Suluhisho ni wewe kuchukua ndugu zako nenda nao kwa Nabii au mtumishi wa Mungu akusaidie brother
@ahmedkitandu8403Ай бұрын
Mzaz n mtu mzma pia ndo mungu wa 2,ivo alisemalo Mzaz lipo,vijana wengi wanaingia tamaa ya kutafuta mafankio ya haraka ivo wanajikuta wanatafuta pesa kwa njia yeyote
@happynesssamwel4249Ай бұрын
Kwanza kusikia neno Nigeria😂😂😂tayar kabisa ww nimlemle alafu namna anavojib ,, mojakwamoja ni uhakika ,wamama wanaona mbali sana
@oscarmusa8522Ай бұрын
Huyu jamaa kweli freemasonry jinsi uwongeaji wake doesn’t make sense
@victorbenoАй бұрын
Mmmmh kweli hela zako ni halali Mungu akuzidishie ila kama zinamagumashi mmmh ngoja tuendelee kutazama.
@SaadiyaMohammad-og5bg20 күн бұрын
Huyo kaka hajasema ukweli mama anaonambali na amikuzaa huwezia mdanganya mungu awajalia mualiaania namother wako
@AllyMuyazАй бұрын
Huyu siyo Masson labda anavusha Unga kiaina katoboa ulikua na Dhmira nzuri ya kumuhendo Mzazi Mungu atakulipia InshaAllah ❤
@familykabange6328Ай бұрын
Man Freemason akubali Kama ni Freemason
@lelochuwa-fn6tcАй бұрын
To ukumbavu wako kwamba ww unamjua kuliko mamake
@elishaeamwa861Ай бұрын
uyu chui namnukuu 1 anamarafiki freemasoni wengiiii 2 freemasoni anaijuwa hawezi izungumzia leo 3 wewe ni frimasoni( yes or no) hatoi jibu 4 hasemi pesa kazipata wap miradi yake haisemi (kama anamiliki viwanda, hoteli,zoo magari ya abilia trekta ashamba si aseme atangaze pia miradi yake )
@Asha-s9u8pАй бұрын
Duniani hapa jamani Mama Martha analia mwanae hamsaidii chochote na huku mama chui anapewa gari anakataa sasa sijui
@maryr4033Ай бұрын
Huyu mama anajitambua sana@@Asha-s9u8p
@SarahNgwetaАй бұрын
Ndiyo hivyo mambo mchanganyiko,,, binadamu huwa haridhiki,, kila kitu anakitaka yeye, ukimnyima analalamika, ukimpa analalamika sasa sijui tuishije?
@HONGERAMLIGO-h3wАй бұрын
Ahahaha atar san
@Asha-s9u8pАй бұрын
@@SarahNgweta yaani hata mimi sijui binadamu tuko vipi
@ShamsiMbago-n2qАй бұрын
@@Asha-s9u8pmama alisema ndg zak wanatoka mi mate kwaiyo family inajua
@GodlistenJohn-c6gАй бұрын
Hii ni kiki ametafuta namna ya kutoka na amefanikiwa kwasababu mi binafsi nilikua simfahamu ila saiv nimemjua😮😮😮😮😮😮
@MoisesfranciscoCosme-g2oАй бұрын
Chui Tz sio wawili mupo watatu mwingine yupo Polini😂😂😂😂😂
@Olepachu1182Ай бұрын
Uko sahihi 😂😂😂😂😂😂
@JoramMalleyАй бұрын
Wa4 na @officialnai
@JackieMapenziАй бұрын
😂😂😂😂wee koma 😂😂
@ferrotechafricaltdАй бұрын
Ukiulizwa swali usipojibu ndio au hapana kiukweli jibu ni ndio
@iddikanjele2572Ай бұрын
Chui take it easy maana mama zetu wanaishi kwenye analojia Mimi nakupenda sana bloo! Also me nilijenga nyumba mama aliikataa binafsi tuliofanikiwa kutoka kwenye familia duni tunachukuliwa hivyo! My name is King iddirisa kutoka family duni tunachukuliwa vibaya aisee
@laurinfredАй бұрын
Fact bro
@NiceJoe-oq1bwАй бұрын
@@iddikanjele2572 pole sana
@Bongotrending_mediaАй бұрын
Dah Huyu Mwamba Anajikanyaga Sana Naamini Yupo Kwenye Chama 😢
@joelandekile3933Ай бұрын
D@@Bongotrending_media
@SparksGreyАй бұрын
Umeuona
@MarryCharles-k3dАй бұрын
@@Bongotrending_media Labda mshirikina 2, huyu elimu gani aliyona ya kuingia freemason...?!! Hv watu freemason wanaichukulia poa?!!!
@LeahMgunda-l8cАй бұрын
Inawezekana hana kawaida ya kumtunza mamake kiasi kwamba alishamkatia tamaa..Nenda kambembeleze mama yako.
@afisamipango005Ай бұрын
Huyu jamaa interviews zake nyingi huwa anajinyeanyea tu kila akiulizwa kuhusu freemason. Ila mi naungana na mama yake!!
@rajimuashirafa8265Ай бұрын
Tatizo ni tamaaa ya maisha ndio mnapata pesa kwa njia mkato mnoo ,,,mama ana haki kukataa jeneza hilo
@adamchigamba2862Ай бұрын
Kama mama hujamuelezea vizuri chanjo cha utajiri wako ana haki ya kuikataa maana vijana wengi tunapenda njia za mkato
@jumongjr5837Ай бұрын
Hizo lakini ni nyingi 😅😅😅 Wenye D mbili washaelewa😅😅😅
@dawsonkaijage6214Ай бұрын
Chui hayo ni mambo ya kawaida ila kuyaondoa inabidi uje twende nikuombee kuvunja hizo roho ili uwe na amani.Hayo yanaisha tu.
@innotv5514Ай бұрын
Ni swala la uelewa tu Mama kapangwa akatae gari Kisa kijana wake Huyu chui anataka azungumziwe maana anataka ajulikane zaid ya hapo alipo maan kuna watu hawamjui huyu mwamba
@FrancisNgomaitaraАй бұрын
Uyu jamaa maelekezo yake yanajichanganya ni kweli atakua freemason
@SparksGreyАй бұрын
Freemason huo ata Pete anaoooo
@MaseaKerryАй бұрын
Huyu sign alifanya mwanzo ilionyesha na maongezi yake yako na doubt....mama anajua mtoto wake na mapato yake sasa hii utajiri watu all of a sudden wako na tajiri no no no no no ...mama alikataa ju labda akichukua thats all,kuna wengi ukipokea zawadi ama pesa ndio basi
@MTOTOWAvitotoАй бұрын
Sio kweli hizo ni kiki bana,,mama na huyo jamaa wameyapanga tuu ili wapate trending lkn mwisho wa siku yote ni sawa
@RehemaMaseraАй бұрын
Pole sana ndiyo dunia.
@dasmileofficial9702Ай бұрын
Huyuu N nan mbna Mimi simjuii Chuii wawap huyuu😅😅😅😅
Naomba unipe mimi hilo gari na Mungu atakuongezea mengine mengi.
@AshaSangasanga-x7qАй бұрын
Kwa nn mwenyewe hujaeda
@tyronemofekeng7152Ай бұрын
Walilipqnga. Kwa nini uandae sherehe hadi waandishi wa habari kumpa mamaako gari. Na mtu uliemtuma pia aseme hakuelewi. Eti jumanne hufanyi kazi. Mmepanga tu kufosi kujulikana
@FrancisNgomaitaraАй бұрын
Huyu ni kwel freemason
@PatsonKYANDO-v5iАй бұрын
Kiufupi huyo ni kweli mama yake yuko sahihi
@CatherineAnthony-y3vАй бұрын
Nimekuelewa mchizi♥️
@mollelyally5213Ай бұрын
Mzazi sio mungu wa 2 acha kufuru
@JosephMasanja-wm5hbАй бұрын
@@mollelyally5213 wewe Waefeso 6:2-3 2 Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi, 3 Upate heri, ukae siku nyingi katika dunia.
@AllymzakiАй бұрын
Wew ndo unakufuru unambishia mungu? Baada ya mungu ni wazazi tatizo uwelewa.
@fridalyanguka1733Ай бұрын
Pole kaka usikate tamaa kaka wewe ni mtoto wa kiumbe kutawaliwa Kwa watu weusi ni shida wengi hawajiamini kama Kuna mafanikio.
@Riziki-m7uАй бұрын
zawadi hailazimishwi.. mwenyezi mungu ndio anajua kama amekushuku .. palipo na moshi pana moto..
@familykabange6328Ай бұрын
Uyu ni yeye
@Bilioneabichwa331Ай бұрын
Ukistaajabu ya martha mwaipaja utayaona ya tajir chui
@coldkiller-7Ай бұрын
Swali kwa mwenye akili jiulize wewe umemnunulia mama yako zawadi ya gari kwanini usimpelekee wewe hilo gari umpe mtu baki ampelekee mama yako na ni zawadi kubwa hiyo??? kwa waliosoma Cuba wameshajuwa,ni masharti hutakiwi upeleke wewe hiyo gari,mama yuko sahihi kukataa huenda ndio njia ya kumtoa kafara mama yako kwa ajali ya hiyohiyo gari mama kastukia issue ndiye mama yake anamjuwa vizuri mwanae na matendo yake si mnaona hata maelezo yake?
@salimmbilu4524Ай бұрын
Mbona jibu unajibu kwa hofu
@dostovan5142Ай бұрын
Wasani hawa aminiki, issue sio kufanyikiwa umefanyikiwa vipi
@chandamwilla-r3vАй бұрын
Ah jumba la B6
@HeriJaphet-y6hАй бұрын
KIKI TU HAPO ZIMETENGENEZWA. Kuna business inatengenezwa
@iddikanjele2572Ай бұрын
Chui wake up My bloo we love you
@sebastiajohn2013Ай бұрын
Ni tabia baadhi yetu kuuthamini umasikini usio na faida dhana za kipuuzi. Tujitahidi tukiwa masikini wote tutasaidiana vipi?
@edithmwasulama7005Ай бұрын
Kakubali maana ukiwa massonic na ukakataa ni kesi nyingine ni sawa na kumkana Yesu Mbona kakubali
@MwasitHassan-cv8umАй бұрын
Mbn kama .....see more
@CosmasJoseph-p1hАй бұрын
Really hustler tutamuelewa jamaa lkn watoto wa mama hawaezi elewa
@ShanelShanel-p8nАй бұрын
Me namuelewa watu tunatoka vijijini hatujasoma badae zali linakutokea lakini family bwan
@dorcaskarago2876Ай бұрын
😂😂😂😂 sorry wewe kaka Mungu anakupenda mamako anakuombea
@BagambiMukhtaaryАй бұрын
Wewe ni freemason
@mollelyally5213Ай бұрын
Hakuna cha nabii hata hao ni manabii wa uongo na yesu alitabiri watakuja manabii wa uongo
@iddikanjele2572Ай бұрын
Chui ❤I love you bloo
@deogratiashaule8958Ай бұрын
Kwa nini usiwakabidhi wazazi wako wote wawili wakiwa pamoja,? Kwa nini mama pekee.
@malkavoice2570Ай бұрын
Huyu kweli atakuwa anashiriki
@JustinJoseph-k2tАй бұрын
Mama yake ndo anamjua yeye si ndo aliyemlea mama yako asikujue kweli kuna kitu hapo
@Aziz-p6sАй бұрын
Starting la kwanza ilo limedunda😂😂
@JoyceFaustine-s1gАй бұрын
Majibu yake yanaeleweka mbona?
@JosephThomas-m7nАй бұрын
Kumbe ni ngosha 😮
@nyabahailani3169Ай бұрын
Akitaka kumtoa atamtao tu huyo mama mjingavsana
@EmmyBeauty-u8mАй бұрын
Afazali rayvani tumepata suruisho maana ilikuwa kila mtu chui
@Farajahelene23031Ай бұрын
Your mum she's don't want you to sacrifice her evil money smart mum
Huyu dogo nilianza kumuhukumu kwa kuhusu swwla la freemason kitambo!! Mshamba tu
@allymanyika3502Ай бұрын
Haya yanatokea sana kwenye hizi familia za kimasikini,nakushauri tu kijana we pambana lakini endelea kuwaheshimu hao ndugu zako na mamaako
@bensonmwananchi7701Ай бұрын
Kwan uyu msanii ni wa hapa bongo mbona simjui
@MaishaBabu-m2gАй бұрын
Atolee wapi Ela huyu chui mashavu yamemshuka kama kahaba ela hana natafta kujulikana
@KassimKhalaidАй бұрын
ulikosea bro ungekunywa plz
@diplomaticdiplomatic3931Ай бұрын
Tunda mani ludisha Gali la watu😅😅😅😅
@focusgasper4571Ай бұрын
Huyu nae akili yake kwa hivo yey alituma zawadi kwa mama watu wafanye sherehe lakin yey akiwa Lagos Mama kaupiga mwingii
@nassorali1034Ай бұрын
Huy ndie bwana kwanza majibu yk hayaeleweki
@Fathasssane-vs2thАй бұрын
Kiki hii hamna kitu chengine January hii tutaona mengi
@nassorali1034Ай бұрын
Uyo tyr keshajielezea km yupo uko uko
@RosemaryShilla-dr6kpАй бұрын
Usiogope. Nikweli familia maskini akifanikiwa moja anaambiwa keshakua mchawi. Ata namimi ilishanikuta nilipata ela nikenda kijijini nimjengee mama yangu atoke kwenye nyumba ya tope. Akakata nakusema nataka nimue
@BenedictaMagantgАй бұрын
Kabisa kabisa. Hii ndio inayorudisha nyuma maendeleo.
@CyprianTraiphonАй бұрын
Anaimba mziki gani
@Aziz-p6sАй бұрын
Ingekua mama dangote angelica nayo shaaa
@princessplatnum4416Ай бұрын
Sasa unaagiza gari kwann usipeleke boss
@salimmbilu4524Ай бұрын
Bora unywe sumu kuliko kumtoa mama wawatu kwakupenda vya bure
@Marry-u8mАй бұрын
Mimi nime mpeda sana huyo mama juu mzazi ana ona bali kuliko mtoto
@BenedictaMagantgАй бұрын
Hizo akili zenu za ushirikina zinarudisha nyuma maendeleo.
@@Marry-u8m wazazi wengi kama hujuwa tena wa kijijini wanaamini sana ushilikina me mwenyewe naelewa mtu anatafuta pesa ili ufulahishe family lakini mambo unayo yasikia
@PatsonKYANDO-v5iАй бұрын
Ni kweli mama yake yuko sahihi Sana,hata anavyoongea huyu mtoto unajua tu yuko upande Gani?
@Aziz-p6sАй бұрын
Mama mjanja hamkawiagi kuwatoa sadaka kudaadeki😂
@EdisonNelison-y9gАй бұрын
aaaa ko kakataa kabisa au unatafuta kiki ili ujulikane manaa umekuja ghafl tu
@Aziz-p6sАй бұрын
HELA UMETOA WAPI WEWWE
@KanisiusThomasАй бұрын
Jamaa kumbe anapata hela kwa u free mason❤
@mwakiosalim2914Ай бұрын
Kuvitatua n ukue maskini inamaana ndio watakua na amani....wafrica bwana
@yusuphmussa554Ай бұрын
Jaman kuweni makini na watu hawa ni matapeli hiii ni michezo ya kuigiza inakuwepo sana sema wameihamishia kwenye mitandaowote hao waigizaji kuna wajinga watajichanganya sana kuweni makini hawa ni matapeli matapeli matapeli
@HayuweMukumbuleАй бұрын
Apo mkononi ringi hilo majibu tosha
@hono1232Ай бұрын
Lakini zawadi ya mama yako tena kubea kama hiyo kwani umtume mtu akupelekee badala yake ulitskiwa uipeleke mwenyewe
@nassorali1034Ай бұрын
Kunywa hebu uyo mama anaumia kuliko wewe ndugu yngu
@Salimajafari-u3nАй бұрын
Chui aliekuwa anaongea na mama ni mwanamuziki wana jaribu kutulisha matango poli tunaijua hiyo alie peleka gari alikuwa meneja wake huyo kapangwa muhongo akitaka tuamini akutane na mama ndo ajibu maswali kama ni yeye
@salimmbilu4524Ай бұрын
Dogo mi mwenyew nawajua watu wanamna hii T shirt ulovaa shingoni ni alama ya freemason
@AndrewMajingwa-ln7oiАй бұрын
Maongezi yake tu yanamfunga
@RaheemaOm-d5eАй бұрын
Wenzako akina day mondi wameambiwa sana. Nawasihi ulikuwa basi nikweri wewe nifreemasoni
@nmconsultinggrouplimitedpr245Ай бұрын
Kama ni gari la kawaida,na ni zawadi ya kawaida why uumie kias cha kutaka kujiua??unaweza kuwa familia yenu mnakula mlo mmoja wa wasiwasi au hata pa kulala hapako poa,halafu uibuke na gari lazima ushtukiwe