Ajali mbili zashuhudiwa huku magari mawili yakianguka kivukioni Likoni

  Рет қаралды 29,652

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Ajali mbili zimeshuhudiwa hii leo katika kivukio cha Likoni kaunti ya Mombasa ambapo magari mawili yameanguka kwenye bahari hindi. Trela lililopoteza mwelekeo na kuingia baharini saa za asubuhi huku gari jingine likianguka sehemu hiyo nyakati za adhuhuri. Francis Mtalaki anaarifu kuhusu ajali hizi ambazo sasa zimekuwa kama ada katika kivukio hicho cha Likoni

Пікірлер: 65
@agnesmwende1104
@agnesmwende1104 3 жыл бұрын
This battle is spiritual but those who do not understand will talk according to the physical...christians lets fast and pray victory is by our side.
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
majini shindwe kwa jina la yesu
@jobjobhazard2
@jobjobhazard2 3 жыл бұрын
Amen Amen.
@rosekadzokadzo1401
@rosekadzokadzo1401 3 жыл бұрын
Thatz the work of the devol ushindwe kabisa....
@helenshella6809
@helenshella6809 3 жыл бұрын
Waaah hizo ni mapepo
@Captainevans2024
@Captainevans2024 3 жыл бұрын
Clean and lime the ramp when it's low tide
@browniemrefu5639
@browniemrefu5639 3 жыл бұрын
Why is everyone blaming the Devil,what I see is just incompetence,and lack of order,its like a scrum when it's time to exit, people and vehicles at the same time,and Kenyans engineer are at sleep the entrance shouldn't be that steep.and why not use anti-skid asphalt.
@salomemueni100
@salomemueni100 3 жыл бұрын
This is purely satanic putting concerned ones to sleep on their duties..kenyan engineers are good at their work..drivers are well too..nothing like incompetent..devil at work..remember snake (bbi)..,now you know what we mean when we blame the devil
@rugendorunene545
@rugendorunene545 3 жыл бұрын
I agree it's incompetence. Bad civil works as well. I worked in Alaska for five years. Studied at Kenya Polytechnic as well well as abroad. But jobs are given in regard to who you know.
@agnesmwende1104
@agnesmwende1104 3 жыл бұрын
Jesus is reigning.....Glory to God for saving
@fatmamdigo1848
@fatmamdigo1848 3 жыл бұрын
Kweli ferry kuna hatari jengeni vizuri jamani kwateleza sana apo......alafu iyo barabara kuingia ferry pameisha sana kwateleza jamani.
@rgouz2056
@rgouz2056 3 жыл бұрын
No Action will be taken hadi siku abiri wengi watapoteza maisha. Mashetani mbele mashetani nyuma hali ya kivuko imeharibika Sana. Wajenge Daraja. China wame jenga Bridge ya zaidi 10 na meli za Containers zapita ijeikuwe KM 4
@kennedymuriithi5358
@kennedymuriithi5358 3 жыл бұрын
Hii place ciwatafute lasting sollution aki ,ikienda sana ni 2billion $
@gfgfgf2890
@gfgfgf2890 3 жыл бұрын
Hapo kuna mashetani mungu asimame hapo
@ruthobiga4778
@ruthobiga4778 3 жыл бұрын
Uzembe wa Kenya ferry
@alfylegit9573
@alfylegit9573 3 жыл бұрын
Devil is at work. Lets pray without ceasing💪
@sarahevereso9088
@sarahevereso9088 3 жыл бұрын
Jamani jamani kila Siku hayo ni mapepo jamani hapo mahali panataka maombi makali mnooooo
@marykaish7979
@marykaish7979 3 жыл бұрын
Whaaat🤔🤔🤔imekuwa mtindo jamani
@shaabanochungo4624
@shaabanochungo4624 3 жыл бұрын
hapa likoni majini kibao
@stepm2505
@stepm2505 3 жыл бұрын
Mungu
@kenyamoja755
@kenyamoja755 3 жыл бұрын
Africans never learn a lesson. Africans the only warning they take is seriously is law batteries
@lucykitundu640
@lucykitundu640 3 жыл бұрын
Ferry kuna nini jamani
@maimunaabdalla7146
@maimunaabdalla7146 3 жыл бұрын
Wakenya ni watu wakupenda mfata mzungu kila anachowaambia,ukweli tungefat a mila na desturi tukaacha jisahau sisi niwafrika na tuna mila za mababu zetu. .yooote haya yasingetokea.angalia wa Asia,wachina,na hata baadhi ya hao hao wanaopotosha watu,hawaachi matambiko hawaachi mila zao only few afrikans wamejifanya wazungu sasa matokeo ni hayo mnayaona likoni ferry...tangiya mababu zetu kuna matambiko yanafanyagwa kiila mwaka kama kafara,coz bahari ina wenyewe(majini)na majini hawatawapa amani ferry mpaka mlipie mji wao,mlipe ushuru in other word.sasa knya mwajitia waokovu,waswaili inna.mnasahau jini pia aliumbwa na mungu na akampa hizo power za kusumbua .dharau c kitu chema,toeni kafara kabla hawaja jichukulia wenyewe,ni alarm wanapigia au wanapa warning tutachukua wenyeww kama hamtatupa kwa hiari.
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 3 жыл бұрын
Eti wazungu wewe unaongea nini ajali hainakinga kaka ni heri unyamaze kushida kuongea pumba
@prettybabygalmichelson6557
@prettybabygalmichelson6557 3 жыл бұрын
OMG
@carolynchege384
@carolynchege384 3 жыл бұрын
Wah 🙄
@winniewayesu6876
@winniewayesu6876 3 жыл бұрын
Ngai 😭😭
@jshahshsh2383
@jshahshsh2383 3 жыл бұрын
Those are Satan need blood oooh God help ur people
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 3 жыл бұрын
Hiyo ni shetani
@jobjobhazard2
@jobjobhazard2 3 жыл бұрын
Huyo Shetani hana mamlaka katika maisha yetu ameshindwa kabisa ibilis.
@phyliswanjiku3445
@phyliswanjiku3445 3 жыл бұрын
What's going on here
@janenjenga5639
@janenjenga5639 3 жыл бұрын
These demons want sacrifice
@jobjobhazard2
@jobjobhazard2 3 жыл бұрын
Zishindwe kabisa
@salimbabz3070
@salimbabz3070 3 жыл бұрын
Mwaka umeingia kafara bado
@tatujaphet163
@tatujaphet163 3 жыл бұрын
Waaaah sina lakuongea wacha tu ni nyamaze 🤔🤔🤔🤔🤔
@titinmbega4128
@titinmbega4128 3 жыл бұрын
Damu yatakika ni mapepo hayo. maombi tu sasa. ju ni mda toka huyo mama na mwanae.
@fajarfajar7855
@fajarfajar7855 3 жыл бұрын
@@titinmbega4128 kabisa hapataacha vituko mpaka litokee kubwa
@titinmbega4128
@titinmbega4128 3 жыл бұрын
@@fajarfajar7855 Yes my dia kuna kitu apo chatakikana so please tujifinike na Damu ya YESU KRISTO.
@fajarfajar7855
@fajarfajar7855 3 жыл бұрын
@@titinmbega4128 haaa uko gulf dear haki si home hadi uchaguzi huishe 2022 yani ajali zimekua nyingi hata kama kifo ni popote but laaa
@Mohamed-un4bj
@Mohamed-un4bj 3 жыл бұрын
So sad
@abdallahjuma1755
@abdallahjuma1755 3 жыл бұрын
Zamani ilikuwa Kila mwaka kuna chwaa ngombe apo likoni...
@princeshadrak2310
@princeshadrak2310 3 жыл бұрын
So this time round hawaja chwa ngombe thats why hii shida imetokea ama???
@muanashaswaleh5110
@muanashaswaleh5110 3 жыл бұрын
Kwani siwatoe ilo kafara hao wazee wamila wakate hiyo ngombe ili usalama upatikane huyo nishetani anatafuta bado hajapata akipata wakulingana nadamu yake kwisha undoeni izo mila zakina babu acheni mambo ya uzungu mwingi watu watakufa
@fahimkhariff7020
@fahimkhariff7020 3 жыл бұрын
Huyu jamaa puyanga tena
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
mkifika feri muite damu ya yesu
@peterwaywela896
@peterwaywela896 3 жыл бұрын
Wazee wa kaya walete mbuzi watoe kafara bure naona miungu inawinda damu.
@morineopana8991
@morineopana8991 3 жыл бұрын
Only God not gods
@deepsea2141
@deepsea2141 3 жыл бұрын
mbuzi gani wewe, What kind of sacrifices are you offering to demons in return for human safety. Those cars have brake problems as well as sometimes the asphalt in kenya ferry is very slippery for a vehicle with poor breaks
@peterwaywela896
@peterwaywela896 3 жыл бұрын
@@deepsea2141 Huelewi Pwani wacha tu
@deepsea2141
@deepsea2141 3 жыл бұрын
@@peterwaywela896 mimi mpwani halisi kukuliko. Mimi ni mwanati mwenyewe, what are you talking about. Uchawi na kafara iko kila mahali na kwa kila jamii/ kabila
@maimunaabdalla7146
@maimunaabdalla7146 3 жыл бұрын
Tatizo kubwa afrika nikufungiya jicho kitu unakiona unajitiya hukioni,hukisikii.tuache kujifanya hatujui shida ya kivuko soote tunajua mbona mnafungiya macho kitu mnajua???sipendi kuwa mnafiki mimi.mtajua wenyewe.shahada ni mara tatu..,na shahada mbili hizo zimekamilika je mwangojea ya 3???????
@jobjobhazard2
@jobjobhazard2 3 жыл бұрын
SubhannaAllah ya Allah, Mwenyezi Mungu atunusuru na majanga km haya ya Rabb na safari zetu ya Rabb🤲twaziweka mbele yake.
@janewairimu5809
@janewairimu5809 3 жыл бұрын
😩😩😩
@raymondongus1404
@raymondongus1404 3 жыл бұрын
This place has a high concentration of demons.
@jobjobhazard2
@jobjobhazard2 3 жыл бұрын
Yes na imeshindwa kabisa.
@aishaasumany561
@aishaasumany561 3 жыл бұрын
Ngojeni siku ferry lkizama kama mv Nyerere ndio Mtajua umuhimu wawatu walikoni ferry
@mustafarashid2484
@mustafarashid2484 3 жыл бұрын
Allah asitujalie na dua yako mbaya,ama kwa vile haushi Likoni.
@aishaasumany561
@aishaasumany561 3 жыл бұрын
@@mustafarashid2484 Minavuka kira siku sasa niseme nni kama hawatujali Tufanye nini na wengi niumaskini watusumbua ndio mana Navuka kira siku
@mustafarashid2484
@mustafarashid2484 3 жыл бұрын
@@aishaasumany561 hapo sawa ila nkuulize waishi Likoni ya wapi pengne we ni jirani yangu?
@aishaasumany561
@aishaasumany561 3 жыл бұрын
@@mustafarashid2484 Niko msikiti nuru
@mustafarashid2484
@mustafarashid2484 3 жыл бұрын
@@aishaasumany561 me nko mtaa wa makaa ww ni jirani yangu,0784740413
@jobjobhazard2
@jobjobhazard2 3 жыл бұрын
Nyinyi mna dislike ni nini shida yenu? 🙄🤷
@fatmamdigo1848
@fatmamdigo1848 3 жыл бұрын
Fanyeni mpango muweke vyuma vikali vyakuvuwia hatari kama izo jamani musiseme eti madereva ndio wasababisha itakuwa aija saidia ktu watu wapoteza maisha...imagh fikiria atakae kufa akiona ninani? Ujinga uyo mzee anaongea..
@stellahmiles2369
@stellahmiles2369 3 жыл бұрын
OMG
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 5 МЛН
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН
Wakazi wa majengo kaunti ya Mombasa walalamikia uchafu msikitini
3:03
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 12 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr (ajaxkmr1986)
Рет қаралды 586 М.
Gari lililozama na miili ya mama na mwanawe laopolewa Likoni
2:34
Watu 5 wafariki kufuatia mkasa wa moto eneo la Mombasa
5:24
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 33 М.
Jamaa anayewahangaisha wakazi wa Mtopanga, Mombasa  anaswa
1:54
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 11 М.
How Power Transformers work ? | Epic 3D Animation #transformers
21:06
The science works
Рет қаралды 285 М.