Рет қаралды 29,652
Ajali mbili zimeshuhudiwa hii leo katika kivukio cha Likoni kaunti ya Mombasa ambapo magari mawili yameanguka kwenye bahari hindi. Trela lililopoteza mwelekeo na kuingia baharini saa za asubuhi huku gari jingine likianguka sehemu hiyo nyakati za adhuhuri. Francis Mtalaki anaarifu kuhusu ajali hizi ambazo sasa zimekuwa kama ada katika kivukio hicho cha Likoni