilsonne6 4 жыл бұрын
Kweli hakuna wa kupinga alichosema Mungu
@munanie
@munanie 4 жыл бұрын
Ameni...kwa kweli Mungu Ni mwaminifu akibariki hakuna was kulaani
@wycliffewekesa5630
@wycliffewekesa5630 4 жыл бұрын
Hakuna Hakika wa kupinga, akisema ndiyo ni ndiyo, LA ni LA. Huyo ndiyo Mungu. Barikiweni wana cvc choir.
@faithmusyoki5998
@faithmusyoki5998 4 жыл бұрын
Am feeling blessed nkikumbuka venye cpendwi...His words are final...🙏🙏🙏
@salumuandrew6775
@salumuandrew6775 3 жыл бұрын
I really blessed by this song
@emanuelanton5848
@emanuelanton5848 3 жыл бұрын
Wasapu
@lucymwaluma2622
@lucymwaluma2622 4 жыл бұрын
My All time soloist,my all time choir... Much love from 🇰🇪. Hakika akisema ndio hakuna wa kupinga
@warrenhenrick5565
@warrenhenrick5565 4 жыл бұрын
Number one choir in Tanzania never seen before 🔥🔥🔥🔥🔥
@ThatAfricanDude1
@ThatAfricanDude1 4 жыл бұрын
Good prissier music. Mbarikiwe Siku zote watu wa Mungu.
@chrisgerry6644
@chrisgerry6644 4 жыл бұрын
Nawapenda buree....Mungu azidi kuwainuaa
@joramwilson8400
@joramwilson8400 4 жыл бұрын
MBarikiwe na Yesu kristo ,Huduma yenu ni njema sana .Glory be to God
@AicKambarageChoir
@AicKambarageChoir 4 жыл бұрын
Kazi nzuri. Mbarikiwe sana watumishi
@bacarlen7873
@bacarlen7873 4 жыл бұрын
Kwani mlishawahi kukosea toleo?? Nadhani hata mbingu zinajivunia kwa uimbaji wenu🙌🙌
@favouropande1065
@favouropande1065 4 жыл бұрын
Amen. Kutoka kwa utunzi waa nyimbo, mavazi, vyombo vya muziki...kila kitu on point
@emmymringo6621
@emmymringo6621 4 жыл бұрын
Mungu akisema ndiyo hakuna wa kupinga.Mbarikiwa.
@mrimacharoo5474
@mrimacharoo5474 3 жыл бұрын
Hallelujah jina la Bwana libarikiwe
@suzanmathias797
@suzanmathias797 4 жыл бұрын
my favourite choir!be blessed
@eliasadrian5026
@eliasadrian5026 3 жыл бұрын
Amen naamin bwana ataniinua kwa wakat wake
@betrickdaniel8386
@betrickdaniel8386 10 күн бұрын
Iweni safi
@happymushi8197
@happymushi8197 4 жыл бұрын
Hii kwaya ni kiboko! Nafikir inaongoza Tanzania Mungu awainue zaid
@thomaspatrick1021
@thomaspatrick1021 4 жыл бұрын
Mh
@hellenmaiyo2516
@hellenmaiyo2516 4 жыл бұрын
I am really blessed by Aic Changombe choir. glory to God.
@philipnyakundi9786
@philipnyakundi9786 4 жыл бұрын
Naomba mpost wimbo wa yerusalemu tafadhani
@Papafrenky
@Papafrenky 4 жыл бұрын
pia mimi nmeusubiri sana
@dorcaslor2166
@dorcaslor2166 3 жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah Hosanna Amen Mubarikiwe Kamwe
@stevengodwin630
@stevengodwin630 4 жыл бұрын
Safi sana,kazi nzr ,,mungu awainue zaidi na zaidi
@josserebornking4649
@josserebornking4649 3 жыл бұрын
We learn alot from you guys, I remember the time you come to our church, we really learned from you
@ElizabethMollo-v2e
@ElizabethMollo-v2e 10 ай бұрын
Mungu adhidi kuwainua
@samoragoodwin7309
@samoragoodwin7309 4 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa ujumbe unaofaa kwa wakati hakuna tena wakupinga na ndo mungu tunayemuabudu
@danstanmathayo1332
@danstanmathayo1332 4 жыл бұрын
Tarehe 4/8/2020 saa 1:30 nakua mtu wa kwanza kubarikiwa na huu wimbo.
@kyodiaamisi466
@kyodiaamisi466 4 жыл бұрын
Jamani uyo dada wamwanya sauti yake inanibariki saana
@festusmusau77
@festusmusau77 3 жыл бұрын
God bless the entire Chang'ombe family... your songs really bless me since 2006..and again Iweni safi, Songa mbele, pazia la hekalu na maneno saba...touched me until I surrendered my life to christ.....#ADAMU...moto sana..keep the fire burning na mfike kenya muangaze injili...
@johncavishe353
@johncavishe353 4 жыл бұрын
Nawapenda sana hii kwaya sjui hata ntawaonaga wapi
@danierjohn1375
@danierjohn1375 4 жыл бұрын
Dar wanapatkana
@manthimusyoka150
@manthimusyoka150 4 жыл бұрын
Very inspirational song!!God bless you.
@livinohaule8442
@livinohaule8442 Жыл бұрын
Rege murua maridhawa kabisa. Nimeipenda
@happynessmathias4085
@happynessmathias4085 4 жыл бұрын
Safi sana Diana nmekuelewa hyo solo ulivyoiimbisha,
@ntahondinathan8628
@ntahondinathan8628 3 жыл бұрын
Thank you singers your song touches deeply my heart. May God bless you in all.
@jothamson9118
@jothamson9118 3 жыл бұрын
Kwa CVC Mungu awabariki zaidi
@marymyonga3808
@marymyonga3808 4 жыл бұрын
Huyu solorist wa mwisho si alikuwa AIC nyakato au nimemfananisha
@sheddy2417
@sheddy2417 4 жыл бұрын
Kweli ni yeye alikuwa wa nyakato ila ss yupo CVC
@marymyonga3808
@marymyonga3808 4 жыл бұрын
Ahaaaa kumbe amekuja kukutana na vyombo vikali huku kumenoga sasa
@kalamuyangu1
@kalamuyangu1 4 жыл бұрын
Naam!
@saraleonard2975
@saraleonard2975 4 жыл бұрын
Safi sana kaka Steven Deffa kaka wa simba SC naburudika sana na nyimbo zenu
@roydersostheness1166
@roydersostheness1166 4 жыл бұрын
Mungu awafanye upya kila wakati🙌🥰
@groliaernest8483
@groliaernest8483 4 жыл бұрын
Jovaaaa
@falsondamasi2783
@falsondamasi2783 3 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana inagusa mioyo ya wengi moja wapo ni mimi
@catherinemutie3476
@catherinemutie3476 3 жыл бұрын
Hallelujah, great song Blessings
@EVANSMULY
@EVANSMULY Жыл бұрын
@catherinemutie this is my favourite song.
@evansmulimuthui8010
@evansmulimuthui8010 Жыл бұрын
@catherine Cate this is my favorite song.
@abdillahissa5336
@abdillahissa5336 4 жыл бұрын
wimbo mzuri sana Mungu awabariki, hakuuuuuuna wa kupinga
@samuelokoyaro1888
@samuelokoyaro1888 4 жыл бұрын
napenda nyimbo zenu- ni biblia tupu
@muteimutheu5628
@muteimutheu5628 4 жыл бұрын
so powerful, akibariki hakuna wakulaani. AMINA
@rispathequeen
@rispathequeen 4 жыл бұрын
So encouragement song mapito ninayo pitia kuputia wimbo huu wanitia nguvu ya kuvumilia mubarikiwe sana.
@rebeccamusa4567
@rebeccamusa4567 4 жыл бұрын
Nawapenda sn jamani,Mungu awabariki ktk huduma hii ya uimbaji
@makyambe
@makyambe 4 жыл бұрын
Hakuna wakupinga 🙏🙏🙏🙏 Mungu ni mwema
AICT Chang'ombe Choir -  Nafsi (Official Music Video)
10:05
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 1,9 МЛН
AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC UKO WAPI ADAMU ORIGINAL 2020
7:39
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 881 М.
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 4,4 МЛН
Chang'ombe Choir CVC-MANENO SABA YA YESU
9:32
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 606 М.
AIC Chang'ombe Choir (CVC)  - TUMETUMWA  (Official Live Video)
13:20
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 63 М.
AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC JIWE KUU LA PEMBENI ORIGINAL 2020
6:16
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 1,3 МЛН
AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC SIRI YAKO 2020
6:50
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 916 М.
AICT Chang'ombe Choir(CVC) - Siku Za Mwanadamu
6:40
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 614 М.
CHANG'OMBE CHOIR CVC UFALME Original
6:42
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 442 М.
AICT Chang'ombe Choir (CVC) - Tukubali Kufundishwa
8:47
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 338 М.
NIKULIPE NINI BWANA BY MUUNGANO CHOIR AICT IGOMA-MWANZA
10:45
Muungano Choir AICT Igoma Mwanza
Рет қаралды 824 М.
AIC Chang'ombe - Wimbo mpya : PATAKATIFU
12:52
BHN VEO TV
Рет қаралды 70 М.
Moyo (Live)
10:09
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 11 М.