Towa msahada sio meneno uyo mwanaume wake ana moyo ambao kila mwanaume awezi kuwa nao kwahali ambayo uyo dada anayo bila uyo mwanaume si anaweza akaozea ndani kwani mnazani izo pesa mnazo mpatia zinaweza zika muogesha au kumpeleka chooni
@Chaw-z3d7 күн бұрын
🎉🎉
@Amosi-b1c6 күн бұрын
Unamahanisha kila mwanaume Hana moyo uho Hata baba yako hanaga moyo uho ?
@annayambayamba86146 күн бұрын
Kweli kabisa ❤🎉
@PeaceMindTz-n7i3 күн бұрын
Amnaga mazuri nyinyi wa bembe mtu katoa msaada ime kua kosa ten