Sollo ya kwanza ya Mama yangu Diana imetaka kunitoa machoz imeimbwa kwa hisiaa balaaa ure the best Alwayz and Alwayz CVC 🙌
@favouropande10654 жыл бұрын
Mama Diana ni mtumishi wa mungu.,. Upako wa tofauti kabisa
@daudimungure92793 жыл бұрын
AICT CHANG'OMBE Mungu awabariki sana kwa uimbaji wenu uliotukuka, nipo na nyie toka Albam ya kwanza ya "Vunja" hadi leo. You are of high quality in everything.
@semunassari66373 жыл бұрын
Amina ndug
@sheddy24174 жыл бұрын
Nakubali soloist mama Diana..... Kweli hakuna Mungu kama wewe wetu.... 🙏🙏
@johncavishe3534 жыл бұрын
Et wanasaligi kanisa gani hapa dar nawakubal sana
@danierjohn13754 жыл бұрын
@@johncavishe353 unapanda magar ya temeke unashuka kwa sokotaa , ukishuka tuu hpo unaliona kanisa lao linamsalaba mrefuu
@johncavishe3534 жыл бұрын
@@danierjohn1375 haya Asante broo
@presseg.63624 жыл бұрын
Naipenda Sana hii Kwaya, bwana awape hatua zaidi
@messiasulleydidy25854 жыл бұрын
Mim ni zaidi yako asee
@mimwaninelitha66664 жыл бұрын
MUNGU akisema ndio hakuna Wa kupinga hakika mmenibariki sana MUNGU azidi kuwainua kwa viwango vya juuu zaidi
@ombaawycky35424 жыл бұрын
Wakumbuke Hawa waimbaji mungu, Tanzania imebarikiwa kweli, Chang'ombe hongera,
@favouropande10654 жыл бұрын
Amen. Wamejitoa munoo. WA barikiwa Hadi washangae
@saraleonard29754 жыл бұрын
Rege fulani hiv safi sana baba Deffa kwa kazi yako nzuri
@emmajoxe86333 жыл бұрын
Ooh my God. Mama Diana umegusa moyo wang lkn changombe hatujazoea kuona masolo wengi kwa album zenu aiseee mpunguze bana maana mpaka mnakuwa kama mnataka kunichanganya vile. Mungu wa mbingunii awabariki kwa Kaz yake
@daudimungure92793 жыл бұрын
Usijali kuhusu masolo wengi, kila mwenye pumzi na amsifu bwana na kila mtu ahudumu kwenye nafasi yake. Barikiwa sana
@mosesaisu43803 жыл бұрын
Samueli, utamlilia paka lini Sauli, ikiwa mimi nimemkataa, ichukue pembe yako ukamtie mafuta Daudi. Ohh my God, this is the best part of this song and blessings from God upon Chang'ombe AICT choir, Amen
@mkinajoseph76324 жыл бұрын
NI maajabu!!! Kutoka kwenye kuchunga kondoo, Hadi kuwa mfalme!! MUNGU WETU NI MKUU, AKISEMA NDIYO HAKUNA WA KUPINGA. AIC CHANG'OMBE KWAYA,CVC. MUNGU AWABARIKI NA KUWATUNZA, Muendelee zaidi na zaidi.
@yulymseven51944 жыл бұрын
Naipenda Naitaman Naitaka Mungu awabariki sana
@jacklineayoub29964 жыл бұрын
Ameeen....hakuna wa kupinga!!!!
@lilianmutinda75694 жыл бұрын
Napenda uimbaji wenu sana...I wish ningekuwa tz ningekuwa mmoja wenu...song zenu unibariki sana
@reubenismail36724 жыл бұрын
Ila hao masololist wa chang'ombe nawaelewa Sana!kwa ujumla kwa yote mungu awabariki kwa huduma nzuri.
@dorcasmanda17934 жыл бұрын
Hongera kwa wimbo huu umewaweka katika level ingine.
@janemusyoka61254 жыл бұрын
Mungu akisema ndio hakuna wa kupinga,great song barikiweni sana watumishi wa Mungu
@marycianabwana72654 жыл бұрын
Niliwasubiri kwa hamu sana mbarikiwe sana nyimbo ni nzuri
@victormajenge13964 жыл бұрын
Jamaniii huyu Mungu wa mbinguni aendelee kuwatunza maana mliitwa kumuimbia milele na milele.. Tangu miaka ile hadi leo hii ni wapya asubuhi na jioni hata sura ngeni nazo zinakua kitu kimoja.. Alleluya Bwana atawalindeni hadi kusudi lake litimie..
@felixkendrick37184 жыл бұрын
Our lives is based on God. Ur preaching is real and ur are pride of east Africa and entire world. This is master piece of good work with full of passion and dedication. God bless CVC from Canada❤️❤️❤️
@favouropande10654 жыл бұрын
Amen. I love them like my own choir. One thing is sure...they are dedicated and committed
@joshuakinyili87873 жыл бұрын
@@favouropande10651P, mo a it to ru he d me an and an an. You
@254joel64 жыл бұрын
I believe if there is a choir that sings with passion and delivers the true gospel to the whole world is AIC CHANGOMBE CVC..Am always blessed by your singing may God keep blessing you with more strength
@favouropande10654 жыл бұрын
umesema kweli kabisa
@edithkioko39914 жыл бұрын
Mi too
@kalamuyangu14 жыл бұрын
6:00 Mmweeh! Hkika huyu Dada alibarikiwa sana katika mpangilio wa sauti
@marrypius48683 жыл бұрын
We mkate wewe! Ubarikiwe sana. Na dianastephano mungu ambark kwa Sauti nzuri
@boazkitela69603 жыл бұрын
Mungu azidi kumuinua kwa jina la yesu
@pendojeremia96874 жыл бұрын
Nawapenda Sana wanakwaya nazipenda nyimbo zenu zote Kwan nizisikiliza nafarijika Sana mugnu azidi kuwabariki
@felixmasae Жыл бұрын
Nimefuatilia nyimbo zenu zote jameni mnaimba vizuri sana asanteni sana kwa kutubariki Mungu awajalizie zaidi
@marymyonga38084 жыл бұрын
Weuweeeeeeeeee lege flan hivi amaizing Daaah aiseee sijui nisemaje najifunza mengi kwa hii kwaya sio Siri Salamu zimfikie mwalimu wa hii kwaya
@favouropande10654 жыл бұрын
Kweli kabisa hawa wanao fundisha hii kwaya Mungu awabariki sana. They are doing a good job
@marymyonga38084 жыл бұрын
Kwa kweli Mana nyimbo zake konki kwa utukufu wa Bwana Ila hao masorolist ndo wananikosha hatari
@isaacmutunga90784 жыл бұрын
Really you guys blesses tangu utotoni nimekuwa nikisika nyimbo zenu na still messenging
@paulsamsonkishindo10303 жыл бұрын
Duh! Raha sana. Hongera wapiga saxaphone, keyboard na mpiga bass. Mmevitendea haki hivyo vyombo. Super kabisa.
@patrickdaniel80264 жыл бұрын
Kwakweli huwa nabarikiwa nanyimbo zenu Sana mungu azidi kuwapamja nanyie mungu awabariki Sana ikosiku ntakuja kanisani kwenu
@kmlproduction26944 жыл бұрын
Good job Mungu awainue watunzi na waimbaji wote kwa ujumla kazi nzuri sana nyimbo nzuriii
@slyvesternzogera53404 жыл бұрын
mbarikiwe sana,nyimbo za chang'ombe hakika ni muumini haswa nafarijika mno
@shedrackedius12674 жыл бұрын
Mko vizuri Sana kwa huduma ya Uimbaji,kazaneni hivo hivo mpaka Yes atakaporudi mtapata TAJI huko mbinguni.Amen Amen
@israelkisaila84014 жыл бұрын
CVC MNANIBARIKI MNOOO,MBARIKIWE SANA
@joelkalimbiya64184 жыл бұрын
Hakika ni album nzuri 2020, Mungu awabariki
@jothamson91183 жыл бұрын
Mimi hufurahi zaidi ninapowaona wazazi wangu kwenye kwaya hii mamangu Lydia Kashimba, Victoria Nsolo na Bahati Kayaga nawependa zaidi.
@josephngei40724 жыл бұрын
Mungu akawatumie CVC favorite..naskiza nkiwa Nairobi Kenya
@edwardmbillu32444 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kazi hii nzuri, nimeipenda kwa kweli
@jeremiahlazaro66124 жыл бұрын
Jamani kwa kweli sio siri kazi mnaifanya. Daah! Mungu aendelee kuwainua kwa kiwango cha juu saan
@favouropande10654 жыл бұрын
The instrumentalists , Mr. Stephen Deffa, Mr. Yusuf , Jeremiah the saxaphonists ( Kanisa La Epheso hapo kwa saxaphone upako umeongezeka and then Mama Diana James soloist esh...nabirikiwa 100 percent. Endeleni kwa neema hii.
@ymusic8034 жыл бұрын
Amina
@princesskioko15494 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu ya kuendelea kuhubiri kwa nyimbo zenu. Aksante kwa kunibariki hivyo. Nawapenda
@jacksonkisenge5270 Жыл бұрын
My favorite choir CVC Bwana awabariki. Twabarikiwa na huduma yenu hapa Kenya...
@simonmagaigwa66344 жыл бұрын
Kwa sasa hii kwaya haina mpinzani nchini. Mawazo yangu tu.
@eliakibandike3454 жыл бұрын
Wimbo mzuri mno mbarikiwe na bwana pia naomba kufahamu huyo dada aliyeimba mwishoni sio yule wa AIC NYAKATO aliyeimba VITA IKIREJEA ? kama ni huyo basi USAJILI MZURI MMEFANYA MWAKA HUU Ameeeeen
@kalamuyangu14 жыл бұрын
Yeye ndiye Kaka
@wilsonbaha1022 жыл бұрын
Aminaaa xanah na asemeh ndiyoo kwely but nabarikiwaaa xanaa na huyu sololist mungu akutunze
@zabronpastory30863 жыл бұрын
naupenda huu wimbo huwa naupiga hata mara 5 kwasiku
@dismasalex50644 жыл бұрын
Hallelujah, wow nimebalikiwa sana na huu wimbo. Mungu awabariki sana naamini siku moja nitakuwa miongoni mwa chama hiki kikubwa CVC.
@charlesfaida15154 жыл бұрын
Mungu ni mwema siku zote, mbarikiwe Sana nyimbo zenu zina upako wa roho mtakatifu 🙏, Album wap nipo Mwanza
@MaheHema-cr9px4 ай бұрын
Mama mungu awe nawe hata ukamilifu wa dahari
@dayanalushina49934 жыл бұрын
Hongereni kwa Utume...!
@julietmoonka71554 жыл бұрын
Amina. Mungu humwinua mnyonge
@davidkisalimwala94584 жыл бұрын
Mungu akisema ndio hakuna wa kupinga. Hallelujah powerful song
@happyallan5084 жыл бұрын
Amen
@brianwambua64374 жыл бұрын
Amen
@dorcaslor21663 жыл бұрын
Alafu mu n’a Pendeza na Tena mu n’a Pendezewa Mu barikiwe Kamwe Shalommmmmmmm Amen Amen
@kennethbett311010 ай бұрын
You always bring the real taste and meaning of Gospel in the changing times . mbarikiwe sana.
@rispathequeen4 жыл бұрын
Great song with alot of teaching Be blessed choir watching through KZbin in Qatar Doha.
@stephaniabenjamini28482 жыл бұрын
Asanteni Mungu awabariki sana Cvc
@marionmwanza1391 Жыл бұрын
Wow, I can't stop listening to this song. Much love from Kenya🇰🇪
@esthermutua12874 жыл бұрын
Amen love this choir since I was young.be.blessed Aic changombe ...am from Kenya.
@puritymusyoki2894 жыл бұрын
Indeed no one like you God.What a powerful message God bless you guys.Lot's of love from kenya
@esthermutua12874 жыл бұрын
Be blessed too
@esthermutua12874 жыл бұрын
@@puritymusyoki289 thanks my dear
@asfiwemkumbwa5520 Жыл бұрын
Amesema Ndyo tumevuka mwaka salama sisi so wakamilifuu tunaitaji ndyo yako katika mwaka huu
@barakabonny94154 жыл бұрын
Safiiiii mpo vzr mnanibariki
@mosseskilongola69223 жыл бұрын
Hongereni sana watumishi wa Mungu mko vizuri. Mbarikiwe
@kigamwandote47584 жыл бұрын
Powerful song. Good cordination as one team. Ningekuwa Tz ningejiunga nanyi. Aim higher 🙏
@wilsonne64 жыл бұрын
Kweli hakuna wa kupinga alichosema Mungu
@munanie4 жыл бұрын
Ameni...kwa kweli Mungu Ni mwaminifu akibariki hakuna was kulaani
@wycliffewekesa56304 жыл бұрын
Hakuna Hakika wa kupinga, akisema ndiyo ni ndiyo, LA ni LA. Huyo ndiyo Mungu. Barikiweni wana cvc choir.
@faithmusyoki59984 жыл бұрын
Am feeling blessed nkikumbuka venye cpendwi...His words are final...🙏🙏🙏
@salumuandrew67753 жыл бұрын
I really blessed by this song
@emanuelanton58483 жыл бұрын
Wasapu
@lucymwaluma26224 жыл бұрын
My All time soloist,my all time choir... Much love from 🇰🇪. Hakika akisema ndio hakuna wa kupinga
@warrenhenrick55654 жыл бұрын
Number one choir in Tanzania never seen before 🔥🔥🔥🔥🔥
@ThatAfricanDude14 жыл бұрын
Good prissier music. Mbarikiwe Siku zote watu wa Mungu.
@chrisgerry66444 жыл бұрын
Nawapenda buree....Mungu azidi kuwainuaa
@joramwilson84004 жыл бұрын
MBarikiwe na Yesu kristo ,Huduma yenu ni njema sana .Glory be to God
@AicKambarageChoir4 жыл бұрын
Kazi nzuri. Mbarikiwe sana watumishi
@bacarlen78734 жыл бұрын
Kwani mlishawahi kukosea toleo?? Nadhani hata mbingu zinajivunia kwa uimbaji wenu🙌🙌
@favouropande10654 жыл бұрын
Amen. Kutoka kwa utunzi waa nyimbo, mavazi, vyombo vya muziki...kila kitu on point
@emmymringo66214 жыл бұрын
Mungu akisema ndiyo hakuna wa kupinga.Mbarikiwa.
@mrimacharoo54743 жыл бұрын
Hallelujah jina la Bwana libarikiwe
@suzanmathias7974 жыл бұрын
my favourite choir!be blessed
@eliasadrian50263 жыл бұрын
Amen naamin bwana ataniinua kwa wakat wake
@betrickdaniel838610 күн бұрын
Iweni safi
@happymushi81974 жыл бұрын
Hii kwaya ni kiboko! Nafikir inaongoza Tanzania Mungu awainue zaid
@thomaspatrick10214 жыл бұрын
Mh
@hellenmaiyo25164 жыл бұрын
I am really blessed by Aic Changombe choir. glory to God.
We learn alot from you guys, I remember the time you come to our church, we really learned from you
@ElizabethMollo-v2e10 ай бұрын
Mungu adhidi kuwainua
@samoragoodwin73094 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa ujumbe unaofaa kwa wakati hakuna tena wakupinga na ndo mungu tunayemuabudu
@danstanmathayo13324 жыл бұрын
Tarehe 4/8/2020 saa 1:30 nakua mtu wa kwanza kubarikiwa na huu wimbo.
@kyodiaamisi4664 жыл бұрын
Jamani uyo dada wamwanya sauti yake inanibariki saana
@festusmusau773 жыл бұрын
God bless the entire Chang'ombe family... your songs really bless me since 2006..and again Iweni safi, Songa mbele, pazia la hekalu na maneno saba...touched me until I surrendered my life to christ.....#ADAMU...moto sana..keep the fire burning na mfike kenya muangaze injili...
@johncavishe3534 жыл бұрын
Nawapenda sana hii kwaya sjui hata ntawaonaga wapi
@danierjohn13754 жыл бұрын
Dar wanapatkana
@manthimusyoka1504 жыл бұрын
Very inspirational song!!God bless you.
@livinohaule8442 Жыл бұрын
Rege murua maridhawa kabisa. Nimeipenda
@happynessmathias40854 жыл бұрын
Safi sana Diana nmekuelewa hyo solo ulivyoiimbisha,
@ntahondinathan86283 жыл бұрын
Thank you singers your song touches deeply my heart. May God bless you in all.
@jothamson91183 жыл бұрын
Kwa CVC Mungu awabariki zaidi
@marymyonga38084 жыл бұрын
Huyu solorist wa mwisho si alikuwa AIC nyakato au nimemfananisha
@sheddy24174 жыл бұрын
Kweli ni yeye alikuwa wa nyakato ila ss yupo CVC
@marymyonga38084 жыл бұрын
Ahaaaa kumbe amekuja kukutana na vyombo vikali huku kumenoga sasa
@kalamuyangu14 жыл бұрын
Naam!
@saraleonard29754 жыл бұрын
Safi sana kaka Steven Deffa kaka wa simba SC naburudika sana na nyimbo zenu
@roydersostheness11664 жыл бұрын
Mungu awafanye upya kila wakati🙌🥰
@groliaernest84834 жыл бұрын
Jovaaaa
@falsondamasi27833 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana inagusa mioyo ya wengi moja wapo ni mimi
@catherinemutie34763 жыл бұрын
Hallelujah, great song Blessings
@EVANSMULY Жыл бұрын
@catherinemutie this is my favourite song.
@evansmulimuthui8010 Жыл бұрын
@catherine Cate this is my favorite song.
@abdillahissa53364 жыл бұрын
wimbo mzuri sana Mungu awabariki, hakuuuuuuna wa kupinga
@samuelokoyaro18884 жыл бұрын
napenda nyimbo zenu- ni biblia tupu
@muteimutheu56284 жыл бұрын
so powerful, akibariki hakuna wakulaani. AMINA
@rispathequeen4 жыл бұрын
So encouragement song mapito ninayo pitia kuputia wimbo huu wanitia nguvu ya kuvumilia mubarikiwe sana.
@rebeccamusa45674 жыл бұрын
Nawapenda sn jamani,Mungu awabariki ktk huduma hii ya uimbaji