Mtumishi wa Mungu ,Duniani alama ya mkate imeachwa kwenye bunge,maana wao wanajijali wao sio wananchi wao! Hivyo alama ya mkate ni bunge, na wengi watu wanakimbilia huko ili wapate hiyo mikate na wenzao wanateseka
@user-pf3qt1lb1hАй бұрын
Meseji mzuri sana🙏
@sanekwilabya4453Ай бұрын
PICHANI NI MTUGWA ALIE GEREZANI KIROHO NA MBELE YAKE AMEPEWA UHURU AMBAO NI UFUNGUO PIA AMEPEWA CHAKULA AMBACHO AKILA ATAENDELEA KUKAA KIFUNGONI LAKINI KUTOKANA NA YAMZAZAYO MOYONI HAWEZI KUONA UHURU/FUNGUO ILA ANAONA MKATE TUU. KIMTAANI NI SAWA NA KUTEMA BIG G KWA KARANGA ZAKUONJESHWA