ALIYEWAHI KUWA MSAGAJI MAARUFU AOKOKA, ASIMULIA UPEPO WA KISULISULI ULIVYOMVUTA!

  Рет қаралды 53,652

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

ALIYEWAHI KUWA MSAGAJI MAARUFU AOKOKA, ASIMULIA UPEPO WA KISULISULI ULIVYOMVUTA!
Mchungaji wa kanisa la Mlima wa Moto, Getrude Rwakatare, ameendelea na ibada ya upepo wa Kisulisuli ya kuombea watu kutoka maeneo mbalimbali...
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: kzbin.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:kzbin.info?list...
GLOBAL RADIO TV:kzbin.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:kzbin.info?li

Пікірлер: 348
@fatmasemfuko6383
@fatmasemfuko6383 4 жыл бұрын
Kachagua huko sababu ndio kwepesi kwake kulingana na mavazi na muonekano wake, sababu angeenda msikitini ingebidi avae machungi . But mungu ndio mjuzi wa kila jambo. Tumuombee Mwenzetu pamoja na kuziombea nafsi zetu kila mmoja ana mzigo wake.
@fatmasemfuko6383
@fatmasemfuko6383 4 жыл бұрын
@Nuru beauty& kitchen Asante
@marycelinapaschal9619
@marycelinapaschal9619 4 жыл бұрын
Acha mtu amini anacho amini Jesus is my victory🙏
@iddydawood2020
@iddydawood2020 4 жыл бұрын
@@marycelinapaschal9619 kwani kalazimisha watu kuamini anachokiamini yeye????
@naaminielienea6084
@naaminielienea6084 4 жыл бұрын
Uko sahihi
@maliethnyoni2847
@maliethnyoni2847 4 жыл бұрын
Kwan msikitin awavai visuluali mnavaa madila ila magesti mpo mda wote ukisema kuusu mavazi unakosea tena amna vazi baya na linaloficha uchafu km ijabu na kanzu
@marygaspary199
@marygaspary199 4 жыл бұрын
Tunaomkubali Yesu tugonge like zetu hapa !
@MohammedAli-up6cu
@MohammedAli-up6cu 4 жыл бұрын
Nawale wote wanaopenda kufanya wapendavyo kwa matamanio yao,wagonge like pia.
@nasryathabit6863
@nasryathabit6863 4 жыл бұрын
inalillah'wainaillah'rajiun allah tunusuru na watoto wetu yarab
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 4 жыл бұрын
Amiin Allahumma Amiin
@leilamohamed950
@leilamohamed950 4 жыл бұрын
Innalillah wa inna ilaihi rajiuun...... Yaa Allah tunusuru ss na yy Pia.....
@ashuraahmed367
@ashuraahmed367 4 жыл бұрын
nasrya thabit Amina mwenyezi mungu anusuru kizazi hiki
@hussenmwinyi7025
@hussenmwinyi7025 4 жыл бұрын
Ameen yarab
@mwanakombaabbas93
@mwanakombaabbas93 4 жыл бұрын
Subhanallah yaa Allah tunusuru waja wako utuongoze njia ya sawa yaa rabb mitihani mikubwa
@yaseenmohamed2867
@yaseenmohamed2867 4 жыл бұрын
。。。。Subbhana Allah
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 4 жыл бұрын
Hongera binti. Nakutia Moyo mpe Mwenyezi Mungu nafasi utashinda. Ni maamuzi magumu and is actually a big challenge.
@mariamsaid5655
@mariamsaid5655 4 жыл бұрын
Haleluyaa MUNGU ni mwema mdogo wangu
@gracecharles2696
@gracecharles2696 4 жыл бұрын
Ameen
@Richesfam
@Richesfam 4 жыл бұрын
Wooow Bwana Yesu Asifiwe!!! Glory to God!! Baba zidi kuukowa watoto wako
@misshemela5770
@misshemela5770 4 жыл бұрын
Mungu anawajua walio wake. Hongera kwa uamuzi
@gracecharles2696
@gracecharles2696 4 жыл бұрын
Ameen
@neemajosephati8403
@neemajosephati8403 4 жыл бұрын
Kalibu Kwa Yesu kuna Uzima wa Milele.
@isabelasimon9960
@isabelasimon9960 4 жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu. Nakutia moyo, Yesu ndo njia pekee ya uzima! Enjoy your life.
@fatmamohammedali4306
@fatmamohammedali4306 4 жыл бұрын
ALLAH akuongoze kwenye njia iliyonyooka kutoka usagaji mpaka kanisani Yaaaa ALLAH husnul'khatima kwetu na kwa watoto wetu
@rahmaabdulrahmaabdul1781
@rahmaabdulrahmaabdul1781 4 жыл бұрын
Ameen yarabi
@khalidmwingiro4738
@khalidmwingiro4738 4 жыл бұрын
Acha kutuongopea umepewa ngapi nasi tuje kutoa ushuhuda
@ZainabZainab-tv9ir
@ZainabZainab-tv9ir 4 жыл бұрын
Amiin amiin amiiin
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 4 жыл бұрын
Amiin yarabby laamyin
@salmaoman3827
@salmaoman3827 4 жыл бұрын
Amina
@edsonmbijima4832
@edsonmbijima4832 4 жыл бұрын
Mungu akubarik sana kwa uamuzi ulioufanya upo sehem sahihi kwa wakati sahihi!
@lucykayombo161
@lucykayombo161 4 жыл бұрын
I know the peace she talks about,no one can understand untill u meet Jesus...its the peace above human understanding..
@hussenmwinyi7025
@hussenmwinyi7025 4 жыл бұрын
Inalillahi waina illahi rajun.haujaenda kwamganga ila unabudu asiyekuwa mungu.
@festosamweli1845
@festosamweli1845 4 жыл бұрын
Allah ana mikono na miguu inasemekana mungu jua
@8pistons194
@8pistons194 4 жыл бұрын
Ni babaako
@samanthaali873
@samanthaali873 4 жыл бұрын
Subhna Allah eti nimeokoka dada Dini ya haki mbele ya mwenyzimungu ni Usilam ya Rabby tupee mwisho mwema😢😢
@happymaiko5121
@happymaiko5121 4 жыл бұрын
Uisilamu? Kwel we boya
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 4 жыл бұрын
Amiin Allahumma Amiin Samantha Ali hajielew huyu huyu dada
@dativaherman9235
@dativaherman9235 4 жыл бұрын
Shekhe gani alikufa akarudi akawambia hivyo
@happymaiko5121
@happymaiko5121 4 жыл бұрын
@@dativaherman9235 hai ndo wachaw wakubwa we acha tu hoa mashekhe ndo waganga balaa
@alimaalima6016
@alimaalima6016 4 жыл бұрын
Ukitaka kujua haki iko wapi soma comments sasa
@africamoja2924
@africamoja2924 4 жыл бұрын
Nilipokuwa kanisani niliambiwa hivi"Ili kufika mbinguni Luna njia mbili,nazo ni njia nyembamba na kuna njia pana,na njia nyembamba ina miiba na taabu nyingi ila njia pana ja raha na starehe za kila aina. Nikaamin na sadaka nikatoa. Nina mshukuru mwenyez Mungu mwaingi wa rehema leo hii sisi ni wachache dunia nzima na ndio tunaopita ile njia nyembamba.Takhbiiiiiiiiiirrr. Mimi ni MUISLAMU. shaban Gabriel ismail. Necta &Tcu.
@festosamweli1845
@festosamweli1845 4 жыл бұрын
Mmh umefata bikra 72 ww
@alexvenas2699
@alexvenas2699 4 жыл бұрын
Sisita hapo umechagua fungu jema hongera sana.
@josephntobi2315
@josephntobi2315 4 жыл бұрын
Dah! Shetani ni mwalibifu, mdada nzuri, shetani alimwiba.Hongera mungu anakupenda.
@mimmohsherrykaesther5375
@mimmohsherrykaesther5375 4 жыл бұрын
Glory be to God in God all things are possible may God guide you grl
@aliethlwaitama9592
@aliethlwaitama9592 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana,Mungu akusaidie upate mafundisho ya kweli na uukulie wokovu .
@fatmazenafzena917
@fatmazenafzena917 4 жыл бұрын
Allah atuhidi tuijue njia ya haqi tuifuate na batil tuiepuke
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 4 жыл бұрын
Amiin Amiin Amiin
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 4 жыл бұрын
Amiin
@megahits8304
@megahits8304 4 жыл бұрын
Amiin
@fatmakapera5348
@fatmakapera5348 4 жыл бұрын
Amiin
@jedidah1633
@jedidah1633 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana binti,na Mungu akutendee unachotaka maishani
@fatumaabdallah566
@fatumaabdallah566 4 жыл бұрын
Sidhani kama kunaukweli hapa uyu alipotea mda kidogo sasaivi naona anajizindua tena😎😎😎 shauli yake mwenyewe na nafsi yake ila Mungu adhihakiwi iwe umeingia kanisani au msikitini🚶🚶🚶
@emmanuelconstraction8346
@emmanuelconstraction8346 4 жыл бұрын
Hongera sana usimame katika imani kwa uwezo wa allha.....akuwezeshe kudumu katka ukrsto ili uzidi kuwa na amani..
@FatmaFatma-hu4cr
@FatmaFatma-hu4cr 4 жыл бұрын
Inalilah waina ilaihi rajiun subhanallah
@maimunaathman4664
@maimunaathman4664 4 жыл бұрын
Kkk
@neemakaluwa2089
@neemakaluwa2089 4 жыл бұрын
Mmmmmh! Yaan mnajifanyaga dini yenu ndo yahaki sana! Mungu ni mmoja mbona wakristo wakina Muslim hatujaji?
@kizashabani1486
@kizashabani1486 4 жыл бұрын
Unalan wew dada
@mayahhajih2636
@mayahhajih2636 4 жыл бұрын
@@kizashabani1486 teena sana
@mayahhajih2636
@mayahhajih2636 4 жыл бұрын
@@neemakaluwa2089 dini yA haki ni moja tu na ni uislam na sio ukiristo so ww tete upuuz wako na sio kuingiliana na kuvukiana mipaka
@mariamnamwa188
@mariamnamwa188 4 жыл бұрын
She's cute...may God guide u sis
@emmanuelmwananzila776
@emmanuelmwananzila776 4 жыл бұрын
Tatzo la bongo kiki zmezid ata ukisikia maongez tu unajua ni mipango tu ya mchungaji na uyo dada
@neemajosephati8403
@neemajosephati8403 4 жыл бұрын
Dada mzuri Mungu akulinde
@hechihechie5558
@hechihechie5558 4 жыл бұрын
Mm nakupongeza sana!!umechagua fungu jema!Mungu ni Wa wote ! atakufanya kuwa mtu Wa kuheshimiwa sana
@elizaalony2231
@elizaalony2231 4 жыл бұрын
Hongeraa saaanaaa mungu akufanyie wepesi
@euvassammy8537
@euvassammy8537 4 жыл бұрын
Forget about everything.. i just like the way she speaks.
@saidaahmed364
@saidaahmed364 4 жыл бұрын
Subiri lasna ya Allah ....
@sabrinasalum4387
@sabrinasalum4387 4 жыл бұрын
Kwani mwarabu
@kautharramadhan4516
@kautharramadhan4516 4 жыл бұрын
Sub hana llah
@chiefmasoud3996
@chiefmasoud3996 4 жыл бұрын
Blessing
@attunelson8828
@attunelson8828 4 жыл бұрын
Mungu akubariki na akutie nguvu katika maisha mapya.
@korogwetanga810
@korogwetanga810 4 жыл бұрын
Innalillah wainnailaih rajiuun Allah akurudishe katika dini yako na akuhidi akusamehe dhambi zako na akuongoze katika njia ya khaki
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 4 жыл бұрын
Amiin
@festosamweli1845
@festosamweli1845 4 жыл бұрын
Kaona hakna msaada ndo maana
@najmandanshau3316
@najmandanshau3316 4 жыл бұрын
Anapita pita kariako huku anajikuta star wa upuuzi,hajabadikika chochote huyo anafurahisha umma tuu
@maliethnyoni2847
@maliethnyoni2847 4 жыл бұрын
Mungu wetu mwaminifu sana Mungu amesema njooni wenye mizigo ya zambi mtapokelewa mm binafsi naamini dini zote sawa cha msingi imani yako na kumtumikia Mungu kwa moyo mmoja
@rajaballiy3514
@rajaballiy3514 4 жыл бұрын
Sio mbaya akili yako ndipo ilipofikia apo kwenye kufikiri. Ukristo tofaut na Islamic. Nitafute nikufunze upate kujua
@emakulatachalle777
@emakulatachalle777 4 жыл бұрын
Mungu anakupenda
@johnkyara2016
@johnkyara2016 4 жыл бұрын
Bibilia inasema yakale yapita tizama yamekuwa mpya so no judgement for her Yesu ananguvu sana na dada atakuwa mpya kinoma I know Jesus
@neemakaluwa2089
@neemakaluwa2089 4 жыл бұрын
Amen
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Mungu atunusuru amen
@godfreyorago7501
@godfreyorago7501 4 жыл бұрын
Bongo ndo nchi inayoongoza kwa kusapoti ujinga
@masungajumapili5864
@masungajumapili5864 4 жыл бұрын
me sioni alipookoka
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 4 жыл бұрын
@@masungajumapili5864 hata mm pia mana muonekano wake tuu shida
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 4 жыл бұрын
@@masungajumapili5864 tatizo ilo
@justinefesto8426
@justinefesto8426 4 жыл бұрын
Hahaha
@nelliemagawi8905
@nelliemagawi8905 4 жыл бұрын
Wafarisayo pia waliuliza yesu mbona yi Karina sana na watenda dhambi ...Christ came for sinners just like the story of the prostitute we dont know 5 years from now how she will be so best not judge or be judged by God...
@nasramohamed3353
@nasramohamed3353 3 жыл бұрын
Hivi wajielewa kweli malkizi wewe c muislamu Sasa uko unakoelekea dada ni kubaya zaidi unazidi kujididimiza omba mungu asiitoe roho yako katika hali hiyo Rudi katika dini yako haraka iwezekanavyo mama namuomba Allah akupe nguvu na uwezo mana. Wewe huna uwezo tena hapo umeshajitwika jabali lakichwa duuu innalillahi wainnailaih rajiun yarabby tupe mwisho mwema tuokoe yarabby tuokoe mola wetu shetani anazidi kututawala tuokoe yarabby
@johnamnyange6108
@johnamnyange6108 4 жыл бұрын
very powerfully
@abukulthum6598
@abukulthum6598 4 жыл бұрын
Hii ndio funzo kwetu waislamu kwa kubabaikia mapambo ya dunia tukajisahaulisha na kujipurukusha kwa kuiwacha dini yetu na la muhimu zaidi hesabu ya akhera.. tuwe tukijikumbusha sana kuwa miaka tutakayo ishi hapa duniani mwishowe tutarudi kwake Allah SW.. tukazane kuwasomesha wtt wetu waijue dini yetu tukufu kwa maslahi yetu sote..
@abuumudhakkir7132
@abuumudhakkir7132 4 жыл бұрын
We we Dada unajua kama kuna kufa na baada yakufa kuna kufufuliwa kisha kuna kuhesabiwa baada yahapo kuna moto na pepo Ila kwa hayo unayoyafanya jiandae na moto au rudi kwa alla mbii kabla hujafa
@sarahminja7255
@sarahminja7255 4 жыл бұрын
Bado ujabadilika hata huko kanisani pia wanakushangaa na masuruali zako za kiume na masuti yako. Rudi ktk uislam
@morgankalima5824
@morgankalima5824 4 жыл бұрын
Muislam akiokoka inakua big ishu kwa wa islamu na mkiristo akisilmu na akawa muislam wa islamu wanafurahia sana .
@sampachino5184
@sampachino5184 4 жыл бұрын
Subhana min dhalika fi nar jahanam 😷😷😷
@kanezasheikha6426
@kanezasheikha6426 4 жыл бұрын
Allah atukilind. Jaman
@8pistons194
@8pistons194 4 жыл бұрын
Waislamu wengi akili zenu nusu mlingoti
@magrethsanga942
@magrethsanga942 4 жыл бұрын
Mungu mwema sana
@meryraphael5298
@meryraphael5298 4 жыл бұрын
Mungu akusimamie,ndiyo yako iwe ndyo kweli,Mungu hatakuacha,ila juwa kuwa KUOKOKA NI VITA,SIMAMA NA Mungu akupiganie mwenyewe
@nagmynamahin2463
@nagmynamahin2463 4 жыл бұрын
Tusiache kushangaaa coz yatakuja mengiiiii tuuuuuuu ya kushangaza🤔🤔🤔🤔
@restitutaeliezery7064
@restitutaeliezery7064 4 жыл бұрын
God save me too
@jayo7649
@jayo7649 4 жыл бұрын
Dada mjanja amejua sehemu ya kupata pisi bwerere ni chachi na bar tu
@allyathman9584
@allyathman9584 3 жыл бұрын
SubhanaAllah
@francisfidelis5291
@francisfidelis5291 4 жыл бұрын
hongera dADA
@glorymagava9364
@glorymagava9364 4 жыл бұрын
Hongera binti nzuri kwa uamuzi mzuri big up daughter
@mkalimala3564
@mkalimala3564 4 жыл бұрын
Kaenda huko sababu aliyemwingiza kwenye haya mauchafu ni shagazi yake na bila shaka alijuwa muislam...yote ni maamuzi kubwa ni amanu ya moyo.
@aisatahaisatah2612
@aisatahaisatah2612 4 жыл бұрын
Uyu hajuwi ninachokifanya ni stress inampelekesha nahajuwi alekee wapi waislm tumeelewe insha allah akiwa saw atarudi ku allah
@greesgrees856
@greesgrees856 4 жыл бұрын
Huyu ndio Mungu wa haki mungu akuongoze sana
@shadyaomariy9163
@shadyaomariy9163 4 жыл бұрын
Binti mzuri ana jiingiza kwenye mambo mabaya... Yani hawa watoto ndio walio shindikana katik maisha na kuto wasikiliza wazazi ila moto upo na kiama pia kipo
@chulelubella2819
@chulelubella2819 Жыл бұрын
Tena dada mrembo ambaye anaweza kuolewa na kuzaa watoto inasikitisha
@slmn4476
@slmn4476 3 жыл бұрын
Ni vzr kwa sabab tiba n popot lkn mung ni mmoj t nanepaswa kuabdiw han mxrhka so kurd kwake t njia sahih na ndiy maan ya muisla. Allah akujaalie wepec ktk hilo
@michaelmchodo2862
@michaelmchodo2862 4 жыл бұрын
Ibada njema inaanzia home.. Ngoja tusubirie mwisho
@happysalva24
@happysalva24 4 жыл бұрын
Mungu aku saidiye
@EK-kp2np
@EK-kp2np 4 жыл бұрын
Mavazi hayampeleki mtu peponi ila moyo mwema, 👍🏼,
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 4 жыл бұрын
Nani kakwambia ukikaa uchi unaenda peponi endelea kuwaambia wezio uongo ttz ilo
@sabrinasalum4387
@sabrinasalum4387 4 жыл бұрын
We dada chizi
@rajaballiy3514
@rajaballiy3514 4 жыл бұрын
Yaan nyie mkiambiwa ukwel mnakimbilia kwamba mavaz haya mpeleki m2 pepo . Kuwa na maarifa utaangamia tabia nzur inaenda na mavaz
@ruthjmkombozi5990
@ruthjmkombozi5990 4 жыл бұрын
Mavazi yangekua yanapeleka watu peponi basi waraabu wengi wangekua huko, ila kila siku tunasikia na kuona kwenye vyombo vya habari makundi ya kigaidi yanatoka katika nchi za kiarabu, matendo ya mtu yata ambatana nae, kwasababu kama utakaa uchi makusudi ukiamini hivyo pepo utaisikia tu, lakini kuna watu kuvaa half naked ni mila zao na wamejikuta hivyo, mfano nchi ya swazland..wanamwamini Mungu but huwezi kwenda kuwambia vaa gauni au suluali.
@nuraydasworld4431
@nuraydasworld4431 4 жыл бұрын
Mhh subhanna allah
@hilalmahrazi2287
@hilalmahrazi2287 4 жыл бұрын
Ila mungu akusaidie
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 4 жыл бұрын
Dunia 😣
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 4 жыл бұрын
Nimeona crate ya bear anapita nayo m'baba naona ndio umefata ulevi kweli kanisa co sehem takatifu ulevi ndani ya kanisa hakika kanisa halina tafauti na sokoni
@festosamweli1845
@festosamweli1845 4 жыл бұрын
We subr bikra 72 pepon
@festosamweli1845
@festosamweli1845 4 жыл бұрын
Ss we dem cjui kna midume 72 the devil religion
@geofreymanento6547
@geofreymanento6547 4 жыл бұрын
The power of Jesus
@stephenmalilo9833
@stephenmalilo9833 4 жыл бұрын
I wonder kwanini watu humu wanatoka mapovu kwa MTU mwenye akili na utashi wake kuamua kufanya anachoona ni saws kwake. Nashangaa sanaa aiseeee......!! Kila uchao kuna watu wanatoka from Ukristo to Uislam na hakuna watu wanapiga kelele. Msimsaidie kazi Mungu, anayehukumu ni Mungu mwenyewe. Ninachofahamu ni kuwa ngano na magugu always vitajitenga tu.....hakuna haja ya kupiga kelele. Jesus can change anyone from nobody to somebody, just accept him as Lord and saviour of your life and you will be free....free indeed!!
@naomikatharinaandrewmnkai6760
@naomikatharinaandrewmnkai6760 4 жыл бұрын
wow! am so happy for you! GLORY BE TO JESUS! Nakupenda bure Queen. umechagua njia nzuri hata sura yako imekua na utulivu wa kiMUNGU. Ukirejea picha za awali ni tofauti na hii hata comments la last time ni tofauti na hizi I bless you keep it up!
@cmsa1r
@cmsa1r 4 жыл бұрын
Mungu wa kweli kakutoa kwenye ushoga.
@lucykayombo161
@lucykayombo161 4 жыл бұрын
Woow! She will get far in Christ in Jesus name.
@kanezasheikha6426
@kanezasheikha6426 4 жыл бұрын
Inalilah Wainalilah lajun hovyooo uhhh mung anakuwon
@giftnyakipande1253
@giftnyakipande1253 4 жыл бұрын
Apo pia upo location sio😂
@hellenmwayole8715
@hellenmwayole8715 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukutea
@fatumaally3266
@fatumaally3266 4 жыл бұрын
Sem like man
@issamohammed2458
@issamohammed2458 4 жыл бұрын
Hakuwa muislamu toka hapo mwanzo, asishughulishe watu mwenyewe anajieleza.
@mariambenjira9734
@mariambenjira9734 4 жыл бұрын
Mungu ndio mhuku ww ushuku
@uwingeneyeshadia7697
@uwingeneyeshadia7697 4 жыл бұрын
Innalilah wainailaih rajiun Allah anamuongoza amtakae na anampoteza amtakae uyo mwelekeo utakiona mbele ya safari
@festosamweli1845
@festosamweli1845 4 жыл бұрын
Huyo Allah ni nan
@uwingeneyeshadia7697
@uwingeneyeshadia7697 4 жыл бұрын
Festo Samweli kama humjuwi Mungu wala hautamjuwaga na ushindwe na uregee
@festosamweli1845
@festosamweli1845 4 жыл бұрын
@@uwingeneyeshadia7697 we Allah cyo mung mung jua hyo km unabsha fuatilia kwan we wafkir kwann mnaswalishwa kwa lugha ngen kna utata mle fungua macho
@festosamweli1845
@festosamweli1845 4 жыл бұрын
@@uwingeneyeshadia7697 soma hadith na Quran havielewek jaman naomb nkuulze kwann mtme alioa mtoto was miaka 6
@uwingeneyeshadia7697
@uwingeneyeshadia7697 4 жыл бұрын
Festo Samweli Lanatullah Allah azidi kukulaani akufanye kuni zamotoni ibilisi sheitwani we basi km Allah sio Mungu wendo mkubwa wa abilisi tena koma na ushindwe audhubilah minasheitwani rajim
@komanyaamin6732
@komanyaamin6732 4 жыл бұрын
Uisilila hautaki uchafu kama huo hatahayo manywele huweziingia nayo msikitini ndo maanaumeamua kujihami
@festosamweli1845
@festosamweli1845 4 жыл бұрын
Ila unataka kuuana kbaka na kusomeana albadil
@AbdullaAbdulla-pw5nd
@AbdullaAbdulla-pw5nd 4 жыл бұрын
Lana za Allah ziwe juu ya maisha yako duniani na yaumulkiyama ww nimlaanifu ila inokuhadaa ni pumzi tu
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 4 жыл бұрын
Mtu kaokoka laana itatoka wapi
@KBAHDELA
@KBAHDELA 4 жыл бұрын
ukweli uko pale pale huyu ana miaka mingi anatafuta kick za kila aina ila kama kweli hii sio kiki Mungu amfanyie uwepesi Mungu ni moja tu hope kesho kutwa asije akakimbia na uko.
@husseinomary4466
@husseinomary4466 4 жыл бұрын
Huyo na titto wanna udugu kweli nauliza tu
@rebahwafula7628
@rebahwafula7628 3 жыл бұрын
Mtu anayesamehea dhambi ni mungu. Basi mwanadamu atoe yaliyo machoni mwake ndipo angalie ya jirani huyo. Na kama ni kumwombea usiwambie kila mtu jinsi unavyoomba. Hakuna binadamu mtakatifu. Mungu ni mholy. Mungu ndio judge kwani wee binadamu ni nani unayejua mpango wa mwenyezi mungu kama hata hujui siku ya kufa kwako .
@azizacleny8677
@azizacleny8677 4 жыл бұрын
hapa ni watu weng watajadiliana kuhus kuabdili din huwa ni maamuz ya mtu na wapo moyo wako wapi unakua na aman mm kama mm ninaugomvi ma mzazi mmoja sababu dini hii hii but mm nakuwa na aman sehem nyingine waje achen mtu achague wapi anahis yupo sahihi na si kumkandia sjui kafir MUNGU ni mmoja na ni wawote hamna sehem iliyoandikwa kuna miungu wawil KIP IT UP GIRL I LOV U
@arafasalum4476
@arafasalum4476 4 жыл бұрын
Innalillah wainnalillah rajiun. Msibaa huu jmn
@faza4023
@faza4023 4 жыл бұрын
Yesu ni kila kitu!
@sulhajumaa7679
@sulhajumaa7679 4 жыл бұрын
Masikini dah katika bar kaingia casino
@neemachalamila590
@neemachalamila590 4 жыл бұрын
kwa hiyo kanisani casino?
@seydouside4081
@seydouside4081 4 жыл бұрын
Naomba namba zake nataka kumuoa..pls
@ruthjmkombozi5990
@ruthjmkombozi5990 4 жыл бұрын
Bongo tuna nn? Mtu akiwa anafanya yasio faa shida, akiyaacha pia shida.
@fahadfahmy
@fahadfahmy 4 жыл бұрын
Ni Huzuni kubwa Muisilamu umeshaijua haki halafu unakwenda siko
@meryraphael5298
@meryraphael5298 4 жыл бұрын
Kufa kila MTU anatakufa kivyake,yuko sahihi kabsa
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 4 жыл бұрын
Haq bd hajaijua akiijua haq atabadilika hata mavazi yke yataonekana
@africamoja2924
@africamoja2924 4 жыл бұрын
Kama alikuwa anasaga basi sasa hivi anafanya vyote anakoboa na kusaga. Natania jaman, Yesu asifiwe.
@asiaasia-pl4fl
@asiaasia-pl4fl 4 жыл бұрын
Jmn sas waislam wabongo hamueleweki kalisan mpo mskitini mpo eeeeeee😏😏
@helenkambi3918
@helenkambi3918 4 жыл бұрын
Waisilamu wengine ni wanafik wanamchezea Mungu lakini adhabu yao inawangoja sote tutahukumiwa
@davidkihiga3531
@davidkihiga3531 4 жыл бұрын
sisi tuliokoka hawa tunawaita kondoo inabidi apatikane mchungaji wa kumchunga kwa karibu sana . ataenda kuwa chombo kwa bwana yesu . binti kazana . Ila Mungu yupo kwa kuijua kweli na kweli itakuweka huru na kweli hii ni gospel tu.
@fatmakombo6639
@fatmakombo6639 4 жыл бұрын
Inalilahy wainna ilayhi rajiuun
@rayasloom8711
@rayasloom8711 4 жыл бұрын
Alie potea kwa hakuna atakae mrudisha isipokuwa yeye pekeyake Allah subhana Wa Taallah .Ina lilahi wa ina ilaihi rajiun . Allah atuepushe na mlima wa Moto .
@festosamweli1845
@festosamweli1845 4 жыл бұрын
Iman ndogo huwez mwambia mwenzko hvo wakat meng yanakshnda
@judithtz3509
@judithtz3509 4 жыл бұрын
Hiyo ni hatua kubwa dada,Mungu akutangulie ktk safari hii.
@irakozenurah8990
@irakozenurah8990 4 жыл бұрын
Allah amuongoze arudi kwenye dini yake
@abuukhalifa1856
@abuukhalifa1856 4 жыл бұрын
Wazazi myaone kajiona mwepesi kwakua imani imemvuka moyoni mwake
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 4 жыл бұрын
Matayo 19 25 Wanafunzi wake waliposikia haya walishangaa sana, wakamwuliza, “Ni nani basi anaweza kuokoka?” 26 Lakini Yesu akawatazama akawaambia, “Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu kila kitu kinawezekana.... Bibilia mnaisoma kweli?
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 4 жыл бұрын
Ndiyo jibu lake kwa Mungu kuna wokovu
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 4 жыл бұрын
@@humphreymwihambi4330 Hatari Za Utajiri 23 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi, “Nawaambieni kweli, itakuwa vigumu kwa mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni. 24 Tena nawaambieni, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.” 25 Wanafunzi wake waliposikia haya walishangaa sana, wakamwuliza, “Ni nani basi anaweza kuokoka?” 26 Lakini Yesu akawatazama akawaambia, “Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu kila kitu kinawezekana.
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 4 жыл бұрын
@@humphreymwihambi4330 Utaokoka ukishahukumiwa siku ya mwisho sio duniani
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 4 жыл бұрын
Andiko linasema kila atakayeliitia jina la Bwana ataokoka unaujua?
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 4 жыл бұрын
@@humphreymwihambi4330 Toa hilo andiko
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 200 МЛН
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 4 МЛН
SEMA KIMENUKA BUNGENI MBUNGE ALIVYOPIGA SARAKASI WEEE....
10:48
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA GANZI, DALILI NA MATIBABU YAKE.
18:36
MUHIMBILI MLOGANZILA TV
Рет қаралды 89 М.
Kimasomaso:  Mchungaji Msagaji Jacinta Nzilani - sehemu ya pili
27:11
KTN News Kenya
Рет қаралды 244 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 200 МЛН