Akhwan Safaa in Oman 1985 Hata Haikuwa Khadija Salim

  Рет қаралды 34,009

Abu Zaki

Abu Zaki

Күн бұрын

Akhwan Safaa in Oman participating in 15th Oman National Day in 1985.

Пікірлер: 49
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 жыл бұрын
Asante kutuwekea nyimbo za kutukumbusha tulipokuwa vijana. Nakumbuka hii ilifanyika ukumbi wa Wizara ya Utamaduni hapa Oman mwaka 1985 katika tafrija kusherekea miaka 15 tokea atawale Sultan Qaboos (Allah amrehemu)
@mirajiiMkwaju
@mirajiiMkwaju 10 ай бұрын
Ok
@IssaAlBusaidi-qg9iu
@IssaAlBusaidi-qg9iu 8 ай бұрын
😊
@suleimansaid7486
@suleimansaid7486 2 жыл бұрын
Za kale dhahabu Sasa Zimebaki nyimbo za matusi
@sabiimohamed6560
@sabiimohamed6560 5 ай бұрын
Of coz yes
@hassankarama7421
@hassankarama7421 Жыл бұрын
Mashallah Zanzibarian ilikuwa Thaman!
@chozilasamakikachumbari6705
@chozilasamakikachumbari6705 2 жыл бұрын
Hiyo ilikukuw ZANZIBARI lakini sasa ni ZANZIBARA MATAMBARA ⚘⚘⚘
@abrahmansalum6996
@abrahmansalum6996 13 күн бұрын
Wallah
@mohamedkhalifa5764
@mohamedkhalifa5764 25 күн бұрын
Laana ya Mwenyezi Mungu haitawaacha mpaka mwisho wa Dunia kwa Mauaji muliyofanya moja wapo ni hilo.
@alwatanalgilgilan-y3078
@alwatanalgilgilan-y3078 2 жыл бұрын
Maa shaa ALLAH enzi hizo shetani hajazaliwa zanzibar
@AbdullahOmar-fv3ld
@AbdullahOmar-fv3ld Жыл бұрын
Leo kuna amezaliwa
@issamakolo1033
@issamakolo1033 Жыл бұрын
Zanzibar ilikuwa mashaallah kwa twaarab sio Sasa hakuna twaarab Kuna taradansi matusi tu,
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Allah ghfir laha wa rhamha wa skanha fil Jannat!
@princesaadat7691
@princesaadat7691 2 жыл бұрын
mashaallah hata haikuwa itapokuwa roho tawatoka..tuekee habibi albi pls
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 20 күн бұрын
masikini zbar yetu😊😊😊
@issamakolo1033
@issamakolo1033 Жыл бұрын
Mashaallah saut nimependa iko sawa mama anaghani vizuri
@salyali7807
@salyali7807 7 ай бұрын
Ilikua hakuna kukata viuno kwenye stage
@naylamohammed266
@naylamohammed266 Жыл бұрын
Maskin Mareham haloo yangu allah amsaa mehe makosa yake mpe kauli thabit
@maryammussa7929
@maryammussa7929 Жыл бұрын
Amiin
@AbdullahOmar-fv3ld
@AbdullahOmar-fv3ld Жыл бұрын
Mtu wa wapi huyu
@mangofish9079
@mangofish9079 21 күн бұрын
Alifariki lini huyu bikhadija Salim
@noffelsalim830
@noffelsalim830 Жыл бұрын
Walotangulia mbele ya haki hapo mungu awaswamehe makosa yao na awape nuru ya kabri🤲🤲
@yahyaibrahim6546
@yahyaibrahim6546 2 жыл бұрын
Ukiona zanzibar walioish wazee wetuh wallah wabara wametuvurugia kila kituh
@tariqkondo509
@tariqkondo509 2 жыл бұрын
Vijana wenu wanaongoza kwa tabia za hovyo, lakini mnasingizia bara kila kitu.
@kaitaramadan6340
@kaitaramadan6340 Жыл бұрын
Khadija kopa na mzee Yusuph ni wabara acha ubaguzi wa kijinga
@seifabdulwahid4579
@seifabdulwahid4579 Жыл бұрын
@@tariqkondo509 wamefundishwa na Bara hao Zbar ilikuwa hkn mambo ya ajabu ajabu
@tariqkondo509
@tariqkondo509 Жыл бұрын
@@seifabdulwahid4579 wamefundishwa na waarabu, wao ndo walianza kuwa na watu wa visiwani kabla ya wao kukutana na watu wa bara.
@seifabdulwahid4579
@seifabdulwahid4579 Жыл бұрын
@@tariqkondo509 watu wa zmn hawakuwa hv Hili suala la kutoingia kwa temprary pass ndo lilo haribu mambo yote
@johnkuma6867
@johnkuma6867 2 жыл бұрын
Poa sana hizi taarab. Zidi kuzituma🇰🇪
@maryammussa7929
@maryammussa7929 Жыл бұрын
Nyimbo ina umri sawa na wangu
@HafidhOmar-rs4ty
@HafidhOmar-rs4ty Жыл бұрын
Mkataa mussa hupata firaun
@mosaidi2633
@mosaidi2633 Жыл бұрын
Zanzibar ilikuwa njema siku hizo
@lindaoduma213
@lindaoduma213 2 жыл бұрын
Zuri Sana habibi
@axzdhar1.2.3.4.5takpandaiarab
@axzdhar1.2.3.4.5takpandaiarab 5 ай бұрын
First tengok je same like Asia countries
@liylahahmed829
@liylahahmed829 2 жыл бұрын
Nice
@salyali7807
@salyali7807 7 ай бұрын
Zanzibar 😭😭😭
@allyshafi4391
@allyshafi4391 2 жыл бұрын
Hata haikuwa wanalalamika 😃😃😃
@ahmadakhamis9451
@ahmadakhamis9451 6 ай бұрын
Uyo ulonae
@user-sd4is5lk6m
@user-sd4is5lk6m 10 ай бұрын
Hizi nyimbo zilikua ndio taarab. Za kistaraab
@chaimaabedi8403
@chaimaabedi8403 Жыл бұрын
Uzuri
@ahmedkhamis7229
@ahmedkhamis7229 2 жыл бұрын
Jaribu kuweka zote plz
@masoudapology9230
@masoudapology9230 2 жыл бұрын
Dah! my Zanzibar siasa za Muugani zimeiweka pabaya kwa kweli bila hivo ingekuwa mbali san
@ahmedkhamis7229
@ahmedkhamis7229 2 жыл бұрын
Nice
Atakaye Pendo Langu - Rukia Ramadhan
12:30
Abu Zaki
Рет қаралды 78 М.
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,3 МЛН
Je peux le faire
00:13
Daniil le Russe
Рет қаралды 13 МЛН
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН
MUUNGWANA - ZANZIBAR TAARAB
10:38
Bin Seif
Рет қаралды 358 М.
Akhwan Swafaa - Nimesalitika  (New Taarab Music 2018)
18:20
Tunes Of Africa
Рет қаралды 35 М.
Hiba zako za usiku zinanipa raha----old taarab
17:30
cute neyda
Рет қаралды 30 М.
Taarab Nadikhwan Safaa 1985 nchini oman
6:18
BATTAWY TV
Рет қаралды 12 М.
Pendo kitu cha hiyari
9:39
Zanzibara - Topic
Рет қаралды 231 М.
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,3 МЛН