ALILOLIFANYA..! IBRAHIM TRAORE AMBALO LINAWAPASUA VICHWA KINA ELON MUSK | AZINDUA GARI YA UMEME 100%

  Рет қаралды 21,465

wispoti tv

wispoti tv

Күн бұрын

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Пікірлер: 69
@valenakomba7686
@valenakomba7686 11 сағат бұрын
THE LION OF AFRICA. PRESIDENT TRAORE IBRAHIM.🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@bezalelmbijima8182
@bezalelmbijima8182 Күн бұрын
Majeshi yetu yajengewe uwezo. Majeshi yana wabunifu wengi sana wapewe uwezo watatuletea matokeo chanya. Badala ya kufikiria waarabu, China na Wanzungu. Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 Mungu bariki wabunifu wetu Tanzania. MUNGU IBARIKI AFRICA
@LizaniaGerson
@LizaniaGerson Күн бұрын
Ahsante mwanangu ibrahimu ubarikiwe ubunifu ndio silaha kuu
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 2 күн бұрын
Hongera sana mwamba
@saidikingolowine-yo2xi
@saidikingolowine-yo2xi Күн бұрын
❤ thanks my young brother ,all African people, we proud with you, thanks alot
@MuasaumAbdsllel
@MuasaumAbdsllel Күн бұрын
Hongera sana
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 Күн бұрын
Mungu akulinde President Ibrahim Traore anaiinua Africa ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SylvesterMakenzie
@SylvesterMakenzie Күн бұрын
Mungu alitupa rais mwenye maono akapigwa vita kila kona ya dunia mwisho wakamuua kabisa mwamba magufuri mm ninaimani kabisa haya tunayoyaona leo brikinafaso Tanzania tungelikuwa mbali sana chini ya magufuri daa inauma sana
@Worldunite
@Worldunite Күн бұрын
Hakika ndugu yangu 100%
@mohamedmillanzi9070
@mohamedmillanzi9070 Күн бұрын
Wakwako hakua na maono kama huyu dogo.huu ni mwaka wa tano tayari bukinabe hawana deni . Sasa wanagari za kisasa za umeme.
@mohamedzambo1511
@mohamedzambo1511 Күн бұрын
MAGUFURI!!!!! MAGUFURI😜😜😜😜😜MAGUFURI 100% INAUMAAAA😂😂😂😂😂.
@Worldunite
@Worldunite Күн бұрын
@mohamedmillanzi9070 wewe una maono???
@komboruga4271
@komboruga4271 Күн бұрын
Umenena
@nevilymakyao4769
@nevilymakyao4769 7 сағат бұрын
Mwamba huyu apa 🎉❤❤
@MwanjabMbarak
@MwanjabMbarak 12 сағат бұрын
Mashaallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Irene-rt4bf
@Irene-rt4bf 25 минут бұрын
Barikiwa kijana elimisha raisi wetu ruto nae
@edgarcharles825
@edgarcharles825 Күн бұрын
Sisi waafrika tuna tabia yakupondana ndiyo inayotutafuna asante mkuu kwa kutuheshimisha na bado tupige vita hawa viongozi vibaraka wa mabeberu ukitengeneza gar wanakuweka jera
@idrissahaji
@idrissahaji Күн бұрын
Ni mfano mzuri wa kuigwa na nchi zote za Afrika, wazungu wazuri kwetu ni wale wanaotuwezesha kujitegemea
@HusseinHassan-p7g
@HusseinHassan-p7g Күн бұрын
Nampenda taure sana
@muhammadmpahi338
@muhammadmpahi338 10 сағат бұрын
Achana na hiyo ya kitoto, kuna mwamba mmoja wa zimbabwe kabuni ya kwake haitumii umeme wa kuchaji wala mafuta wala ges. Ngoma inatumia mawimbi ya redio. Yan wazungu wanateseka nae hawaelewi kitu
@Johnmalekela
@Johnmalekela Күн бұрын
Hatar sana,kwa mabeberu
@Moses-yw5mb
@Moses-yw5mb 12 сағат бұрын
Uchumi wa africa unahitaji kushikwa na majeshi lazima viongozi wa kiraia wapinduliwe hawana jipya wao ni vibaraka wa ulay
@wilsonmsenga6447
@wilsonmsenga6447 2 күн бұрын
Huyu ni mwamba, Mungu sana huyu raisi
@IvanKambindu
@IvanKambindu 2 күн бұрын
Unamwitaje Mungu binadamu Acha upuuzi huo
@NassoroNassoro-w3n
@NassoroNassoro-w3n Күн бұрын
Usimwite binaadamu Mungu mbona hamjielewi nyinyi? Mpuuzi mkubwa wewe
@JumaMkuchika-c8k
@JumaMkuchika-c8k Күн бұрын
Unamwitaje binadamu mwenzako mungu hana hiyo sifa
@buyambakassaja-wn2rt
@buyambakassaja-wn2rt Күн бұрын
Hujielewi wewe, shtuka isije kugharimu.
@HusseinIbrahim-f5y
@HusseinIbrahim-f5y Күн бұрын
Haifai kumuita mwanadamu Mungu hata Issa bin marium (Yesu)Sio Mungu Wala mwana Wa Mungu kwahiyo jiepushe Na Hilo kama haufamu Ni kukufuru huko
@davismuzahula907
@davismuzahula907 2 күн бұрын
Wengine wameamua kuwa machawa
@hassanibakari9667
@hassanibakari9667 Күн бұрын
Afrika oyeeeeèe buknafaso ayeeeee. Inshalla sasa buknafasa ndio kiyoo cha afrika.
@allykwaya
@allykwaya Күн бұрын
Hapa ni hatua moja ya kufanikiwa kwa mwafrika
@johnnkelebe7360
@johnnkelebe7360 Күн бұрын
Anaiheshimisha nchi yake.
@DaMaua-i7l
@DaMaua-i7l Күн бұрын
Tuhache Traoré ku na Zimbabwe ametowa yakutumika na fréquence aa radio
@ramadhaniomary9241
@ramadhaniomary9241 Күн бұрын
Sisi mpaka leo tunajifunza mbu ana miguu mingapi
@mustafamichenje7020
@mustafamichenje7020 Күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@abdulhamidhaji5056
@abdulhamidhaji5056 Күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Dah ! Rama umenifanya nicheke kwa sauti !! 😂😂😂😂😂😂😂 Eti tunajifunza mbu !!!
@obadiaedward1127
@obadiaedward1127 Күн бұрын
Yan kuna kitu cha kujifunza. Tz sijui lini tutafanya vya kwetu.
@DaMaua-i7l
@DaMaua-i7l Күн бұрын
🎉🎉🎉heli yeye anaoncha faida yakuua na wurusi ao wazungu wamesaidia nini we ukionecha technologie unauawa
@ramadhaniomary9241
@ramadhaniomary9241 Күн бұрын
Asheri sisi muda wote tunabishania mpira lakini tutaamka tu si unaona misada hiyo😂😂😂
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Күн бұрын
Mwamba Traore
@babarungurallyteam2754
@babarungurallyteam2754 Күн бұрын
👍👍👍🤝🇹🇿
@uleditpmrisho7034
@uleditpmrisho7034 Күн бұрын
Kwani wazungu wame zaliwa n'a wakina Nani n'a Sisi n'a wakina Nani. Pale tuta shindwa kuji endesha n'a kufanya mambo mazuri duniani ?
@Worldunite
@Worldunite Күн бұрын
Elon Musk asitubabaishe, sie tunao uwezo wa kila kitu, tuwaondoe tu viongozi vibaraka na manyang'au tu afrika
@PascalMsafiri-x1f
@PascalMsafiri-x1f 2 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@DesireDora-k5q
@DesireDora-k5q Күн бұрын
😂😂😂 African hoooooyeeeee 😂😂😂 nasikiya farajabkubwq sana moyoni ayiseee MUNGU atusaidie weusi 😂
@JacksonYohana-b1q
@JacksonYohana-b1q Күн бұрын
hongera sana shingap kwa fedha za kitanzania
@donkaloza6985
@donkaloza6985 Күн бұрын
KWELI HII ITAUA😂😂😂
@ZainaBu-zs6wc
@ZainaBu-zs6wc Күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@FortyEightCoffee
@FortyEightCoffee Күн бұрын
Itauwa😂
@SanguloRaahoo
@SanguloRaahoo Күн бұрын
Anasaidiwa na urusi technology
@edgarcharles825
@edgarcharles825 Күн бұрын
Na. Ww Katiwe na mrus uwe maarufu umbea tu wa kijinga mwanaume kama mwanamke
@AbdulAbdulrahman-u7n
@AbdulAbdulrahman-u7n Күн бұрын
Mungu amrehemu Mwalimu wangu alisema mkitaka kuendelea wakataeni wazungu tu msiwategemee kwa chochote jitegemeeni yeye allikuwa kapteni wa Meli bahari kwa uchungu hakupeleka watoto wake shule akisema watakuwa wajinga akili zitalazwa nikweli watoto wake wanauwezo mzuri sana maisha yao maxuri kweli
@Filbert-pe2xm
@Filbert-pe2xm Күн бұрын
Ndiyo anasaidiwa lakini isue ni kwamba unaposaidiwa teknolojia ni nzuri maana tutabaki na maarifa kuliko kuuziwa magari ambayo baadayo hayaingizii nchi yetu pesa za kigeni na tukiwekewa vikwazo tunaanza kuhaha
@AsheriChonya
@AsheriChonya Күн бұрын
mrusi akiwa na ww kwann ushindwe???,, Putin ameamua kuwaonesha Hawa viongozi wa vibaraka wa magharibi nn maana ya ujamaa na kujitegemea,,cheki dogo anavo tusua saiv,,kimchezo mchezo TU,,utashangaa baada ya miaka kadhaa watu wanaoenda kuomba msaada Burkina Faso,,
@malkiarosemuhando3310
@malkiarosemuhando3310 Күн бұрын
Watu wengine Bwana kiwango finyu Cha Kufikiria, shame on you
@MathewMwamgunda-e8n
@MathewMwamgunda-e8n 14 сағат бұрын
Marais waafrika wangeungan na uyuu jamaa wazungu Kam akina trump wasingekua na nguvuu ya kuongea utumbo
@OmaryBhabhaza-w2n
@OmaryBhabhaza-w2n Күн бұрын
May God protect these president for many years
@AsheriChonya
@AsheriChonya Күн бұрын
Putin ameamua kuwaonesha Hawa viongozi wetu vibaraka wa magharibi nn maana ya ujamaa na kujitegemea cheki dogo anavo tusua saiv,, kimchezo mchezo TU utashangaa baada ya miaka kadhaa watu wanaoenda kuomba msaada Burkina Faso
@josepheriah5977
@josepheriah5977 2 күн бұрын
Saf
@AsheriChonya
@AsheriChonya Күн бұрын
kumbe huyu traore aliwazarau TU wale viongozi wa nishati pale dar,,aliona Hawa wazee wapiga stor za kijinga zisizo na utekelezaj watampotezea muda,,baba traore wafundishe basi wanajeshi wetu namna ya kufanya kazi,,tunatamanu maendeleo,mpemba anatukawiza
@AlexMnane
@AlexMnane Күн бұрын
Unapoteana kifira jitathimini ktk comment zako
@Ellyjero
@Ellyjero Күн бұрын
Wapunguze pombe😊
@Moses-yw5mb
@Moses-yw5mb 12 сағат бұрын
Uchumi wa africa unahitaji kushikwa na majeshi lazima viongozi wa kiraia wapinduliwe hawana jipya wao ni vibaraka wa ulay
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
TRAORE NA ZIMBAMBWE WAMETENGENEZA MAGARI HAYATUMII MAFUTA BALI MAWIMBI YA RADIO
11:13
The Story Book : Usiyoyajua Kuhusu Jua
26:54
Wasafi Media
Рет қаралды 1 МЛН
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН