Asante kwa kujibu Ndoto,niliota namuona mwananaume tunaetaka kutarakiana akiwa na mke wake mpya walikucheka sana na uyo mwanamke anamnyonyesha mtoto na aliponiona akampa mtoto mwanamme uku akanionyesha kuwa wana mtoto,
@mayasadunia24954 жыл бұрын
Masha Allah
@ayshaswalekh91974 жыл бұрын
Shukran shekh 🙏
@faridaismail4041 Жыл бұрын
Assalaam alaykum je ukiota unabishana kikauli namtu mzima alozidi umr ikiwa wot nijinsia moj inamaan gan
@othmanbakari89283 жыл бұрын
Shekh assalaam aleykum mimi nimekuwa nikiota ndoto nne mpaka tano tofautitofauti ndani ya usiku mmoja hasa nyakati za alfajiri huwa naota sana hii inakuwaje?
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
huwa unaota nini?
@sumaiabebe34434 жыл бұрын
sheikh nimeota ndani ya nyumba angu muna nyoka nzuri zinaanga nazili nifrahisha sana nika piga moja na mawe ila haikkufa nikaumwa nilimpenda izo nyoka
@MTAVASSYTv4 жыл бұрын
wewe unapambana na jinni wa mmbinafsi aitwa Qaariin na yeye hawezi kuiondoka kwako kwani yeye sio qaariin s suui yaani sio muovu. ila napata shaka ikawa haondoki kwa7bu hamuna nguvu ya kumuondoa
@omanamenmct16002 жыл бұрын
Mm nimeota nimekuwa na hasira nikampiga mama angu eeh mungu nisaidie cjui maana yke nn
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Ulimpiga eneo gani na kwasababu gani ? Humo ndotoni nikijua hayo hayo tafsiri itakuwa bora zaidi na ya uhakika inshallah
@yasobush48343 жыл бұрын
Shekh Nimeota naswali kwa room,nilitoka kwa jirani wanaswali pia kwa room,tena imam ni kijana mdogo,hapo nje wakina mama wanapika chakula,mara kukatokea kijana akaniuliza kitu,nikakasika na kuenda.
@joycesamwely7896 Жыл бұрын
Mimi nimeota nipo napika wakaja wafakazi wenzangu ila wakawa wananitizam kwa hasira sana nikawauliza vip akanikunja nilikasilika San kbla cjachukua uamuz nikastuka
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
kuwa makini unahusudiwa na wenzako na hilo inaonyesha hujatanabahi vyema
@koshihadiraabdalla56734 жыл бұрын
Asalam alaykum maalim nauliza nini maana ya ndoto Babu yangu kafa nimemuota kafa tena
@MTAVASSYTv4 жыл бұрын
Muombee dua inamaana ya kuwa yeye hayuko na hali nzuri kwa M/Mungu basi wewe muombee dua tu na hakuna lingine usije ukaambia tafsiri tofauti ukaamini
@koshihadiraabdalla56734 жыл бұрын
@@MTAVASSYTv shukran jazaka llahu khairan
@MTAVASSYTv4 жыл бұрын
muombee kwa Allaahu amsamehe mumbee sana ni mtihani sana kwake
@ayshaswalekh91974 жыл бұрын
Shekh mm nimeota niko hotel lkn ile hotel ikabadilka ikawa nyumba ya udongo alafu mule ndani kulkua na limechimbwa shimo milango ikafungwa lkn nilibomoa ukuta nikatoka nje
@MTAVASSYTv4 жыл бұрын
Utafanikiwa kutokamana na matatizo yako na faraja ya maisha utapata na utawashinda mahasidi na maadui pia utakuwa katika maisha mazuri kinyume na maisha hayo unayoishi ya dhiki inshaa Allaahu
@ayshaswalekh91974 жыл бұрын
@@MTAVASSYTv in shaa Allah
@mbokasultan74694 жыл бұрын
Mimi nimeota nipo ufukweni mwa bahari nime pewa sarafu mbili za zamani hiyo ndoto ina maana gani shekhe
@MTAVASSYTv4 жыл бұрын
sarafu ni maneno ya fitrna majungu au kupaizana kimaneno,ila ufukwe kadri ulivyoona ndivyo utakavyopata rizki kwa kiasi hicho
@vailethkilewo24804 жыл бұрын
Naota nafukuzwa na jitu nisilo lijua nn tafsiri yake shehe
@ayushsaeed10514 жыл бұрын
Na ukiota ukosha mikono
@MTAVASSYTv4 жыл бұрын
Utapata faraja au kufukuzwa kazi
@djyondergigi10272 жыл бұрын
A aleikum na ukiota una gombana na mwanmke humjuyi umegombana naye au una gombana naye ndiyo nini ?
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Alikuwa wa umri gani?
@tatuali13794 жыл бұрын
Nimeota mama ananiudhiy kipande chaeneo lashamba lake la mikoroshi ,, mimi nikamuulidha mama kwanini umenipatiy mwishoni nikapnekana nimekasilishw nayy mama hakupenda nimuulize ĺile swali .
@MTAVASSYTv4 жыл бұрын
angalia dunia hii? halafu ndoto pia yaweza kujuza kuwa umemuudhi Mungu fanya toba kwani mama na baba wana tafsiri ya Mungu pia ndotoni na angalia mwenendo wako vyema