Kaba WEWE ni MTU nzuri sana HUNA chuki na wasanii wenzako HONGERA SANA kaka MWENYEZI MUNGU atakulia zaidi
@praizmwabukusi345215 күн бұрын
Apo kiba mm nimekukubar zaid bro, ww sio mnafiki bro kiba❤❤❤ Umeongea reality kumuhusu mond
@stevenemwakasimba-pt8er20 күн бұрын
Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi
@Rumbakweka12 күн бұрын
Sabb n kuwa na media
@shikuhata14 күн бұрын
Moja ya interview yenye majibu ya kisomi na heshma yake. Hongera sana King
@mariamnchimbi786618 күн бұрын
Karibu Tena Yanga Bro, Ulituchanganya sana kwenda Simba.
@user-habarinamichezo9 күн бұрын
😂😂😂unachangnywa na mtu alokuw humpi mia yko Pole xna
@user-qu4wz1wo2f17 күн бұрын
Simba nguvu moja❤
@judithtitomalyeta400019 күн бұрын
Safi kiba nakupendaga saaana una busara sana
@joycemmassi504620 күн бұрын
Utafika mbali sana Kiba karibu sana Yanga utapata follower wengi huku nyumbani kumenoga
@NelbatKasekwa20 күн бұрын
Alikiba wewe nimsani mkubwa na mkongwe na unabisara🎉🎉🎉
@EliusGamanywa14 күн бұрын
Aya bana mwanabisara😂
@EsterMbilo20 күн бұрын
king kiba salute kwako tusiwadiis value wasanii wetu
@dicksonjanuary126220 күн бұрын
Jielewa bro safi sana sema watangazaji wetu baazi yao wanafiki anataka umbea
Kichwa cha habari kingine na Maongezi ni mengine jaman
@EzekiaMichael-jn5np6 күн бұрын
Uko vizuri sana bro
@fredrickipembe818820 күн бұрын
Kiba sasa umekomaa safi sana dogo
@RashidiTwalibu14 күн бұрын
Oya dogo nakuku bali sana mungu akulinde na akupambanie sana
@NemesMasawe20 күн бұрын
Nice king kiba
@NeemaValentina18 күн бұрын
Asante kwa kjitambua
@habibukhatib26159 күн бұрын
Busara ndio nguvu ya majibu ya maswali yote hongera sana king 🤴 nakukubali sana
@Broken_Beats__239 күн бұрын
Huyu mtoto wa Iringa anapaswa apewe uwaziri kabisa kulingana na tasnia yake❤
@SukaDmGuy17 күн бұрын
Bro Kiba nikipewa uongozi mbinguni una nafasi yako kwa interview uliyoifanya umetisha sana
@user-ot5us9mz9w15 сағат бұрын
Ukweli sana Kiba ameeleza kitu kikubwa
@malikebumoshiselemani44019 күн бұрын
Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA
@cessianthony26447 күн бұрын
Kisa chama...kachoka kuugulia maumivu...😂😂😂😂 abaki huko huko
@IsackOppa5 күн бұрын
Kiba kiba kiba nmekuita mara 3 bro unajua sana.....big up bro! Ila kuhusu muandishi wa hii page mshenz kinoma unaandika heading tofaut na yaliyomo fala wew
@KondoNgoma20 күн бұрын
Utafika mbari sana
@masudiitembele703614 күн бұрын
mbona hamna sehemu alipo ongea kuhusu kuhamia yanga CHANNEL HII YA KISENGE ndio maana AYO anawacha mbali.
@sostenvictor476410 күн бұрын
Ni kwel media imezngua
@festokizinga-px2fn9 күн бұрын
Kichwa na content haviendani 😅
@yohanaeliazary69427 күн бұрын
Umeona mm nilikua nafatilia ilo neno wamejula mb za bule mbwa hawa
@gracekatawa19903 күн бұрын
😅😅😅😅ndo nashangaaaa hata mimi
@UpendoJackson-pf4kq7 күн бұрын
Nimekupenda sanaa
@rajabukamis941118 күн бұрын
Bro kiba kwa sasa upo vzr na umekuwa kimuziki
@thobiassamwel40779 күн бұрын
Ukiona mtu hana msimamo kwenye timu anayoshabikia basi hata maisha yake hayana msimamo😮
@Pachaboy-k2b18 күн бұрын
Safi Sana' mtuwa watuupovzuli nakukubali Sana hunabaya mdogowangu
@gastomponji4 күн бұрын
huo ndo usani bora kukubali anachofanya mwenzako❤❤❤❤
@tariknassoraucho58145 күн бұрын
Aloandika Caption n mas...ge
@SanuraMnaziru4 күн бұрын
Mmmmmmh jaman karibu sana yanga
@MituniIssa15 күн бұрын
Nyie ni wasenge kwann mnahusisha yanga na viroja vyenu nikipande gani alikiba alichoizungumzia yanga?
@ShabaniSelemani-k7n18 күн бұрын
Safi sana king kuludi yanga
@anithawidambe754320 күн бұрын
KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA
@kaluaabdallah65068 күн бұрын
Anafosi yanga day lazima aimbe yeye kama alivyoimba Simba Ili mradi tu sifa ziwe upande wake katika timu zote mbili
@MwilikwaNgongo17 күн бұрын
Wewe hunataka hama yangatena kwenda kumkomowa diamond alkiba wewe hahuna akili sawa
@glorysilayo10344 күн бұрын
Hata km mnataka viewers sio ushenz huo
@anithawidambe754320 күн бұрын
KIBA TUNAKUTEGEMEA SIMBA DAY. WEWENIMWAMBA
@ZachariaDottoz7 күн бұрын
nimesikiliza hadi mwisho sijaona alipo zungumzia mambo ya simba au yanga ila waandishi wa bongo khaa 😂😂😅
@winfredmasheyo247720 күн бұрын
Chaaaamaaaaaaa
@aminihamisi355113 күн бұрын
Sijasikia akisema kurudi yanga
@technology.050815 күн бұрын
Unamjua simba mnyama
@user-pc5uw7qo1x20 күн бұрын
Wamesha kushauli sasa usimponde chibu maana utakosa wateja wa kusikiliza radio yenu
@jeunajuatv8177 күн бұрын
Mnyama mnyama anaumwa anaupiga 😅😅
@NehemiaMagori12 күн бұрын
Dah kumbe shabik mandaz😅😅
@eliadausen302516 күн бұрын
Poa kaka karibu ila kiba naomba namba yako
@muthefuture4 күн бұрын
Siku akili zikikuludia kalibu tena Simba
@lucylameck45893 күн бұрын
Kule ulikuwa umeenda kujaribu naona umerudi nyumbani kumenoga
@Hellena-ds3bp19 күн бұрын
Broo haoo niwanafki wishing uwezavyo
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg20 күн бұрын
Bado Haji kurudi alikotoka
@alakomba683016 күн бұрын
Yaani kiba ujanja wote huo ulikuwa upande ule😢
@HusseinShuga-e3g17 күн бұрын
Acheni uongo wapi kasema amerud yanga?
@FerdinandCharles-ko7de15 күн бұрын
Ila media zingine ni zakisenge wap wameongelea yanga hiv mtakuja kukua lin
@FerdinandCharles-ko7de15 күн бұрын
Wajinga kumbe na ww umeona
@ancyblix9 күн бұрын
Kilichopo kwenye headline na content ya kwenye video haviendani kabisa channel ya hovyo hii
@AsiaKidunu-nm2ik17 күн бұрын
Ndumila kuwili 😂😂😮Ogmore ndiyo hiyo
@paulinakiria791811 күн бұрын
Ivi ameongelea wapi kuhusu kurudi yanga Fala nyinyi
@dicksonjanuary126220 күн бұрын
Kb anajielewa sana
@user-hw8bb9jo9j20 күн бұрын
Kwer kaka
@user-gf9uw1zz3d19 күн бұрын
Niandike Tanzania the best Kwan mm mwiz😂😂
@MirroAsinaly9 күн бұрын
Leo umeulizwa swali umejibu point mnah ulikuwa ni mtu wa mjungu tu
@HalimaMaulidi-sv7le16 күн бұрын
Ninavyomjua kiba anamsimamo xana hawez kurud utopolo
@zeddymourice424915 күн бұрын
Wewe wasema,kiba nimyanga yanga Toka makuzi yake Ila kwakua wewe upo ukolokoloni ndio unamsemea king
@CastorOmmy14 күн бұрын
Mbona sjaskia anaposema ameridi yanga
@dansimpasa744013 күн бұрын
Hata Mimi sijasikia
@dicksonjanuary126220 күн бұрын
Duuuuh
@amisamaurid188217 күн бұрын
Waandishi bana mnafeli xana kwahiyo ili muziki wa bongo ukue ni lazima uchezwe na wasanii wa nje kiba hamtomuweza kamwe
utoopolo wote ni washamba sana hata club yao wanaindesha kiuni kitapeli
@remidusmwanandenje-yy5gs20 күн бұрын
Yanga bingwa adi 230😁
@user-kr2qr8vx1x14 күн бұрын
Umetisha kiba wewe kiwango ulicho fikia mwanangu ni kikubwa sana sana ujui kifupi umefika mbali sana kimaendelo na upendo misifa.ninacho kushauri kama mama Yako..kama ulivyo sema hapo ni nyumbani jitaidi usiwe na kinyongo na mtu yoyote baba samee yote hili mungu aachilie baraka kwako..pambana na kazi Yako mwanangu Mimi mwenyewe nakupenda mwanangu Kwa maneno ya hekima na busara Kwa kibu mungu akubariki na kukufungulia milango ktk kazi.
@user-kr2qr8vx1x14 күн бұрын
Usijari watu wanasema nini..jari kesho mungu atanipa nini..tutayashindia hayo yote.