No video

Ali Kiba Ashangaza Watanzania Kila mtu kashangaa baada ya kujua

  Рет қаралды 121,619

Hot Chamber

Hot Chamber

Күн бұрын

Пікірлер: 384
@Bonnere
@Bonnere 6 жыл бұрын
Kiba he's the legend much respect big bro from Australia here
@marianundwe2720
@marianundwe2720 6 жыл бұрын
anajitambua and he is handsome by nature.... much respect to him #King kibaaaa
@fatumaathuman1745
@fatumaathuman1745 6 жыл бұрын
anajitambua
@nassraramadhans1074
@nassraramadhans1074 6 жыл бұрын
ali kiba ana heshima zake sio hao wapumbavu
@bushiridems
@bushiridems 6 жыл бұрын
Tatizo yake umaskini wake ajitambuwi bali ahana pesa tu.
@dullahmamu9604
@dullahmamu9604 6 жыл бұрын
Bushiri lombe we nawe umenijisahau kweli aya pole
@mudricwhite1038
@mudricwhite1038 6 жыл бұрын
+Bushiri lombe wacha ujinga kuvaa mahirini ni mwanzo w ushoga
@hannahnashipae3000
@hannahnashipae3000 6 жыл бұрын
Anajitabua, King kiba your the best artist
@fathmajivanji5173
@fathmajivanji5173 6 жыл бұрын
Ali kiba is a gentle man n pia anahofu ya Allah...n tena anaridhika alivyo coz anamvuto bila hata ya hivyo vyote.....big up king
@mejumaabaraza8020
@mejumaabaraza8020 6 жыл бұрын
Aishimu jina lake coz nijina la imamu Ali bin abu twalib sio hao waume wake wanao shobokea duni yy anajuwa duni na akhera endelea ivyo hivyo Ali na mungu atakuongoza kwa kazi zko ishaallah penda ww sana
@maximillianochampeke9380
@maximillianochampeke9380 6 жыл бұрын
Anajitambua napenda msimamo wake keep it up Ally Kiba
@RemmyWilliams
@RemmyWilliams 6 жыл бұрын
I like him, is pure, mkweri , anajiheshimu na anaheshimu, anafanya kazi yake na hajishauwi kwa uongo mtupu, Kiki ili aonekane wa juu kuliko wote. Nice Person.*****
@faheemhashim2804
@faheemhashim2804 6 жыл бұрын
Ali kiba.. mtoto wa kiislam safi.. na watoto wake wote wapo kwenye dini.. ana tuzo ya kuwa mzazi bora kwenye chuo alichosomea yeye.. Mwanae alishawahi kuja nyumbani kwenye kisomo tulichoandaa pamoja maalim wake na team yao yote. Inshort yupo SIMPLE TU
@KhadijaKhadija-mk6jf
@KhadijaKhadija-mk6jf 6 жыл бұрын
Alikiba anajitambua Sana na ni muislam haifai kujichora tatu wala kutoboa pua wala rasta so alikiba big up
@Bogohoney
@Bogohoney 6 жыл бұрын
He,s a legend, Avery wise disciplined musician , aguy of his respect, I owe you my respect Alikiba, much love from kenya
@hamissmohamed3391
@hamissmohamed3391 6 жыл бұрын
Ally kiba anajitambua yeye mwanaume vipi avae eleni au apige tattoo au avae cheni za ajabu ajabu safi sana kiba
@paulgodwini2910
@paulgodwini2910 6 жыл бұрын
Ukisha kuwa mtu mzima lazima ujitambue alikiba zamani alikua anavaa heleen ila alivyo jitambua akachana navyo msanii bila heleni inawezekana huyuu jamaa namuelewaga sana video zake naangaliaga na mama ,baba ,nawadogozangu pia hanaga yale mambo ya uchi uchi big up king kiba like that
@lukamtakatifu1806
@lukamtakatifu1806 6 жыл бұрын
Paul Godwini
@fabiansam8157
@fabiansam8157 6 жыл бұрын
KWELI
@mwajumarashid4108
@mwajumarashid4108 6 жыл бұрын
Anajitambua na sio lazima msanii kuchora tatoo au kuvaa mihereni, nakukubali sana king kiba
@halimahashim7828
@halimahashim7828 6 жыл бұрын
anajitambua saaana zats y namkubal mno
@issajibrahim1251
@issajibrahim1251 5 жыл бұрын
achen kkalili
@laurentboniphace921
@laurentboniphace921 6 жыл бұрын
Huyu ni msanii anae jitambua na namwombea kwa mwenyezi mungu azidi kuwa hivyo hivyo na jua Ally kiba anahofu na mungu anapenda sana dini
@inocentimaramso5537
@inocentimaramso5537 6 жыл бұрын
dah timu pasua kichwa nice Ally kiba
@jeilanathuman9447
@jeilanathuman9447 6 жыл бұрын
Laurent Boniphace Ndio kabisa uko sawa sana
@khadijaally3929
@khadijaally3929 6 жыл бұрын
Nikwasaababu musilamu hafai kufanya vitu hivo ndio ali kiba anataabua dini yake mashllh mungu amzidishie
@maryamammar1702
@maryamammar1702 6 жыл бұрын
Anajielewa vyema 😍kwa sababu hivyo vitu baadae vinakujutia kweli
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 6 жыл бұрын
Anajitambuwa sio ushamba washamba nawale wanao koa kujijuwa ali maoni yangu haya usijaribu kujiharibu maumbile yako allaah kakuumba vizuri atakae kupenda akupende kamaulivo halafu iyo ndo stayli nzuri walochorawote wameka kama jini kisirani hawajijuwi kama wanatisha nadini inakataza kuchora tatu ujumbe naomba umfiye ali kiba original
@Pamela_Anzoa
@Pamela_Anzoa 6 жыл бұрын
King 🤴 Kiba tunakupenda sana. U still remain our king on matter what!!!
@sheimaaabdallahsheimaaabda8200
@sheimaaabdallahsheimaaabda8200 6 жыл бұрын
The real Muslim Kama hamjui juweni.. nakupenda bure Ali kiba unajutambua Sana
@dullahmamu9604
@dullahmamu9604 6 жыл бұрын
Anajiamini sn tn u r de best king big up MashaAllah
@tumasaleh4236
@tumasaleh4236 6 жыл бұрын
Big up king kibaaa unajiamin unajikuba ndo maana vitu vya kishamba hunaga abari navyo
@khadijaabeid8012
@khadijaabeid8012 6 жыл бұрын
mashaallah Ali kiba anajitambua sana kwa mtazamo wangu
@ochuboyofficial205
@ochuboyofficial205 6 жыл бұрын
Ni heshima pia haina maana ukiwa msanii lazma utoboe pua au uchore tattoo mwilini Big up sana #king kiba and keep it
@ashaally6993
@ashaally6993 6 жыл бұрын
Na hajawahi kufuga rasta kukata nywele kiajabu ajabu wala kupaka rangi kichwani acha nikukumbushe umesahau hilo mtangazaji!! Jibu langu mimi ANAJITAMBUA tena sana
@hotchamber255
@hotchamber255 6 жыл бұрын
Ahsante Asha ..
@huseninduya2557
@huseninduya2557 6 жыл бұрын
Asha Ally kwa sasa kapaka lakini
@ashaally6993
@ashaally6993 6 жыл бұрын
Huseni Nduya kalazimika kupaka rangi nyekundu kuendana na moto anayosifia kinywaji ili ifanane lakini hawezi kaa nayo muda utaona wewe mwenyewe
@georgebt9545
@georgebt9545 6 жыл бұрын
Asha Ally nikweli
@mwanashazinga9538
@mwanashazinga9538 6 жыл бұрын
huko na hofu na mungu wake yuwajua anacho fanya na dunia nimapito tu bigup kkangu
@ndayishimiyefarida9556
@ndayishimiyefarida9556 6 жыл бұрын
King kibaaa we ni sta wapendwa nawatu wengi usije ukatuangusha tunaamini unajitambuwa saana na unajieshimu sana bila ca team wewe ndo ungekuwa Simba ya tz ile mbaya
@reginaamoo6530
@reginaamoo6530 6 жыл бұрын
To have tattoo is nothing so Ali ako sawa vile alivo # love you sweetie Kiba 💝💝💝💝
@mvbahamas7866
@mvbahamas7866 6 жыл бұрын
Haijaandikwa mahali eti ni lazima ukiwa msanii utoboe,pia,masikio,uvae ushanga wa kila sina au upake nywele Tangu au pia kwa kushuka ndo eti uitwe msanii Bora..Wengi wamefanya hayo lakini ni Bora wasanii tu...Ali Kiba anajitambua ndo manake twampenda jinsi alivyo manake pia kazi zake Nzuri Sana..nadhani wale wakutoboa na kuweka tattoo mingi ndo washamba!!
@MonicaMonica-up1zr
@MonicaMonica-up1zr 6 жыл бұрын
wakenya twapenda Ali juu ya hio ukomavu wa akili.we lv him so mch he is real model of grown up men
@Busia254
@Busia254 6 жыл бұрын
Ali kiba ni mcha Mungu.Mwislamu halisi
@happinessmataluma1948
@happinessmataluma1948 6 жыл бұрын
huyu ndie rijar bwana ao wavaa helen na wapaka piko ni ma biarus tu wanashindana na wanawake kutafuta urembo
@lacktheboy6688
@lacktheboy6688 6 жыл бұрын
Anajitambua anajua anachokifanya huwa hakulupuki kwaKilea anachokiona wasanii wengine wamefanya na yeye akifanye nakubali sana king kiba
@abdulrazakimwamino36
@abdulrazakimwamino36 6 жыл бұрын
Ali anajitambua sana king kiba forever
@hamishamis9905
@hamishamis9905 6 жыл бұрын
Huyu ndie mwanaume anajielewa ahsante king kiba uko sawa m2 mzima...
@hamisihaji9640
@hamisihaji9640 6 жыл бұрын
Anajielewa na anajuwa dini arusu ayo mambow
@yussufyussuf6591
@yussufyussuf6591 6 жыл бұрын
Ni muungwana
@peterjohn5562
@peterjohn5562 6 жыл бұрын
Allex lusumo: kwakimaadili ndosawa nainapendeza lakin lakin uckutendo mashalt kapewana freemason
@tingij2218
@tingij2218 6 жыл бұрын
Peter Joh hujitambui ww nae
@selemanyusuph5790
@selemanyusuph5790 6 жыл бұрын
Anajitambua sana, yuko vizuri
@wemakalam9415
@wemakalam9415 6 жыл бұрын
Ndio maana alipo tupo tu namkubali na anjielewe kinoma na yupo vizuri#king kiba ubarikiwe na usibadilike.
@hansboylipaga3286
@hansboylipaga3286 6 жыл бұрын
Kwanza mnajua maana ya dini au mnalopoka tuu mnakufuru mana mtu anaimba muziki alafu kumbukeni uwo muziki anaoimba alama tosha ambayo aifutiki ata kama ataacha mana muziki wake bado utapigwa tuu hapo chakusema kwamba binadamu hatufanan kitabia mm napenda iki ww unapenda kile lkn wote hao innalillah wainalillah rajioun wataacha muziki lkn muziki auaachi.
@uwezopower7551
@uwezopower7551 3 жыл бұрын
Anajielewa sana Ali Kiba pia ni msanii mkubwa sana hapo Tanzania 🇹🇿 namkubali sana pia nami namuinga huyu kakangu..
@TwalibSWahad
@TwalibSWahad 6 жыл бұрын
Sio siri, sijawahi ku comment chochote katika mitandao ya kijamii kuhusiana maswala yoyote tangu nijiunge na mitandao hii, hii ndio Mara yangu ya kwanza kuandika comment yangu, huwa naangalia na kusoma tu na kuacha mambo kama yalivyo lkn kwa jambo hili LA Ally Kiba kwa kweli ni lazima tu niseme cha moyoni, Ally Kiba Sio unajitambua tu Bali pia unajielewa na unajua unachokifanya na kwanini unafanya na kwann mengine hufanyi, natambua katika hayo pia unapambana na changamoto kubwa sana za kiushindani lkn nikuombe usikate tamaa, simamia katika misimamo yako hiyo hiyo kwa sababu unasimama katika mambo mazuri.Big Up King Kiba ! And Keep it up! Kuwa star wa kiume sio lazima kujifananisha na mwanamke.
@mufasamufas6023
@mufasamufas6023 6 жыл бұрын
Twalib S. Wahad ameacha bro kawa mkubwa sasa lakini hereni amevaa sana tu tena masikio yote mawili lakini big up kwa sasa ameacha
@ditrickdickson907
@ditrickdickson907 6 жыл бұрын
Kinacho wadanganya weng ni mtu kufanya mambo kama ayo ndo ujaja la asha! Alkaba anajitanbua
@user-cf4lt4sc2q
@user-cf4lt4sc2q 6 жыл бұрын
Nampenda. Kama. Alivyo. Usitombowe. Puaa. Wala. Usichore. Tatuu wala. Usije. Fikiria. Kutomboa. Puwaa. Fikiria. Kupanuwa mziki wako. Na. Mungu. Atakusaidia. Ufike. Mbali zaidi ya. Hapo ulipo. Na. Penda nyimbo. Zako. Nizuri. Dana. Kazi. Njema. Alikiba. One love. Alikiba. ❤🙏🙏. AMINA. From Kenya.
@juliethtarimo3826
@juliethtarimo3826 6 жыл бұрын
Huyo ndio king kiba: nampa hongera kwa kuwa anajitambua
@shuualgheithy4741
@shuualgheithy4741 6 жыл бұрын
Ally anajielewa sana yy ninani na anatakiwa afanye nini ktk Music ndio mana hafanyi hayo yupo Sawa na anafata maadili yetu namkubali sana na mungu amsuru asije akashawishika mbeleni
@yusufkaisi8291
@yusufkaisi8291 6 жыл бұрын
Muislam safi huyo,god bless u bro
@geofreymsemwa2760
@geofreymsemwa2760 6 жыл бұрын
anajitambu kuwa yeye ni mwanaume , halis , wengine mashoga hasa wanao jipamba ivo
@venistehakizimana6450
@venistehakizimana6450 6 жыл бұрын
Is the best anajitambua
@yohanamgengelemafwili3976
@yohanamgengelemafwili3976 6 жыл бұрын
Anajitambua ndo haigi,na vitu vingine wanavaa wakiwa na sababu,so yuko tofauti na wengine na c ushamba
@florahsospeter8503
@florahsospeter8503 6 жыл бұрын
geofrey msemwa, alikuwa akivaa ndyo Ila alikuwa akibandika lakini hakuwahi kutoboa maskio rafiki angu
@rahimalewe3518
@rahimalewe3518 6 жыл бұрын
Yy ni muislam na anapenda dini yake yuwafanya yote lkn ajua kesho akhera atakutana mola wake
@edwinsombi175
@edwinsombi175 6 жыл бұрын
Anajiamini, anajitosheleza, hana hofu ya maisha.
@auntymother1507
@auntymother1507 6 жыл бұрын
Ana jitambua na kujiamini.. Safi sana kiba
@davidkalinga7457
@davidkalinga7457 6 жыл бұрын
Brother namkubar sana na ANAJIELEWA sanaaa
@abdulrazaqayubu894
@abdulrazaqayubu894 6 жыл бұрын
Ana akili timamu yule siyo wa kuiga kama wengine madaftar ndo yanachorwa siyo mwili
@idayakey6886
@idayakey6886 6 жыл бұрын
Ally kiba anajitabua do mana napenda anaheshima sana acha akinadomo
@mohdrahbi6953
@mohdrahbi6953 6 жыл бұрын
Idaya Key ali kiba ni mtoto waki isilamu ajitambuwa nini ana fanya hapendi kuwa rembukeni kama maisha ya ki sasa mwenzake kava mpaka msaraba dimond
@gracesangaboloko5414
@gracesangaboloko5414 6 жыл бұрын
Mohd Rahbi jamani Shule nayo yamuhimu angalia vizuri umeandika nini?
@mejumaabaraza8020
@mejumaabaraza8020 6 жыл бұрын
Idaya Key aty akina domo umenichekesha sana
@muftimaley9948
@muftimaley9948 6 жыл бұрын
Kiba ni mtoto WA muslamu afai kuji chora wala kukata nywele vibaya
@zabronkitta2670
@zabronkitta2670 6 жыл бұрын
Anajitambua
@jchangetz1114
@jchangetz1114 6 жыл бұрын
Hahahahah kibaaaaa mm nimeanza kukufatilia kitambo sana ushavaa sana tu heren kaka waambie wa siyo kujua au walioanza kukujua hiv karibuni
@sadygreener9240
@sadygreener9240 6 жыл бұрын
Hahaha! Ni maamuzi tu ya mtu, ye' kaamua hivyo na si ushamba wala ujinga na hata waliochora tattoo pia nao wanajitambua!
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 6 жыл бұрын
Yes nimtu poa hana makuu wala maujiko nimnyamwezi kivyake namuelewa sana nimtu fresh
@georgebt9545
@georgebt9545 6 жыл бұрын
Tatoo siyo kumaanisha kwamba ni mshamba au sio mshamba ... Na kujipamba sana siyo kujuwa kuhimba ama kupendeza sana ..... Kujitobowa puwa sizani kama inatakiwa kwa mwanaume😉kutobowa puwa ni ushoga...😄😄so anyways ali kiba ni mtu au msanii anaye jiheshimu na anajitambuwa.
@rachellebahati6510
@rachellebahati6510 6 жыл бұрын
Yeye mzuri kwanini ajilembe.tena anafahamu ukweli wa dini
@mamougary3240
@mamougary3240 6 жыл бұрын
He is a very respectful man that all big up bro
@jastobless870
@jastobless870 6 жыл бұрын
alikiba anajitambua en this guy God anambless kisiri king kiba go with that pase ao wengine ni moto ya karatasi tu watazimwa hivi karibu
@ramadhansembuche3457
@ramadhansembuche3457 6 жыл бұрын
Yupo sawa king anajitambua na jielewa maana wengine awajieliwi
@augustinopius2802
@augustinopius2802 6 жыл бұрын
mwanaume halisi anaejitambua Kama mm namkubari Sana king kiba
@selinalucus8318
@selinalucus8318 6 жыл бұрын
king kiba anajitambua 👑👑👑👑
@reginalaurent5175
@reginalaurent5175 6 жыл бұрын
Anijijuelewa hana tofaut na ben paul
@litmasnicko4344
@litmasnicko4344 6 жыл бұрын
haahahahaa aisee kweli habebeki
@mashallahoman6355
@mashallahoman6355 6 жыл бұрын
alima anajitabua sana kwani kujichora akuna mahana yoyote nibora hivio anapedeza atambere yamolawake
@aystv5998
@aystv5998 6 жыл бұрын
Ali Kiba yeye ni muislam. Anajitambua. Unaona hakutaka kuoa wenda uchi. Kujionesha kwenye mitamdao. Hata huyo zari hukaa uchi na huyo anaemuoneya wivu. M. Mungu akujalieni Ali Kiba msikilizane na mkeo mahasidi asiwasikilize. Wambea wasije kwako
@zuuchidy4858
@zuuchidy4858 6 жыл бұрын
Anajitambuwa kiba big up
@SumiTanzania-y5o
@SumiTanzania-y5o 22 күн бұрын
Kiba MashaAllah ❤❤❤
@salmaobed2708
@salmaobed2708 6 жыл бұрын
Kiba anijitambua !na wala sio ushamba! Washamba hao watoboa pua kama mabinti hawamwogopi hata mwenyezi MUNGU wao!😀😀😁
@mohamedrajabu524
@mohamedrajabu524 6 жыл бұрын
Jamaa namuelewa sana mwanaume kutoboa masikio napua una unajishusha hadhi nakushawishi ushoga kama kwetu Tanzania hakuna wanashawishiuje
@mohamedrajabumohamed2855
@mohamedrajabumohamed2855 6 жыл бұрын
Alikiba nimnya anajitambua nampenda Mimi kama shabikiyake mwanaume unatoboaje pua namasikio niku saport ushoga uje nakwetu kwamana hayo nimambo yawazungu
@yaksabdi5940
@yaksabdi5940 6 жыл бұрын
Anajitambua kwa vile yee ni 👑
@ahmeddarus8492
@ahmeddarus8492 6 жыл бұрын
Anajitambua sana tu... Huyo ndo msanii na pia mwanamme halisi
@TTG38
@TTG38 6 жыл бұрын
Ali ni mzuri tu sana ,hana kiherehere
@annajoseph6892
@annajoseph6892 6 жыл бұрын
Ni mtu ambae anajiheshim na kujitambua love king kiba
@malindoedwin2004
@malindoedwin2004 6 жыл бұрын
Bro anajielewa halafu xo kila msanii et ndo uvae helen or uchore tatoo nop
@hajumbambaraka4060
@hajumbambaraka4060 6 жыл бұрын
Anajielewa kiba
@christopherbona6407
@christopherbona6407 6 жыл бұрын
Ali ni kipenzi cha watu hawezi fanya ovyo ili ulimwengu uanze kumshangaaa.
@k5molisi913
@k5molisi913 6 жыл бұрын
Nisawa kuibadilisha samaki kuwa mujusi uwexi hata sikumoja
@mwandiadam5490
@mwandiadam5490 6 жыл бұрын
anaweza akawa #MSUYKA akifanya hayo jibu langu #TusiforceTufanane
@officialirfantz8745
@officialirfantz8745 6 жыл бұрын
Ally kiba anajitambua...... kuvaa heleni me naona kama ni ushamba tu au wanaiga kwa watu wengine lakini me namuomba aendelee hivyohivyo
@biusherrajab2055
@biusherrajab2055 6 жыл бұрын
Si ushamba yuwajielewaa alfu a true Muslim haifnyi ujinga huo...
@mohamedrajabumohamed2855
@mohamedrajabumohamed2855 6 жыл бұрын
Yanialikiba achatu nimotomwingine wengine wana igatu jaribu kumuuliza mtu heleni kwamwana ume zina saidia nn au mana yake hajui anaigatu
@mrmrs4762
@mrmrs4762 6 жыл бұрын
Anajitambua sana kaka yangu panda sana
@deusikingsoffswax3293
@deusikingsoffswax3293 6 жыл бұрын
Alikiba anaakili njingi ndo maana havay helen kwanza mimi siwapend wanaovaa helen
@christinamawanja6799
@christinamawanja6799 6 жыл бұрын
King Kiba anajielewa, anajitambua na anajua nn anafanya hakoseagi huyu m2.
@dativarutta4346
@dativarutta4346 6 жыл бұрын
nampenda sana jamani anajitambua
@misalabafaida3168
@misalabafaida3168 6 жыл бұрын
Ni kule kujitambua tu na sio kila kitu uige mambo mengine huwa Ni njinga * alikiba for real yaaaaaah*
@jumannemfaume1166
@jumannemfaume1166 6 жыл бұрын
Namkubali san kng kiba kwa7bu anajielewa
@zawadiannar4801
@zawadiannar4801 6 жыл бұрын
Ni mtu anajiamini aliy kiba hongeraa
@emeldajoseph9033
@emeldajoseph9033 6 жыл бұрын
big up san kibaa
@mochannel7876
@mochannel7876 6 жыл бұрын
Alli kiba nimtu anaejitambua
@assumanimlondani4182
@assumanimlondani4182 6 жыл бұрын
Alikiba ni mtu mwenye anajielewa, na kujitambuwa .
@dayanaally5385
@dayanaally5385 6 жыл бұрын
Alikiba kalelewa kimaadili Bwana hawezi kuweka upuuzi huo ila tu misema atoe hiyorang yanywele kwani hivohivo nanywele zake tunampenda
@marriammarango7532
@marriammarango7532 6 жыл бұрын
Alikiba kipenzi cha watu anajielewa sikama hao wengine malibukeni 2
@josephineconslater2198
@josephineconslater2198 6 жыл бұрын
Ali n MTU na heshima zake..na kuheshimu dini
@subiramwako4515
@subiramwako4515 6 жыл бұрын
alikiba anajitambua kwanza anajua maana ya kifo hakukurupuka na mambo ya dunia maana hata akifa leo huko msaf nampenda kiba
@rashidymateka7706
@rashidymateka7706 6 жыл бұрын
Anajitambua kuvaa heleni sio ustaa.
@elizabethwanyonyi5477
@elizabethwanyonyi5477 6 жыл бұрын
Alikiba ana heshima sake,
@zamzamhamisi7332
@zamzamhamisi7332 6 жыл бұрын
Uyo ndie king
@BigZhumbe
@BigZhumbe 6 жыл бұрын
Lakini anavaa magauni na vibukta km shoga..... kila mtu anajitambua kimtindo wako
@emanuelmhagama8193
@emanuelmhagama8193 6 жыл бұрын
sio kwamba hapend kuvaa heren na chen chen,, ni ubahili tu mwenzie diamond ananunua chen za mpaka za mil15, iyo kwa kiba bora akanunue mchele wa ndan
@MUJWAUORIGINAL
@MUJWAUORIGINAL 6 жыл бұрын
Ni Kwamba anajua maksudio ya kuumbwa kwake
@k.oman121khadijahassan4
@k.oman121khadijahassan4 6 жыл бұрын
Nampenda sana
@omaryhammad8243
@omaryhammad8243 6 жыл бұрын
motto Wa kiume uwaga anaga mapambo mwilini mapambo wanaho mama zetu
@abdulmshamu3738
@abdulmshamu3738 6 жыл бұрын
Alikiba anajitambua sio kama wasanii wengine akafu alikiba anajua dini
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 3,7 МЛН
KENYA :GEN Z WAAMKA TENA MAANDAMANO WAKIIMUHITAJI RAISI RUTO KUACHIA MADARAKA
8:41
Clam Vevo Atangaza Snake Boy Ep 33 Kufutika Akiwa Congo
2:25
Mtoa Taarifa
Рет қаралды 8 М.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 7 МЛН
The Match That Made Zinedine Zidane Retire
14:37
BR7 Football
Рет қаралды 1,8 МЛН
Ip Man 3 | Rescue Scene
9:46
Cinewatch
Рет қаралды 2,5 МЛН