ESHA buheti una pozi za kidamwani..(I like it) Yani unaonekana mwanamwali na pozi zako Mashallah
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Nampenda sana uyu Dada, Allah akulipe kher inshallah 🙏
@lovenessferdinand36642 жыл бұрын
NapenDa. AnavyoOngea 🥰
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
@@lovenessferdinand3664 Me too 💕
@familyc79172 жыл бұрын
KwangwaGod kzbin.info/www/bejne/jpWZeGuYab5knKs
@spreadlove53002 жыл бұрын
Mimi nilikuwa mjinga kama Esha nawapenda marafiki kama ndugu 😏😏😏 sasa nikaenda kuishi nchi za watu nimejifunza kupenda ndugu zangu na familia yangu marafiki baadaye.
@wozanawewoz9792 жыл бұрын
Nchi za watu zinatunyoosha na upole wetu wote unatuisha,, and 😄
@shakilakhamis21092 жыл бұрын
sahihi mnooo
@spreadlove53002 жыл бұрын
@@shakilakhamis2109 Halafu watu wanamnanga Eshe hawajui ukijitoa kwa mtu kwa moyo wa ♥ Halafu yeye anachukulia poa inauma na kukatisha tamaa
@lanafelix86492 жыл бұрын
King kiba hataki mazoea👑
@firstlady98482 жыл бұрын
Mbaya
@abdalmalikalhsani40802 жыл бұрын
Han lolot ujinga to
@Mariam-fm8vq Жыл бұрын
Ila pole sana 😢 😞 🙏 Esha Allah akupe nguvu
@sheryphamwenevalley61242 жыл бұрын
🤣🤣 huyu dada htr hebu mpe break Kiba. sitaki mwenziwe basi, angalia maisha yako
@omanphone34552 жыл бұрын
Masha allah masha allah masha allah
@leticiamadal21172 жыл бұрын
Uyu nae kila cku allykiba jaman 🤔 wooiii watu watakuchoka kheee Ally Ni staaa hapend shobo
@stuartkudeba2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/fKubloeZrZWKsNk
@evodiamathias25422 жыл бұрын
Poleee da esha, nmeumia ulivyosema mama alshakufa baba umjui, unakosa pakutolea ya moyo I uliyonayo poleee sana dadaangu
@Halal_akhy2 жыл бұрын
Dina umeongea point kabisa love 💘 without expectation .upo vizuri umeweza kusoma situation kwa haraka
@rubbymusa19712 жыл бұрын
Usilazimishe mtu akupende Esha, rafiki hatafutwi anakuja mwenyewe, tena mshukuru mungu hata usipokuwa na marafiki wengi, Ali Kiba achana nae wala usimzungumzie popote dada utaonekana kituko mbele za watu, muombe mwenyezi mungu akupe marafiki wema inawezekana tu, na usiweke kila kitu mitandaoni
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
@RubbyMusa Umesikiliza uhelewe au u-comment? #Esha anajua alipokosea na tayari amesema yote, atakayeendelea kumlaumu Ally hapa anachukizake bifsi..
@clementsemizigi71502 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hanifamajid69642 жыл бұрын
Dina jaribu kucontrol hiko kipindi,kelele za hao wenzio zimekuwa nyingi sana..japo unajitahidi sana kuwarudisha kwny mstari
@mysaramohamed48322 жыл бұрын
Esher ni kwanin unapenda kumuongelea Kiba hivi hujiulizi toka umeanza kumuongelea kwanin Kiba hakujibu?Unatuchosha mashabiki zako na unatukera cyo siri
@sifatrajab70552 жыл бұрын
Me navoona wanapanga na ally bwana ilituaongelewe
@fredrickmatiku77832 жыл бұрын
Huyu dada moyoni anampenda sana alikiba anatamani angemuoa sema anaogopa na alikiba sio hadhi yake anaona kuwa nae awe mke wake anamchukulia kama dada ake tu mshikaji rafiki mtu wa kawaida hana mahusiano naye hisia kimapenzi Ndio maana esha buheti kila wakati anamtaja alikiba
@babyhamisi14372 жыл бұрын
@@fredrickmatiku7783 inaweza kuwa ukweli labdha amekuwa na hisia na kiba, sijamsikia akimtaja mumewe wala kumsifia mumewe
@monicamwanjisi6932 жыл бұрын
Kuwa muwazi unachotaka Kwa kiba
@jastinimushi59922 жыл бұрын
Acha kihehere bana we tulia upike na kupakua sawa dada
@nairaboti31812 жыл бұрын
This is meeee....but sijuti...it comes bak in another way....Mungu hanitupi alhamdulilah
@salmaathuman91562 жыл бұрын
ESHA anaumia sana kuhusu alikiba yaan alimpenda alikiba lakini kiba anadharau sana
@haibahassan12442 жыл бұрын
Kwani Lazima jamani 😃🤣😂😂😂ana mkewe ali embu mumuache kaka wawatu
@Bintimrembo-y1v2 жыл бұрын
Ndio inakuwa hivyo
@LovelyRacingHelmet-iv6ti2 ай бұрын
Ali ni mkigomo OG, sio kwamba Ana tharau ndio necha ya waha
@nathaliashayo32892 жыл бұрын
Esha pole sana,ila hii dunia,huwezikutafuta kupenda nawatu ukapata amani ila utalipwa maumivu tuu,cha muhimu nikumpenda Mungu zaidi,ili naye akupende sanaaa,,ila upemdo kwa watu usiaçhe kuwapenda ila usitarajie upendo wake,ukijua hilo waweza kujifariji,kwa kuishi kwa furaha,na Mungu atakuwezesha kuyasahau machungu na kashfa upitiazo.Asante mim Natalie
@JosephMutambala2 ай бұрын
I love you Esha ,kama shabiki
@lanafelix86492 жыл бұрын
King kiba hana kiki
@baghat12lodi672 жыл бұрын
Jamani huyu dada anahistoriya kama yangu naomba namba zake jamani
@helenkambi39182 жыл бұрын
Asha usijali ni shaa Allah Allah ataleta kheir wewe bado ni family ya Ali Kiba
@veronicawilsonmbwambo1054 Жыл бұрын
Tende wema nenda zako, Mungu ana kulip Kwa sababu hayo maisha uliyo nayo ni Kwa sababu hayo unakutokea
@mkudemohammed13012 жыл бұрын
Basi esh msamehe king wetu kila siku unamzungumzia kiba mashabiki zake tupo ila sas tutakuchoka the only one king hana baya hapendagi shoboooo we zunguka kila siku kweny media tutakuchokaaaa?
@lanafelix86492 жыл бұрын
King kiba hataki kina kigagula na hujalikwa shilole
@jumakibe50322 жыл бұрын
Nakupenda Hesha
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
#Esha anajua alipokosea na tayari amesema yote, atakayeendelea kumlaumu Ally hapa, basi anachukizake binafsi... period
@azzamahamdu70392 жыл бұрын
Acha kumuongelea kiba.zungumzia family yko.au unamtakaaa?kiba wake amina..tatizo da esha ww mropokaji sana kijidomo kidogo afu maneno mengi kama dr kumbuka🤣🤣🤣.afu uko full stress maskn ustar kazi pole weeeh.ila ni mwanamke wa SHOKA.💟👌🙌unapiga kazi.ILA SWEBE🙌🤣🤣🤣ETI HYO SI MBEA
@safiyamohamudadan65262 жыл бұрын
wambea hawa yote hayo ni kutaka kumsema Ali kiba
@munaahmed84992 жыл бұрын
Umekosea kuongea ktk media kuw hujaalikwa ktk harus yake ukapewa orda unasema haji kula kwako yaan naropoka vitu vya private so ulitakiwa unde private sio media ndioman alikublock maan ukiwa una kitu ungemuuliza sio hivyo ww ndio umemosea ba Ally Kiba hapendi unafiki maisha yake
@leilaachmed92712 жыл бұрын
Kulalamika kila ukikutana na wandishi wa habari mara hajanialika mara kaniblok mara hanilipi bili za chakula huchoki kumkashifu kwanini usimwongele mume wako na biashara zako wewe sio mstarabu umetumwa
@babyhamisi14372 жыл бұрын
Umewaza kama mie ,analalamika hadi anachosha, sijawahi kuskia akimsifia mumewe wala kumuongelea
@rosetembe37852 жыл бұрын
Ebu mwacheni bas kiba,umeshakula block Nini Sasa,afu kiba akiwajibu mwalalama mwaka
@esthermwae99932 жыл бұрын
Huyu dada nampenda Sana Pia.
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Nyele 👌🏽
@yussufamour65672 жыл бұрын
Very funny Dr, kumbuka no one like u unakipaji ubarikiwe 🙏
@l.m.a.75702 жыл бұрын
Iam sure he is not the only one Who s blocked you lakini kwa kuwa ni ali imekuwa issue naona umetumwa nenda psychology wakusadie una matatizo ya mume wako kuzaa na rafiki yako
@justinenishimwe90772 жыл бұрын
Umeona dear eeeee nishida sana wanadamu
@susanejd77752 жыл бұрын
Umenena vyema mtu hulalamika kwa ajili ya mumewe lkn yy kila siku lawama za ali kwa kifupi anachosha. Dada mzuri lkn hajielewi masikini
@farahanafarer75882 жыл бұрын
Eshe umezidi acha hadithi za kiba kutwa kukicha unahadithi juu ya Kiba. Mwenzio ka kaa kimya bila hata kukutaja. Umezidi bi dada tulia dada. Sura ka ndimu
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Kaulizwa sasa afanyaje?
@spreadlove53002 жыл бұрын
@@saumusalimuhassan2499 Shangaa mtu kaulizwa na kajibu ila wanavopenda ku judge tayari yanawatoka utasema wamekamilika
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
@@spreadlove5300 Kwanza alisema hataki kuzungumzia hili, kalazimishwa, sasa afanyaje waja 🙌🏽
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
Huyu nae kila siku alikiba una lako mim kiba kama famili kwani famili mna watu wazima lazima uje kwenye media
@fatumakassim642 жыл бұрын
Apo sasa wanapenda kiki za kisenge
@ostakiambilinyi12702 жыл бұрын
Kumbuka mungu anakuona
@africatoday8612 жыл бұрын
Kumbuka kama mkoleza manenoo....mweeeeeeh mtu anaongea anadakwa .....jamani plz plzzzzzz....Kumbuka mxiiiiiuuuu
@saidmwinyi70622 жыл бұрын
Huyu anachoshaaa ingekuwa mimi mbona angejiulizia yy hebu na atulize mdomo kazi yake kusemaa tuuu ajifunze kunyamaza kama MARTHA MWAIPAJA
@noelasamugabo51352 жыл бұрын
Esha mimi nakupenda sana usiwaze kuishi mwenyewe tupo watu tunaokupenda
@pinkyg88612 жыл бұрын
Unatabasam zur dada yangu
@mandyuwimana77352 жыл бұрын
Uyu Esha yuko na tatizo zingine. Kisha anatembeleya jina ya KingKiba. King kisha vuka mpaka jamani.
@mishwanwanmish88032 жыл бұрын
Uyu nae nyanya rukia
@makambapromise34952 жыл бұрын
Kwl anachosha
@jumajay84962 жыл бұрын
Tatizo lako unamzungumzia mtu hadharani tena kwenye social media tv show thats not right kama muislamu ukihisi mtu kamekukosea onana nae face to face kuliko kumzungumzia mtu hadharani wakati hakuna solution zaidi ya kuwafaidisha na kujenga chuki na unae mzungumzia wakati HAJAKUKOSEA.
@jumakauga25922 жыл бұрын
Mi kiukweli da esha point zake kwa Kiba bado hazijanishika nikaelewa, maana sijawahi sikia Kiba wala familia ya Kiba ikimsema vibaya esha, sasa anaposema kwamba hana mazuri yanasemwa mabaya lini alisemwa? Au anaishi kwa maneno ya watu wa insta?
@chenterywanda89182 жыл бұрын
Unipendi......sinakaa mbali na wewe akinipenda Mama/ Baba inatosha
@Matiherbalist2 жыл бұрын
Kweli anapenda kulalamika kwa kila kitu .
@swidatyomar79632 жыл бұрын
uswebe na kumbuka nyamaza jamn tumsikilize eisha😄😄
@bettyrugemalila91852 жыл бұрын
Mi naona kilichomuudhi Kiba,ni kukimbilia kwenye media tena kwa adui yake kwenda kumcma,ungefikiria kwanza,ulikurupuka.
@lucycornel53072 жыл бұрын
Kumbuka na uyo mwenzake wanamautani too much adi wanaboaa..
Dada Eshaa hapo umefika.leo mbavu zangu mie huyu kiba achan nae dadaangu ananyodo yulee kama nin
@zainababdullsadik12472 жыл бұрын
Huwishi kulalamikaa au ashakurambaaa usituxhezee akili
@masterkeymuzik2 жыл бұрын
Kiba mpende mwenyewe
@fatmaabdallah77092 жыл бұрын
Makubwa unalazimisha upendwe?!
@OfficialA836402 жыл бұрын
Kumbuka nae punguza mdomo utaharibu kipindi mengine sio yakuropoka hovyo
@irankundasolange48222 жыл бұрын
Kwani analalamika je?waandishi ndo wanamuuliza sasa atakosa kuwajibu?acheni upovu
@cuteniluu66122 жыл бұрын
Huyu esha wallah najiona mimi ila nataman tungekua marafiki
@sophiabryson27352 жыл бұрын
💖
@rehemadaudi7422 жыл бұрын
Hao wakaka wanakera da
@chawahirelmymashlalltaabar49492 жыл бұрын
Yaani huyu dada unaongea hujibiwi duuh sister mind you business we are 2022 madam
@nurumbonde53412 жыл бұрын
yaan Kumbuka eti Swebe ntakupiiiga unavyoitamka sasa daaah hahahahahaaaa
@yasinta.murobi2 жыл бұрын
So sad kweki Mungu akikufanya daraja malipo yake ni kuchomwa miba yaani ndo kama mimi
@maakulat32922 жыл бұрын
Sure
@ambrosiamlinga84022 жыл бұрын
Yaani kipindi kizuri lakini makelele ya kuingiliana yamezidi, too many people talking at the same time
@justinenishimwe90772 жыл бұрын
Afu Esha kafanana NA jike chupa 😁😁😁dada mzuri saaana
@stuartkudeba2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/fKubloeZrZWKsNk
@kimcash30792 жыл бұрын
Dinner unanenepa sana pungua kidogo ubadili na style ya nywele
@agathakijalo1932 жыл бұрын
Mmeanza mwache ajinenepe khaaaa
@zaynabmwanjovu82772 жыл бұрын
@@agathakijalo193 atapasuka mwenzio wew🤣🤣🤣...dina wacloyds uku simuon kabisa wallah,,hawa wanaongea bila mpangilio
@asha.mwambamwamba17742 жыл бұрын
MTU mzima ivyooo
@cynthiam1842 жыл бұрын
Amefanana na fahyvanny
@bellaabu57262 жыл бұрын
Viumbe wa wili si wa kunyanyaswa... Yatima na mwanamke.
@norahazan7962 жыл бұрын
Hahahaaa et mama nibebe
@azzamahamdu70392 жыл бұрын
Dina na yule agrey shoga ni NDUGU?WANAFANANA
@annalubango98992 жыл бұрын
to much bd hajaenda clouds
@hellenbanda70892 жыл бұрын
😁😁😁
@naidasuleyman60052 жыл бұрын
Mhhh huyu kumbuka sijui maneno anayatoga wapi.pakti la chumvii lol
@lindambilinyi62532 жыл бұрын
Sema seba nae anakela bhna km lichiz kuharibu kipind tu mfyuuu,anajichekesha km mwanamke malaya kaona not😏😏
@donathasimon92922 жыл бұрын
🤣🤣🤣Ila swebe na kumbuka. Siwawezi😂😂
@chynabongoo4052 жыл бұрын
Kumbe wa 90 ni wadogo heeee maana tunambiwa tumezeeka wengne
@hakizimananuriat88982 жыл бұрын
Yani nimejua dunia niko mwenyew mwenye matatiz ayo kumb typo wengi Eeh mungu tujaze subr wenye mitiani kam ya daa Eshe
@clementsemizigi71502 жыл бұрын
Amin
@mariasilvana18572 жыл бұрын
Kwenye kila story kuna upande mbili wa story Kwa hiyo msemaji akiwa mmoja na mwingine hajaongea jua kuna kitu ktk hapo .
@yasodishonest97922 жыл бұрын
Swebe pole kumbuka anakuchimba jamani😂😂😂😂
@eugenentahomvukiye35392 жыл бұрын
Niko Kigali iyi Redio tuko pamojya
@saidmadizi91522 жыл бұрын
Shishi kwa mbali...
@khalidhamis58112 жыл бұрын
Watangazaji wetu wa kibongo nahis hawajui namna ya utangazaji kelele nyingi unaongea pumba tu sijui mnataaluma na utangazaji au laaaaa mpak huyo mnayemuoji anaona kelo hebu jilekebisheni bhna
@josephemmanuel3882 жыл бұрын
Baba levo uyo
@nishaabdula50152 жыл бұрын
Ivi kwann mm izi redio zingine uwa sizirewi yn azinamvuto km wasafi
@lindambilinyi62532 жыл бұрын
Ila dr kumbuka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣et Ana shapu km pakti ya chumvi
@neemakilingo82822 жыл бұрын
Mange alishasema Ali ukimdharau yy atakudharau Mara dufu!wewe uliona km unamkomoa kumsema vile kweny media ??Bora ukae kimya kwanza kuliko kila cku uwe unumuongea mtu Hana tym na wewe
@darlinmakuti52762 жыл бұрын
Nimemuonea huruma jamani
@shaurimfungoni17722 жыл бұрын
Usiuze pombe my lov u
@stuartkudeba2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/fKubloeZrZWKsNk
@farahanafarer75882 жыл бұрын
Huyo mume nadhani jina tu huna lolote jinga weqe sura kaaa….
@queenmilan20242 жыл бұрын
Kipindi che u kelele. Hasa huyo mweusi na mapengo kama nyani. Hajui kutangaza ANAROPOKA SANA sijui ni uzee?