Ujawai kuniangusha semaji mwenyezi Mungu akupe maisha marefu
@rukiakyaka182715 сағат бұрын
Nakuomna M/Mungu mjaalie Nusra kwenye maisha yake Inshaallah
@kapondadr584019 сағат бұрын
In shaa Allah ikawe kheri kwetu wananchi 🔰
@joycemmassi50468 сағат бұрын
❤❤❤😂😂😂 dagaa wanaruka tumbon Ally Kamwe una vituko
@joycemmassi50468 сағат бұрын
😢😂😂😂 Aly kasema Moses kazeeka kama Mzee Mpili khaaaa nimecheka sana😅😅😅
@DoreenMlay-e8g17 сағат бұрын
Ali kamwe jamani mashallah, yanga ni raha sana umekua smst sana mdogo wangu
@kapondadr584018 сағат бұрын
Nilichogundua msemaji wetu 🔰 anatamani sana Simba wabadirike wakati Furaha yetu ni wao kufarakana,, Usiwasanue mapema
@user-princs18 сағат бұрын
😅
@peterkandaya56512 сағат бұрын
Ila ukishabikia UTOPOLO lazima ubongo ubend kwa nyuma hv timu ya sita kwa ubora Africa ifundishwe na timu ya 15 kwa ubora,ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni,timu iliyokuwa inapokea wageni eti Leo wanataka Simba wabadilike,hapo kwanza nnchek😂😂😂😂😂😂😂😂
@joaquimmasengwa128317 сағат бұрын
Wamemweka mbele "NTEBHA" Bila shaka watu wa Lyandu, Mhunze, kishapu wameshanielewa..... mchezaji wa makolokolo anaitwa Ntebha
@telvinnicholas16 сағат бұрын
Boka awezi cheza Chan, chan ni ya wachezaji wanaocheza league za ndani ya nchi au imekuwa ndani ya Africa 16:10
@Mhabeshi.Madayi17 сағат бұрын
Hawatakuelewa semaji lakini wakifikisha mechi 20plas ndo watakuelewa sanaaa😂
@peterkandaya56512 сағат бұрын
Kweli wazee wameongea ukweli si unaona hata CHadema wanavyofungwa goli la mkono kila siku na CCM😂😂😂😂😂😂😂
@matrida.lunyilija519612 сағат бұрын
@@peterkandaya565Na nyiye c mfunge kama ni rahisi hivyo,heti goli la mkono badala msajili wachezaji wenye viwango mnasajili magarasa hayo ndo matokeo yake
@peterkandaya56512 сағат бұрын
@@matrida.lunyilija5196 Cha ajabu magarasa wanashika nafasi ya sita kwa ubora Afrika alafu wapokea wageni wanaojificha kwenye kivuli cha CHAMA cha mapumbavu wanashika nafasi ya 17😂😂😂😂😂
@DominicMakamba14 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Semaji la Dunia unatufurahisha
@revocatusmalimi452516 сағат бұрын
Wewe mdomo wako hauna pazia,Pamba jiji na Yanga ni watoto wa baba mmoja GSM sasa inakuwaje umseme hadharani msemaji wake hukuo nyote mzazi wenu mmoja
@samochristopherroche995314 сағат бұрын
Hata coastal watu walisema huvohivo lkn juzi kawatoa makamasi
@RashidiIssanamagono16 сағат бұрын
Kulia, kucheka zote ni kelele cha msingi mjipange
@AdolophinaShawa-pd8yo16 сағат бұрын
❤❤
@josephgalandu1289 сағат бұрын
Nafikiri simba ni shemeji zake shetani😂😂😂😂
@HABIBHASSAN-wf5mr12 сағат бұрын
HUYO KOCHA AFUKUZWE HARAKA...HUMO KOCHA HAMNA...KWANZA ALIKUWA KOCHA MSAIDIZI
@ismailmasoud600118 сағат бұрын
Semaji MAKOLO lazma waelewe, tulishawapiga mara SITA mfululizo....tutaivunja rekodi yetu wenyewe
@peterkandaya56512 сағат бұрын
Aisee Hii timu ya UTOPOLO imejaa matahira wengi Sana,na ndiyo mana Manara aliyekuwa anawatukana walimpokea ila Matahira wanafurahishags muda mwingine wanapunguza stress kwa kutuchekesha😂😂😂😂😂😂😂😂
@SEVENTAIMBEMBELA14 сағат бұрын
Sasa kama mlitupiga mala Saba kelele za nn Sasa mala malefa kaeni kimya sasa mafala nyie na Bado tunataka mhame ligi eti malefa ,mala GSM nyie si mnabilionea nae azamini hizo timu zingine zilizobaki kama anauwezo timu bovu makelele tu
@rukaya-jg7hj15 сағат бұрын
Wajaze
@braystuskibassa38429 сағат бұрын
Inatakiwa iwe mara tisa kulipa deni na hao mateja😂😂
@kabwangaselemani52288 сағат бұрын
Hiyo sio rekodi ni marudio tu
@kaderbakshamin234514 сағат бұрын
Ally kamwe huyo ni kocha wa kawaida tu ucmpe kocha kwamba ndiyo hakuna, we furahi tu kwa kupata ushindi na upunguze maneno weka akiba
@fettiemaganza148412 сағат бұрын
Kocha wakawaida mwaka wa tatu tuu anawakanda bado mna leta dharau??? Kweli nyie masugu
@shedyjr322715 сағат бұрын
Hivi Simba Ni Timu ya Mpila au Timu Ya Uzazi wa Mpango
@peterkandaya56512 сағат бұрын
Hv Yanga ni timu ya Mpira au kikundi cha taarabu timu za Mpira zote zipo top ten kwenye CAF Rankings asa wenzetu sijui wa wapi😂😂😂😂😂😂😂😂😊
@majiniuhaimnu915017 сағат бұрын
Huna jipya ww ni hovyo tu
@ahmedmukolwe4317 сағат бұрын
Kama wewe tu
@SixtusSperatus-x3j5 сағат бұрын
Et youtube hawapo
@nasseraljahwri631017 сағат бұрын
😂😂😂 Haya mavyura malimbukeni na utoto mwingi, yamejisahau tulishayapigaga mara 7 consecutively
@MakunguMasunga-g1f16 сағат бұрын
Taja mwaka gani mlitupiga mala 7
@jr_mkumbojr16 сағат бұрын
Mwaka gani wewe Kijili
@LwingaOsiah16 сағат бұрын
Uongo
@saidamir103516 сағат бұрын
Kwako ww ndio unaejimaanisha kuwa ni mtoto, unaweza kusema lini ilitokea hivyo Kolo akamfunga bingwa wa nchi hata mara mbili mfululizo.
@DIVINEPROMISE-c1n16 сағат бұрын
Mwaka gani usituletee habari za uongo hapa mbumbumbu FC