PADRI ALIYEBAMBIKIWA KESI ya UBAKAJI AELEZA kwa UCHUNGU, "ALINIAMBIA HAJAONA SIKU ZAKE"..

  Рет қаралды 362,386

Global TV  Online

Global TV Online

2 жыл бұрын

PADRI ALIYEBAMBIKIWA KESI ya UBAKAJI AELEZA kwa UCHUNGU, "ALINIAMBIA HAJAONA SIKU ZAKE"..
Takribani mwaka mmoja na miezi ipatayo miwili tangu padri Erasmos Swai alipofikishwa mahakamani kwa kosa linalosadikika kusingiziwa na watu wenye nia ovu juu yake na kuidanganya mahakama kuwa padri Erasmos Swai alifanya kitendo cha ubakaji na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne...
Mnamo Tar 21.10.2021 hakimu Thrustone Kombe aliifutilia mbali kesi hiyo kwa kukosa ushahidi wenye uweledi ikiwemo kutokufika kwa vithibitisho vya vina saba baada ya binti huyo kujifungua mtoto ambapo hapo awali alisema ujauzito huo alipewa na padri huyo
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 1 300
@methodiutou7278
@methodiutou7278 2 жыл бұрын
Glory to God! Mungu ndiye Jaji na Hakimu, hakika Mungu aliyeruhusu hayo na atatenda makubwa zaidi na zaidi kwako. Ila ile wao maana hukumu ya Mungu ni haki na ya milele.Pole sana Padri
@victorialawrence7489
@victorialawrence7489 2 жыл бұрын
Pole padri
@fridashayo1992
@fridashayo1992 2 жыл бұрын
Ulimtendea mema yeye akakulipa mabaya! Mungu atakulipia mtu wa Mungu . Tumsifu Yesu Kristu!
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
@@fridashayo1992 milelee Amina😭🙏
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 2 жыл бұрын
Kabisa...!
@maxwellking9399
@maxwellking9399 2 жыл бұрын
Yes indeed.
@edakiputa1108
@edakiputa1108 2 жыл бұрын
Padri nimejifunza kitu kikubwa sana kwako, (msamaha)Mungu azidi kukutetea na kujidhihirisha ktk hili, Amina.
@pulikisia7963
@pulikisia7963 2 жыл бұрын
Tulishinda kesi bila ya mtetezi,tulikula mtama kwa maji tukanawili kuliko wao,hatukupambwa kama wao tukapendeza zaidi yao,walitubadilisha majina hawakubadili hatima,walipotutupa shimoni tukaibukia ikulu,kule walipotukusumia ndiko Mungu hupumzikia,walidhani wanatukimbiza kumbe wanatusindikiza.Bwana wangu,Yesu,Yesu,Yesu........By Ambwene Mwasongwe.
@julianaluhwago6105
@julianaluhwago6105 Жыл бұрын
Amina
@nelsoncastus4910
@nelsoncastus4910 Жыл бұрын
Pole baba
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 3 ай бұрын
Upo vzr😂😂😂😂😂😂😂
@pulikisia7963
@pulikisia7963 3 ай бұрын
@@user-br4tl7jv9j 🤣🤣Ambwene Mwasongwe apewe mauwa yake kwa utunzi mzuri.
@user-oq7jw6kp6w
@user-oq7jw6kp6w 3 ай бұрын
Amini 🤲🤲 nampenda mwasongwe mm
@sr.teresakarugaba9883
@sr.teresakarugaba9883 2 жыл бұрын
Courage Fr, you have been Christ's witness, and He is experiencing the pain with you, surrender to Him by forgiving and praying for them. May God strengthen you in your difficulty moments.
@maxwellking9399
@maxwellking9399 2 жыл бұрын
Hello Sr Teresa, Thanks kindly for your courageous and kindly words to Fr Swai.
@anwaritesal4695
@anwaritesal4695 2 жыл бұрын
Thanks to God.
@newug3347
@newug3347 2 жыл бұрын
Sr kwani unaelewa Kiswahili??
@angelomedard
@angelomedard 2 жыл бұрын
Right says
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 Жыл бұрын
INASIKITISHA ! !
@michaelrimisho
@michaelrimisho 2 жыл бұрын
Pole sana father, jirani yangu..nakumbuka sherehe yako ya misa ya shukrani 2009 ...Mungu azidi kuwa nawe daima!!
@juliethkavishe1586
@juliethkavishe1586 2 жыл бұрын
Walter wew Uko poa? Felix hajambo?
@deus8629
@deus8629 Жыл бұрын
Alafu na ww ulikimbia upadre bisha nitoe ushaidi
@michaelrimisho
@michaelrimisho Жыл бұрын
@@deus8629 🤗🤗hapana bhana sijakimbia
@janetmallya3242
@janetmallya3242 Жыл бұрын
mm huyu ndio amenikominisha na kipaimara padree wangu
@tumaininyambita5002
@tumaininyambita5002 2 жыл бұрын
Pole sana baba,hiyo ndio sadaka ya kweli maana imekupa maumivu makali sana.Mungu akutie nguvu wewe ni dhahabu iliyopita Kwenye moto .
@nelsonpaul4618
@nelsonpaul4618 2 жыл бұрын
Pole sana padri
@hubman6780
@hubman6780 2 жыл бұрын
Covert plans are lean on to exterminate compitent people. Baba fuatilia pia maisha ya babako mzazi huenda alipobarikiwa baraka za maisha walimuinukia.Ombea roho ya ulinzi na karama ya heshima. Naomba Mungu akutunze na kazi wakurejeshee palepale au usharika wa jirani
@victoriabayo7704
@victoriabayo7704 Жыл бұрын
Pole sana father Mungu siku zote yupo upande wa kweli na ataendelea kukusimamia
@markogallus2046
@markogallus2046 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu aliyekuongoza katika kipindi chote hicho kigimu, atakuongoza katika kipindi choote cha utume wako Baba Padre... May Almighty God Bless you..🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@mariammkwabi7101
@mariammkwabi7101 2 жыл бұрын
Amina
@richardsoka2400
@richardsoka2400 2 жыл бұрын
FIDIA NI KAZI YA MUNGU! wonderful! May the Almighty God Bless you Father and grant you long life. Kweli huwezi dai fidia kutoka kwa Shetani.
@kaguhewilly1905
@kaguhewilly1905 2 жыл бұрын
Pole father, ndugu wakristu waombeeni viongozi wetu wa dini, wanapitia changamoto nying nying sana, wanajaribiw sana sana, wanapitia mambo magumu ambayo wao pia kam binadamu wadhaifu kuna kipindi wanaanguka dhambini lkn katika yote tuwaombee sana sana viongozi wetu wa dini, Mungu aliewapa kibali cha kuwa na wito walionao atawashindia daima katika mabaya yote!! Father Mungu ni mwema kupitia wewe kuna ya kujifunza mengi kupitia hili, ndugu wakristu tuwaombee viongozi wetu wa dini tuwaombee sana sana sana!!
@mamakendrick7538
@mamakendrick7538 2 жыл бұрын
You are very right
@mariaregulla5215
@mariaregulla5215 2 жыл бұрын
Pole sana padre kweli inaumiza sana,,,Mungu ndiye hakimu na mwamuzi wa wanyonge
@neemakileo3181
@neemakileo3181 2 жыл бұрын
Pole sana Padri Mungu atakusaidia zaidi ya hapo atakurudishia vyote ulivyopoteza na zaidi ya hivyo
@rosetenga6979
@rosetenga6979 2 жыл бұрын
Pole Sana padre Mungu ndio hakimu wetu 😭😭😭😭
@annambokaanatoli9700
@annambokaanatoli9700 2 жыл бұрын
Father umeniumiza sana wengi tulisikia hatukujua UKWELI ni uongo wa magazeti. Mungu akulinde Bikira Maria akufiche kwenye bushuti lake... umenipa nguvu ya IMANI kuwa Mungu anawatuona.. because God is God of mercy
@maryrwelengera5665
@maryrwelengera5665 2 жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu, wewe ni shahidi mwaminifu na wa kweli. Hiyo familia hiombe msamaha araka kabla Mungu ajafa ya ya kwake. Umenifunza mengi Fr. Asante mama mzazi wako na ndugu na majirani. Kwa wema wa kumtunza Padre wetu.
@happyshayo372
@happyshayo372 2 жыл бұрын
Sijui kwa nini nalia tu kadri ninavyoendelea kumsikiliza padri anavyojieleza. Dah 😭😭😭😭😭 huyu mwanafunzi Mungu anamuona😭😭😭
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 2 жыл бұрын
Pole😭😭😭
@nickson3473
@nickson3473 2 жыл бұрын
Hii kazi ni ngumu sana, nilipomaliza darasa la saba nilikuwa na hamu ya upadri, ila nilipokaa seminarini nilisoma maisha ya mapadre kwa makini sana, nilikiri ni kazi ngumu inayohitaji moyo sana, niliondoka form four, nilisema Mungu anisaidie niendelee na safari ya maisha, MTUMISHI VIATU ULIVYOVAA NI VIGUMU SANA, MUNGU AKUTIE NGUVU
@catherinecharles8710
@catherinecharles8710 2 жыл бұрын
Daaa kabisa aisee
@toma634
@toma634 2 жыл бұрын
Nimelia kwakweli mnavyojitoa hivyo bado mtu anakubambia ujinga huo Ooh Mungu wangu lkn Mungu anasamehe na ww wasamehe pia nawapenda sana mapadre Mungu awatie nguvu🙏🏻🙏🏻
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 жыл бұрын
Ni kweli kabla ya kutenda wema ni muhimu kummuuliza Mungu ili adui asipate nafasi katika wema huo.Mungu akusaidie sana na akuponye majeraha yako father.hakika Mungu yuko na atakujibia wa haki.
@mwanga3358
@mwanga3358 2 жыл бұрын
Kweli kabisa dunia inatisha Mungu atupe utambuzi, na hilo tu ni mipango ya shetani ili watu wasifanye mapenizi kwasababu watu wataanza kuogopa kusaidia
@gracenavilo7946
@gracenavilo7946 2 жыл бұрын
Mungu Ni hakimu wa haki ,,Atazidi kutenda Mambo makubwa kwako.Wakapate aibu
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 Жыл бұрын
Yaan kaongea kwa hisia sana Mungu akufariji padre😪
@lizzy2423
@lizzy2423 2 жыл бұрын
Jmn Huyu Binti kwanini ameamua kumchafua Padri na Kuharibu Ajira Ya Padri. Ambaye aliyejiitolea Kumsaidia. Watumishi Sasa wataogopa Kusaidia wahitaji. Padri Swai pole Sana. Mungu akulinde na maadui
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Alimpenda Padre huyo
@prosperjohn4298
@prosperjohn4298 2 жыл бұрын
Kuna mtu yupo nyuma yake na ana vihela hela,, Ila Mungu Yu kazini
@yohanamaiga3031
@yohanamaiga3031 2 жыл бұрын
Pole sana Baba. Ndo maisha ya hapa duniani. Ndo maana Yesu alisema Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini jipeni moyo, mimi nimeushinda ulimwengu. Mungu azidi kuwa pamoja nawe Fr.
@fridahisaac1462
@fridahisaac1462 2 жыл бұрын
Long life father!.Acha hii vita sio yako baba,utapiganiwa na MUNGU.Hii Familia ya huyu binti ijitafakari sana hata waweze kujitambua waombe msamaha.Nimejikuta nalia hii habari niliisikia tuu kwenye radio na kuona kwenye magazeti nikawa staki hata kusikia leo nmekusikiliza Father.Hata dhahabu ikipitishwa kwenye moto itang'ara tuu
@annasanga733
@annasanga733 2 жыл бұрын
Pole sana baba na hongera kwa ujasiri Mungu ni mwema kila wakati. Endelea kutenda kazi ya Mungu na yeye atatenda sawasawa na mapenzi yake.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Pole sana padri.Huyo i binti amelaaniwa Tenda wema wende zako..Hata Yesu alisuribiwa bila makosa.Huyo binti mi shetani mkubwa mwenye miguu saba.
@epimackmkunde2264
@epimackmkunde2264 2 жыл бұрын
Pole Rev. Fr. Erasmes. Mungu Yuko nawe na kamwe usirudi nyuma. Nakufahamu vyema na njia yako kufikia utume wako. Mungu ataonesha njia.
@pascasmathew424
@pascasmathew424 2 жыл бұрын
?????
@epimackmkunde2264
@epimackmkunde2264 2 жыл бұрын
@@pascasmathew424 karibu
@davidwilliam4820
@davidwilliam4820 2 жыл бұрын
Fr. Pole sana, namshukulu Mungu kwa simlizi ya mapito yako kwetu na changamoto hii, nimejifunza mengi kubwa zaidi nikumtegemea Mungu ktk yote!
@bartholomewluwanja6693
@bartholomewluwanja6693 2 ай бұрын
Yes father Mungu pekee ndiye atakaye kulipia fidia!!!! Wewe leo ni mwalimu wetu kiroho wakimatendo. ❤❤❤❤❤❤
@judithkemunto2403
@judithkemunto2403 2 жыл бұрын
This earth is hard, tunahitaji ukombozi wakiroho,may God give you wisdom padri🙏
@emamkuyu4061
@emamkuyu4061 2 жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu.Lakini nakuhakikishia ubaya hauna kwao wahusika wote Yesu ni jibu.Watapigwa dhoruba kali mno.
@msofe1985
@msofe1985 2 жыл бұрын
Pole sana Pd. Mungu akupe mwanzo mpya wenye hekima ya Mungu, inahuzunisha sana, Mtetezi wako yu hai.Nimejifunza mengi sana kutoka kwako Pd.
@jerrymboyya2346
@jerrymboyya2346 2 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu baba . Kwenye haki nikama( dhuluma nahaki) hafichanganyiki. Naamini Mungu yupo pamoja nawe pia🙏🙏
@neyjohn923
@neyjohn923 2 жыл бұрын
Dah! Mungu amrehemu huyo dada na familia nzima. Hii ni laana ya kizazi. Itawatafuna mpaka kizazi cha nne. Pole sana Fr. Mungu akuponye kwenye mahangaiko yako. Safi sana kwa kujituma. Nondo nondo! Chuma chuma.
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 2 жыл бұрын
Hongeza sauti maana wengi hawalijui hilo. Hata isingekuwa ni Padre, tuhuma za namna hii ni mbaya sana.
@ramadhanmohamedi9793
@ramadhanmohamedi9793 2 жыл бұрын
Wadwahil wanasema tenda wemaa nendazako kilichokusaidia mpakasasa kuwa huru namanisha uraian ilimtanguliza mwenyezi mungu mbere mhukuru sana meenyezi mungu polesana
@dunstangeorge3263
@dunstangeorge3263 2 жыл бұрын
Pole sana Fr Erasmus, Mungu wetu yupo kazini, wema wako kamwe hausahauliki, iyo familia Mungu atailaani.
@chakusaganyangusi2982
@chakusaganyangusi2982 2 жыл бұрын
Ibada ya oil kujenga ufalme wa mbinguni
@victoriabayo7704
@victoriabayo7704 Жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa duniani
@melaniaantoni5845
@melaniaantoni5845 2 жыл бұрын
Padri swai jipe moyo mkuu wote tuko Nyuma yako tunakuombea . Hongera kwa ujasiri wako huo nasi tumejifunza mengi kwa hayo yaliyonipata .Tunakupenda na tunakuombea sana .Kwa Mungu sote tuna nanafasi ndani ya moyo wake.
@catherinphilipo3503
@catherinphilipo3503 2 жыл бұрын
Poleeeeeee padri wangu hapo hata maelezo yana jitosheleza poleeee ww tenda wena nenda zako nakupendaaa jmn piya niombee sana na matatizo yako
@boniphacemasau3068
@boniphacemasau3068 2 жыл бұрын
Maelezo ya padri tu naamini kabisa hajafanya hivyo. Mungu yu nawe.
@rosekimaro384
@rosekimaro384 Ай бұрын
Kabisa huyu mungu mwacheni tu❤❤
@SuperCamle
@SuperCamle 2 жыл бұрын
Mungu ni Mkuu sana. Asante sana Fr. Swahi kwa kufa na kufufuka na Yesu mwenyewe. Maelezo yako na mang'amuzi uliyoyapitia yamenigusa sana na kuona jinsi ulivyo ndani ya Yesu, jinsi ulivyofanyika padre, na jinsi unavyojitoa kuokoa Roho zetu waumini wako. Nimejofunza toka kwako uthabiti katika imani, umahili katika maisha na moyo wa Huruma. Mungu azidi kukuimarisha baba na kukuponya majeraha yote. Umepitishwa katika tanulu ya Moto ili ung'ae zaidi. Bwana na apewe sifa.
@veronicamduba2864
@veronicamduba2864 2 жыл бұрын
Pole sana padre mungu pekee ndiye hakimu wa kweli njama zao zimeshindwa kwa jina la yesu
@edithashayo7546
@edithashayo7546 2 жыл бұрын
Mungu wa huruma wahurumie waliomsingizia padri. Wafungue dhambi yao wape moyo wa kuomba msamaha
@YustaAlfonsi
@YustaAlfonsi Жыл бұрын
Pole Sana padri nae mungu atajibu kadiri aonavyo yeye na macho yake.
@alphonceikandilo1101
@alphonceikandilo1101 2 жыл бұрын
Pole sana baba Swai kwa yote uliyopitia hakika Mungu ni mwema kila kitu kitadhihirika na utarejeshewa huduma kwa imani.
@kokuhabwarutechura6272
@kokuhabwarutechura6272 2 жыл бұрын
Mungu na aendelee kukusimamia Fr. Baada ya msalaba utukufu! Mungu ni mwema sana. Amani iwe juu yako Fr.
@mamachris6811
@mamachris6811 2 жыл бұрын
Padre Hapo kwa marafiki,mshukuru Mungu,maana kupitia hili,umejua marafiki wa kweli na wanafki
@dafrozakahamba8707
@dafrozakahamba8707 2 жыл бұрын
Mungu pigana nao wanaopigana nami zab:35 Hongera Fr.kwa kujua kuwa unajukumu la kusamehe. Mungu atakupigania siku zote. Zab.121.
@annkirethi3812
@annkirethi3812 2 жыл бұрын
Very sad,pole sana padre for the psychological torture you went through,i feel you and can only imagine how much pain you experienced,prejudice and false accusation are so painful, I pray that you find in your heart a place for forgiveness,may God grant you peace,and may God assign you a peaceful task that will showcase God's love.stay blessed. TUMSIFU YESU KRISTU
@severimkatomutegeki6930
@severimkatomutegeki6930 Ай бұрын
Tumsifu Yesu Kristu Padri Swai pole kwa hayo matukio Mungu akupe uvumilivu na Kumshukuru daima . Mungu akujarie urejee kwenye uduma ya kiroho.
@tonymsoma1666
@tonymsoma1666 2 жыл бұрын
Inauma sana😥😥😥......Wamekuchafua lkn Mwenyezi Mungu atakung'arisha bb padre......Endelea kusimama na Mungu mpaka Shetan ashangae.......
@phatumaibrahim8329
@phatumaibrahim8329 2 жыл бұрын
Xn Tena ila mungu yupo pamoja nae
@dionisiamlowe6759
@dionisiamlowe6759 2 жыл бұрын
Jamani alichofanyiwa huyu mimi pia nilifanyiwa sema mimi niliponea chupuchupu kupelekwa polisi kwa kuwasaidia watu wanaokuja kanisani kuomba msaada nilijitoa kuwasaidia kumbe nategwa kama huyo mtumishi
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Жыл бұрын
​@@dionisiamlowe6759 poleni sanaa 😭kwakwer inaumiza Sanaa😭Wema Unageka kuwa ubaya😭kwakwer Mungu Awasaidiye Sanaa🙏
@theresianduku9837
@theresianduku9837 2 жыл бұрын
With God all things are possible.father, waombee waweze kuchegi tabia zao.wasidhulu wengine
@neemamtumbati607
@neemamtumbati607 2 жыл бұрын
Pole sana baba, Tunakuombea urudi katika utume, simama imara, shetani aliona kazi zake zinaharibiwa na utume wako, akatafuta mtu akumalize, ameshundwaa kwa jina la Yesu🙏
@lusiandomba6261
@lusiandomba6261 2 жыл бұрын
Katakua kachawi kabisa hako
@mariajoseph3743
@mariajoseph3743 Жыл бұрын
Pole Sana padri Mimi kanisa katorik wamenisomesha hao mapadr Mungu awabariki Sana najivunia kuwa mkatoriki
@traudkamugisha8051
@traudkamugisha8051 2 жыл бұрын
pole sana padre mwachie Mungu atakulipia.
@regybahati5986
@regybahati5986 2 жыл бұрын
Pole Baba, pole Sana, sadaka ya maisha yako kwa Mungu itakulinda. Hilo teso tolea kwa Mungu Kama Sala ya kuokoa roho za wakosefu na za walioko toharani. Fr. Bahati.
@mishengoma2495
@mishengoma2495 2 жыл бұрын
Pole sana Padre. Damu ya Yesu IKUFUNIKE
@manuelnuer3329
@manuelnuer3329 2 жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana hupitia vikwazo vingi mwenyezi Mungu yu pamoja nasi
@adamuibrahimu5868
@adamuibrahimu5868 2 жыл бұрын
Pole sana baba Padri. Umekuwa dhahabu mpya, stephano shahidi. Mungu YU PAMOJA NAWE.
@mikaelmbombo528
@mikaelmbombo528 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏waa mgemeyae mungu ni kama mlima sayuni
@aroldcharles7753
@aroldcharles7753 2 жыл бұрын
Mungu akukumbuke Fr katika sadaka zote ulizotoa kwa ajili ya utukufu wake..
@josephinangomba.7816
@josephinangomba.7816 Жыл бұрын
Pole pd mungu akulinde
@s0phialwassa574
@s0phialwassa574 2 жыл бұрын
Anaongea Padri ila moyo unaniuma mimi, pole sana Baba
@aurorabenedicto3197
@aurorabenedicto3197 2 жыл бұрын
Pole sana padre waliokungizia Mungu atatenda tu juu yao,na wewe kumbuka waliochaguliwa na Mungu hushambuliwa sana na majaribu hii ni moja ya hatua ya utakatifu Mungu akupe nguvu Baba padre.⛪
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Ni kweli ndugu yangu. Nimegundua mapadre hushambuliwa sana kwa kusingiziwa, mara nyingi huishia bila mtetezi na kuonekana mashetani lkn Mungu huwa mtetezi wao daima kwa kuwa yeye ndiye aliyewachagua na kuwatuma kuchunga kondoo zake. Mungu ampe nguvu huyu Padre na kuimarisha utume wake
@joshuabongole3837
@joshuabongole3837 2 жыл бұрын
Kweli Dunia hii kabla hujamsaidia mtu mwombe Mungu kwanza akuonyeshe maono
@anyesimaholo8553
@anyesimaholo8553 2 жыл бұрын
@@temuemanuel4671 ee kaka yangu mapadre hawana mtetezi mara nyingi na tunawagandamiza sana, kinachoumiza sana ni wakristu wanaowahudumia ndiyo wanaowafanyia ubaya.
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
@@anyesimaholo8553 Ni kweli Dada Anyesi Maholo
@rosebeauty700
@rosebeauty700 2 жыл бұрын
Ni Hatua ya utakatifu sana Mungu amupe padri wetu nguvu.
@francismsonde3307
@francismsonde3307 2 жыл бұрын
Pole sana Padre ! Mungu atajibu ! Ila hii ndio inapelekea nchi hii watu wanatuhumiwa Ugaidi kwa ushahidi usio na mashiko.
@andrewmatunu4186
@andrewmatunu4186 11 ай бұрын
Pole Sana padre Psalm 23 Bwana Mungu ni Mchungaji mwema hutapungukiwa na kitu....
@josephinegravasiano8860
@josephinegravasiano8860 2 жыл бұрын
Jaman pole Father nilpoisikia niliumia sana,Mungu akutetee baba penye uongo ukweli hujitenga.
@gracemgandu716
@gracemgandu716 2 жыл бұрын
Pole baba kwa changamoto kiimani fanya kazi uliyoitiwa mungu
@mariavianeypeter2991
@mariavianeypeter2991 2 жыл бұрын
Maadui wa kanisa na kwa watumishi wa Mungu ni wengi. Pole sana padri Mungu atakupigania.
@beatricejohn800
@beatricejohn800 Жыл бұрын
Sometime ukweli unajificha kwenye uongo,kwanini Padre aonane na mwanafunzi hotel? Kwanini asinge onana naye ofisini kwake? Hapo Padre kala buana siamini mwanafunzi asingizie yeye
@mariavianeypeter2991
@mariavianeypeter2991 Жыл бұрын
@@beatricejohn800 anayejua ni Mungu ndiye anayehukumu
@fridaolomy6231
@fridaolomy6231 Жыл бұрын
Asante MUNGU kwaajili yako father MUNGU akulinde na kulinda mapadre wote , Mungu akutee siku zote inaniuma sana kuona waamini wanakuwa na ukatili na kukosa adabu kiasi kikubwa namna hii Mungu akutunze father
@josephkajinga5114
@josephkajinga5114 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Padre. Mtegemee muumba wako na endelea kumtumikia Bwana!. Padre, kama Yesu alibambikiziwa kesi na Wayahudi sembuse wewe binadamu? Tenda kazi ya utume wako.
@zawadjose5440
@zawadjose5440 2 жыл бұрын
POLE FATHER , POLE SANA BABA USIJALI KWA HILO .MUNGU YUPO NAWE
@Jonathan95311
@Jonathan95311 2 жыл бұрын
Daaaaah pole sana sana Padre!! Mungu ashindwi!!! 🙏🙏
@ernestgeorge8412
@ernestgeorge8412 2 ай бұрын
Pole Sana father, samehe kwa maana imeandikwa tusamehe saba mara sabin.. Kila jambo linasababu huenda Mungu hakupanga kwa kipind hicho uendelee na utumishi, upo wakat sahihi wa Mungu utainuka na utasimama upya 🙏
@iddimgombero6853
@iddimgombero6853 2 жыл бұрын
Nimelia sana baba, mungu aendelee kukulinda hilo in jaribu tu
@norahkamene7959
@norahkamene7959 2 жыл бұрын
Pole sana Padre, may God see you through. God is fighting for you.
@mariachuri7123
@mariachuri7123 2 жыл бұрын
Duuuh! Fr. Pole sana,nimeumia sana,ila usemavyo Mungu ni mwenye haki! Hakika umenifunza na mm,nisamehe na Mungu atatenda haki hata nikionewa😭😭😭😭
@cesskemush8635
@cesskemush8635 2 жыл бұрын
I'm really so much hurt for this but be strong Father....remember what Jesus went through until his death may almighty God be with you and stand with you forever...God will punish them
@EvaShija
@EvaShija 12 күн бұрын
Pole sana baba! Mungu anakusudi na wewe! Aanzisha la kwanza ili lapili litimie! Mungu ajidhirishe ktk hili
@mmetvonline7521
@mmetvonline7521 2 жыл бұрын
Nimejifunza sana juu ya hii kesi " Sisi kama wanaume kama tunajitolea kuwasaidia watoto wa kike nabidi tuwe makini sana kwani wanaweza wakatuangamiza hakika watoto wa kike ni watu Majasiri sana yaani wapo tayari kumuangamiza mtumishi wa Mungu kwa maslahi yao ya uongo"
@annahulilo6719
@annahulilo6719 9 ай бұрын
Ni kweli kabsa... Mungu awazididshie hekima maana kama ameweka ndani yako moyo wa huruma, wa kuwasaidia wahitaji au watu kama hao huwezi acha kufanya! Roho Mtakatifu awawezeshe!!!🤲🤲🤲🙏 Mabinti dizain hiyo nyuma yao huwa kuna jambo/watu wanaowasukuma kufanya hivyo! Nao Mungu awasaidie wawe wanajitambua tu🙏
@goodluckmshana6765
@goodluckmshana6765 2 жыл бұрын
Nikupe pole za dhati Padre. Hadithi Hii ni ngumu sana kumeza lakini Mungu amekufungulia njia mpya…
@mamandekirwa5751
@mamandekirwa5751 2 жыл бұрын
Pole Sana Padre mungu azidi kukupa Amani ndani ya moyo na uwe na Afya njema ya Imani
@Zaburi-
@Zaburi- 2 жыл бұрын
@@mamandekirwa5751 Mungu/MUNGU na sio mungu
@uvinza_stationery8
@uvinza_stationery8 2 жыл бұрын
Pole sana padre naomba ujifunze kwa mt maria goreti alivyo mjibu melikiades nimemsamehe na ninamuombea neema ya kutubu,nimapito tu hayo padre ambayo ni lazima upitie Mungu anahitaji kukuinua kwa viwango vya juu, Majaribu ni kipimo cha imani usivunjike moyo baba
@janemsamati6700
@janemsamati6700 2 жыл бұрын
Oooh Jehovah, Fr. nami naamini Mungu kweli hashindwi,
@petronillamnyambi7607
@petronillamnyambi7607 2 жыл бұрын
Pole sana padre mungu akubariki daima.
@winnerjudith2007
@winnerjudith2007 2 жыл бұрын
Pole sana Padri Mungu alikupitisha hapo ili kukupandisha viwango vya juu, ni sawa na Yusufu kwenye Biblia. Mungu kakushindia
@charlesjustin4805
@charlesjustin4805 2 жыл бұрын
Nimesikiliza mara 2 nikagundua fr ameonewa mnooo
@apostleprophetkennethngoli657
@apostleprophetkennethngoli657 2 жыл бұрын
Inaumiza sana Hakika hii familia imepata hasara kubwa kwa jambo hili. Hongera kwa maneno ya Hekima hii kubwa
@nambiemasinde8825
@nambiemasinde8825 2 жыл бұрын
Pole sana Padre... the Lord has vindicated you. No weapon formed against those who are faithful and true to God.
@christopherkajuti3054
@christopherkajuti3054 2 жыл бұрын
Pole sana fr kwa haya yaliyokupata mungu akutie nguvu
@levinathomas6526
@levinathomas6526 2 жыл бұрын
Pole sana father, Mwenyezi Mungu atakutetea. Naamini Mungu wa mbinguni hatokuacha. Kuna Father naye alipitia haya lakini kwa sasa amerudishiwa huduma yake. Usikate tamaa, wasamehe wote.
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 2 жыл бұрын
@Levina. Ila Mungu hutoa msamaha kwa mtu anayeomba msamaha. Hata Mungu usipomuomba msamaha hakusamehe. Sema labda ni kumhimiza huyo binti akaombe msamaha ili asamehewe. Lakini asipoomba asamehewe sijui padre ataisamehe hewa tu?
@levinathomas6526
@levinathomas6526 2 жыл бұрын
@@wazomyakinifu2301Father yeye ameshamsamehe tayari, hana kiyongo, rejea msamaha aliyekuwa rais wetu awamu 2 yule kijana aliyempiga kibao, pia aliyekuwa baba Mt. John Paulo yule aliyempiga risasi mpk gerezani alimtembelea Hawa wote waliwasamehe waliowajeruhi. Naamini maadamu Father hana kinyongo na binti. Ni yeye binti kwa utashi wake kwenda mwenyewe bila kushurutishwa na mtu. Yaani msamaha utoke moyoni mwake na wote waliokuwa wanaomtuma kumchafua father.
@levinathomas6526
@levinathomas6526 2 жыл бұрын
@UCoMfWLoJkkkMQmPvjh_GQgQ sio lazima aombe adharani mfate father Pamoja na wazazi wake amwombe msamaha. Najua father mtumishi wa Mungu atamsamehe hata kwa kauli zake tulizosikiliza hapa. Mimi napenda sana huyo binti aombe msamaha maana sisi tulishafundishwa usimnene mpakwa mafuta yeyote kwa ubaya. Hiyo ni laana mpk Kwa kizazi chako. Unaweza usiilipie wewe wakaja kulipia watoto wako, au wajukuuu zako.
@hadijambaraka804
@hadijambaraka804 2 жыл бұрын
Pole Sana father
@kissamwakitalema8854
@kissamwakitalema8854 2 жыл бұрын
Mungu azidi kukutunza mtumishi wake, ee mungu nijalie na Mimi imani kama hii
@winnieavit5985
@winnieavit5985 2 жыл бұрын
Pole sana Baba Padre. Mungu aendelee kukutetea na mapito yako imani ikazidi kuimarika🙏🏼🙏🏼🙏🏼.
@sigsbertkiondo6188
@sigsbertkiondo6188 2 жыл бұрын
These are normal challenges that the clergy do face! Courage Fr! Our God is able and he knows who is culpable!
@rachelmsuya2661
@rachelmsuya2661 2 жыл бұрын
Pole ndo binadam tulivyo yote
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 2 жыл бұрын
Well said Fr. Kiondo.
@lovenesstweve8499
@lovenesstweve8499 Жыл бұрын
Pole padri uta vuka na umevuka
@florentinefmmkenda3902
@florentinefmmkenda3902 2 жыл бұрын
Pole sana Padri, Mungu aendelee kukulinda uendelee kwangazia watu wake na kuendelea kukuza upendo , amani na matumaini kwa watu wa Mungu.
@eucabethnyagero9636
@eucabethnyagero9636 2 жыл бұрын
Haki binadamu ni wabaya hadi mtumishi wa mungu mnampaka matope mungu atamtoa tu pole sana padri
@idrisabdulrahman8709
@idrisabdulrahman8709 Жыл бұрын
Pole sana.MWENYEZI MUNGU YUKO PAMOJA NAWE,AMIIN
@eliawezaayoub8868
@eliawezaayoub8868 Жыл бұрын
​@@eucabethnyagero9636 so
@eliawezaayoub8868
@eliawezaayoub8868 Жыл бұрын
​@@eucabethnyagero9636
@peragiacosmas4778
@peragiacosmas4778 Жыл бұрын
Mungu akutetee Fr. Uyu Dada kajitaftia rahana maneno yako yanaumiza Sana Mungu awe pamoja na wewe. Atambuhi karama yako atapata taabu Sana amrudie Mungu na kutubu na kuakikisha ametubu mbele ya Mungu na jamii nzima.
@filbetersalvatory9725
@filbetersalvatory9725 2 жыл бұрын
🤲Hekima ya kiMungu ikae ndani yako,Mungu wet aikuzee imani yako na kuidumisha zaid usiteterekee in Jesus name 🙏
@calisterkikove1970
@calisterkikove1970 Жыл бұрын
Nimelia sana padre ,Mwenyezi Mungu awe faraja yako ya kweli ,Binadamu hatuaminiki
@lucymshomi2313
@lucymshomi2313 2 жыл бұрын
Pole sana Fr. Take courage. Such bad things pass; this too shall pass.
@glorydavidmramba8750
@glorydavidmramba8750 2 жыл бұрын
Mungu atakutetea,very sorry Fr everything's happens for a reasons Mungu alikuwa na sababu yake na ndiyo maana aliliruhusu lipite na litaisha utarudi maisha yako ya utume MUAMINI MUNGU.....watu wengine wanakosa misaada kwa sababu ya vitu kama hv jamn badilikeni mambo mengine yanaumiza sana hii ni sawa na uuaji!!
@winnerjudith2007
@winnerjudith2007 2 жыл бұрын
yani padri apo umefunfisha somo kubwa sana, Mungu akubariki na akuinue zaidi na zaidi
@desderipatrick8392
@desderipatrick8392 2 жыл бұрын
Majaribu ni kipimo cha Imani, pole sana Fr kwa jaribu hili, ninaamini Mungu amekupandisha hadi viwango vya juu zaidi vya Imani.
@christermelaka5689
@christermelaka5689 2 жыл бұрын
Mungu ni mwanimifu sana,padre Mungu ataendelea kukupigania,pole sana kwa yalikukuta
@anithashembilu7732
@anithashembilu7732 2 жыл бұрын
Pole sana fr. Mungu atakutetea.
@faudhiomary1696
@faudhiomary1696 2 жыл бұрын
Pole sana padre.hayo ni mapito,yamepita majaribu ni mtaji pole sana
@user-fh8yy8uk3n
@user-fh8yy8uk3n 3 ай бұрын
Pole sana father. Waovu wanapotafuta njia za kuumiza wateule wa Mungu kwaajili ya Utumishi, hufanikiwa kwa uchungu na misiba kama kupigwa tauni. Lakini kwa hakika, Kuna baraka kubwa Kwa mtumishi wa Mungu kupitia changamoto na majaribu maana changamoto na majaribu ni mbolea ya Imani. Mungu asikupungukie baba katika mahitaji ya utume wako. Amem
@julianacellestine801
@julianacellestine801 2 жыл бұрын
Pole sana father. Shetani yuko kazini anapepeta watu wa Mungu. Wanawatafuna kama mikate. Haki yako ipo itacheleweshwa Neema yako ipo umewekewa. Pole sana
@michaeljoel2139
@michaeljoel2139 2 жыл бұрын
Aisee mungu akujalie,msamehe tu huyu binti maana ugumu wa maisha ndoo ulimfanya aseme ivo akijua anajikomboa kumbe ndoo anaharibu
@lydiarichard8307
@lydiarichard8307 2 жыл бұрын
Samehe tu Mungu ndo mwenye kutoa kisasi we samehe acha maisha yaendelee
@wilhelminarugaimukamu3270
@wilhelminarugaimukamu3270 2 жыл бұрын
Pole Sana Padre Huruma ya Mungu ni kubwa Ukweli utajulikana .Endelea kumtegemea Mungu
@erasminaassenga1329
@erasminaassenga1329 2 жыл бұрын
Inaumiza sana jamani ,,,,,pole sana Fr Mungu ni mwema na ataendelea kukupigania milele.
@ramadhanmohamedi9793
@ramadhanmohamedi9793 2 жыл бұрын
Kaka swai mwenyezi mungu kwa imaniangu anasema duwa ya mwenyekudhurumiwa hairudi naamini majibu ya walokudhurumu utayaona tuu madhamu bado una uhai
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 2 жыл бұрын
huyu padr namjua alikuwa parokia ya manushi kabla ya kuhama. alikuwa mtu mwema sana
@peternyambui7492
@peternyambui7492 2 жыл бұрын
Pole sana Padre..Mwenyezi Mungu azidi kukusimamia na kukuongoza katika utumishi wako...Amina.
@virejiangingo288
@virejiangingo288 2 жыл бұрын
Pole sana Padre Mungu atakupigania binadamu hatuna shukrani
@nmatuja2191
@nmatuja2191 2 жыл бұрын
Pole sana padre, Mungu akutie nguvu.Imeniuma sana.
@anyesimaholo8553
@anyesimaholo8553 2 жыл бұрын
Pole sana father, tumewatupia sana mawe, tumewaumiza sana, Mungu akutie nguvu. Ushuhuda wako utawafungua maadui wa kanisa. Ila mababa zetu mapadre mkitoa misaada kwa hawa watu kuweni makini, wengine ni masikini ila ni agents wa shetani.
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 2 жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu. Umeongea vyema saana. Umakini uongezeke kwa watumishi wa Mungu wanaotoa misaada. Wakumbuke sheteni yuko kazini.
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu.
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 2 жыл бұрын
Unamtoa paka kisimani asante ni kukuparua ila anyway kweli kama hatakiri na kusafisha huyo padri huyo bint atajapata balaa yeye na uzao wake
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 21 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 134 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,9 МЛН
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
MZUNGU ALINIGEUKA TUKIWA NJIANI KWENDA KUMTAMBULISHA KWA WAZAZI NA KUNIFUKUZA
57:11
Official Dating Assistance
Рет қаралды 72 М.
LÉGISLATIVES : les résultats du second tour et réactions (LIVE)
3:19:21
HugoDécrypte - Actus du jour
Рет қаралды 1,5 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 21 МЛН