Alikiba nakupenda San majibu yako king upewe ulinzi wakutosha ❤❤❤❤❤❤❤❤
@khadija576111 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@JacksonRichard-bp7ex10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@khadijajuma627111 ай бұрын
Nimerudia alivyojibu kuhusu zuchu, Ali kiba is the best❤❤
@jackiemuthami172311 ай бұрын
Hapo kwa zuchu nimependa jibu lako👍
@jackisrael.I.B.E.X11 ай бұрын
It is the Yell for me🎉kuonesha kwamba huyo dada amehisi raha sana kumhoji Ali King ❤❤❤tangu enzi za Nakshi Mrembo Kiba ni Fire🔥🔥🔥😍
@jaymandy813611 ай бұрын
Leo ndo nimeamini wanaogombanishaga wasani ni ninyi waandishi wa habari yaani maswali yote yanayoulizwa nia kichochezi tu na ugombanishi . So sad
@mohammadoman896311 ай бұрын
Wajinga sana hawa wadishi
@adammlukago821611 ай бұрын
Uko sahihi kaka
@nehzreal744511 ай бұрын
Hawa watu wote wako kwa biashara elewa ivo wasanii nawaandishi wote wanatafta mashabiki ili kuimarisha biashara na kazi zao
@frankngoloka258911 ай бұрын
Waandishi wa wabongo wanapenda umbeya hawana jipya
@deomwaikeke88311 ай бұрын
Umesikiliza kama mimi, nimeamini hilo pia. Maswali ya uchochezi. Wnaacha maswali ya msingi....😂😂😂😂
@mikathedon11 ай бұрын
I like this dude he's so humble...mungu akulinde bro
@abuumohammed629210 ай бұрын
huyu anawivu sana
@nsabimanaabedi54111 ай бұрын
Hayo ndio majibu ya mtu mwenye akili .bila kejeli tena alikiba anajuwa kuzibiti maswali ya wandishi .Safi sana Ali K
@hassanihamadi314111 ай бұрын
zuchu namuheshimu sana.. that is nice👊
@shijandobehe495311 ай бұрын
nimeikubali hii ya zuchu kwamba unamweshim hutaongea chochote kumhusu i appreciate you king ki
@Zuulito11 ай бұрын
Huyo dada sijui wa media gani ana sauti nzuri MashaAllah
@clarangowi440211 ай бұрын
Hilo jibu la kiba linafurahisha sana jamani. Na nyie waandishi mungu anawaona😂😂😂😂😂❤❤❤❤
@jumakapilima729511 ай бұрын
Umeongea vizuri, ni waandishi Tu wanakuza Mambo,,,,,
@dockaridk11 ай бұрын
You're so mature kiba I wish ungeenda tu ,because you're the 🤴 king
@ghotmedia11 ай бұрын
Dah! Alikiba ana busara sana ,, wanajaribu kumgombanisha anaruka na Hana wasiwasi anavyojibu ase
@yasrikomba787411 ай бұрын
Uyo ndio king ilove you kiba❤❤❤
@kingevarist665311 ай бұрын
Heshima yako vidooooooo🔥🔥🔥
@vidovidox263211 ай бұрын
Asante sana
@collinsmudaida928311 ай бұрын
"Thanks king,we love you bro" ✍️👏✔️
@Samsonilaizer11 ай бұрын
King 🤴 👏👏
@JamilSalanga-bv9of11 ай бұрын
Yaaaan maswal yoote ni wasafi kwan hamnaga maambo mengine ya kuuliza 😂😂😂😂
@alihussein83211 ай бұрын
Waiting
@skeeteranderson37511 ай бұрын
Keeling huyu ni King eti acha ujinga ww kitajiri flaaani hivi I love that
@mrcaro414111 ай бұрын
Hi
@fiston-asifiwe11 ай бұрын
King
@clintonbosire11 ай бұрын
Kiba unanibamba leo❤❤
@james_officialtz88310 ай бұрын
Alikiba ni mtu na nusu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@farahali-xh4ej11 ай бұрын
The real king👑🇰🇪
@mayanzimipawa339711 ай бұрын
Alikiba ana akili sana. Anajibu kikubwa@Bif up King
@malichanda314611 ай бұрын
King 👑 saluti kwako
@user-uo6bo3ph6g11 ай бұрын
Ila kiba,et debe tupu😂😂😂😂😂😂
@justerkaregi804411 ай бұрын
Yani nimependa alikiba jameni ❤
@ChimamamermitaKatembo-vm8vt11 ай бұрын
💪💪💪❤️❤️❤️
@singidaone562811 ай бұрын
Ila kiba hua anazarau sana majibu yake tu jibu tosha
@flova702211 ай бұрын
Anajibu hivyo kwasababu wanamuuliz maswali ya kichonganishi. Hata ningekua mm Tena hapo ni kawajibu very wisely
@joycemageta487611 ай бұрын
Kiba ukimheshimu nae ana kuheshimu ❤❤❤❤ Nakupendea hapo tu bro
@iddimmbucwa361811 ай бұрын
King king nakukubali sana
@user-ig1ou8nr9p3 ай бұрын
Vile amesema Niko busy 👍👍👍👍👍👍👍
@rarkia745210 ай бұрын
King kiba nimeipenda hyo zuchu namuheshim sana..umeonesha uwanaume...mwanaume hashindan na mtt wa kike....jamn..nimekaelew hako
@bonfacebonafide722011 ай бұрын
King 🙌🏻❤
@kombakomba792210 ай бұрын
The king himself 😍😍😍😘😘
@user-zs7rw8rl8c6 ай бұрын
Nakupenda san king mwenyez mungu akuongozee
@salumhilary852611 ай бұрын
Safiiiii unajibiwa kama unavyoulizwa...hakuna kupindapinda..king
@bossmtoto13311 ай бұрын
Hapa kwenye kolaba kajibu vizuri 😅
@user-dw9ig4kb4f10 ай бұрын
safi broo alikiba ilanatamani ufanye corabo na diamond nitapenda
@johnbidya11911 ай бұрын
Kaka umekuja ku support au kuonesha una support.
@alloysiusngala127410 ай бұрын
dude got brains!!!
@paschaledward867010 ай бұрын
King ni king tu 👏 👏 👏
@BigirimanaSalum-xy6zg11 ай бұрын
Yani kiba kupndeza huwa ni vigum kwake
@magutadickson690011 ай бұрын
Jamani mond akusema vibaya mbona mnakuwa ivyo
@SaddamWakanai8 ай бұрын
❤
@davidmvile571611 ай бұрын
Ukiskia msanii mkubwa ndio huyo hana kelele za kubishana na kina zuchu yani Dah nakukubali sana kiba
@queenmollel673911 ай бұрын
😂😂😂😂😂Na hiyo kofia ya kapelo
@JemimaNyange-si8cr11 ай бұрын
Muongo
@leahzuu646811 ай бұрын
@@queenmollel6739😂😂😂😂nimejua kucheka wewe
@EmmanuelyMoshi10 ай бұрын
Alikiba nimoto namkubali Sana
@PROFESSORSHEDY11 ай бұрын
King kama king ❤❤❤
@mrh281211 ай бұрын
jamaaa ana zarau sana
@user-zs7rw8rl8c6 ай бұрын
❤❤❤❤
@honestakitomari704811 ай бұрын
Aisee umekomaa aka akili yako imepevuka sanaa.keep it up.umejibu kila kitu kikubwaaa😂😂😂😂
@TALLUBOY11 ай бұрын
Kaka umejibu vzr sanaaaa
@georgesbkalumbigbk45811 ай бұрын
Nice
@mjungatv817211 ай бұрын
Kiba Ndimu😄
@shangwefisima399311 ай бұрын
Mimi ni Team Mond lkn nampenda sana King Kiba anaakili mno
@haidarybrown42711 ай бұрын
Okay
@Memphisblue2282211 ай бұрын
Honestly AYO TV ni DIAMOND PLATNUMZ HATERS ...
@HidayaKarim-wy9yc11 ай бұрын
Yebaba 🔥
@user-zk3qz5lb4q10 ай бұрын
❤❤❤
@geeva9911 ай бұрын
Akili za hawa waandishi zina sensor kuliko hizo mic 😂😂😂
@fiston-asifiwe11 ай бұрын
Uyu naye ndo maneno gani eti debe tupu😅😅
@user-xt2kq1ot6n5 ай бұрын
good
@user-zk3qz5lb4q10 ай бұрын
Nakupenda sana kwa majib mazur umeonesha upendo mkubwa
@kimwanahamisi855111 ай бұрын
Niko bize na shughuli zangu 👏
@bminawandu11 ай бұрын
Nynyi wahandishi wa bongo viazi Amna maswali ya maana kumuliza kifupi amjielewi
@yhasintakalenyula97011 ай бұрын
Ehhhh...Waandishi wa habari jamani,mbona wagombanishi Sana🙌🙌🙌
@aliiseif387511 ай бұрын
Kwa jinsi Ali Kiba alivyo muongelea Zuchu inaonesha ni jinsi gani ana heshima na wanawake we like kama umeona kama mm
@munashabani11 ай бұрын
Sasa Mimi napenda Ali kiba wa ivi yupo sawa kabisa
@hemednassor456011 ай бұрын
Kwa mr blue hajenda kuma tu uyo
@AlexGwambie-xr2hm11 ай бұрын
Alikiba akir kotentena nguvu kisoda nakukubali kinomanoma huna mkuu bro🙏🙏
@JeremiahMyrosse-qb1yj11 ай бұрын
Big up king 🤴 Achana na wanazi kina mama hao pambana mzee ✌️
@PROFESSORSHEDY11 ай бұрын
Yaap yaap❤❤❤
@mohamedally12111 ай бұрын
Ila alikiba daaah
@user-vb9fz1nc7l11 ай бұрын
Kaka nakupenda San nafulah kusikia mamanen yak hay kuhus huy ndg yet
@abuumohammed629210 ай бұрын
ALIKIBA NI MTU NAUGUA WIVU YAANI ANMUONEA DIAMOND WIVU vile amefanya mambo mengi ambayo yeye hajafanya NAWIVU SANA
@missmwayway470411 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Alikiba bhana
@oscaroscar255511 ай бұрын
Alikiba hana mbamba mba sema w Vido vidox unatafta ugomvi
@keynaasumani8710 ай бұрын
Nakupenda kiba uyo zuchu tumuace njisi alivyo hhhhhhhh
@jescaenock-lg4ch10 ай бұрын
good sanah broo
@Sayujibamaige-kt7ik10 ай бұрын
Waoooo nimependa sana😃😃😃
@jescaenock-lg4ch10 ай бұрын
worry out
@mohdkhalifa882811 ай бұрын
Mm ndomana NAMPENDA KIBA SAABAB MUELLEWA NA MSTAARAB
@eliudimfilima806411 ай бұрын
King Simba Mnyama🦁
@ameirameir493011 ай бұрын
Waandishi hovyo kabisa maswali yao hayaoneshi dhamira wala nia ya kuukuza mziki ni uchochezi na majungu na kufuatilia maisha ya private ya msanii utarajie kupata majibu mazuri kweli???? Badilikeni waandishi hii ni aibu
@vidovidox263211 ай бұрын
Wewe Ndio Hovyo Sasa…
@isayamgeni357211 ай бұрын
@@vidovidox2632...kaka Fido ..ushaul wangu akil yako naiamin mno.chonde usiludie maswal ya hovyo...hAyo so sainz yako unatuonea mashabik nzako..samani kaka Kama nimekukwanza
@Malvo_Boy10 ай бұрын
Naitaji saport zenu
@josephatmashaury687311 ай бұрын
😮kiba anaonyesha ana kihoro ana roho mbaya ka limyama poli lisilo na ubinadan nahapa kama hajamgusia diamond hakuna wimbo unaweza trend kwa two weeks na hawezi acha beef kwa sababu atakosa kiki nampenda xana kiba ila namshaur abadilike awe mbunifu istoshe ni m2 wa dini wanatufunza nn sis tunaowatazama😢😢😢😢 mond nakupa maua yako🎉🎉🎉
@leahzuu646811 ай бұрын
Meona eee chuki Sana na ataishia ivyoivyo
@taseleli918111 ай бұрын
Sasa hapo kajibu nini kibaya mpaka uongeee hayo yote acha chuki binafsi Kwa Kiba
@queensalema526211 ай бұрын
@@taseleli9181nashangaa,et anamshaur kiba😅wakat Kiba kamzid Kila kitu
@joetchatv145311 ай бұрын
@@leahzuu6468ww ni team mond Baki hukohuko
@KassimAlly-xp4dz11 ай бұрын
Usichukulie mambo personal sn ao wote wanajuana sn sn bifu zao zinasaidia Taifa hili na ndiomana wamewasahaulisha kuhusu bandari huoni akili nyingi wanaotumia vijana ao
@Mohaa430911 ай бұрын
Duh waandishi wa habari wallah😂 kiba et sasa mm ndo niwabariki tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@francisconaini175610 ай бұрын
Mmmh king hatoboi kimataifa🤣🤣
@user-do3uq1zt7f6 ай бұрын
King kafanana na air tz Manula
@LimbuShimba8 ай бұрын
Alikiba ni msanii wa kuigwa
@dicksonmutua103410 ай бұрын
King Kiba 👑
@Zeelao11 ай бұрын
Yeye siyomtu wakubaliki NYIMBO 😂😂 Kiba bhn
@alcadoathumani995710 ай бұрын
Mwambaaaa hakose majibu yake ❤❤❤❤
@BigjayBonar11 ай бұрын
Kazee kazima ovyoo kanaroho mbaya sana toka muujana wake🤣🤣
@olomiBeboy11 ай бұрын
waandishi wa media ndoo mnaforce bfu za wasanii ziendelee
@PrincessHellen-pg1oy10 ай бұрын
King kiba
@ElenaJackison11 ай бұрын
Yuko sawah ata diamond ni muongo tu kama kweli astuambie sisi wataftane wakae chini kama ana nia njia ziko wazi sio kuja huku haileti maana
@mrben22711 ай бұрын
Sio tu ni muongo kk ni mnafiki kabisa 😢akisimama mbele ya camera ana maneno matamu sana ila behind the camera ni MNAFIKI
@leahzuu646811 ай бұрын
@@mrben227wabongo alikunafkia nn😂😂
@edwardasumwisye301011 ай бұрын
Sema Kiba ni Mjivuni sana... Mijitu ya Kigoma haipendani
@leahzuu646811 ай бұрын
Yuko na muhaho😂😂
@shaurichapote113810 ай бұрын
Huyo siyo wakigoma mzee fuatilia vizuri
@KylianMbappe-skills11 ай бұрын
Njoo utumbuize kwenye show
@laurentwilson-db4ir11 ай бұрын
Millard ayo waandishi wana kelele mi sijapenda😮😮 kama una mkubali King 👑 gonga like apa na kama wamkubali Millard Ayo gonga like kubwaaaaaa🎉🎉🎉
@Wanaharakati11 ай бұрын
Diamond us the best 👇👇👇 kzbin.info/www/bejne/aHLTp595Zq6ZZ8U