Alimanusura Makabidhiano Mali za KKKT Konde yaingie Dosari Dkt Mwaikali akabidhi magari 10

  Рет қаралды 32,099

MbeyaYetuOnlineTV

MbeyaYetuOnlineTV

Күн бұрын

Пікірлер: 99
@luganojimmymwakalinga5392
@luganojimmymwakalinga5392 2 жыл бұрын
Afande nimekusikia,Mungu akubariki sana,cha ajabu tu ni kuonyesha wazi kwamba tunaongozwa na viongozi wanaojiita wa kiroho vipofu tena vipofu kweli kweli,ushauri kwa wote waliohusika na mgogoro huu,waanze na toba kama neno la Bwana lisemavyo, tubuni basi mrejee ili dhambi zenu zifutwe zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana.msije mkashupaza shingo wote mliohusika na mgogoro huu tubuni kwa toba ya kweli na Bwana YESU atawasamehe,lakini msipo tubu,neno la Mungu ktk mithali 29:1 linasema, aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika ghafla wala hapati dawa.
@ezbonkashaga7035
@ezbonkashaga7035 Жыл бұрын
Asante Afande
@ellyjacob9897
@ellyjacob9897 2 жыл бұрын
Huyu polisi aise yuko vizuri sana aise 🙏🙏🙏
@zenachungu3209
@zenachungu3209 2 жыл бұрын
Duuu pole baba yangu Mwaikali
@sophiajonas3459
@sophiajonas3459 2 жыл бұрын
Hapo kuna Mungu kweli
@neemaevance80
@neemaevance80 2 жыл бұрын
Ahsante mungu ahsante Rps kwa kazi mzuri mungu akukumbuke kwa kumtunza Amani ya mkoa wetu
@faridampogolo2973
@faridampogolo2973 2 жыл бұрын
Kweli MUNGU atusaidie maana shina la uharibifu limesimama patakatifu. Wakristo tuendelee kuyaombea makanisa yetu ili MUNGU ashuke na kuponya
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 жыл бұрын
AIBU
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 жыл бұрын
Wamejaaa tamaaa tuu kkkkk wotea hawako kwajili ya mungu
@tumainimwakyaka2775
@tumainimwakyaka2775 2 жыл бұрын
Babayng askofu Peter Mwakyolile alikuwa&hekima ya KIMUNGU uzidi kubarikiwa Baba Mwakyolile jaman Mwaikali cjui nn kimempata rohon mwake had awatenganishe wana KKKT wkt hatujawahi kuwa&ugomvi ndani ya kanisa letu we Mwaikali unamatatizo gan?
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 2 жыл бұрын
Mlimnyanyasa na kumdhalilisha mpakwa mafuta wa BWANA Askofu Mwaikali Kwa ajili ya Mali. Subirini ghadhabu ya MUNGU.
@carolinesandi6248
@carolinesandi6248 2 жыл бұрын
Huyo Askari kaongea vizuri mnajidhalilsha kwa kweli Mungu hapendi hayo mambo
@jacklinmrutu338
@jacklinmrutu338 2 жыл бұрын
MUNGU MUNGU akutie nguvu bb yangu Mwaikali
@tumainimwakyaka2775
@tumainimwakyaka2775 2 жыл бұрын
Jeshi la police MUNGU awabarik sna nimemsikia askari mmoja kasema nao wanasali nimependa kauli hiyo kwan wote n wa MUNGU mmoja babayng Mwaikali bado nauliza humu umekengeuka wap?mbona ulipokuwa mchungaj KKKT TUKUYU akiwa askofu baba Mwakyolile sasa ww ulipopewa uaskofu kwann umeisahau TUKUYU kukimbilia Luanda mbeya mjini wakt makao yalikuwa TUKUYU mjin shida nn Mwaikali?
@edinamwakitalu6115
@edinamwakitalu6115 2 жыл бұрын
Polisi ndowatenda kazi wa dini aisee mungu tusaidie kkkt imeharibika
@tumainimwakyaka2775
@tumainimwakyaka2775 2 жыл бұрын
Shida kumbe si kumtumikia MUNGU kumbe mnang'ang'ania mali tena za mikono ya waumini jaman mmefika mbali sana viongozi wa KKKT babayng Mwaikali umekengeuka wapi mbona km umepotea babayng ila mnisamehe bure km nakoment tofaut ila baba Mwaikali namfaham katukuza kiroho akiwa usharika wa KKKT TUKUYU eeh MUNGU wang tusaidie
@mugapro
@mugapro 2 жыл бұрын
Huwa iko Hivi, hamnaga utawala au uongozi Mbaya Mwanzoni, Mambo hubadilika mbele ya safari, Take it as a Note
@akberyuda5950
@akberyuda5950 2 жыл бұрын
HONGERA SANA MZEE MWAKANYAMALE MZEE WA NEVER!,NEVER!,NEVER!,NEVER! MWOGOPENI MUNGU!,MWOGOPENI MUNGU!
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Mungu yupi mtu anatukana matusi ibadan ndo huyo Mungu wake tumwabudu sisi
@akberyuda5950
@akberyuda5950 2 жыл бұрын
@@sylyavalaeditha8660 MZEE KAJALIWA UJASIRI SIO MNAFIKI,KANISA ZIMA WALIKUWA WANASEMA AMINA ZA KINAFIKI YEYE PEKE YAKE ALISIMAMA KWA UJASIRI MKUBWA KUONYESHA ANACHOKIAMINI,
@kingmageuzi7488
@kingmageuzi7488 2 жыл бұрын
Ila mwaikali Mungu akupe afya njema ASKOFU wangu yani uyo mwakyolile anashabikia
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Tumuombee usaliti ni mbaya sana
@dezruh
@dezruh 2 жыл бұрын
Tumuombee Mungu amsaidie atulie, alikuwa na nafasi kubwa sana kutatua hii changamoto, nafikiri washauri walikuwa wanamlish matango pori.
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 2 жыл бұрын
Na wewe unasemaje
@silyvestarmwaisyelage9224
@silyvestarmwaisyelage9224 2 жыл бұрын
Ameen msigombane tena
@johnrichard3177
@johnrichard3177 2 жыл бұрын
Wana wa uasi wa Martin Luther King
@prophetislael5265
@prophetislael5265 2 жыл бұрын
Mnauzalilisha ukristo ukristo niaminifu kama mlishakubaliana kwa rpc kunahajagan yakukabiziana kwenyemakamela na maaskali mnafanya tusemwe sana huku mitaani kwajili yatamaa zamal makanisan
@kilimahewarce7383
@kilimahewarce7383 2 жыл бұрын
Pesa na tamaa ya madaraka vitatuhukumu vibaya sana
@jamessichimata36
@jamessichimata36 2 жыл бұрын
YESU nitetee
@mapinduzikiongore7131
@mapinduzikiongore7131 2 жыл бұрын
Ivi inawezekanaje kumhubiria polisi kuwa kwa Yesu Kuna amani?
@okulimwaifuge7989
@okulimwaifuge7989 2 жыл бұрын
Uhuni mwingi saana sana, mmekula sadak zetu saiz tumewajua yana hapo hakuna cha mwaikali wala Mwakihaba wote ni walafi wa madaraka. Hekima za Suleman zifanye kazi. Huu ni uhuni kuna mmoja anatumia nguvu za dola kuna mmoja anadidimizwa tu hapo.
@rehemafungo5042
@rehemafungo5042 2 жыл бұрын
Kabisa.mkuu kakosa.angewatoa wote
@ishengomanelson
@ishengomanelson 2 жыл бұрын
Nyie ni bure kabisa! Mnamtumia Mungu kushughulika na mambo ya kidunia. Eti mnajifanya kuongea kistaarabu.
@Expedito2512
@Expedito2512 2 жыл бұрын
Kwa mtindo huu kanisa linadhalilika sana. Mimi naona kuna shida kubwa sana sana! Mambo yenu mpaka serikali iingilie kweli?
@markshoo1474
@markshoo1474 2 жыл бұрын
Aisee aibu sana
@malamlaaj9852
@malamlaaj9852 2 жыл бұрын
watumishi wa Mungu bwana!
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 2 жыл бұрын
RPC UPO VIZURI SANA. MUNGU AKUBARIKI SANA WENGI WA WANYAKYUSA NI WABISHI SANA.
@josephlameck6609
@josephlameck6609 2 жыл бұрын
Imeandikwa kesheni mkiomba wengine wanakesha kushindania Mali za ulimwengu huu
@luganojimmymwakalinga5392
@luganojimmymwakalinga5392 2 жыл бұрын
Kumtumikia Mungu siyo mpaka muwe na vyeo makanisani,Yesu kristo gani mnayemtumikia mjaa malumbano,mnafunga mageti watu wasiingie kwa ajili tu ya matumbo yenu,acheni tena acheni hiyo ni njia ya kuzimu.ushauri kumbuka ni wapi uliko anguka ukatubu ukatende matendo ya kwanza.
@gr4ngailo264
@gr4ngailo264 2 жыл бұрын
Mungu atusaidie kanisa la leo
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 жыл бұрын
Tutaruka nae juu
@blackbeauty579
@blackbeauty579 2 жыл бұрын
Hayo mapete makubwa
@barakandabunganie6585
@barakandabunganie6585 2 жыл бұрын
Adui kawavuruga au ??,?
@sophiayusuph5424
@sophiayusuph5424 2 жыл бұрын
Huyu Mwaikali anagomea nini hapa mbona wa ajabu sn mch huyu jmn
@rehemamdoro5165
@rehemamdoro5165 2 жыл бұрын
Wewe mwaikali baba angu naomba muogope Mungu wako usigombaniye kazi Mungu mnamuaibisha jamani Mungu wete na kulitukanisha jina la Mungu
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Usaliti alioufanya mwakihaba na mwakyolile ndo dhambi kubwaa wao ndo wa kwanza kudhalilisha kanisa
@danielasangalwisye6203
@danielasangalwisye6203 2 жыл бұрын
@@sylyavalaeditha8660 nyie ndio mmemfanya Mwaikali anaonekana kituko kwa kila anayefuatilia habari hizi
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 жыл бұрын
Akkkt na anglikan mnashida gani? Loman oyee
@lidiasilwimba6759
@lidiasilwimba6759 2 жыл бұрын
Safali yambinguni tutafika tumechoka kweli
@jacobangolwisye7495
@jacobangolwisye7495 2 жыл бұрын
Lakini kweli inasadikika Mwaikali kaama kanisa na anataka kulibadili liwe KKKT ya Africa mashariki wakati sisi tunajua KKKT dayosisi ya konde Tanzania.Mimi mwenyewe siungi mkono kwakweli.Kwanini mubadili Kanisa hoja ndio Iko hapo
@lucasmwijage2357
@lucasmwijage2357 2 жыл бұрын
KKKT Mnatia aibu! Uyo Mtumishi mnaye zalilisha,mtakutana na MUNGU. Mtu mwenye maono makubwa hufanyiwa hivyo! Afungue Taasisi mpya muone atawapita! Huduma yake nikubwa mno ila inawezekana haijui!
@lidiasilwimba6759
@lidiasilwimba6759 2 жыл бұрын
Lucas mwijage mungu anaona Ila tunakoenda mungu atusaidie
@yunislemnge5558
@yunislemnge5558 2 жыл бұрын
KKT Mbona mmekuwa kama hamueleweki.bora wachungaji.hata wasioe wawe kama mapdre ili wasipore mali za kanisa.Familia ndio chanzo.
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 2 жыл бұрын
Wawe kama mapadri wasioe lakini wazae nje?
@edinamwakitalu6115
@edinamwakitalu6115 2 жыл бұрын
Baba wawatu mmemkamata Kama kawaibia
@maandaliobandmbeyatz2345
@maandaliobandmbeyatz2345 2 жыл бұрын
Hahahaha hahahaha mbinguni mbali sana
@vikimartin9441
@vikimartin9441 2 жыл бұрын
Roho MTAKA VITU anatawala makanisani ameshika nafsi za watu, shetani kaweka kigoda anagombana wenyewe kwa wenyewe,wamemsahau roho mtakatifu.
@wemapanga1547
@wemapanga1547 2 жыл бұрын
Inaumiza sana kama kanisan limefuka hapo
@bensonmwananchi7701
@bensonmwananchi7701 2 жыл бұрын
Daa kuna kakibuli flan ameonyesha mwishon
@josephlameck6609
@josephlameck6609 2 жыл бұрын
Ni Mungu yupi anayeabudiwa huyu wa mimali,migari hii ?
@albertyengu7813
@albertyengu7813 2 жыл бұрын
Mh
@agnessjackson2743
@agnessjackson2743 2 жыл бұрын
Sifaapewe BWANA YESU tumeuona mkono wako ukitenda makuu,sijamuona Mwambola naonakamkimbia mwenzie haya yote yanampata kwaajiri ya kumskiliza mwambole
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Make kwanza nichekeee 😀 ko ratiba za mwambola zote unazijua
@joshuakikoti9354
@joshuakikoti9354 2 жыл бұрын
Bwana mnamsingizia hapo acheni uongo mna Bwana au police? Bwana gani anadanganya na kunyanyasa watu kwa kutumia mitutu ya bunduki
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 2 жыл бұрын
Waandishi huyo mwaikali ataongea mpaka aonane na mwambola kwanza
@micktajili9108
@micktajili9108 2 жыл бұрын
4g
@tricemollel6739
@tricemollel6739 2 жыл бұрын
Askari hadi kanisani🤔😏
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 2 жыл бұрын
Haya mwaikali aliyataka mwenyewe na wanaomtia moyo wote watamkimbia atabaki peke yake
@lucymwaipungu8931
@lucymwaipungu8931 2 жыл бұрын
Alula nyiee wez kabisa nauyo mwakiabawenu tyeena nauyo mwakiolilee anae ongea utyafkili kameza kobe mdomoni nyiee wachawidu kabisa
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 2 жыл бұрын
Viongozi wetu tunakwama wp tupige maendeleo tupunguze siasa ktk mambo ya kiroho
@RevGodlistenNkyaTv
@RevGodlistenNkyaTv 2 жыл бұрын
Hivi huyu Mwaikali amesahau kwamba yeye ni Mchungaji?
@cuthbertmkemwa4903
@cuthbertmkemwa4903 2 жыл бұрын
Shame on you, ndo mambo gani haya sasa
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
Sasa hiyo Diniii? Au SACCOS.
@csato9415
@csato9415 2 жыл бұрын
Mambo kama ya NCCR-Mageuzi kufungiana ofisi, ila jamani KKKT migogoro imezidi.
@mapinduzikiongore7131
@mapinduzikiongore7131 2 жыл бұрын
Mbona huyu mstaafu anang'aka sana.
@Story_za_town
@Story_za_town 2 жыл бұрын
Alipewa jukumu la kurudisha aman
@johnmalila1485
@johnmalila1485 2 жыл бұрын
HUU MGOGORO HAUWEZI KUISHA KILAHISI KAMA MNAVYO FIKILIA MUNGU ATUSAIDIE
@dezruh
@dezruh 2 жыл бұрын
Huu utaisha kabisa na utashangaa
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 2 жыл бұрын
Kwann usiishe
@jifunzekuhusuwewe7475
@jifunzekuhusuwewe7475 2 жыл бұрын
Mwambola kanyoti
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 жыл бұрын
Akili mtu wangu
@lucyenock542
@lucyenock542 2 жыл бұрын
Namshangaa Mwambola kanyoti
@gapserminja5215
@gapserminja5215 2 жыл бұрын
Sasa tarehe 22 kanisa linakabidhiwa litabebeka? Inamaana hayo magari sio ya kkkt?
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Uelewa mdogo hakuna Mali ya kkkt hapo ni Mali ya dayosisi ya konde, na kanisa no Mali ya washarika wao ndo wasemaji wa mwisho
@lucymwaipungu8931
@lucymwaipungu8931 2 жыл бұрын
Naona iyoo 22 ayo maofisi yatyabebeka watyabeba pamoja na kansa naona
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
@@lucymwaipungu8931 😀😀😀
@danielasangalwisye6203
@danielasangalwisye6203 2 жыл бұрын
@@sylyavalaeditha8660 🤣🤣🤣unaona wenzio uelewa mdogo wakati wewe ndio bogus kabisa hiyo hicho unachoita dayosisi nini!? Sio KKKT!?
@bahatidacute8366
@bahatidacute8366 2 жыл бұрын
Mwaikali anataka kuiba nini?
@shambogokitundu754
@shambogokitundu754 2 жыл бұрын
Mwambola kachimba
@danielndam5997
@danielndam5997 2 жыл бұрын
Kwanini mnambembeleza huyo mwaikali?
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Unatakaje?
@heriethmwamgema8785
@heriethmwamgema8785 2 жыл бұрын
Mwambola kakimbiaa😄😄😄
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 жыл бұрын
akili mtu wangu
@akberyuda5950
@akberyuda5950 2 жыл бұрын
ANAMWOGOPA USWEGHE MWAKANYAMALE 😂 😂 MZEE NI SHUJAA,NEVER!NEVER!
@JaphetRingo
@JaphetRingo 2 жыл бұрын
Kwishineiii ataoongelea wapi? aende afrika mashariki mwenyewe
@twisilemwabukusi4981
@twisilemwabukusi4981 2 жыл бұрын
Hivi anachokisema kwamba atakabidhi magari bila blue card inatoka wapi? Gari ni blue card si vinginevyo. Maandalizi gani zaidi yanahitajika? Hizo blue cards zilitunzwa wapi zaidi?
@milkatweve4474
@milkatweve4474 2 жыл бұрын
Kweli hapa mwaikali kaonewa ....alafu na shangaa kumbe mwakyolile bado niaskofu
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН
CAN YOU DO THIS ?
00:23
STORROR
Рет қаралды 42 МЛН
Yay, My Dad Is a Vending Machine! 🛍️😆 #funny #prank #comedy
00:17
Mwaikali akamilisha makabidhiano mali za KKKT Dayosisi ya Konde
8:07
MbeyaYetuOnlineTV
Рет қаралды 9 М.
VUTA NIKUVUTE NZITO MKANDARASI AEKWA KATI “PESA LAZIMA ZITOKE”
13:11
Hali bado Tete KKKT Mbeya,Vurugu zaibuka Kanisani,Polisi yazima vurugu
7:50
Gråborg
19:50
Kungl. Vitterhetsakademien
Рет қаралды 18 М.
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН