Nikweli kabisa!! nimeshuhudia mama yangu mzazi alivyotupambaniapaka baadh yetu tunafanikiwa,lakini baada ya mafanikio vikainuka vikwazo vyaibilisi mama yangu akaugua akafa😢😢😢😢😢 bila kula matunda ya watoto wake 😢hakika inauma
@neemataris32733 ай бұрын
Acha tu mama yangu pia yaani niliumia sana kama mshale aliondoka
@neemalaurent98363 ай бұрын
Kwa kweli hizi tabiri chonganishi sio nzuri sana,Amina
@nicksonshoo4293 ай бұрын
Mch.Kimaro hili jambo limeniumiza sana sana.Hawa MANABII wanachonganisha sana watu hata zaidi ya Waganga wa Kienyeji.
@lizpallangyo80573 ай бұрын
Bwana Yesu akubariki mchungaji akuinue zaidi na zaidi,roho chonganishi zimetenganisha familia
@restitutapetro47053 ай бұрын
Amen, Nayakubali maneno yako, na mimi nina mtoto mmoja, Mungu anikumbuke!!
@AnethMushi-c3e3 ай бұрын
NAMI pia
@RehemaChisonjela3 ай бұрын
Nawachukia sn wanawake wa style hii, yaan wakiolewa wanawadharau wakwe zao,wanasahau kuwa bila kusomesha hao waume zao,wasingewaona, ila malipo ni dunian,unawasahau wazazi wako kisa mwanamke😢😢
@LenahAlindaMashasi3 ай бұрын
Asante mchungaji kwa ujumbe mzuri nikweli nisingemzaa huyo mme angempata wapi na kwanini nimroge mjukuu nisimroge baba yake
@mariamluther92192 ай бұрын
Kweli kabisa, inasikitisha Sana kuona wanawake nyakati hizi wanavyodhani kuwa wana uhalali wa waume zao kuliko familia iliyompa support mpaka alipofika.
@JulianaChacha-k5b3 ай бұрын
Mmhhhhhh mungu awaone hao wanaogawa familia za watu!wawe wakamwana au wakwelima! M/mungu asiwacheleweshe kuwalipa ubaya wao😮
@JacksoniJoseph2 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@ReginaMeitanavi3 ай бұрын
Yaani Mungu atupiganie wazazi
@TumpeFord-om1wv3 ай бұрын
Mungu atusaidie
@neemakijazi23633 ай бұрын
Amen Mungu anisaidie na mimi sasa hivi naitwa mchawi ninaua watoto wa mwanangu wa kwanza wa kiume mwanamke anayeishi naye ananiita mchawi hivyo sithubutu kwenda kumhona mjukuu wangu japo moyo unaniuma na anadai amekwenda kwa nabii akamwambia watoto wako Wanatogwa na mama wa mwanaume wako. Mungu atusaidie.
@jovanafidelis28023 ай бұрын
Pole sana pole Tena naelewa mapito yako,Kaa utulie ukihisi maumivu Sali,majibu watayaona! HAYA mambo yapo sana Tena Kwa wingi
@LusajoKabuka3 ай бұрын
Kweli hao manabii baadhi wamekua wapiga lamuli wanaotumia jina la yesu wanaomjua wao SI yesu kilisto wa nazareti aliye hai miji mikubwa imevamiwa sana tunaomba mungu wakweli aonekani bila hivyo kunamadhala makubwa sana asante mtumishi kwa mafundisho mazuri ameni
@KissaSampeta2 ай бұрын
Hao wanabii wa uwongo kweli Mungu awashughulikie kwa namna iwayo Wachonganishi wakubwa
@FlorenceJohn-z5n3 ай бұрын
Inaumiza kwa kwelii
@ChristerKoku2 ай бұрын
Mchngaji Kimaro umenena ukweli,ni ulimbukeni tu,wamama tunamaneno mengi mno wengine uwachukia wakwe zao bila sababu,ni ujinga na ushamba.huo ni upande mmoja,mchungaji angalia upande wa pili wa muolewaji anayotendewa.
@RehemaKawogo2 ай бұрын
Actually wanaoona wapo ,semw huyo bint alikosea pa kwenda
@EvenaManjira3 ай бұрын
Lanye oko
@annamwakibinga5273 ай бұрын
Kabisa mchungaji kama siyo mama wewe ungemkuta huyo mume wako? Jamani kumbukeni wa mama waliozaa hao waume zenu.
@VeronicaRugoyi3 ай бұрын
Malipo ni hapahapa dunian
@VictoriaZakaria-d3n3 ай бұрын
Ukimfanyia mama wa mwenzako vibaya na wewe utafanyiwa hivyo hivyo
@sonicaghendewa98863 ай бұрын
Sina hamu na hao wanaojifanya wanaona Wanagombanisha watu sana muda mwingine
@BettyGeorge-sn2nn3 ай бұрын
Mm niliambiwaga ni mganga yan
@tinamwashilindi68073 ай бұрын
Kwa kweli
@MaishaBabu-m2g3 ай бұрын
Haya mambo yapo kwa kuhani mussa
@annamwakibinga5273 ай бұрын
Na kiboko ya wachawi
@ReginaMeitanavi3 ай бұрын
Yaani mimi sijawahi kwenda kwake ila rafiki yangu anaabudu huko kila house girl wake anaambiwa mchawi