Jamani Da salama siamini nilichoomba kimefanyika nakupendaje 💖💋uwiiiii hongera sana mpz hakuna kama ww in East Africa Mungu akusimamie..nampenda sana huyu Da Dina 😍💖❤
@CoachHafidh2 жыл бұрын
#Yahstonetown naomba mumlete stara thomas...naamini ana mingi ya kuuongelea huu mziki wetu na maisha yake kwa ujumla. Regards🙌🏾💛
@mapekhamis38822 жыл бұрын
daah umewaza mbaali ni kwl yule mdada kitamboo wamletee
@freewillmlay48222 жыл бұрын
Dada mlete Babalevo Ni “Chawa” but kwenye serious issues he’s so smart 🧠
@babyhamisi14372 жыл бұрын
Wallai watu walopitia maisha magumu ndio nahisi wana maendeleo sana na niwapiganaji wa maisha vizuri
@ballisticsound47962 жыл бұрын
THIS WAS GOOD AS USUAL....NEXT AJE STARA THOMAS BASI
@abdallahmassah17702 жыл бұрын
Madam salama. Nashauri interview ya Salama na Maulid kitenge
@ilovejesus93032 жыл бұрын
Ooh nliwatch part 1 nkisubiri part 2, kumbe leo dada Salama kabadilisha kidogo
@barakakusa76062 жыл бұрын
Marlaw tunaomba umlete Salama🙏🙏🙏
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Hasidi hana sababu 👌🏽👌🏽👌🏽
@Tatizofficial2 жыл бұрын
Next county wizzy,tuleteee yule boy
@tinomasangia55112 жыл бұрын
Yea hii n part I
@agathamatambula5382 жыл бұрын
Dinaa🔥🔥
@Tatizofficial2 жыл бұрын
Iam Dina,fAns
@tonystratony81312 жыл бұрын
Nice
@happinessjulius92302 жыл бұрын
Finally
@edwardmachaku16612 жыл бұрын
Hujambo! Hongera.
@salomewandya72572 жыл бұрын
Dah kweli mahasidi wanaanzia udogoni😄😄
@kambamazig020242 жыл бұрын
Your enemy does not need a reason to do bad things, ama adui huwa hana sababu ya kutaka kukutendea mabaya.
@muscatoman27662 жыл бұрын
Good
@niriacatering1722 жыл бұрын
Penda Sana salama na Dina Mungu awalinde
@rehemangonji5732 жыл бұрын
Yaan ya kwanza ni ya pili na ya pili ni ya kwanza😅😅😅
@achileusmulokozi49632 жыл бұрын
huyu dada jamani,nampenda mnoooooooo
@bish_daddiyao2 жыл бұрын
Salama Niletee Juma Nature Au a Upendi kumhojii
@TEDY-MTEMY246 ай бұрын
Kwanini aspende 😊
@Tatizofficial2 жыл бұрын
Huyu da Dina mmi nampenda namkubaliigi,nilikuwa nakushangaaa ukuwahi kumhoji Dina,Dina ni balaa
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
UMEKOSEA SALAM, hii ndo Part1, but umeadika part2, Na part 2 umesema Part1 Of course wakwanza mimi #1
@ramansitv32922 жыл бұрын
nilidhani hivyo pia lakini soma tittle vizuri mwenye kuwahi hakosi part 2
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
@@ramansitv3292 Smart,
@asterialucas46802 жыл бұрын
Nampenda sn Dina Marious
@sophiamfikwa73402 жыл бұрын
Live you dada Dina🥰
@tanzaniasafariadventure36352 жыл бұрын
Wap Salama na Fred Vunjabei
@seyyactor14182 жыл бұрын
Typing error Leo kwenye episode but 🔥🔥
@mkaapwekekariakoo64172 жыл бұрын
Soma virzuri kichwa cha habari... Wee ndo umetafsiri kimakosa... #MwemyeKuwahikakosiPart2
@monicajohn25152 жыл бұрын
Jamani napenda kicheko Cha salama dah
@shafee91282 жыл бұрын
Mtu mwenye kukufanyia hila au ubaya fulani huwa hana sababu za msingi kufanya hilo nalo fanya #salama
@simonlunyelekwe55202 жыл бұрын
Salama-Tuletee marlow 🇰🇪🇹🇿
@kakukili61732 жыл бұрын
Kweli kabisa marlaw
@fortunatanasuwa67892 жыл бұрын
Hapo kwenye kuishi na mahasidi kwa akili ndio shida, bora kumtema tu
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Awesome c Ya kukosa ii
@hendricksaugustine69672 жыл бұрын
hasidi hana sababu " mtu akitaka kukuletea jam anakuletea tu hatakama haujamkosea
@browngennestone59792 жыл бұрын
Next episode fred saganda atishe humu please
@aminasaid75182 жыл бұрын
❤️
@clackcharles42532 жыл бұрын
Hii ni part 1 salama
@babyhamisi14372 жыл бұрын
Mlete aunty sadaka twamuhitaji
@nicolenabintu25092 жыл бұрын
She’s goes 😍
@abdallahcooper31112 жыл бұрын
Either write She's gone or She goes, There's no She's goes in English!
@mkamajames27862 жыл бұрын
@@abdallahcooper3111 jamaa kwani lugha iyo yake au wee ndo unajua sana
@khamisidaimambelentakuchom103 Жыл бұрын
@@abdallahcooper3111 qqppp²q
@hosamhilary18772 жыл бұрын
Heey sorry, mme label hizi parts wrongly. Part 1 imekuwa as Part 2 and vice versa.
@Urapprox90212 жыл бұрын
Tuna miss interview yako na Millard ayo
@abdulraufmohammedsalum68062 жыл бұрын
Hasidi ni mtu ambae akiamua kukufanyia Ubaya sio lazm uwe umemkosea Hua anaamua tu kukufanyia Without any reason
@muna17442 жыл бұрын
Part 1 imeandikwa part 2 na part 2 imeandikwa part 1
@abdulhamis98252 жыл бұрын
Salama Tutafutie Na Watu Wa Football Sio Watu Walio Kwenye Media Tu
@Tatizofficial2 жыл бұрын
Salama mwambie Dina yeye kazaliwa Arusha,alafu hapendi kuleta mwanamke wa shoka kaskazinii,
@saidmaulid56092 жыл бұрын
Salama niaje nakuomba tulete juma nature
@mapekhamis38822 жыл бұрын
Bonge moja la interview c lakukosaaaa Nature km Nature
@abdulhamis98252 жыл бұрын
Dina Anazungumza Kiswahilin Kabsa Kwel EFM imekubadili Sana Tofaut Na Dina Yule Wa Clouds
@richardmkude91312 жыл бұрын
Hasidi hana sababu,mtu mwenye ubaya au akitaka kukufanyia ubaya anafanya bila hata ya kuwa na sababu
@aishaomarry69962 жыл бұрын
SALAMA m na Albart Chalamila tunamuomba
@ninjaisma79832 жыл бұрын
Tuletee Nikki mbishi pia tumsikie akijibu maswali yako yakijanja
@daudynaccer43132 жыл бұрын
kabisa mzee
@CoachHafidh2 жыл бұрын
Nakuunga mkono
@jumannehassan81312 жыл бұрын
Stamina na afande sele walete hapo sijawaona kwa kiti
@scholamwasi27822 жыл бұрын
Ya da dina toka umeanza kujipunguza mbona upungui we kula tu ndo mwili wako uwo
@jumannehassan81312 жыл бұрын
Stamina n afande sele walete bado sijawaona kwa kiti
@khadijahali48372 жыл бұрын
Hasidi ni mtu anakuharibia hk anajifanya anakuhurumia au anakupeti peti
@mapekhamis38822 жыл бұрын
Nizaid ya mchawiiii hasidi muharibu wamambo yaaani ktk watu nawachukia ni awa
@khadijahali48372 жыл бұрын
@@mapekhamis3882 yani hasidi na mnafiki wametofautiana kdg tuu
@happyswai82992 жыл бұрын
Kuna watu wana bahati
@mkaapwekekariakoo64172 жыл бұрын
"#TITLE" YA KWANZA ILIKUWA "#VERYPHILOSOPHICAL..." Laiti aliyefanya "#editing" angejua alichoondoa kilikuwa na thamani kubwa mmno.
@nickjuma39372 жыл бұрын
mbona husemi umesoma shule zipi majina yake!!
@idamtesigwa60022 жыл бұрын
Salama tuletee Max Rioba
@maiyanakupendanadayasanama70332 жыл бұрын
Nampenda sana dina mazungimzo yake na no mzuri sana
@mapekhamis38822 жыл бұрын
Yy na Salma Msangi co wakujishaushaua wako real kama ulikula dagaa sema kama ulitembea posta mpk temeke kwa miguu sema tu ni maisha yakawaida binaadam upitia nimependa walivojiachia kwa interview cjui ni kwavile wako ktk iyo section km Salama🙌