nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa mwelekeo, sitajizuia na kuugua kwangu mimi, nitanena kwa uchungu, kwa roho yangu nitamwambia MUNGU wangu... usinihukumie makosa yangu, Nioneshe sababu ya kukosana nawe..... WIMBO HUU KWANGU NI IBAADA.... MUNGU wa mbinguni aendeleee kuwatumia kuihubiri injili yake kwa watu wote AMINA...
@thaimouraaloyce95152 жыл бұрын
AMINA mtumishi na mteule wa MUNGU
@chibudeh543 Жыл бұрын
@@thaimouraaloyce9515
@margarethmwampondele7858 Жыл бұрын
Hakika!
@nkwayakilumi7733 Жыл бұрын
Kabisa, Mungu awatunze
@aronmanguzu5748 Жыл бұрын
@@chibudeh543 u
@danierjohn13754 жыл бұрын
Dada uliyeanzshaa kuimbishaa nakupendaa bureee😘😘
@davisntuba47423 жыл бұрын
Hunizidi mimi natamani siku moja nikasali pale kanisani kwao
@justineelirehemaayo82553 жыл бұрын
Daaaah kweli mungu amewatumia vzr hasa Hawa wanaombia daaaah mungu awainue zaidi jamani
@benngideon93174 жыл бұрын
Kama hapa duniania ndio hvii Je huko kwa mbinguni patakuaje sipati picha siku hiyo.... Mungu awabariki Roho Mtakatifu akazidi kuwa ndani yenu awalinde.
@aminamsalege7924 жыл бұрын
Naupenda sana huu wimbo,, Dada Diana Mungu akupe maisha marefu. 😍mbarikiwe wote
@TaCKyGe4 жыл бұрын
Kutoka Kenya. Alivyoifanya mbingu Mungu, Akatutwika vipawa tuvitumie kwa Majira yaliyomo. Nimebarikiwa na nyimbo zenu, Soloists. Ooooh, What a gem 💎 you are. Kutoka, Yatendeeni, Ufalme, Mungu kwetu sisi, Wastahili, Nyenyekeeni, Kila mwenye Pumzi, Haudaiwi hata Usikate tawi..... . Sasa huu wa Nafsi yangu na Wasamehe kweli mwatesa ajabu. Mmelea vipawa na CVC iendelee. Mwalimu Styles,barikiwa. Mcheza keyboard, ooooh Baraka.
@belindaaloyce684410 ай бұрын
Diana na mpenda
@normankiprono95383 жыл бұрын
Watching you from Kenya 🇰🇪, my family and I have been really blessed by CVC songs since the one titled "Gusa" may God use you as the instrumentals in preaching His word. God bless you CVC. We Love you. 🙏
@mariummwaipe16504 жыл бұрын
Wakenya Lets show Love to these Blessed brothers and sisters. Nikisikiya Nyinyi zenu huwa najihisi nimesonga Karina na Mungu. May God bless you. Nawapenda Sana all the way from Mombasa Kenya.
@rhodapyuza74653 жыл бұрын
Mungu azidi kuwainua
@julianankulila12772 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@christopherdavid31012 жыл бұрын
Amen
@christiankaguo91462 жыл бұрын
Mnaimba vizuri mnavutia sana
@paulinemakumu40992 жыл бұрын
@@rhodapyuza7465 a as
@ConfusedDarts-yv4pr8 ай бұрын
Mko sawa! Ila muwe macho Adui hana mchezo! Mkishangaa shangaa .................!!!
@faithmusyoki59984 жыл бұрын
Tamu sana.....Diz time round mko chonjo.....kuna taji baada ya kazi..Glory b to God...sauti nazo?You r really blessed...
@raphaelntambi64044 жыл бұрын
Dada aliyeanza nafsi yanguhuwa naguswa na kubarikiwa Sana na huduma yako Mungu aendelee kukutumia
@shibonemathias11533 жыл бұрын
E
@dorahmsungu23513 жыл бұрын
Mbarikiwa sana
@sundaysamson31593 жыл бұрын
Huyu Mama (Diana) .... Amekua Baraka Kwangu Mungu amuinue katika viwango vya juu kabisa....
@davisntuba47423 жыл бұрын
Mama Diana ni huyu mweusi au maana mie nampenda sana uimbaji wake
@sheddy24173 жыл бұрын
Ndiye huyo ss...mama asiye na makuu.Mungu kambariki kweli na sauti
@ashukuriwembasha6629 Жыл бұрын
Mungu awabaroki sana .Mr.A mbasha.toka Moshi Kilimanjaro
@davidkisalimwala94584 жыл бұрын
all the songs i have watched from the new ALBUM JIWE zote ni nyimbo nzuri sana zimenibariki mno, HONGERA CVC kwa kazi safi sana ya kumtukuza Mungu. Kenya Tunapenda kazi yenu
@favouropande10654 жыл бұрын
Pamoja sana. My fellow Kenyan. In my heart...I have a dream to invite them to Kenya for a concert. May God help me.
@davidkisalimwala94584 жыл бұрын
@@favouropande1065 they were suppose to have a meeting in nakuru Last April but COVID 19 , its possible with good planning
@messiasulleydidy25854 жыл бұрын
Hawa masololists nashimdwa kuwasemea,, zaid nasema mungu aendeleee kuwabariki sana na sana tens,,
@marymyonga38084 жыл бұрын
Nawatamani Sana Hawa masoro na me Ni solorist lkn kila nikiwaona Hawa najiona siwezi kabisa
@eunicehakamba74463 жыл бұрын
May God bless you all
@DorcusPaul-z7r6 ай бұрын
Nabarikiwa sana. Na huu wimbo
@ErickJeremy-n8lАй бұрын
Mungu nipe kibar siku moja nikaabudu hili kanisa niwaone hawa watumishi wa mungu wananibariki❤
@prettywizard53742 жыл бұрын
What a blessing to the world from this Annoited choir!! For sure,,,,Siku za mwanadamu sio nyingi,,,, mbarikiwe Sana Wana Chang'ombe mnapoiendeleza huduma hii Kwa njia ya uimbaji!!!
@thadeosadock51122 жыл бұрын
Usisahau ku SUBSCRIBE ni Murusi Anglican Choir
@danielkiporlochongo77912 жыл бұрын
The song leader is young all times since I knew her at my 7 years old,Grace is always at your life,I love your ministration.
@thaimouraaloyce95152 жыл бұрын
Mubarikiwe xana kwa uinjilishaji wa neno la MUNGU,,nyimbo zetu Zina nibariki Xana xana ,,Mungu avitunze vipaji vyenu muendelee kumtukuza MUNGU,,,,
@rebecasanya89103 жыл бұрын
hii kwaya inamfanya mtu atamani kuimba kwaya kwakweli mbarikiwe sana jamani🙏🙏🙏🙏
@Jorge_safaris3 жыл бұрын
Just what i needed... my mom just sent me a link to this song, I've been feeling low lately... thank you for the message.... My heavenly father continue reaching out to bless you people.
@normankiprono95383 жыл бұрын
Amen 🙏
@juliusmusembi9136 Жыл бұрын
AIC CHANG'OMBE i realy like your songs. you are a blessing to me ...
@jefredyfrednandy58803 жыл бұрын
Yaaaaan sister Diana uishiiii miaaka bukuuu
@MmMm-tt1wi6 ай бұрын
Mungu isamehe nafisi yangu 😢😢😢😢
@benardbagwasiofficial54094 жыл бұрын
Nyimbo tamu mavazi nadhifu yaani bwana anapendezwa nanyi,mbarikiwe sana.
@berldonmwakyeja4422 жыл бұрын
Mnanibariki mungo azid kuwatunza ,nanyi mfanye kazi hii bila kuchka
@kristinekateassy71354 жыл бұрын
I just love the soloists of Chang'ombe choir you have awesome voices huwa mnanibariki way since the Gusa in the 2000s
@messiasulleydidy25854 жыл бұрын
hamjawahi kuniangusha hata kidg,,, being blessed,,
@saidmadega48934 жыл бұрын
jamani huyu dada mrefu mweusi anaitwa Nani? maana anasauti ya kweli duuu
@wallacekatini34243 жыл бұрын
Dada huyu nimemsikiza nikiwa mtoto na sauti yake ni ile ile ,barikiweni Aic changombe.
@margarethmwampondele7858 Жыл бұрын
Hakika Mungu wa Bwana wetu Yesu aikumbuke kazi yenu njema
@pendokaviha92754 жыл бұрын
From Kenya, aki mnanibariki Sanaa this is my favorite choir ever, my God bless you so much
@joynerbarasa59164 жыл бұрын
From Kenya always ....i love this choir.
@tommuthiani50424 жыл бұрын
Good work mm napedezwa na uimbaji wenu kwanza ile vol ya nenda na uzima wako inanibamba sana mungu azidi kuwabariki
@vedamusa8033 Жыл бұрын
Hakika huu Wimbo ni wimbo bora kwa kipindi hiki cha miaka miwili,kuna sk nilikuwa na wakati mgumu nikauweka nikaweka ear phones masikioni mpaka unaisha aiseee sikuamini nilikuwa huru
@jackobnzalia6974 жыл бұрын
Cvc nawapenda sana huu wimbo umegusa mioyo za watu na kubarikiwa amen mungu awe nanyi siku zote nafsi yangu ....huchoki kusikiliza
@ZoelleChelangat5 ай бұрын
Mbarikiwe sana nyimbo zeu zinanibariki sana
@erastosengerema873 жыл бұрын
Nisalimieni sana aliyetunga huu wimbo.
@suzanfelix80653 жыл бұрын
😲😂😂😂
@georgejosephmiringay23254 жыл бұрын
Wimbo Mzuri sana Solo sauti yako ni Tamu sana
@simonhanno81934 жыл бұрын
Niwapongeze kwa uniform (aliyeshona amewatendea haki, respectable ones) lakini pini uchezaji wenu ni wa staha, (fundi wa staili pongezi kwake)
@marthajoseph50853 жыл бұрын
Amen mbarikiwe
@neemaezekiel48564 жыл бұрын
Jamani sijui niseme nini juu yenu!! Zaidi ya kusema mbarikiwe zaidi na zaidi hakika nyimbo zinakuweka katika utukufu wa Mungu kabisa kabisa.
@shilikale4 жыл бұрын
Cvc mbarikiwe sana na hii song tangu nilipoisikia mpaka leo naibariki sana
@thadeosadock51122 жыл бұрын
Kuna kwaya inaitwa Murusi anglican choir Ni zao la AIC(T) chang'ombe Audio mpaka Video watembelee kuona Kazi zao youtube
@josephmuhota94464 жыл бұрын
Huyu Mama Dorcas ni baraka kwa hii kwaya,kanisa na ulimwengu changombe you are blessed
@favouropande10654 жыл бұрын
Mama mwenye upako wa tofauti sana. Mimi nampenda sana ...ukim angalia sana...utajua huyu mama haimbii tuu kwa kupenda ila ni mtumishi wa Mungu
@raphaelntambi64044 жыл бұрын
Yes na anaonekana ni mnyenyekevu Sana ndio Siri kubwa ya huduma ya utume abarikiwe sana
@ziribarmurumwa4 жыл бұрын
Mama Diana not Dorcas
@teddyjoseph26343 жыл бұрын
Huwa nampenda Sana, Kibali anacho
@julianaobed61043 жыл бұрын
More blessings up on all of you ninawatamani sana mnavyotumika ,utukufu na heshima ni kwa Mungu aliye juu sana
@bombagakibona90373 жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha kunyenyekea na kutubu mana maisha yetu yamechorwa kiganjani pake na ni neno toka kwake linaweza jenga au kuua......mungu ni mwema
@paulsamsonkishindo10303 жыл бұрын
Hakika wimbo una mafundisho makubwa. Hongerani sana.
@evelynmalims3 жыл бұрын
Nimeupenda huu wimbo umekuwa faraja kwangu, natamani niimbe kama wewe soro wa kwanza Mungu aendelee kukutunza na kukutumia
@evelenev28774 жыл бұрын
Watch from Saudi Arabia like this song💋💋💋💋🙏🙏🙏🙏🙏
@nehemiahelisha69474 жыл бұрын
Yaani CVC ni Shida watu wa Mungu Mbarikiwe Sana nyote Nawapenda Sana wimbo mzuri Sana katika maisha yetu ya kiroho
@boazkitela69603 жыл бұрын
Be blessed mmekuwa wasomi wa bibilia that's why mnaimba vizuri,pongezi
@margaretngonyo6954 жыл бұрын
Blessed voices mungu pekee hawainue kiwango mwingine.
@beckiechepsiror80284 жыл бұрын
From Kenya 🇰🇪, you are a blessing. The vocals, dressing code, hair and everything is just dope👌👌👌👌👌👌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😍😍😍
@alicemumo79744 жыл бұрын
I love their songs sana, natamani kwenda TZ
@gloriousnp4 жыл бұрын
Alice Mumo toroka uje jirani 😊🙏🏾🇹🇿
@rizikilukumay68073 жыл бұрын
Blessing voice soloist mama love
@sososool91772 жыл бұрын
Mungu akubariki dada diana kila ninapo skiliza hu wimbo nahs uwepo wa Mungu kabla sjasali uck lazma niskilize kwanzo
@judithpendo41214 жыл бұрын
Jamani barikiweni kwa uimbaji wenu mzuri tena mko smart mtu hachoki kusiliza ujumbe wenu
@eliasadrian50263 жыл бұрын
Amen sitachoka kutenda mema ee Mungu anitetee barikiweni wapendwa kwetu ni Mbinguni tulazen mwendo
@sonjoprimaryschool81864 жыл бұрын
Mama yangu umri wako unakwenda sana lakini, sauti yako inayomtukuza Mungu ni kama ndo kwanza inaanza. Ubarikiwe sana
@agnesgervas80703 жыл бұрын
Kwa mungu hakuna umri ote watoto ty
@sonjoprimaryschool81863 жыл бұрын
@@agnesgervas8070 Nabarikiwa nawe sana kwa uimbaji wako mama yangu
@agnesgervas80703 жыл бұрын
@@sonjoprimaryschool8186 Amina mungu azdi kukupa moyo wakusliza ili ubarikiw zaid
@sonjoprimaryschool81863 жыл бұрын
@@agnesgervas8070 Amina mama.. Performance ya wimbo JINSI ZILIVYO super sana kwangu
@agnesgervas80703 жыл бұрын
@@sonjoprimaryschool8186 amina God bless you
@vieratuiya3 жыл бұрын
What a blessing,, every time I listen to changombe I feel am in another world..may God give you more strength to be a blessing to us
@BethCharles-h9x Жыл бұрын
Aic shinyanga
@jacobandrew49893 жыл бұрын
When hear about cvc changomber choir I feel blessed everyday🙏🏽✨
@joycebii52253 жыл бұрын
My favourite song. Your songs are unique and amazing. Be blessed AIC Chang'ombe.sichoki kuweka nyimbo zenu kila siku. Joyce from Kenya
@georgearewa23773 жыл бұрын
hawa ni kipenzi changu. napenda sana nyimbo za vikundi. mungu awabariki
@omondiguya99773 жыл бұрын
Nina imani siku moja nitatembea Tanzania kusudi tu nimuone huyu soloist....., 1. Wasamehe 2. Jinsi ilivyo 3. Kila mwenye nguvu...etc..etc Hizi nyimbo ni kama chakula kwangu
@gloriousnp3 жыл бұрын
Karibu sana omera 🙏🏿🙏🏿🇹🇿
@dangatihi54293 жыл бұрын
Haki napendezwa na sauti zenu wapendwa. Huwa mnanifanya nitamani kuwa mmoja wenu twendelee kumtukuza bwana.
@oliviaa11064 жыл бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu nyimbo nzuri sana zinabariki
@elizabethmtweve14584 жыл бұрын
Masoro wakike wako vizurii,ila natamani nione na masoro wakiume jamanii kwenye kwaya yenu sijawahi kusikia
@neemaezekiel48564 жыл бұрын
Yupo Mr Samuel Limbu ni hatariiiii huyo kijana huchoki kumsikiliza
@ombaawycky35424 жыл бұрын
@@neemaezekiel4856 BT limbu Ni wa Neema choir sivyo?
@sheddy24174 жыл бұрын
Wapo, kuna bwana mikate mr ezekiel, tena kuna huyu wa album ii anasolo wimbo unaitwa siri yako.
@bushabubushamingadonatien66733 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana ,mungu amibariki....un cantique merveilleux, puisse Dieu vous bênir !!!
@NelsonNgetich-vp4ck19 күн бұрын
Mungu awabariki sana,mpokee❤kutoka Kenya.
@elizabetjmillel33514 жыл бұрын
Huyu mama sololist huwa anajua sana Mungu akuinue zaid kwenye uimbaji be blessed
@happinesfesto91713 жыл бұрын
Hakika huwa nabarikiwa sana jamani na hii kwaya barikiwa sn
@emmahagai89413 жыл бұрын
This is fantastic! Keep up the good work. GS Tz Mennonite Church.
@munuoisaack4183 жыл бұрын
Jamani huyu mwimbaji anaitwa nani huwa naukubali sana uwezo wake na kujiamini na anavyofikisha ujumbe
Hii kwaya nimeijua juzi 2020, lakini ule wimbo wa gusa niliujua muda murefu nikiwa kijijini Katavi. Jamani tunatoka mbali. Kula hakuna radio kabisa.
@shidamasau8686 Жыл бұрын
Ee Mungu saidia ponya kuugua kwangu Mimi
@MariamThomas-bg4rc10 ай бұрын
😭😭😭
@agnethapaul75013 жыл бұрын
Nimeona goodlack gosberth
@iddanganyagwa9 ай бұрын
🙏🙏🙏
@phiniasshadrackl96014 жыл бұрын
Daaaah safi sana.
@abelpaul52354 жыл бұрын
Ole ole wake yule ashindanae na Mungu alie juu mwenye kuponya.
@samwelchotta12453 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda Sana siku haiish Bila kuusikiliza, nabarikiwa Sana na kufarijika kupitia wimbo huu,, unamaa kubwa Sana huu wimbo maishani mwangu.. ayubu10:1- mungu awabariki Sana cvc na awainue viwango vya juu kimataifa.
@jalianekemia94583 жыл бұрын
Ll
@hjclaude89624 жыл бұрын
I love so much and now i'm crying because imotions
@rhodakilahumba66644 жыл бұрын
Nawapenda nabarikiwa saana
@humphreymidambo38274 жыл бұрын
Kipawa kwenye Hilo kanisa.msifuni MUNGU sana.ni njia ya kusema asante
@dayanalushina49934 жыл бұрын
Nice CVC.. Hongereni kwa utume..! Waimbishaji wapya wenye vipaji vikubwa vya sauti vya sauti.. Nimeipenda hivyo..!! Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu...!
@daisyenock76704 жыл бұрын
Hakika kila wakati nawiwa kuusikiliza tuu huu wimba unanibariki sana,hongereni wote.
@uinjilistichoirloitokitok24014 жыл бұрын
My favourite.soloists big up
@abelpaul52354 жыл бұрын
Huu ndyo wimbo wangu ninao uangalia kila cku. Mungu awabariki sana.
@zakiakaoneka39894 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@irenejustinian22123 жыл бұрын
Nice nimependa sn kwa ujumbe mungu awabariki
@marymyonga38084 жыл бұрын
Wimbo nauangalia Kila Mara hapo mwanzo vyombo vimetulia mziki umetulia Sana Mungu. Awabariki
@phiedismwende14363 жыл бұрын
My favorite choir.Mungu azidi kuwabariki
@masenyengefuraha90953 жыл бұрын
Hakika mungu ameweka kitu kwa watumish hawa muendelee kuitenda kaz ya bwana wenu john furaha kotoka kilimahewa ushirombo geita
@manzielyzee34962 жыл бұрын
Huu Mama nampenda Sana hua ananibaliki hakiyamungu nitapataj number yake please! Pia anaitwa nani
@hellenmaiyo25163 жыл бұрын
Amina,nabarikiwa kila ninapo wasikia mkiimba.Who is the name of the first soloist,she's my mentor.I like these team.
@felixkyalo22433 жыл бұрын
Diana James
@simbawayuda16272 жыл бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wa MUNGU kwa huduma nzuri
@samuelokoyaro188811 ай бұрын
Mtunzi wa huu wimbo...nakuombea baraka tele jumla na waimbaji wote wa AIC Changombe,,,,,,Bibilia nayo mmeisoma
@isaiahkandie496810 ай бұрын
God bless you cha'ngombe choir for serving God and mankind, it always quite edifying the souls of the listeners.
@moshanaaman55883 жыл бұрын
HUUWIMBO UMENIUZA SANA.
@charlesbuka97743 жыл бұрын
Jamani jamani dada huyu ananifanya nijihisi Niko mbinguni! Ubarikiwe sana dada nakupenda mnooooo!!!!!!!
@ayubukibona9972 жыл бұрын
Jaman huyu dada kweli anaupako wa kipekee barikiwa sana cvc Mungu amewainua tunawapenda tunamuona Mungu kwenu
@davidkisalimwala94583 жыл бұрын
i cant just get enough of this song @AICT CHANG'OMBE CHOIR MUNGU AWABARIKI MNO , this is my current favorite song i am in love with this song
@danielmwalisu19803 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na uimbaji wenu,umekuwa baraka kwangu mi binafsi
@danielmwalisu19803 жыл бұрын
Amina Amina
@shedrackmumo17392 жыл бұрын
To God be the glory, 1 million views,i feel so proud and happy for this achievement,nahisi n kama yangu binafsi,inaonyesha jinsi mnapendwa wana CVC...God bless u and expand ur ministry watumishi...🙏🙏🙏🙏🙏
@lilianrichard95726 ай бұрын
Wahoo nimefurahii sana kumuona rafk yangu naomi from Tpsc singida
@peternoga2 жыл бұрын
best song of the year 2022 may GOD bless you sister Diana and all choir members🙏🙏🙏🙏🙏